Player_logo Podcasts Community Create a Podcast
powered by podOmatic
460>_2029110
Unaweza kupata sneak ripoti hiyo kwenye http://www.mwanakijiji.com

Password ya kufungulia Ripoti Sneek Pek: meremeta1997

Inapatikana hivi: (Tafadhali angalia masahihisho kutoka taarifa yetu ya Ijumaa) Ripoti inapatikana kwa njia ya pre-ordering (yaani order zikishatimia zote zinatolewa kwa wakati mmoja) kwa wale ambao watachangia dola 30 au shilingi elfu thelathini tu au zaidi kwa njia zifuatazo:

* Kupitia Mtandao wa http://www.mwanakijiji.com kuna kitufye cha kuchangia upande wa kulia juu(Donate Button) cha Paypal Inc., Hapo tunaweza kupokea malipo ya kadi za kibenki katika njia ya usalama wa hali ya juu na wachangiaji wote wanamakia sirini (rekodi yetu ya miaka mitatu hatujawahi kuvujisha jina la mchangiaji yeyote yule!).Kadi za Visa, MasterCard, Express zinapokelewa.

* Kwa taasisi au watumishi wa umma (VIPs) ambao kwa sababu za wazi wangependa kutojulikana wasiliana nami kwa email au Private Message na utapata maelezo ya kuwasiliana na Mwandishi wa Habari Mchunguzi wa gazeti la kiingereza la kila siku la nchini aliyepo Tanzania ambaye atapokea fedha hiyo pamoja na email yako ambayo tutakutumia nakala hiyo katika usiri mkubwa. Yeye pia anaweza kupokea kwa njia ya Western Union kwa wale ambao wangependa kutumia njia hiyo.

* Kwa mtu mwingine yeyote tuma fedha kwa njia yarecharge vouchers kwenda namba: 0713444649. Vouchers ziwe ni za tiGO, Zain au Zantel.

Kama mipango yote itakwenda ilivyo, basi tunatarajia kutuma nakala hizo 100 siku ya Jumatano wiki ijayo kwa wale waliochangia. Hivyo ina maana watu wana siku tano za kukamilisha oda zao. Pamoja na ripoti hiyo, tumeambatanisha pia ripoti yetu ya 2006 juu ya “Tracing Reports of Tanzania’s role in arms trafficking”.

Oda nakala yako mapema kwani tutafanya kwa mtindo wa “aliyewahi mpe” – first come, first serve.

NB: - Email moja kwa nakala moja. - Hakuna nakala itakayotangulia mchango; na hakuna mtu atakayepata nakala kabla ya watu wengine. Watu wote watakaokuwa wamechangia watapata nakala zao Jumatano. NO EXCEPTION.

[PLAY]