<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?>
<rss xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/" xmlns:itunes="http://www.itunes.com/dtds/podcast-1.0.dtd" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" version="2.0" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:dcterms="http://purl.org/dc/terms/">
  <channel>
    <title>KLH News</title>
    <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
    <description>Where Tanzania is the news!</description>
    <language>en-us</language>
    <generator>podOmatic RSS Generator</generator>
    <pubDate>Fri, 08 Aug 2008 18:11:15 GMT</pubDate>
    <itunes:keywords>africa,arusha,kiswahili,mwanza,swahili,tanga,tanzania,zanzibar</itunes:keywords>
    <itunes:subtitle>Where Tanzania is the news!</itunes:subtitle>
    <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
    <itunes:block>no</itunes:block>
    <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_380986.jpg"/>
    <itunes:author>Mzee Mwanakijiji</itunes:author>
    <itunes:summary>The most prominent, provocative, and premier Swahili podcast by an author and political analyst M. M. Mwanakijiji and the crew. The podcast is intended to be an instrument that facilitate positive attitudinal and mentality change among Tanzanians as they try to build a modern, vibrant, and prosperous African nation. This podcast is full of political, socio-economic opinions, news,  and commentaries. The show also showcase now and then some Tanzanian music and other talents. To keep yourself in the "loop" of what is going on in Tanzania, you should subscribe to this, it'll be one of the best decisions you have made. If you find this podcast to be interesting, why don't you recommend it to other Tanzanians? It is our mission to reach as many Tanzanians as possible, alone the task will be difficult with your help however, the sky is the limit!</itunes:summary>
    <item>
      <title>Chacha Wangwe Afariki Dunia</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1127775.jpeg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Mbunge wa Tarime Mhe. Zakayo Chacha Wangwe amefariki dunia jana jioni karibu saa tatu hivi za usiku kwa ajali ya gari akitokea Dodoma kuelekea Jijini Dar ambako alikuwa ahudhirie msiba wa Mzee Bhoke Munanka. 
                
                KLH News imefanya onesho maalumu la taarifa ya msiba huu na unaweza kusikiliza kwenye klhnews.com 
                
                Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi. Amina.</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-07-28T21_28_54-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-07-28T21_28_54-07_00</comments>
      <pubDate>Tue, 29 Jul 2008 04:23:16 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-07-30</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-07-29</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1127775.jpeg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Mbunge wa Tarime Mhe. Zakayo Chacha Wangwe amefariki dunia jana jioni karibu saa tatu hivi za usiku kwa ajali ya gari akitokea Dodoma kuelekea Jijini Dar ambako alikuwa ahudhirie msiba wa Mzee Bhoke Munanka. 
                
                KLH News imefanya onesho maalumu la taarifa ya msiba huu na unaweza kusikiliza kwenye klhnews.com 
                
                Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi. Amina.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>"Tutaendelea kuwafunua mafisadi" --- Kubenea</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1115209.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;KLHN imepata nafasi ya kuzungumza na Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Bw. Robert Manumba kuhusu suala la kuvamiwa waandishi wa wahabari. Bw. Manumba hata hivyo amekataa kuhojiwa akidai kuwa tayari wameshatoa statement yao na maelezo yao ndivyo yalivyo hadi sasa. Nilipojaribu kumbana zaidi Bw. Manumba alikata simu.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
                
                Hata hivyo tumepata nafasi ya kuzungumza na Mhariri Mtendaji wa Hali Halisi Bw. Saed Kubenea ambaye ameelezea kwa kirefu kilichojiri na pia kutoboa mambo mengine makubwa zaidi ambayo kujulikana kwake lazima kuwatetemeshe karibu viongozi wote waliowahi kushika nyadhifa za juu nchini.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
                
                Mojawapo ya madai makubwa aliyoyatoa ni kuwa akaunti ya Meremeta ambayo inadaiwa kuwa ilikuwa imefilisiwa na baadaye kuundwa Tangold, akaunti hiyo hadi hivi sasa bado inafanya kazi.
                &lt;/p&gt;&lt;P&gt;
                Zaidi ya yote Bw. Kubenea amedai kuwa yeye mwenyewe na watu wako tayari kwenda gerezani lakini kamwe hawatota siri ya sources zao za habari na ya kuwa computer na vifaa vilichochukuliwa havina kitu chochote cha kucompromise that sacred trust kati ya vyombo vya habari na vyanzo vya habari.
                &lt;/p&gt;&lt;p&gt;
                "Hatuogopi, wala hatutishwi, aluta continua" alisema Bw. Kubenea kwa kujiamini.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
                
                Mahojiano ya KLHN na Manumba na Bw. Kubenea yatarushwa siku ya Jumapili kupitia KLH News na ikiwezekana kupitia Bongo Radio kuanzia saa nane kamili mchana (saa tatu za usiku za Tanzania) katika matangazo yetu ya moja kwa moja ambapo pia tutapokea simu zenu na maoni yenu kuhusu. Kwa wale wanaotaka kutumia skype kuwasiliana nasi kwa simu watumie contact mwanakijiji007.&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-07-19T21_49_25-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-07-19T21_49_25-07_00</comments>
      <pubDate>Sun, 20 Jul 2008 04:45:43 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-07-23</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-07-20</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>kubenea,mwanahalisi</itunes:keywords>
      <enclosure length="38509714" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-07-19T21_49_25-07_00.mp3" type="audio/mpeg"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1115209.jpg"/>
      <itunes:duration>3527</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>KLHN imepata nafasi ya kuzungumza na Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Bw. Robert Manumba kuhusu suala la kuvamiwa waandishi wa wahabari. Bw. Manumba hata hivyo amekataa kuhojiwa akidai kuwa tayari wameshatoa statement yao na maelezo yao ndivyo yalivyo hadi sasa. Nilipojaribu kumbana zaidi Bw. Manumba alikata simu.
                
                Hata hivyo tumepata nafasi ya kuzungumza na Mhariri Mtendaji wa Hali Halisi Bw. Saed Kubenea ambaye ameelezea kwa kirefu kilichojiri na pia kutoboa mambo mengine makubwa zaidi ambayo kujulikana kwake lazima kuwatetemeshe karibu viongozi wote waliowahi kushika nyadhifa za juu nchini.
                
                Mojawapo ya madai makubwa aliyoyatoa ni kuwa akaunti ya Meremeta ambayo inadaiwa kuwa ilikuwa imefilisiwa na baadaye kuundwa Tangold, akaunti hiyo hadi hivi sasa bado inafanya kazi.
                
                Zaidi ya yote Bw. Kubenea amedai kuwa yeye mwenyewe na watu wako tayari kwenda gerezani lakini kamwe hawatota siri ya sources zao za habari na ya kuwa computer na vifaa vilichochukuliwa havina kitu chochote cha kucompromise that sacred trust kati ya vyombo vya habari na vyanzo vya habari.
                
                "Hatuogopi, wala hatutishwi, aluta continua" alisema Bw. Kubenea kwa kujiamini.
                
                Mahojiano ya KLHN na Manumba na Bw. Kubenea yatarushwa siku ya Jumapili kupitia KLH News na ikiwezekana kupitia Bongo Radio kuanzia saa nane kamili mchana (saa tatu za usiku za Tanzania) katika matangazo yetu ya moja kwa moja ambapo pia tutapokea simu zenu na maoni yenu kuhusu. Kwa wale wanaotaka kutumia skype kuwasiliana nasi kwa simu watumie contact mwanakijiji007.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Rostam na Mtikila na kisa cha Milioni 3!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1097745.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Mbunge wa Igunga Mhe. Rostam Aziz mapema leo amezungumza na waandishi wa habari akijibu kitendo cha Kanisa la KKKT kumkana na kutaka kumrudishia mchango alioutoa kusaidia Kwaya ya "Amkeni" ya Usharika wa Kinondoni. Katika majibu yake Bw. Rostam (CCM) ametoa madai makubwa pia likiwemo la kudai kuwa yeye amekuwa akisaidia makanisa na misikiti likiwemo Kanisa la Mchg. Christopher Mtikila.&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
                
                Bw. Rostam amedai kuwa miezi mitatu iliyopita Mchg. Mtikila alienda kwake na kumuomba mchango wa kusaidia Kanisa lake ambapo yeye Rostam alitoa Shs. Milioni tatu ambazo Mtikila alizopokea na "hakuziona za ufisadi".&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
                
                Unaweza kusikiliza mazungumzo ya Mhe. Rostam na waandishi wa habari kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Kempsinki Jijini Dar. Mojawapo ambayo Bw. Rostam anadai ni kuwa kuna kundi la watu "wakubwa na mashuhuri" ambalo limekuwa likijitahidi kuchafua majina na hadhi ya watu. Anasema kundi hilo limeunda "ushirika usio mtakatifu". &lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Baadaye nilipata nafasi ya kuzungumza na Mchg. Christopher Mtikila ambaye baadaye leo anatarajiwa kutoa statement yake jijini Dar, lakini kama kawaida KLHNews inaenda mbele kabla ya chombo kingine cha habari kukuletea siyo habari bali wenye habari wenyewe. &lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Shukrani za dhati ziwaendee wale wote ambao walifanikisha kutufanya tushiriki katika mazungumzo ya Rostam na waandishi ingawa hatukualikwa na hivyo sisi wenyewe kuweza kurekodi mazungumzo yake. (-5 GMT).  &lt;/p&gt;

Sikiliza kisa hiki cha Mchungaji na Mwanasiasa kupitia http://www.klhnews.com </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-07-13T06_13_32-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-07-13T06_13_32-07_00</comments>
      <pubDate>Sun, 13 Jul 2008 13:11:05 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-07-14</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-07-13</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>Rostam,aziz,mbunge,mtikila</itunes:keywords>
      <enclosure length="51019650" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-07-13T06_13_32-07_00.mp3" type="audio/mpeg"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1097745.jpg"/>
      <itunes:duration>4675</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Mbunge wa Igunga Mhe. Rostam Aziz mapema leo amezungumza na waandishi wa habari akijibu kitendo cha Kanisa la KKKT kumkana na kutaka kumrudishia mchango alioutoa kusaidia Kwaya ya "Amkeni" ya Usharika wa Kinondoni. Katika majibu yake Bw. Rostam (CCM) ametoa madai makubwa pia likiwemo la kudai kuwa yeye amekuwa akisaidia makanisa na misikiti likiwemo Kanisa la Mchg. Christopher Mtikila.
                
                Bw. Rostam amedai kuwa miezi mitatu iliyopita Mchg. Mtikila alienda kwake na kumuomba mchango wa kusaidia Kanisa lake ambapo yeye Rostam alitoa Shs. Milioni tatu ambazo Mtikila alizopokea na "hakuziona za ufisadi".
                
                Unaweza kusikiliza mazungumzo ya Mhe. Rostam na waandishi wa habari kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Kempsinki Jijini Dar. Mojawapo ambayo Bw. Rostam anadai ni kuwa kuna kundi la watu "wakubwa na mashuhuri" ambalo limekuwa likijitahidi kuchafua majina na hadhi ya watu. Anasema kundi hilo limeunda "ushirika usio mtakatifu". 
Baadaye nilipata nafasi ya kuzungumza na Mchg. Christopher Mtikila ambaye baadaye leo anatarajiwa kutoa statement yake jijini Dar, lakini kama kawaida KLHNews inaenda mbele kabla ya chombo kingine cha habari kukuletea siyo habari bali wenye habari wenyewe. 

Shukrani za dhati ziwaendee wale wote ambao walifanikisha kutufanya tushiriki katika mazungumzo ya Rostam na waandishi ingawa hatukualikwa na hivyo sisi wenyewe kuweza kurekodi mazungumzo yake. (-5 GMT).  

Sikiliza kisa hiki cha Mchungaji na Mwanasiasa kupitia http://www.klhnews.com </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Uhuru wa Taasisi zetu, kiini cha Utawala wa sheria!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1093106.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;B&gt;UCHUNGUZI WA BUNGE MFANO MBAYA WA UCHUNGUZI HURU&lt;/B&gt;
&lt;P&gt;
Jeshi la Polisi limetoa ripoti yake kuhusu uchunguzi wa kile kilichodaiwa vitendo vya kishirikina Bungeni karibu mwezi mmoja uliopita ambapo ilidaiwa mmojawapo wa wabunge alionekana akimwaga unga kwenye viti mbalimbali. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma amesema kuwa (kati ya niliyoyanasa kwa haraka) &lt;/P&gt;&lt;p&gt;

a. Hakuna Kamera iliyozimwa kuanzia mwaka 2006 (don't ask me walisema zilikuwa zimezimwa)
b. Kwenye mkanda uliodaiwa hakuna mtu aliyeonekana akifanya jambo lolote lile (mkanda mtupu?)
c. Vumbi lililoenda kuchunguzwa halikuwa na sumu yoyote inayotambulika. 
d. Hakuna kitendo cha kishirikina.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
Hayo yamesemwa na Kamanda huyo wa Mkoa Bw. Omar Mganga alipotoa taarifa kwa Kamati ya Uongozi ya Bunge kuhusu uchunguzi huo uliofuatia matukio ya wiki chache zilizopita. Vyanzo vingine vinasema kuwa kati ya mambo yaligundulika katika uchunguzi huo ni pamoja:
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
a. Kamera mbili kuwa mbovu kwa muda mrefu bila ya kufanyiwa matengenezo  na nyuingine mbili zilikuwa zimegeuzwa (tilted) ingawa sijui zilikuwa zinaangalia upande gani!
b. Na mojawapo ya madai ya kushtua kabisa ambayo wenu mtiifu ameyasikia ni kuwa baadhi ya watu wanaolipwa kuzikodolea macho hizo kamera walikuwa wameuchapa!&lt;/P&gt;
&lt;P&gt;
Uchunguzi huu unatulazimisha kujiuliza kama kweli bila ya kuwa na mfumo mzuri unaohakikisha uhuru wa taasisi zetu tunaweza kweli kuendesha uchunguzi wowote ambao matokeo yake yakashawishi uaminifu?&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Baada ya uchunguzi wa TAKUKURU kuhusu Richmond ambao baadaye ulioneshwa na Kamati Teule ya Bunge kuwa ulikuwa umelenga kupotosha jamii, hatuna budi kujiuliza tena kama vyombo vyetu viko huru na vinaweza kuaminika.&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Endapo hatuwezi kuwaamini hawa ambao wamepewa jukumu hilo la kufanya uchunguzi na kutoa taarifa au kufanyia kazi taarifa basi inakuwa vigumu sana kuhakikisha kunakuwepo na utawala wa sheria. Mfano mzuri ni suala la uchunguzi wa EPA ambao ulitakiwa kukamilika ndani ya miezi sita. Hadi sasa hakuna anayejua kinaendelea nini baada ya Mwanyika na timu yake kushindwa kutekeleza kazi hiyo ndani ya miezi sita licha ya ushahidi wote kukusanywa na kupelekwa mbele yao?&lt;/P&gt;&lt;P&gt;
Kwa mtindo huu sidhani kama tutafika, tutaendelea kuzugwa, kuzugana, na kuzugika. Sikiliza matangazo haya "live" kupitia KLHnews.com&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-07-10T21_27_18-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-07-10T21_27_18-07_00</comments>
      <pubDate>Fri, 11 Jul 2008 04:15:26 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-07-11</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-07-11</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>bunge,kabwe,kikwete,sitta,tanzania,zitto</itunes:keywords>
      <enclosure length="12533760" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-07-10T21_27_18-07_00.mp3" type="audio/mpeg"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1093106.jpg"/>
      <itunes:duration>1147</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>UCHUNGUZI WA BUNGE MFANO MBAYA WA UCHUNGUZI HURU

Jeshi la Polisi limetoa ripoti yake kuhusu uchunguzi wa kile kilichodaiwa vitendo vya kishirikina Bungeni karibu mwezi mmoja uliopita ambapo ilidaiwa mmojawapo wa wabunge alionekana akimwaga unga kwenye viti mbalimbali. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma amesema kuwa (kati ya niliyoyanasa kwa haraka) 

a. Hakuna Kamera iliyozimwa kuanzia mwaka 2006 (don't ask me walisema zilikuwa zimezimwa)
b. Kwenye mkanda uliodaiwa hakuna mtu aliyeonekana akifanya jambo lolote lile (mkanda mtupu?)
c. Vumbi lililoenda kuchunguzwa halikuwa na sumu yoyote inayotambulika. 
d. Hakuna kitendo cha kishirikina.

Hayo yamesemwa na Kamanda huyo wa Mkoa Bw. Omar Mganga alipotoa taarifa kwa Kamati ya Uongozi ya Bunge kuhusu uchunguzi huo uliofuatia matukio ya wiki chache zilizopita. Vyanzo vingine vinasema kuwa kati ya mambo yaligundulika katika uchunguzi huo ni pamoja:

a. Kamera mbili kuwa mbovu kwa muda mrefu bila ya kufanyiwa matengenezo  na nyuingine mbili zilikuwa zimegeuzwa (tilted) ingawa sijui zilikuwa zinaangalia upande gani!
b. Na mojawapo ya madai ya kushtua kabisa ambayo wenu mtiifu ameyasikia ni kuwa baadhi ya watu wanaolipwa kuzikodolea macho hizo kamera walikuwa wameuchapa!

Uchunguzi huu unatulazimisha kujiuliza kama kweli bila ya kuwa na mfumo mzuri unaohakikisha uhuru wa taasisi zetu tunaweza kweli kuendesha uchunguzi wowote ambao matokeo yake yakashawishi uaminifu?
Baada ya uchunguzi wa TAKUKURU kuhusu Richmond ambao baadaye ulioneshwa na Kamati Teule ya Bunge kuwa ulikuwa umelenga kupotosha jamii, hatuna budi kujiuliza tena kama vyombo vyetu viko huru na vinaweza kuaminika.
Endapo hatuwezi kuwaamini hawa ambao wamepewa jukumu hilo la kufanya uchunguzi na kutoa taarifa au kufanyia kazi taarifa basi inakuwa vigumu sana kuhakikisha kunakuwepo na utawala wa sheria. Mfano mzuri ni suala la uchunguzi wa EPA ambao ulitakiwa kukamilika ndani ya miezi sita. Hadi sasa hakuna anayejua kinaendelea nini baada ya Mwanyika na timu yake kushindwa kutekeleza kazi hiyo ndani ya miezi sita licha ya ushahidi wote kukusanywa na kupelekwa mbele yao?
Kwa mtindo huu sidhani kama tutafika, tutaendelea kuzugwa, kuzugana, na kuzugika. Sikiliza matangazo haya "live" kupitia KLHnews.com</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Cheyo: "Serikali isilisingizie JWTZ kuhusu Meremeta"</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1070617.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Mwishoni mwa juma nilipata nafasi ya kuzungumza na Mbunge wa Bariadi Mashariki Mhe. John Momose Cheyo (UDP) kuhusu suala la kampuni ya Meremeta ambayo imepokea mabilioni ya shilingi toka Benki Kuu na hakuna mtu aliye tayari kusema wazi kampuni hiyo ni ya nani.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Mahojiano yangu na Bw. Cheyo yalikuja masaa machacha baada ya majibizano yake na Waziri Mkuu Mhe. Pinda Bungeni siku ya Ijumaa ambapo alikataa kuyakubali maelezo ya Waziri Mkuu kuwa kampuni ya Meremeta na nyingine yenye kuhusiana nazo inahusiana na masuala ya Usalama wa Taifa. &lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Wakati huo huo tunarajia kurusha mahojiano yangu na Mhe. Chacha Wangwe na Bw. Tundu Lissu kufuata sakata ambalo limeanza kuibuka ndani ya Chadema. Mahojiano hayo yalifanyika masaa machache baada ya Kamati Kuu ya Chadema kumsimamisha Umakamu Mwenyekiti Bw. Wangwe kwa kukiuka maadili ya uongozi. &lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-29T20_52_25-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-29T20_52_25-07_00</comments>
      <pubDate>Mon, 30 Jun 2008 03:33:19 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-30</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-06-30</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure length="23044702" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-06-29T20_52_25-07_00.mp3" type="audio/mpeg"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1070617.jpg"/>
      <itunes:duration>2111</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Mwishoni mwa juma nilipata nafasi ya kuzungumza na Mbunge wa Bariadi Mashariki Mhe. John Momose Cheyo (UDP) kuhusu suala la kampuni ya Meremeta ambayo imepokea mabilioni ya shilingi toka Benki Kuu na hakuna mtu aliye tayari kusema wazi kampuni hiyo ni ya nani.

Mahojiano yangu na Bw. Cheyo yalikuja masaa machacha baada ya majibizano yake na Waziri Mkuu Mhe. Pinda Bungeni siku ya Ijumaa ambapo alikataa kuyakubali maelezo ya Waziri Mkuu kuwa kampuni ya Meremeta na nyingine yenye kuhusiana nazo inahusiana na masuala ya Usalama wa Taifa. 

Wakati huo huo tunarajia kurusha mahojiano yangu na Mhe. Chacha Wangwe na Bw. Tundu Lissu kufuata sakata ambalo limeanza kuibuka ndani ya Chadema. Mahojiano hayo yalifanyika masaa machache baada ya Kamati Kuu ya Chadema kumsimamisha Umakamu Mwenyekiti Bw. Wangwe kwa kukiuka maadili ya uongozi. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Sakata la Richmond kufumuka tena?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1062781.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Habari ambazo zinapita pita kama vile maji ya mfereji zinasema kuwa Mhe. Karamagi anatarajiwa kuwa mkutano na waandishi wa habari hapo kesho, atakachozungumzia hakijajulikana bado na kama kinahusiana na masuala ya TICTS au masuala ya Richmond. Wakati huo huo Bunge linatarajiwa kutoa maamuzi kuhusu ombi la Dr. Mwakyembe kuhusu kanuni za Bunge.&lt;/p&gt;&lt;P&gt;

Hii Alhamisi pia inatarajiwa Spika Sitta atatoa uamuzi wa kama kuruhusu Bunge lipige kura ya kutengua kanuni yake inayozuia kujadiliwa kwa azimio la Bunge au jambo lililotolewa uamuzi  na Bunge hadi miezi 12 ipite. Endapo Bunge litaridhia kutengua kanuni hiyo, basi mjadala wa ripoti ya Kamati Teule ya kuhusu Kampuni ya Richmond utaanza tena Bungeni.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Mojawapo ya waliouhisika na sakata hilo wamesema kuwa wanaisubiri kwa hamu siku ambayo wataweza kujitetea mbele ya Bunge. "Hatukupata nafasi ya kujitetea, hivyo kanuni ikitenguliwa tutaweza na sisi kuelezea upande wetu" alisema mmoja wa Mawaziri ambao walijiuzulu kufuatia kashfa ya Richmond.&lt;/p&gt;&lt;P&gt;

Hata hivyo, Dr. Mwakyembe na kamati yake wamesema wako tayari kusimama na kufafanua jambo lolote ambalo halikueleweka au kutoa hisia zao kuhusu yale ambayo yamekuwa yakifanyika. Kwa mujibu wa mjumbe mmojawapo wa Kamati ile Teule, kitendo cha NEC na sasa Wabunge kujaribu kwa nguvu zote kuwasafisha na kuwatetea viongozi waliojiuzulu kina lengo moja tu nalo ni kuvuruga jitihada nzima za kurudisha fedha zilizolipwa Richmond na kuondoa mjadala kuhusu Dowans na kuufanya uwe unahusu Kamati Teule.
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
"Angalia ni nani aliyesimama kutetea kurudishwa kwa malipo ya mamilioni ya shilingi kila siku kwa Dowans? Angalia ni mjumbe gani wa NEC ambaye amesema anataka malipo yasimamishwe; hakuna!" alisema mjumbe huyo kwa jazba akizungumza na KLHN.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

"Hili jambo halijafikia mwisho" alisema Mbunge mwingine ambaye anamwelekeo wa kuiunga mkono kamati teule.
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Muda wote kesho KLHN itakuwa inakuletea taarifa kwa kadiri zinavyopatikana kufuatia maendeleo yoyote kuhusu masuala yote mawili ambayo yanahusiana.&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-25T21_02_55-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-25T21_02_55-07_00</comments>
      <pubDate>Thu, 26 Jun 2008 03:58:38 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-26</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-06-26</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1062781.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Habari ambazo zinapita pita kama vile maji ya mfereji zinasema kuwa Mhe. Karamagi anatarajiwa kuwa mkutano na waandishi wa habari hapo kesho, atakachozungumzia hakijajulikana bado na kama kinahusiana na masuala ya TICTS au masuala ya Richmond. Wakati huo huo Bunge linatarajiwa kutoa maamuzi kuhusu ombi la Dr. Mwakyembe kuhusu kanuni za Bunge.

Hii Alhamisi pia inatarajiwa Spika Sitta atatoa uamuzi wa kama kuruhusu Bunge lipige kura ya kutengua kanuni yake inayozuia kujadiliwa kwa azimio la Bunge au jambo lililotolewa uamuzi  na Bunge hadi miezi 12 ipite. Endapo Bunge litaridhia kutengua kanuni hiyo, basi mjadala wa ripoti ya Kamati Teule ya kuhusu Kampuni ya Richmond utaanza tena Bungeni.

Mojawapo ya waliouhisika na sakata hilo wamesema kuwa wanaisubiri kwa hamu siku ambayo wataweza kujitetea mbele ya Bunge. "Hatukupata nafasi ya kujitetea, hivyo kanuni ikitenguliwa tutaweza na sisi kuelezea upande wetu" alisema mmoja wa Mawaziri ambao walijiuzulu kufuatia kashfa ya Richmond.

Hata hivyo, Dr. Mwakyembe na kamati yake wamesema wako tayari kusimama na kufafanua jambo lolote ambalo halikueleweka au kutoa hisia zao kuhusu yale ambayo yamekuwa yakifanyika. Kwa mujibu wa mjumbe mmojawapo wa Kamati ile Teule, kitendo cha NEC na sasa Wabunge kujaribu kwa nguvu zote kuwasafisha na kuwatetea viongozi waliojiuzulu kina lengo moja tu nalo ni kuvuruga jitihada nzima za kurudisha fedha zilizolipwa Richmond na kuondoa mjadala kuhusu Dowans na kuufanya uwe unahusu Kamati Teule.

"Angalia ni nani aliyesimama kutetea kurudishwa kwa malipo ya mamilioni ya shilingi kila siku kwa Dowans? Angalia ni mjumbe gani wa NEC ambaye amesema anataka malipo yasimamishwe; hakuna!" alisema mjumbe huyo kwa jazba akizungumza na KLHN.

"Hili jambo halijafikia mwisho" alisema Mbunge mwingine ambaye anamwelekeo wa kuiunga mkono kamati teule.

Muda wote kesho KLHN itakuwa inakuletea taarifa kwa kadiri zinavyopatikana kufuatia maendeleo yoyote kuhusu masuala yote mawili ambayo yanahusiana.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Chenge ahusishwa na Ushirikina!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1040334.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Tafadhali soma habari kamili kwenye http://www.klhnews.com Wakati huo huo tumeanza kutangaza "live" kama majaribio kwa kucheza muziki. Tunaomba feedback yako mahali popote unapotusikia na kama unatusikia vizuri, na hasa wale walioko Tanzania.</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-15T23_24_14-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-15T23_24_14-07_00</comments>
      <pubDate>Mon, 16 Jun 2008 06:16:30 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-19</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-06-16</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>andrew,chenge,tanzania</itunes:keywords>
      <enclosure length="6904476" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-06-15T23_24_14-07_00.mp3" type="audio/mpeg"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1040334.jpg"/>
      <itunes:duration>630</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Tafadhali soma habari kamili kwenye http://www.klhnews.com Wakati huo huo tumeanza kutangaza "live" kama majaribio kwa kucheza muziki. Tunaomba feedback yako mahali popote unapotusikia na kama unatusikia vizuri, na hasa wale walioko Tanzania.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Leo ni Siku ya Bajeti - Jisomee kabla ya kusikia!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1031135.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Leo ni siku ya Bajeti. Waziri wa Fedha Bw. Mustafa Mkullo anatarajiwa kusoma bajeti hiyo leo na hivyo kuonesha ni wapi tumefika toka mwaka uliopita na wapi tunataka kwenda katika mwaka ujao wa fedha. 
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Nimepata nafasi ya kupata nakala ya bajeti hiyo ambayo inapatikana hapa: &lt;b&gt;http://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=1680&amp;d=1213211256&lt;/b&gt;

Tafadhali copy and paste kwenye browser yako.
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Nimatumaini yangu mtapata nafasi ya kuipitia kabla hamjaisikia. 
&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-11T22_46_51-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-11T22_46_51-07_00</comments>
      <pubDate>Thu, 12 Jun 2008 05:41:04 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-18</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-06-12</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure length="2970122" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-06-11T22_46_51-07_00.mp3" type="audio/mpeg"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1031135.jpg"/>
      <itunes:duration>247</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Leo ni siku ya Bajeti. Waziri wa Fedha Bw. Mustafa Mkullo anatarajiwa kusoma bajeti hiyo leo na hivyo kuonesha ni wapi tumefika toka mwaka uliopita na wapi tunataka kwenda katika mwaka ujao wa fedha. 

Nimepata nafasi ya kupata nakala ya bajeti hiyo ambayo inapatikana hapa: http://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=1680&amp;d=1213211256

Tafadhali copy and paste kwenye browser yako.

Nimatumaini yangu mtapata nafasi ya kuipitia kabla hamjaisikia. 
</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Huu si wakati wa kukata tamaa! </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1028925.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Bila ya shaka mlolongo wa matukio kadha wa kadha unaweza kumfanya mtu yeyote kushika tama na kukata tamaa. Hasa inapotokea matukio ambayo yanaihusu nchi yetu. Msururu wa kashfa ambazo zimeiandama nchi na viongozi wetu bila ya shaka vinaweza kukufanya ujisikie mpweke na mnyonge na zaidi kuweza kujiuliza "Tanzania ina matatizo gani?". 

&lt;p&gt;Kwa wengine kujiuliza swali hili kunaendana na hisia ya kuachwa peke (abandonment) na kukata tamaa (despair). Na zaidi ya yote kuna wengine ambao wanaweza kujihisi kuvunjwa moyo (discouraged) na hivyo kuona kuwa hakuna lolote na chochote kinachoweza kufanyika Tanzania ambacho kinaweza kuturudisha kwenye matumaini?&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;&lt;b&gt;Je huu ndio wakati wa kukata tamaa na kuwaachia mafisadi wafanye wapendavyo? Je huu ndio wakati wa kukubali viongozi wabovu na wasio na uwezo alimradi tuendelee katika hali ya utulivu, amani na mshikamano? Je huu ni wakati wa kusalimu amri na kukubali kile ambacho kimetuangukia na kuwa yote ni "mapenzi ya Mungu"?&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;

&lt;/P&gt;Je unajihisi kukata tamaa ukiangalia mambo yanayoendelea katika nchi yetu?&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-10T22_55_32-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-10T22_55_32-07_00</comments>
      <pubDate>Wed, 11 Jun 2008 05:42:38 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-18</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-06-11</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure length="19698102" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-06-10T22_55_32-07_00.mp3" type="audio/mpeg"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1028925.jpg"/>
      <itunes:duration>1802</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Bila ya shaka mlolongo wa matukio kadha wa kadha unaweza kumfanya mtu yeyote kushika tama na kukata tamaa. Hasa inapotokea matukio ambayo yanaihusu nchi yetu. Msururu wa kashfa ambazo zimeiandama nchi na viongozi wetu bila ya shaka vinaweza kukufanya ujisikie mpweke na mnyonge na zaidi kuweza kujiuliza "Tanzania ina matatizo gani?". 

Kwa wengine kujiuliza swali hili kunaendana na hisia ya kuachwa peke (abandonment) na kukata tamaa (despair). Na zaidi ya yote kuna wengine ambao wanaweza kujihisi kuvunjwa moyo (discouraged) na hivyo kuona kuwa hakuna lolote na chochote kinachoweza kufanyika Tanzania ambacho kinaweza kuturudisha kwenye matumaini?

Je huu ndio wakati wa kukata tamaa na kuwaachia mafisadi wafanye wapendavyo? Je huu ndio wakati wa kukubali viongozi wabovu na wasio na uwezo alimradi tuendelee katika hali ya utulivu, amani na mshikamano? Je huu ni wakati wa kusalimu amri na kukubali kile ambacho kimetuangukia na kuwa yote ni "mapenzi ya Mungu"?

Je unajihisi kukata tamaa ukiangalia mambo yanayoendelea katika nchi yetu?</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mkapa ameweza kujisafisha?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1005830.bmp" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Baada ya miezi ya maneno, kejeli na hadi kuzomewa hatimaye Rais Mstaafu Bw. Benjamin Mkapa amezungumza wiki iliyopita akikanusha madai kuwa ametajirika visivyo halali. Zaidi ya yote amedai kuwa yeye anaishi kwa pensheni yake kama anavyoishi Mzee Mwinyi na yakuwa wanaozua maneno ya yeye kuwa "fisadi" ni watu ambao kwa maneno yake walitaka "awapendelee" alipokuwa madarakani na yeye "hakuwapendelea".&lt;/p&gt;&lt;P&gt;

Na kabla wingu la utetezi wake huo halijatua kampuni ya Makaa ya Mawe ya Kiwira imejitokeza baada ya miezi kuhusishwwa na Urais wa Mkapa na kutangaza kuwa Rais Mkapa si mmiliki wa mgodi huo na hivyo kujaribu kuzima madai hayo. Hata hivyo mambo yafuatayo ni ya kuangalia na tuone kama utetezi wa Mkapa mwenyewe na Kiwira unatosha kumsafisha Rais Mstaafu. &lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Unaweza kusoma mjadala huu kwenye Jamiiforums.com mada ya "Kiwira yamsafisha Mkapa"&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Tanpower Resources ilisajiliwa 29/12/2004 na kupewa namba 51080 ikiwa na dhumuni kuu la kwanza kuchimba mkaa wa mawe nakuzalisha umeme, wakati huo Mkapa bado ana hisa na alijua sababu za kuanzishwa kwake. Wakati inasajiliwa wanahisa walikua ANBEM hisa 200,000 na aliyesaini ni Anna Mkapa, Devconsult ya Yona na Mwanae (hisa 200,000), Universal Tech (hisa 200,000), Choice Industries ya Mbuna (200,000) na Fosnik Enterprises ya Nicholus Mkapa na mkewe Foster wakiwa wameiga jina la kampuni ya baba na mama zao ya ANBEM (wao wakiwa na hisa 200,000) na aliyesaini ni Nico&lt;/p&gt;&lt;P&gt;

-----Lakini jambo la hatari ni kwamba, kabla hata ya TANPOWER kusajiliwa ilikwishaanza kufanya kazi na Evans Mapundi akiwa Mkurugenzi wake, alifanya mawasiliano Desemba 15 na wakatembelea Kiwira Desemba 18 na 20, kwa baraka za Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona. Yona akiwa pia mmoja wa wanahisa wa kampuni hiyo.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

----Mkapa na Mkewe kupitia ANBEM walijitoa TANPOWER Februari 21, 2005 ikiwa tayari hata mkataba wa ubia kati ya TANPOWER na Kiwira umekwishaandaliwa na Yona akiwa Waziri wa Nishati na Madini.... Hata baada ya Kujitoa, Mwanae Nico na mkewe Foster na baba mkwe wao Mbuna walikua ndani ya Kiwira.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

----Ni mwaka huo ambao Yona na bosi wake waliitosa STAMICO na kuchukua eneo jingine lenye hazina kubwa ya mkaa wa mawe liitwalo Kabulo rig ambalo serikali ilikopeshwa USD milioni 50 kufanya utafiti. STAMICO hadi sasa wanalilia eneo hilo ambalo limechukuliwa na TANPOWER/Kiwira bure&lt;/p&gt;&lt;P&gt;

&lt;img&gt;http://www.jamiiforums.com/photos/Mkapa1.jpg&lt;/img&gt;
&lt;img&gt;http://www.jamiiforums.com/photos/Mkapa2.jpg&lt;/img&gt;&lt;/P&gt;&lt;P&gt;

&lt;B&gt;SWALI&lt;/B&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Je Umeridhika na utetezi na jitihada za kujisafisha za Rais Mkapa. Waandishi waache kumsakama Rais mstaafu kwa sababu Kiwira wamesema hahusiki nayo?&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-02T22_08_36-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-02T22_08_36-07_00</comments>
      <pubDate>Tue, 03 Jun 2008 04:47:47 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-03</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-06-03</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>kenya,kilimanjaro,kiswahili,kiwira,mkapa,tanzania</itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1005830.bmp"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Baada ya miezi ya maneno, kejeli na hadi kuzomewa hatimaye Rais Mstaafu Bw. Benjamin Mkapa amezungumza wiki iliyopita akikanusha madai kuwa ametajirika visivyo halali. Zaidi ya yote amedai kuwa yeye anaishi kwa pensheni yake kama anavyoishi Mzee Mwinyi na yakuwa wanaozua maneno ya yeye kuwa "fisadi" ni watu ambao kwa maneno yake walitaka "awapendelee" alipokuwa madarakani na yeye "hakuwapendelea".

Na kabla wingu la utetezi wake huo halijatua kampuni ya Makaa ya Mawe ya Kiwira imejitokeza baada ya miezi kuhusishwwa na Urais wa Mkapa na kutangaza kuwa Rais Mkapa si mmiliki wa mgodi huo na hivyo kujaribu kuzima madai hayo. Hata hivyo mambo yafuatayo ni ya kuangalia na tuone kama utetezi wa Mkapa mwenyewe na Kiwira unatosha kumsafisha Rais Mstaafu. 

Unaweza kusoma mjadala huu kwenye Jamiiforums.com mada ya "Kiwira yamsafisha Mkapa"

Tanpower Resources ilisajiliwa 29/12/2004 na kupewa namba 51080 ikiwa na dhumuni kuu la kwanza kuchimba mkaa wa mawe nakuzalisha umeme, wakati huo Mkapa bado ana hisa na alijua sababu za kuanzishwa kwake. Wakati inasajiliwa wanahisa walikua ANBEM hisa 200,000 na aliyesaini ni Anna Mkapa, Devconsult ya Yona na Mwanae (hisa 200,000), Universal Tech (hisa 200,000), Choice Industries ya Mbuna (200,000) na Fosnik Enterprises ya Nicholus Mkapa na mkewe Foster wakiwa wameiga jina la kampuni ya baba na mama zao ya ANBEM (wao wakiwa na hisa 200,000) na aliyesaini ni Nico

-----Lakini jambo la hatari ni kwamba, kabla hata ya TANPOWER kusajiliwa ilikwishaanza kufanya kazi na Evans Mapundi akiwa Mkurugenzi wake, alifanya mawasiliano Desemba 15 na wakatembelea Kiwira Desemba 18 na 20, kwa baraka za Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona. Yona akiwa pia mmoja wa wanahisa wa kampuni hiyo.

----Mkapa na Mkewe kupitia ANBEM walijitoa TANPOWER Februari 21, 2005 ikiwa tayari hata mkataba wa ubia kati ya TANPOWER na Kiwira umekwishaandaliwa na Yona akiwa Waziri wa Nishati na Madini.... Hata baada ya Kujitoa, Mwanae Nico na mkewe Foster na baba mkwe wao Mbuna walikua ndani ya Kiwira.

----Ni mwaka huo ambao Yona na bosi wake waliitosa STAMICO na kuchukua eneo jingine lenye hazina kubwa ya mkaa wa mawe liitwalo Kabulo rig ambalo serikali ilikopeshwa USD milioni 50 kufanya utafiti. STAMICO hadi sasa wanalilia eneo hilo ambalo limechukuliwa na TANPOWER/Kiwira bure

http://www.jamiiforums.com/photos/Mkapa1.jpg
http://www.jamiiforums.com/photos/Mkapa2.jpg

SWALI
Je Umeridhika na utetezi na jitihada za kujisafisha za Rais Mkapa. Waandishi waache kumsakama Rais mstaafu kwa sababu Kiwira wamesema hahusiki nayo?</itunes:summary>
    </item>
  </channel>
</rss>
