<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?>
<rss xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/" version="2.0" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:itunes="http://www.itunes.com/dtds/podcast-1.0.dtd" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:dcterms="http://purl.org/dc/terms/">
  <channel>
    <title>KLH News</title>
    <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
    <description>Where Tanzania is the news!</description>
    <language>en-us</language>
    <generator>podOmatic RSS Generator</generator>
    <pubDate>Thu, 05 Nov 2009 04:27:47 GMT</pubDate>
    <itunes:keywords>africa,arusha,kiswahili,mwanza,swahili,tanga,tanzania,zanzibar</itunes:keywords>
    <itunes:subtitle>Where Tanzania is the news!</itunes:subtitle>
    <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
    <itunes:block>no</itunes:block>
    <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_380986.jpg"/>
    <itunes:author>Mzee Mwanakijiji</itunes:author>
    <itunes:summary>The most prominent, provocative, and premier Swahili podcast by an author and political analyst M. M. Mwanakijiji and the crew. The podcast is intended to be an instrument that facilitate positive attitudinal and mentality change among Tanzanians as they try to build a modern, vibrant, and prosperous African nation. This podcast is full of political, socio-economic opinions, news,  and commentaries. The show also showcase now and then some Tanzanian music and other talents. To keep yourself in the "loop" of what is going on in Tanzania, you should subscribe to this, it'll be one of the best decisions you have made. If you find this podcast to be interesting, why don't you recommend it to other Tanzanians? It is our mission to reach as many Tanzanians as possible, alone the task will be difficult with your help however, the sky is the limit!</itunes:summary>
    <atom:link href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/rss2.xml" type="application/rss+xml" rel="self"/>
    <item>
      <title>Nani ashinde, nani ataamua mshindi?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1805073.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Ni mgongano wa kihistoria ambao ulipaswa kutokea. Ni mgongano ambao hutokea mahali popote panapokuwa na tofauti kubwa kati ya watawala na watawaliwa. Ndivyo ilivyokuwa kwenye Mapinduzi ya Ufaransa, Mapinduzi ya Marekani na Mapinduzi ya Bolshevik (Urusi). 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Ni yale yale yaliyotokea na kusababisha mapinduzi ya Cuba yaliyomuingiza Castro madarakani. Ndiyo! Ni yale yale yaliyotokea pia kwenye mapinduzi ya Zanzibar!
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Migongano ya namna hiyo asili yake mara zote ni pale wananchi wanapotambua kuwa hawana usawa na watawala wao na ya kuwa tofauti ya maisha yao na yale ya watawala ni kubwa mno na ya kwamba mwananchi wa kawaida anajikuta hana nafasi yoyote aidha ya kufanikiwa au ya kuweza kuishi maisha yenye utu, usawa, haki na heshima. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Nchi chache zimeweza kupitia mgongano huo kwa njia ya nguvu (kama mifano niliyotoa) au kama ilivyotokea huko Ukraine na Georgia miaka ya karibuni kwa njia ya nguvu ya umma. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Tanzania yetu inapitia mgongano huo katika hatua zake za awali. Silaha ambayo wananchi wanatumia leo hii ni nguvu yao ya hoja na wanatarajiwa kubadilisha serikali yao kwa nguvu ya kura. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Hata hivyo hilo halitakuwa rahisi kwani dalili yote inaonesha kuwa watawala hawako laini kuruhusu mabadiliko makubwa ya kiutawala yenye kupendelea wananchi wa kawaida. Hivyo, mgongano unaendelea. Swali ni nani ashinde? Na ni nani ataamua mshindi!? 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;&lt;b&gt;
Nisikilize:&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-05-06T21_50_40-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-05-06T21_50_40-07_00</comments>
      <pubDate>Thu, 07 May 2009 04:42:19 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-05-07</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-05-07</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>kikwete,kilimanjaro,mwanakijiji,tanzania</itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2009-05-06T21_50_40-07_00.mp3" length="12968228"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1805073.jpg"/>
      <itunes:duration>1080</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Ni mgongano wa kihistoria ambao ulipaswa kutokea. Ni mgongano ambao hutokea mahali popote panapokuwa na tofauti kubwa kati ya watawala na watawaliwa. Ndivyo ilivyokuwa kwenye Mapinduzi ya Ufaransa, Mapinduzi ya Marekani na Mapinduzi ya Bolshevik (Urusi). 

Ni yale yale yaliyotokea na kusababisha mapinduzi ya Cuba yaliyomuingiza Castro madarakani. Ndiyo! Ni yale yale yaliyotokea pia kwenye mapinduzi ya Zanzibar!

Migongano ya namna hiyo asili yake mara zote ni pale wananchi wanapotambua kuwa hawana usawa na watawala wao na ya kuwa tofauti ya maisha yao na yale ya watawala ni kubwa mno na ya kwamba mwananchi wa kawaida anajikuta hana nafasi yoyote aidha ya kufanikiwa au ya kuweza kuishi maisha yenye utu, usawa, haki na heshima. 

Nchi chache zimeweza kupitia mgongano huo kwa njia ya nguvu (kama mifano niliyotoa) au kama ilivyotokea huko Ukraine na Georgia miaka ya karibuni kwa njia ya nguvu ya umma. 

Tanzania yetu inapitia mgongano huo katika hatua zake za awali. Silaha ambayo wananchi wanatumia leo hii ni nguvu yao ya hoja na wanatarajiwa kubadilisha serikali yao kwa nguvu ya kura. 

Hata hivyo hilo halitakuwa rahisi kwani dalili yote inaonesha kuwa watawala hawako laini kuruhusu mabadiliko makubwa ya kiutawala yenye kupendelea wananchi wa kawaida. Hivyo, mgongano unaendelea. Swali ni nani ashinde? Na ni nani ataamua mshindi!? 

Nisikilize:</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mlipuko 511KJ Mbagala: Majanga na kuishi kwa kudra!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1786550.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Kwa namna fulani tunaamini kuwa sisi tuna upendeleo wa aina fulani kwa Mwenyezi Mungu, kwamba nchi yetu kwa sababu upendeleo wa pekee basi haitapata majanga. Hatujajifunza kwa ajali zinazotea mara kwa mara za mabasi, hatujajifunza kwenye ajali za majini, hatujajifunza kwenye milipuko ya mabomu na kwa hakika tuko kama tumepigwa ganzi ya aina fulani hivi. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Pamoja na kutoa pole na rambirambi, ni lazima tujiulize tutaendelea mpaka kulini kwa kutegemea rehema za Mungu? Sitoshangaa leo tutaambiwa katika Hotuba ya Rais kuwa haya yalikuwa ni mapenzi ya Mungu na ya kuwa wanaunda tume kuchunguza kitu gani kilisababisha na wananchi wasiwe na wasiwasi hali ni shwari na halikuwa tukio la kighaidi.. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Katika wazimu wetu tutasema Amen.. na kusahau kabisa mlolongo wa kutojiandaa na majanga ambao serikali ya CCM imeuendeleza kwa miaka kadhaa sasa na kutuacha tuishi kwa bahati! 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Jana, tumeikwepa risasi! Huko mbeleni (na itakuwa hivyo kwani majanga yataendelea kutokea hata kama tunaombea yasitokee, ndiyo kanuni ya ulimwengu!) tutakuja kulia kama tulivyolia kwenye MV. Bukoba na Bahi! (wengine wanajiuliza "Bahi?"! wameshasahau!&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-04-29T23_41_36-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-04-29T23_41_36-07_00</comments>
      <pubDate>Thu, 30 Apr 2009 06:32:49 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-04-30</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-04-30</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>bomu,jwtz,mbagala,mlipuko</itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2009-04-29T23_41_36-07_00.mp3" length="18824463"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1786550.jpg"/>
      <itunes:duration>1568</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Kwa namna fulani tunaamini kuwa sisi tuna upendeleo wa aina fulani kwa Mwenyezi Mungu, kwamba nchi yetu kwa sababu upendeleo wa pekee basi haitapata majanga. Hatujajifunza kwa ajali zinazotea mara kwa mara za mabasi, hatujajifunza kwenye ajali za majini, hatujajifunza kwenye milipuko ya mabomu na kwa hakika tuko kama tumepigwa ganzi ya aina fulani hivi. 

Pamoja na kutoa pole na rambirambi, ni lazima tujiulize tutaendelea mpaka kulini kwa kutegemea rehema za Mungu? Sitoshangaa leo tutaambiwa katika Hotuba ya Rais kuwa haya yalikuwa ni mapenzi ya Mungu na ya kuwa wanaunda tume kuchunguza kitu gani kilisababisha na wananchi wasiwe na wasiwasi hali ni shwari na halikuwa tukio la kighaidi.. 

Katika wazimu wetu tutasema Amen.. na kusahau kabisa mlolongo wa kutojiandaa na majanga ambao serikali ya CCM imeuendeleza kwa miaka kadhaa sasa na kutuacha tuishi kwa bahati! 

Jana, tumeikwepa risasi! Huko mbeleni (na itakuwa hivyo kwani majanga yataendelea kutokea hata kama tunaombea yasitokee, ndiyo kanuni ya ulimwengu!) tutakuja kulia kama tulivyolia kwenye MV. Bukoba na Bahi! (wengine wanajiuliza "Bahi?"! wameshasahau!</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Siri ya DECI: Hakuna utaratibu wa kuzuia UPATU</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1766968.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Salaam,

Suala la DECI ni marudio tu ya michezo mingine kama hiyo ambayo imeshawahi kutokea huko nyuma. Jinsi suala la DECI lilivyoshughulikiwa linaonesha ni wazi hakuna utaratibu mzuri wa kushughulikia michezo hii na inakuwa kama tunaanza moja. Hatuelewi ni kwanini michezo hii inarudiwa rudiwa hadi inafikia inapofikia ndio kama watu waliokurupushwa watendaji wa serikali ndio wanaanza kufanya kazi.

Twende na tuwe cheche!</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-04-21T20_46_41-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-04-21T20_46_41-07_00</comments>
      <pubDate>Wed, 22 Apr 2009 03:45:28 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-04-22</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-04-22</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1766968.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Salaam,

Suala la DECI ni marudio tu ya michezo mingine kama hiyo ambayo imeshawahi kutokea huko nyuma. Jinsi suala la DECI lilivyoshughulikiwa linaonesha ni wazi hakuna utaratibu mzuri wa kushughulikia michezo hii na inakuwa kama tunaanza moja. Hatuelewi ni kwanini michezo hii inarudiwa rudiwa hadi inafikia inapofikia ndio kama watu waliokurupushwa watendaji wa serikali ndio wanaanza kufanya kazi.

Twende na tuwe cheche!</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Cheche Mitaani: "Hatuna cha kupoteza ila Umaskini wetu" - Mpendazoe</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1750188.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Salaam, Pamoja na habari mwanana za wiki hii ambazo zitagusa fikra zako na maoni ya kuthubutu ambayo huwezi kuyapata mahali pengine popote tunakuletea pia habari zinazoendelea kila wakati. Kwa kupata email ya habari mpya na kupokea kijarida chetu cha "Cheche" kwa kutumia barua pepe tuandikie kwenye anuani ya mhariri iliyoko kwenye kijarida. 

Kuna habari mbili kubwa ambazo zimeanza kusikika saa hii: 

a. Wakuu wa Mikoa wapanguliwa na kubadilishana vituo mbalimbali, hii inaonesha kugusa mikoa ya Tanga, Dar, Iringa, Kilimanjaro, Dodoma n.k Kimsingi siyo habari kubwa inayostahili kwani kilichofanyika ni kubadilishana ofisi tu. Aliyeshindwa eneo moja kumpeleka jingine hakuondoi tatizo ambalo ni yeye! Baadhi ya mabadiliko hayo:

Dr. Ishengoma toka Pwani kwenda Ruvuma
Bi. Hajjat Amina Said toka Iringa kwenda Pwani
Bw. Abdulazziz toka Tanga kwenda Iringa
Bi. Monica Mbega toka Ruvuma kwenda Kilimanjaro (huyu ni yule Mkuu wa Mkoa wa "Kamtumbwi ka Kikwete")
tunaendelea kufuatilia kujua wa Kilimanjaro ameenda wapi na kama Mbeya wamebadilishiwa (maana na siasa zao huko ni vurugu kuwa na Mkuu wa Mkoa ambaye ni mwenyeji wa huko!)

b. Kuna habari kuwa ofisi za DECI zimefungwa au DECI yenyewe imesimamishwa. Utaona katika toleo letu la leo tulitoa wito huo kwani kuiacha kuendelea kufanya kazi katika mazingira ya sasa ni kulea uovu. Kwa hiyo tunasubiri tuone mwitikio utakuwaje kwani tangu makala zetu mbili (iliyotoka kwenye Cheche wiki iliyopita) na iliyotoka leo kwenye Mwanahalisi kuna watu wamechukizwa na wengine wameapa kufanya vitu vibaya endapo DECI itafungwa. Tunatumaini vikosi vyetu vya usalama viko tayari kusimamia haki.

Na hii ni habari ndogo
c. Kwa wakazi wa mikoa ya kanda ya Ziwa, wiki hii wataanza kuona gazeti jipya la habari na maoni na tunarajia kuwa na makala za Mwanakijiji humo pia. Kaeni chonjo. 

Basi na sisi na twende na tuwe "Cheche"!

&lt;b&gt;Jipatie nakala ya cheche: http://www.forums.mwanakijiji.com/showthread.php?t=729&lt;/b&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-04-15T08_02_14-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-04-15T08_02_14-07_00</comments>
      <pubDate>Wed, 15 Apr 2009 14:56:11 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-04-15</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-04-15</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>cheche,kikwete,kilimanjaro,mwanakijiji,tanzania</itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1750188.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Salaam, Pamoja na habari mwanana za wiki hii ambazo zitagusa fikra zako na maoni ya kuthubutu ambayo huwezi kuyapata mahali pengine popote tunakuletea pia habari zinazoendelea kila wakati. Kwa kupata email ya habari mpya na kupokea kijarida chetu cha "Cheche" kwa kutumia barua pepe tuandikie kwenye anuani ya mhariri iliyoko kwenye kijarida. 

Kuna habari mbili kubwa ambazo zimeanza kusikika saa hii: 

a. Wakuu wa Mikoa wapanguliwa na kubadilishana vituo mbalimbali, hii inaonesha kugusa mikoa ya Tanga, Dar, Iringa, Kilimanjaro, Dodoma n.k Kimsingi siyo habari kubwa inayostahili kwani kilichofanyika ni kubadilishana ofisi tu. Aliyeshindwa eneo moja kumpeleka jingine hakuondoi tatizo ambalo ni yeye! Baadhi ya mabadiliko hayo:

Dr. Ishengoma toka Pwani kwenda Ruvuma
Bi. Hajjat Amina Said toka Iringa kwenda Pwani
Bw. Abdulazziz toka Tanga kwenda Iringa
Bi. Monica Mbega toka Ruvuma kwenda Kilimanjaro (huyu ni yule Mkuu wa Mkoa wa "Kamtumbwi ka Kikwete")
tunaendelea kufuatilia kujua wa Kilimanjaro ameenda wapi na kama Mbeya wamebadilishiwa (maana na siasa zao huko ni vurugu kuwa na Mkuu wa Mkoa ambaye ni mwenyeji wa huko!)

b. Kuna habari kuwa ofisi za DECI zimefungwa au DECI yenyewe imesimamishwa. Utaona katika toleo letu la leo tulitoa wito huo kwani kuiacha kuendelea kufanya kazi katika mazingira ya sasa ni kulea uovu. Kwa hiyo tunasubiri tuone mwitikio utakuwaje kwani tangu makala zetu mbili (iliyotoka kwenye Cheche wiki iliyopita) na iliyotoka leo kwenye Mwanahalisi kuna watu wamechukizwa na wengine wameapa kufanya vitu vibaya endapo DECI itafungwa. Tunatumaini vikosi vyetu vya usalama viko tayari kusimamia haki.

Na hii ni habari ndogo
c. Kwa wakazi wa mikoa ya kanda ya Ziwa, wiki hii wataanza kuona gazeti jipya la habari na maoni na tunarajia kuwa na makala za Mwanakijiji humo pia. Kaeni chonjo. 

Basi na sisi na twende na tuwe "Cheche"!

Jipatie nakala ya cheche: http://www.forums.mwanakijiji.com/showthread.php?t=729</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mahojiano na Mhe. Lucas Selelii (Nzega) - "Mmekula hamshibi?"</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1655326.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Salaam,

Tumepata nafasi ya kuzungumza kwa kirefu na Mhe. Lucas Selelii Mbunge wa Nzega, miongoni mwa wabunge wenye msimamo wa kimabadiliko na miongoni mwa vinara wa vita dhidi ya ufisadi ndani ya CCM na katika Taifa. 

Tafadhali hakikisha unasoma sehemu ya ahadi yetu kwani tuna ujumbe muhimu kwa wasomaji wetu na wanachama wetu. Ungana nasi pia kwenye mijadala motomoto kwenye forum yetu ya http://www.mwanakijiji.com ambapo mojawapo ya mijadala ya kina ni suala la Rais wa zamani Mzee Ally Hassan Mwinyi kushambuliwa siku ya jana kwenye maadhimisho ya Siku Kuu ya Maulidi pale ukumbi wa Diamond Jubilee. Tushirikishe mawazo yako. Vivyo ni mahali ambapo kila tunapopata habari unakuwa wa kwanza kabla hujazisoma habari hizo kwenye magazeti, kusikia radioni au kutazama kwenye luninga. 

Karibu! 

Twende na tuwe Cheche! </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-03-10T23_24_30-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-03-10T23_24_30-07_00</comments>
      <pubDate>Wed, 11 Mar 2009 06:21:20 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-03-11</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-03-11</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2009-03-10T23_24_30-07_00.mp3" length="24282279"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1655326.jpg"/>
      <itunes:duration>2023</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Salaam,

Tumepata nafasi ya kuzungumza kwa kirefu na Mhe. Lucas Selelii Mbunge wa Nzega, miongoni mwa wabunge wenye msimamo wa kimabadiliko na miongoni mwa vinara wa vita dhidi ya ufisadi ndani ya CCM na katika Taifa. 

Tafadhali hakikisha unasoma sehemu ya ahadi yetu kwani tuna ujumbe muhimu kwa wasomaji wetu na wanachama wetu. Ungana nasi pia kwenye mijadala motomoto kwenye forum yetu ya http://www.mwanakijiji.com ambapo mojawapo ya mijadala ya kina ni suala la Rais wa zamani Mzee Ally Hassan Mwinyi kushambuliwa siku ya jana kwenye maadhimisho ya Siku Kuu ya Maulidi pale ukumbi wa Diamond Jubilee. Tushirikishe mawazo yako. Vivyo ni mahali ambapo kila tunapopata habari unakuwa wa kwanza kabla hujazisoma habari hizo kwenye magazeti, kusikia radioni au kutazama kwenye luninga. 

Karibu! 

Twende na tuwe Cheche! </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mahojiano na Mhe. William Ngeleja kuhusu Dowans</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1632441.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Mpango wa serikali kutaka kuyanunua majenereta ya kuzalisha umeme ambayo yaliletwa nchini na Kampuni ya Dowans katika mkataba wake na kampuni feki iliyoumbuliwa ya Richmond hautokani na kulazimika kufanya hivyo bali hali halisi ya hali ya nishati nchini ndiyo inalazimisha serikali kupanga kuchukua hatua hiyo. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nishati na Madini Mhe. William Ngeleja alipozungumza na tovuti hii hapo jana kuelezea kile ambacho kinaonekana mgongano wa kimtazamo kati ya Wizara, kamati mbili za Bunge na hisia za makundi ya Watanzania.
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Akizungumza nasi kwa kirefu Mhe. Ngeleja amejenga hoja kuwa suala la ununuzi wa mitambo hiyo halihusiani na masuala ya kifisadi kama wengi wanavyohisi huku yeye mwenyewe akisema kuwa "siyo wote mafisadi". Bw. Ngeleja alitumua muda mrefu kushawishi kuwa mpango huu ni mzuri kwa maslahi ya Taifa na kuna kila sababu ya kuangalia kwa ukaribu na kuubali.
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Ni kwa kiasi gani ameweza au anaweza kushawishi uamuzi ni wawasikilizaji wetu wenyewe. Unaweza kusikiliza mahojiano hayo kwenye tovuti yetu hii au kwa kusikiliza kupitia tovuti yetu ya http:/www.mwanakijiji.podomatic.com ambapo unaweza kuyapata mahojiano hayo kwenye Itunes au Ipod yako. Sikiliza wewe mwenyewe kama Mhe. Ngeleja amejenga hoja ya kukushawishi kukubali serikali inunue mtambo huu au ungependa serikali isiendelee nao.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

 Sisi katika tovuti yetu tutatoa msimamo wetu kwenye kijarida cha Cheche kitakachotoka hapo kesho.  &lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-03-02T22_16_30-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-03-02T22_16_30-08_00</comments>
      <pubDate>Tue, 03 Mar 2009 06:08:48 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-03-03</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-03-03</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2009-03-02T22_16_30-08_00.mp3" length="24405472"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1632441.jpg"/>
      <itunes:duration>2033</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Mpango wa serikali kutaka kuyanunua majenereta ya kuzalisha umeme ambayo yaliletwa nchini na Kampuni ya Dowans katika mkataba wake na kampuni feki iliyoumbuliwa ya Richmond hautokani na kulazimika kufanya hivyo bali hali halisi ya hali ya nishati nchini ndiyo inalazimisha serikali kupanga kuchukua hatua hiyo. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nishati na Madini Mhe. William Ngeleja alipozungumza na tovuti hii hapo jana kuelezea kile ambacho kinaonekana mgongano wa kimtazamo kati ya Wizara, kamati mbili za Bunge na hisia za makundi ya Watanzania.

Akizungumza nasi kwa kirefu Mhe. Ngeleja amejenga hoja kuwa suala la ununuzi wa mitambo hiyo halihusiani na masuala ya kifisadi kama wengi wanavyohisi huku yeye mwenyewe akisema kuwa "siyo wote mafisadi". Bw. Ngeleja alitumua muda mrefu kushawishi kuwa mpango huu ni mzuri kwa maslahi ya Taifa na kuna kila sababu ya kuangalia kwa ukaribu na kuubali.

Ni kwa kiasi gani ameweza au anaweza kushawishi uamuzi ni wawasikilizaji wetu wenyewe. Unaweza kusikiliza mahojiano hayo kwenye tovuti yetu hii au kwa kusikiliza kupitia tovuti yetu ya http:/www.mwanakijiji.podomatic.com ambapo unaweza kuyapata mahojiano hayo kwenye Itunes au Ipod yako. Sikiliza wewe mwenyewe kama Mhe. Ngeleja amejenga hoja ya kukushawishi kukubali serikali inunue mtambo huu au ungependa serikali isiendelee nao.

 Sisi katika tovuti yetu tutatoa msimamo wetu kwenye kijarida cha Cheche kitakachotoka hapo kesho.  </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Miaka mitatu ya mafanikio - Asanteni!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1626774.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;[IMG]http://www.mwanakijiji.com/images/stories/habari/gallery/taarifa2008.jpg[/IMG]

Leo Machi 1, 2009 ni miaka mitatu tangu tuanze kuandika kama wanaharakati na kuanza matangazo yetu yenye kujenga hoja mbalimbali. Ni miaka mitatu ambayo imetimia ndani yetu moto wa mwamko mpya ukizidi kuwaka na kuchochewa kila siku kama tanuru ya chuma!

Katika kuangalia mwaka uliopita na kutazama mwaka huu mpya tumeandaa ripoti yetu hii ya shughuli zetu kama tulivyofanya mwaka jana. Kwa mara ya kwanza tumeenda mbele zaidi kwa kuweka mambo mengi wazi ambayo tunaamini kwa wale mashabiki, wanachama na wanaotuunga mkono kuweza kufahamu. 

Tunatumaini taarifa hii ni kile kidogo tunachofanya katika kuwajibika mbele zenu. 

Kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuwasilisha. 

Hii nayo iwe ushuhuda!

M.M. Mwanakijiji

Bonyeza Hapa: [url]http://www.box.net/shared/fx8bd7oxi7[/url]</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-02-28T21_42_09-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-02-28T21_42_09-08_00</comments>
      <pubDate>Sun, 01 Mar 2009 05:38:56 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-03-01</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-03-01</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1626774.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>[IMG]http://www.mwanakijiji.com/images/stories/habari/gallery/taarifa2008.jpg[/IMG]

Leo Machi 1, 2009 ni miaka mitatu tangu tuanze kuandika kama wanaharakati na kuanza matangazo yetu yenye kujenga hoja mbalimbali. Ni miaka mitatu ambayo imetimia ndani yetu moto wa mwamko mpya ukizidi kuwaka na kuchochewa kila siku kama tanuru ya chuma!

Katika kuangalia mwaka uliopita na kutazama mwaka huu mpya tumeandaa ripoti yetu hii ya shughuli zetu kama tulivyofanya mwaka jana. Kwa mara ya kwanza tumeenda mbele zaidi kwa kuweka mambo mengi wazi ambayo tunaamini kwa wale mashabiki, wanachama na wanaotuunga mkono kuweza kufahamu. 

Tunatumaini taarifa hii ni kile kidogo tunachofanya katika kuwajibika mbele zenu. 

Kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuwasilisha. 

Hii nayo iwe ushuhuda!

M.M. Mwanakijiji

Bonyeza Hapa: [url]http://www.box.net/shared/fx8bd7oxi7[/url]</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Kwanini Masha bado Waziri? </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1603912.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Natamani ningeweza kusema kwa nguvu ninachosema kisema hapa. Natamani ningekuwa na sauti kubwa zaidi kuweza kusikika kuhusu mauaji ya Leticia Bahati siku tatu zilizopita. Ninachojiuliza ni kwanini Masha bado ni Waziri wa Mambo ya Ndani? Lakini kuna maswali makubwa zaidi ya hilo ambayo ninayauliza leo kwenye "Nguvu ya Hoja"! Sikiliza. </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-02-19T22_36_56-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-02-19T22_36_56-08_00</comments>
      <pubDate>Fri, 20 Feb 2009 06:25:37 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-02-20</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-02-20</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2009-02-19T22_36_56-08_00.mp3" length="10618775"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1603912.jpg"/>
      <itunes:duration>884</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Natamani ningeweza kusema kwa nguvu ninachosema kisema hapa. Natamani ningekuwa na sauti kubwa zaidi kuweza kusikika kuhusu mauaji ya Leticia Bahati siku tatu zilizopita. Ninachojiuliza ni kwanini Masha bado ni Waziri wa Mambo ya Ndani? Lakini kuna maswali makubwa zaidi ya hilo ambayo ninayauliza leo kwenye "Nguvu ya Hoja"! Sikiliza. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Chenge na Dr. Idris wanangojea nini? </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1561069.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Salaam enyi wana mapambano ya fikra,
&lt;p&gt;
Toleo letu kama tulivyotaarifa lilichelewa kutoka hadi leo hii. Ndani yake kuna habari nyeti na nzito na pia kuna makala ya kusisimua yenye mikwara kutoka kwa Dr. Wilbroad Slaa. Zaidi ya yote huwezi kukosa maoni ya kishujaa ya Jessica. Pia hoja kuhusu miaka 32 ya CCM inatolewa kwa nguvu zote.
&lt;/p&gt;&lt;/p&gt;
Ni matumaini yetu kwa namna fulani tumeweza na tunaendelea kuweza kushiriki katika mijadala mbalimbali ya kitaifa na tunakukurabisha uungane nasi kwenye baraza la mijadala kwenye http://www.mwanakijiji.com. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Wakati huo huo utaona kuwa tumeongeza sehemu ya kuweka picha mbalimbali kwenye tovuti yetu na unaweza kufungua albam yako ya picha mbalimbali ukizingatia taratibu na kanuni zetu.
&lt;/p&gt;&lt;p&gt; 

Na wewe nenda, ukawe Cheche!

Mhariri

&lt;b&gt;Pata nakala yako ya bure hapa: http://www.mwanakijiji.com &lt;/b&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-02-03T21_57_26-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-02-03T21_57_26-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 04 Feb 2009 05:53:46 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-02-04</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-02-04</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1561069.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Salaam enyi wana mapambano ya fikra,

Toleo letu kama tulivyotaarifa lilichelewa kutoka hadi leo hii. Ndani yake kuna habari nyeti na nzito na pia kuna makala ya kusisimua yenye mikwara kutoka kwa Dr. Wilbroad Slaa. Zaidi ya yote huwezi kukosa maoni ya kishujaa ya Jessica. Pia hoja kuhusu miaka 32 ya CCM inatolewa kwa nguvu zote.

Ni matumaini yetu kwa namna fulani tumeweza na tunaendelea kuweza kushiriki katika mijadala mbalimbali ya kitaifa na tunakukurabisha uungane nasi kwenye baraza la mijadala kwenye http://www.mwanakijiji.com. 

Wakati huo huo utaona kuwa tumeongeza sehemu ya kuweka picha mbalimbali kwenye tovuti yetu na unaweza kufungua albam yako ya picha mbalimbali ukizingatia taratibu na kanuni zetu.
 

Na wewe nenda, ukawe Cheche!

Mhariri

Pata nakala yako ya bure hapa: http://www.mwanakijiji.com </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Pinda aangusha kilio, akwepa kujibu swali! </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1548349.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda ametumia nafasi yake ya kujibu maswali Bungeni kugusa hisia za wabunge kwa kuonesha uchungu uliomgusa kufuatia mauaji ya maalbino ambayo yamekuwa yakiendelea nchini. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
WM Pinda alimwaga machozi hayo baada ya kuulizwa kuhusu kufafanua kauli yake iliyotaka watu watakaoshukiwa au kutuhumiwa mauaji ya albino na wao kuuawa hapo hapo. Alipoulizwa kwanini ahalalishe mauaji hayo na kwanini atoe kauli zinazonesha kukikanzina na utawala wa sheria na Katiba ambao ni msingi wa TAifa letu, Mhe. Pinda alielezea kwa kirefu juu ya safari yake na yale aliyoyaona na kuelezea kuwa mtu yeyote akiyaona aliyoyaona hana sababu tena ya kufuata sheria bali kuchukua hatua mikononi. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Alielezea kauli yake kuwa ni ya kutishia watuhumiwa hao kuwa wajue serikali iko fed up na mauaji ya Albino. Hata hivyo hakuifuta kauli hiyo wala kusema kwamba watuhumiwa wote wafikishwe kwenye vyombo vya sheria au kuwataka wananchi kuhakikisha katika kupambana na mauaji haya wao wenyewe hawajikuti wakivunja sheria za nchi. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Swali ambalo linaonekana kuwagawa wananchi ni je kutokana na mauaji haya ya albino ipo haja ya wananchi kufuata sheria au wakimkuta mtu wanayemdhania kuwa ndiye muhusika wamchukulie hatua mikononi kama inavyofanywa kwa vibaka, wezi wa kuku na watuhumiwa wengine ambao mara nyingi hupata kibano papo kwa hapo? 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;&lt;b&gt;
Msikilize Pinda akikwepa kujibu swali aliloulizwa.&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-29T23_08_20-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-29T23_08_20-08_00</comments>
      <pubDate>Fri, 30 Jan 2009 06:59:31 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-01-30</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-01-30</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2009-01-29T23_08_20-08_00.mp3" length="13557237"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1548349.jpg"/>
      <itunes:duration>1129</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda ametumia nafasi yake ya kujibu maswali Bungeni kugusa hisia za wabunge kwa kuonesha uchungu uliomgusa kufuatia mauaji ya maalbino ambayo yamekuwa yakiendelea nchini. 

WM Pinda alimwaga machozi hayo baada ya kuulizwa kuhusu kufafanua kauli yake iliyotaka watu watakaoshukiwa au kutuhumiwa mauaji ya albino na wao kuuawa hapo hapo. Alipoulizwa kwanini ahalalishe mauaji hayo na kwanini atoe kauli zinazonesha kukikanzina na utawala wa sheria na Katiba ambao ni msingi wa TAifa letu, Mhe. Pinda alielezea kwa kirefu juu ya safari yake na yale aliyoyaona na kuelezea kuwa mtu yeyote akiyaona aliyoyaona hana sababu tena ya kufuata sheria bali kuchukua hatua mikononi. 

Alielezea kauli yake kuwa ni ya kutishia watuhumiwa hao kuwa wajue serikali iko fed up na mauaji ya Albino. Hata hivyo hakuifuta kauli hiyo wala kusema kwamba watuhumiwa wote wafikishwe kwenye vyombo vya sheria au kuwataka wananchi kuhakikisha katika kupambana na mauaji haya wao wenyewe hawajikuti wakivunja sheria za nchi. 

Swali ambalo linaonekana kuwagawa wananchi ni je kutokana na mauaji haya ya albino ipo haja ya wananchi kufuata sheria au wakimkuta mtu wanayemdhania kuwa ndiye muhusika wamchukulie hatua mikononi kama inavyofanywa kwa vibaka, wezi wa kuku na watuhumiwa wengine ambao mara nyingi hupata kibano papo kwa hapo? 

Msikilize Pinda akikwepa kujibu swali aliloulizwa.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mwakyembe aunguruma "Mashtaka yanayoletwa ni mepesi"</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1543372.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Mbunge wa Kyela na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Mhe. Dr. Harrison Mwakyembe amesema kuwa mashtaka mbalimbali yanayoletwa hivi sasa dhidi ya watuhumiwa mbalimbali wa ufisadi bado ni "mepesi" na anatajia kuwa baada ya uchunguzi kufanyika zaidi mashtaka hayo yatabadilishwa na kuwa mazito yakiwemo yale ya sheria ya Uhujumu uchumi. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Hayo na mengine mengi ameyasema katika mahojiano yake na KLHN ya mwanakijiji.com ambayo yalirushwa moja kwa moja siku ya Jumapili. Unaweza kuyasikiliza mahojiano yote tena kwa kutembelea kwa kubonyeza kiungio hapa chini. 
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Wakati huo huo ofisi ya Waziri Mkuu imetoa ufafanuzi juu ya kauli za Waziri Mkuu alizozitoa hivi karibuni huko kanda ya ziwa ambapo ilidaiwa alisema mambo ambayo yanayoonekana kutia shime watu kujichukulia sheria mkononi. Unaweza kusoma majibu hayo na maswali ambayo tuliyatuma kwao mahali pekee kwenye http://www.mwanakijiji.com 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Licha ya majibu hayo msimamo wangu ulioko kwenye kijarida cha "Cheche za Fikra" na mapendekezo ninayoyatoa kwenye gazeti la Tanzania Daima la leo bado yanasimama.
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;&lt;b&gt;
M. M. Mwanakijiji&lt;/b&gt;&lt;/P&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-27T22_20_40-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-27T22_20_40-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 28 Jan 2009 06:03:17 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-01-28</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-01-28</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2009-01-27T22_20_40-08_00.mp3" length="24838687"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1543372.jpg"/>
      <itunes:duration>2069</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Mbunge wa Kyela na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Mhe. Dr. Harrison Mwakyembe amesema kuwa mashtaka mbalimbali yanayoletwa hivi sasa dhidi ya watuhumiwa mbalimbali wa ufisadi bado ni "mepesi" na anatajia kuwa baada ya uchunguzi kufanyika zaidi mashtaka hayo yatabadilishwa na kuwa mazito yakiwemo yale ya sheria ya Uhujumu uchumi. 

Hayo na mengine mengi ameyasema katika mahojiano yake na KLHN ya mwanakijiji.com ambayo yalirushwa moja kwa moja siku ya Jumapili. Unaweza kuyasikiliza mahojiano yote tena kwa kutembelea kwa kubonyeza kiungio hapa chini. 

Wakati huo huo ofisi ya Waziri Mkuu imetoa ufafanuzi juu ya kauli za Waziri Mkuu alizozitoa hivi karibuni huko kanda ya ziwa ambapo ilidaiwa alisema mambo ambayo yanayoonekana kutia shime watu kujichukulia sheria mkononi. Unaweza kusoma majibu hayo na maswali ambayo tuliyatuma kwao mahali pekee kwenye http://www.mwanakijiji.com 

Licha ya majibu hayo msimamo wangu ulioko kwenye kijarida cha "Cheche za Fikra" na mapendekezo ninayoyatoa kwenye gazeti la Tanzania Daima la leo bado yanasimama.

M. M. Mwanakijiji</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Cheche Mitaani January 27, 2009</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1540867.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Unaweza kupata nakala yako ya "Cheche za Fikra" kwa kumuandikia Mhariri wetu kwa anuani ya mhariri@klhnews.com au kwa kujiandikisha kwenye http://www.mwanakijiji.com ambapo utaweza kupata nakala hiyo bure. 

Usikose mahojiano yetu na Dr. Harrison Mwakyembe ambayo yatarushwa siku ya Jumatano. </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-26T23_16_07-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-26T23_16_07-08_00</comments>
      <pubDate>Tue, 27 Jan 2009 07:13:16 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-01-27</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-01-27</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>cheche,fikra,kilimanjaro,kiswahili,mwanakijiji,tanzania,za,zanzibar</itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1540867.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Unaweza kupata nakala yako ya "Cheche za Fikra" kwa kumuandikia Mhariri wetu kwa anuani ya mhariri@klhnews.com au kwa kujiandikisha kwenye http://www.mwanakijiji.com ambapo utaweza kupata nakala hiyo bure. 

Usikose mahojiano yetu na Dr. Harrison Mwakyembe ambayo yatarushwa siku ya Jumatano. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Exclusive: Mahojiano na Dr. Mwakyembe</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1535108.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Kesho siku ya Jumapili kuanzia majira ya saa saba za mchana (EST) sawa na saa tatu za usiku (Saa za Afrika ya Mashariki) tunatarajia kuwa na mahojiano na Dr. Harrison Mwakyembe Mbunge wa Kyela na aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati Teule ya Bunge iliyochunguza kampuni ya Richmond. &lt;/p&gt;&lt;/p&gt;

Ni matokeo ya Kamati hiyo ndiyo yaliyosababisha aliyekuwa Waziri Mkuu Mhe. Edward Lowassa kujiuzulu na hatimaye Baraza la Mawaziri kuvunjika.  Tutatungumza na Dr. Mwakyembe karibu mwaka mmoja kamili tangu matukio yale ya Februari 2008, matukio ambayo yalikuwa ni ya kihistoria. Tutazungumza naye pia mambo mengine ya kitaifa saa na wakati huu ambapo Taifa letu linapitia katika mabadiliko makubwa ya kifikra.
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Utaweza kusikiliza mahojitano yetu kupitia tovuti yako hii "live" kwenye http://www.mwanakijiji.com &lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-24T16_57_16-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-24T16_57_16-08_00</comments>
      <pubDate>Sun, 25 Jan 2009 00:52:13 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-01-25</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-01-25</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1535108.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Kesho siku ya Jumapili kuanzia majira ya saa saba za mchana (EST) sawa na saa tatu za usiku (Saa za Afrika ya Mashariki) tunatarajia kuwa na mahojiano na Dr. Harrison Mwakyembe Mbunge wa Kyela na aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati Teule ya Bunge iliyochunguza kampuni ya Richmond. 

Ni matokeo ya Kamati hiyo ndiyo yaliyosababisha aliyekuwa Waziri Mkuu Mhe. Edward Lowassa kujiuzulu na hatimaye Baraza la Mawaziri kuvunjika.  Tutatungumza na Dr. Mwakyembe karibu mwaka mmoja kamili tangu matukio yale ya Februari 2008, matukio ambayo yalikuwa ni ya kihistoria. Tutazungumza naye pia mambo mengine ya kitaifa saa na wakati huu ambapo Taifa letu linapitia katika mabadiliko makubwa ya kifikra.

Utaweza kusikiliza mahojitano yetu kupitia tovuti yako hii "live" kwenye http://www.mwanakijiji.com </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>ATCL ipewe fedha zaidi bila mabadiliko ya watendaji?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1525712.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Siku chache zijazo Shirika letu la ndege linaloongozwa na Bw. David Mattaka linatarajiwa kupewa mabilioni mengine ya fedha za walipa kodi wa Tanzania ili liweze kurusha ndege zake katika kuitikia wito wa Rais Kikwete kuwa ndege hizo zirudi angani mapema iwezekanavyo.
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Pamoja na matatizo makubwa ya kiutendaji, maono, na usimamizi uliosababisha shirika hilo kuingia katika mikataba kama ya majaribio serikali imeonelea ni bora kutoa fedha zaidi ili ndege za ATCL litanue mbawa zake angani. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Katika toleo letu la Cheche wiki hii tunachambua wazi ni kwanini tunaamini kuwa kuipatia fedha zaidi na kwa haraka bila ya kufanya mabadiliko ya mfumo, muundo, utendaji na maono ya shirika ni sawa kabisa na kujaribu kujaza pipa lililotoboka na kwa haraka kukimbia tena kisimani kuchota maji mengine! 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;&lt;b&gt;
Kama serikali ya CCM inaamini kuwa tatizo la ATCL ni fedha tu na hivyo kuwapa fedha kutatatua matatizo mengine basi tunapendekeza serikali itoe bilioni 400 na kuwapa ATCL chini ya uongozi huu huu na wenye mipango ile ile ya utendaji. Kama Serikali ya CCM inaamini kuwa kwa kufanya hivyo itatatua tatizo la huduma za ATCL basi ifanye hivyo mara moja ili hatimaye matatizo yote ya ATCL yatoweke kama ukungu wa alfajiri na yapotelee mbali kama njozi ya Alinacha!
&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
&lt;b&gt;&lt;i&gt;
Pata nakala ya "Cheche za Fikra" hapa:&lt;/i&gt;&lt;/b&gt;

&lt;url&gt;http://www.forums.mwanakijiji.com/forumdisplay.php?f=62&lt;/url&gt;


M.M. MwanaKJJ</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-20T21_37_57-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-20T21_37_57-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 21 Jan 2009 05:27:05 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-01-21</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-01-21</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1525712.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Siku chache zijazo Shirika letu la ndege linaloongozwa na Bw. David Mattaka linatarajiwa kupewa mabilioni mengine ya fedha za walipa kodi wa Tanzania ili liweze kurusha ndege zake katika kuitikia wito wa Rais Kikwete kuwa ndege hizo zirudi angani mapema iwezekanavyo.

Pamoja na matatizo makubwa ya kiutendaji, maono, na usimamizi uliosababisha shirika hilo kuingia katika mikataba kama ya majaribio serikali imeonelea ni bora kutoa fedha zaidi ili ndege za ATCL litanue mbawa zake angani. 

Katika toleo letu la Cheche wiki hii tunachambua wazi ni kwanini tunaamini kuwa kuipatia fedha zaidi na kwa haraka bila ya kufanya mabadiliko ya mfumo, muundo, utendaji na maono ya shirika ni sawa kabisa na kujaribu kujaza pipa lililotoboka na kwa haraka kukimbia tena kisimani kuchota maji mengine! 

Kama serikali ya CCM inaamini kuwa tatizo la ATCL ni fedha tu na hivyo kuwapa fedha kutatatua matatizo mengine basi tunapendekeza serikali itoe bilioni 400 na kuwapa ATCL chini ya uongozi huu huu na wenye mipango ile ile ya utendaji. Kama Serikali ya CCM inaamini kuwa kwa kufanya hivyo itatatua tatizo la huduma za ATCL basi ifanye hivyo mara moja ili hatimaye matatizo yote ya ATCL yatoweke kama ukungu wa alfajiri na yapotelee mbali kama njozi ya Alinacha!


Pata nakala ya "Cheche za Fikra" hapa:

http://www.forums.mwanakijiji.com/forumdisplay.php?f=62


M.M. MwanaKJJ</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Kuapishwa kwa Barack Obama</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1523798.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Tutawaletea moja kwa moja kuapishwa kwa Barack Obama kuwa Rais wa 44 wa Marekani:

&lt;object width="512" height="296"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.hulu.com/live/embed/kqDzjGqsvKQZKY1CUG_aDSkM_bxqboC5"&gt;&lt;/param&gt;&lt;embed src="http://www.hulu.com/live/embed/kqDzjGqsvKQZKY1CUG_aDSkM_bxqboC5" type="application/x-shockwave-flash" width="512" height="296"&gt;&lt;/embed&gt;&lt;/object&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-20T04_44_23-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-20T04_44_23-08_00</comments>
      <pubDate>Tue, 20 Jan 2009 12:41:04 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-01-20</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-01-20</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>obama,tanzania</itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1523798.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Tutawaletea moja kwa moja kuapishwa kwa Barack Obama kuwa Rais wa 44 wa Marekani:

</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Utetezi wangu wa Sofia Simba</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1513651.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Nikiri ya kwamba nimesikitishwa na kushangazwa sana na baadhi ya ukosoaji wa Mhe. Simba kufuatia mahojiano yangu naye siku chache zilizopita. Kilichonisikitisha zaidi ni jinsi gani baadhi yetu tuna angalia vitu ambavyo si vya msingi na kuviacha vya msingi; kilichonishangaza zaidi ni jinsi gani wengine wamekuwa wa kali kiasi cha wao wenyewe kuwa kile wanachomtuhumu Mhe. Simba.. arrogance! 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Katika mahojiano yangu na watu mbalimbali (kama Dr. Migiro, Dr. Salim, na wengineo) sijawahi kujaribu kumtetea mtu yeyote kwa majibu yake. Hata hivyo katika hili la Mhe. Simba nimeona kilele cha kebehi na kina cha parapanda ya unafiki wa uongo. Wengi wamemhukumu Mhe. Sofia kwa ukali ambao haukustahili na umeenda zaidi ya ukosoaji wa kumjenga mtu!&lt;/p&gt;&lt;p&gt;&lt;b&gt;

Kwa hawa nina ujumbe ufuatao: Sikiliza!&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-15T21_40_42-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-15T21_40_42-08_00</comments>
      <pubDate>Fri, 16 Jan 2009 05:28:00 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-01-16</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-01-16</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2009-01-15T21_40_42-08_00.mp3" length="12198034"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1513651.jpg"/>
      <itunes:duration>1016</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Nikiri ya kwamba nimesikitishwa na kushangazwa sana na baadhi ya ukosoaji wa Mhe. Simba kufuatia mahojiano yangu naye siku chache zilizopita. Kilichonisikitisha zaidi ni jinsi gani baadhi yetu tuna angalia vitu ambavyo si vya msingi na kuviacha vya msingi; kilichonishangaza zaidi ni jinsi gani wengine wamekuwa wa kali kiasi cha wao wenyewe kuwa kile wanachomtuhumu Mhe. Simba.. arrogance! 

Katika mahojiano yangu na watu mbalimbali (kama Dr. Migiro, Dr. Salim, na wengineo) sijawahi kujaribu kumtetea mtu yeyote kwa majibu yake. Hata hivyo katika hili la Mhe. Simba nimeona kilele cha kebehi na kina cha parapanda ya unafiki wa uongo. Wengi wamemhukumu Mhe. Sofia kwa ukali ambao haukustahili na umeenda zaidi ya ukosoaji wa kumjenga mtu!

Kwa hawa nina ujumbe ufuatao: Sikiliza!</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mahojiano na Mhe. Sofia Simba</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1507880.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Mojawapo ya chaguzi ambazo zimekuwa na mvuto wa muda mrefu ndani ya CCM ni ule uliofanyika mwishoni mwa juma lililopita ambapo Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Wanawake wa CCM (T) alipatikana. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Mshindi huyo si mwingine bali Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mhe. Sofia Simba. Safari ya ushindi wake ilikuwa ni safari ambayo wachache wako tayari kuipitia. Ilikuwa ni safari ambayo unapofika mwisho inabidi ujiuliza ulianzaje safari hiyo. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Hivyo KLHN ilipata nafasi ya kuzungumza naye kwa kirefu kuhusu ushindi wake huo na hasa kutupa mwanga kuhusu kile kilichokuwa kinaendelea kati yake na mpinzani wake katika uchaguzi Mhe. Janeti Kahama. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Pamoja na hayo tumemuuliza maswali ya kutaka kujua kama kweli Rais Kikwete ndiye aliyemtaka agombee na kama ni kweli hotuba ya Rais Kikwete kwenye ufunguzi wa uchaguzi ilikuwa ni ya kumpa mkono wa baraka ili achaguliwe. Pamoja na hayo tulitaka kujua zaidi kuhusu UWCCM utakuwaje chini ya uongozi wake? 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Sikiliza mahojiano hayo ambayo yanapatikana kwenye http://www.mwanakijiji.com  Kwa maoni au mawazo tuandikie mhariri@klhnews.com
&lt;/p&gt;&lt;b&gt;
Mhariri&lt;/b&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-13T19_47_49-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-13T19_47_49-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 14 Jan 2009 03:40:38 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-01-14</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-01-14</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2009-01-13T19_47_49-08_00.mp3" length="14476956"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1507880.jpg"/>
      <itunes:duration>1206</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Mojawapo ya chaguzi ambazo zimekuwa na mvuto wa muda mrefu ndani ya CCM ni ule uliofanyika mwishoni mwa juma lililopita ambapo Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Wanawake wa CCM (T) alipatikana. 

Mshindi huyo si mwingine bali Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mhe. Sofia Simba. Safari ya ushindi wake ilikuwa ni safari ambayo wachache wako tayari kuipitia. Ilikuwa ni safari ambayo unapofika mwisho inabidi ujiuliza ulianzaje safari hiyo. 

Hivyo KLHN ilipata nafasi ya kuzungumza naye kwa kirefu kuhusu ushindi wake huo na hasa kutupa mwanga kuhusu kile kilichokuwa kinaendelea kati yake na mpinzani wake katika uchaguzi Mhe. Janeti Kahama. 

Pamoja na hayo tumemuuliza maswali ya kutaka kujua kama kweli Rais Kikwete ndiye aliyemtaka agombee na kama ni kweli hotuba ya Rais Kikwete kwenye ufunguzi wa uchaguzi ilikuwa ni ya kumpa mkono wa baraka ili achaguliwe. Pamoja na hayo tulitaka kujua zaidi kuhusu UWCCM utakuwaje chini ya uongozi wake? 

Sikiliza mahojiano hayo ambayo yanapatikana kwenye http://www.mwanakijiji.com  Kwa maoni au mawazo tuandikie mhariri@klhnews.com

Mhariri</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Sofia Simba asema hakupendelwa UWCCM</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1505247.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Habari zako mpendwa mwanamapambano ya fikra;
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Tumepata nafasi ya kuzungumza kwa kirefu na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora) Mhe. Sofia Simba kufuatia ushindi wake siku ya Ijumaa ambapo alichaguliwa kuwa Mwenyekiti Mpya wa Umoja wa Wanawake wa CCM (T) Ngazi ya Taifa. Hiyo ndiyo habari inayopamba toleo hili na habari nyingine kem kem. Usisite kuendelea kuwakaribisha watu wengi zaidi kujiandikisha kupata nakala ya kijarida chenu hiki bure kabisa kikiwa na habari ambazo huwezi kuzipata kwa uchambuzi na kina cha kijarida hiki. Lengo letu ni kuwa inapokuja suala la habari za Tanzania, sisi tunataka kuweka kiwango!&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Ombi la wiki hii ni kuwa kama uko Tanzania tunakusihi uchape angalau nakala moja na umpatie mtu ambaye hana nafasi ya kupata mtandao!
&lt;/p&gt;
Wiki njema! </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-12T22_51_02-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-12T22_51_02-08_00</comments>
      <pubDate>Tue, 13 Jan 2009 06:47:18 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-01-13</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-01-13</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>kikwete,kilimanjaro,kiswahili,simba,sofia,tanzania</itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1505247.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Habari zako mpendwa mwanamapambano ya fikra;

Tumepata nafasi ya kuzungumza kwa kirefu na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora) Mhe. Sofia Simba kufuatia ushindi wake siku ya Ijumaa ambapo alichaguliwa kuwa Mwenyekiti Mpya wa Umoja wa Wanawake wa CCM (T) Ngazi ya Taifa. Hiyo ndiyo habari inayopamba toleo hili na habari nyingine kem kem. Usisite kuendelea kuwakaribisha watu wengi zaidi kujiandikisha kupata nakala ya kijarida chenu hiki bure kabisa kikiwa na habari ambazo huwezi kuzipata kwa uchambuzi na kina cha kijarida hiki. Lengo letu ni kuwa inapokuja suala la habari za Tanzania, sisi tunataka kuweka kiwango!

Ombi la wiki hii ni kuwa kama uko Tanzania tunakusihi uchape angalau nakala moja na umpatie mtu ambaye hana nafasi ya kupata mtandao!

Wiki njema! </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Exclusive: Dr. Slaa azungumzia yaliyojiri Mbeya Vijijini</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1486709.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Mwishoni mwa mwaka jana nilipata nafasi ya kuzungumza na Bongoradio.com kuhusu masuala mbalimbali ya kufunga mwaka. Ninawaletea sehemu kidogo ya mahojiano hayo pamoja na mahojiano niliyoyafanya na Mhe. Dr. Wilbroad Slaa (Karatu-Chadema) kuhusu kilichosababisha mgombea wao msomi mwanasheria Bw. Sambwee Shitambala kushindwa kufuata taratibu rahisi za kuapa kabla ya kushirki uchaguzi huo mdogo.&lt;/p&gt;&lt;p&gt; Baada ya kusikiliza mahojiano hayo piga kura na upande wa kulia wa tovuti hii na utoe maoni yako ni nini unafikiri kilitokea Mbeya Vijijini. Unaweza kusikiliza mahojiano kwa kuingia kwenye "Podcasts" kwa kubonyeza herufi ya "M - Podcast" upande wa kulia wa ukurasa wa mbele wa tovuti yetu Kisha angalia miaka na tarehe ya onesho.&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;Kwa mawasiliano mengine yote tuandikie mwanakijiji@mwanakijiji.com na kwa kutaka kujiandikisha kijarida cha bure cha "Cheche za Fikra" tuandikie mhariri@klhnews.com &lt;/p&gt;


 M. M.</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-06T19_48_52-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-06T19_48_52-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 07 Jan 2009 03:43:55 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-01-07</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-01-07</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>chadema,dr.,kilimanjaro,kiswahili,slaa,tanzania,zanzibar</itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2009-01-06T19_48_52-08_00.mp3" length="21805244"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1486709.jpg"/>
      <itunes:duration>1817</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Mwishoni mwa mwaka jana nilipata nafasi ya kuzungumza na Bongoradio.com kuhusu masuala mbalimbali ya kufunga mwaka. Ninawaletea sehemu kidogo ya mahojiano hayo pamoja na mahojiano niliyoyafanya na Mhe. Dr. Wilbroad Slaa (Karatu-Chadema) kuhusu kilichosababisha mgombea wao msomi mwanasheria Bw. Sambwee Shitambala kushindwa kufuata taratibu rahisi za kuapa kabla ya kushirki uchaguzi huo mdogo. Baada ya kusikiliza mahojiano hayo piga kura na upande wa kulia wa tovuti hii na utoe maoni yako ni nini unafikiri kilitokea Mbeya Vijijini. Unaweza kusikiliza mahojiano kwa kuingia kwenye "Podcasts" kwa kubonyeza herufi ya "M - Podcast" upande wa kulia wa ukurasa wa mbele wa tovuti yetu Kisha angalia miaka na tarehe ya onesho.
Kwa mawasiliano mengine yote tuandikie mwanakijiji@mwanakijiji.com na kwa kutaka kujiandikisha kijarida cha bure cha "Cheche za Fikra" tuandikie mhariri@klhnews.com 


 M. M.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>TISS yaingilia kati mauaji ya Albino</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1484712.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Salaam za mwaka mpya kwako na kwa vyote vilivyo vyako. Kama tulivyoahidi wiki hii inayokuja tutawatumia barua ya taarifa ya mambo tuliyoyafanya mwaka jana na mipango yetu kwa mwaka mpya. Tarajia barua yetu kabla ya toleo lijalo.
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Katika toleo hili habari kuu ambayo utaisoma kwenye "Cheche za Fikra" peke yake (Huwezi kuipata kwenye gazeti jingine lolote) ni juu ya timu-kazi ya maafisa wa Usalama wa Taifa ambao wametawanyika sehemu mbalimbali nchini kufuatilia mauaji ya Albino ili kuweza hatimaye kuyakomesha mwaka huu. Pia habari nyingine motomoto zimo humu na maoni yenye nguvu ya watu mbalimbali kutoka kwenye mtandao.
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Tafadhali endelea kuwapatia watu wengine kijarida na waalike watuandikie kwenye mhariri@klhnews.com ili waweze kujipatia nakala zao kwa barua pepe. Tunataka ifikapo Juni, tuwe na wasomaji wanaopata kwa email wapatao 1000! (hadi sasa tunao 168) ukiondoa wanaosoma kwenye mitandao mingine au kudownload toka mwanakijiji.com Hilo halitawezekana isipokuwa kwa ushirikiano wako. Tunataka kuhakikisha moto wa fikra za mabadiliko unazidi kukolezwa taratibu kutoka Mtanzania mmoja hadi mwingine kwa kuwasha "cheche za fikra" mioyoni mwao.
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;&lt;b&gt;
Mabadiliko tuyatakayo, ni sisi wenyewe!

Twende na tuwe Cheche!
&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;

Mhariri</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-05T22_57_01-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-05T22_57_01-08_00</comments>
      <pubDate>Tue, 06 Jan 2009 06:54:06 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2009-01-06</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2009-01-06</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1484712.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Salaam za mwaka mpya kwako na kwa vyote vilivyo vyako. Kama tulivyoahidi wiki hii inayokuja tutawatumia barua ya taarifa ya mambo tuliyoyafanya mwaka jana na mipango yetu kwa mwaka mpya. Tarajia barua yetu kabla ya toleo lijalo.

Katika toleo hili habari kuu ambayo utaisoma kwenye "Cheche za Fikra" peke yake (Huwezi kuipata kwenye gazeti jingine lolote) ni juu ya timu-kazi ya maafisa wa Usalama wa Taifa ambao wametawanyika sehemu mbalimbali nchini kufuatilia mauaji ya Albino ili kuweza hatimaye kuyakomesha mwaka huu. Pia habari nyingine motomoto zimo humu na maoni yenye nguvu ya watu mbalimbali kutoka kwenye mtandao.

Tafadhali endelea kuwapatia watu wengine kijarida na waalike watuandikie kwenye mhariri@klhnews.com ili waweze kujipatia nakala zao kwa barua pepe. Tunataka ifikapo Juni, tuwe na wasomaji wanaopata kwa email wapatao 1000! (hadi sasa tunao 168) ukiondoa wanaosoma kwenye mitandao mingine au kudownload toka mwanakijiji.com Hilo halitawezekana isipokuwa kwa ushirikiano wako. Tunataka kuhakikisha moto wa fikra za mabadiliko unazidi kukolezwa taratibu kutoka Mtanzania mmoja hadi mwingine kwa kuwasha "cheche za fikra" mioyoni mwao.

Mabadiliko tuyatakayo, ni sisi wenyewe!

Twende na tuwe Cheche!


Mhariri</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mwaka 2008: Mwaka watawala walipopigishwa magoti!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1472888.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Mwaka wa 2008 ndiyo huo umefikia ukingoni. Na pamoja nao ni matamu na machungu yote, furaha na huzuni, kicheko na kilio! Ni mwaka ambao umeweka historia nyingi katika nchi yetu na nje ya nchi! Hata hivyo ya nchi nyingine tutawaachia wengine, lakini kwetu sisi wenyewe tunaweza kusema pasipo shaka yoyote ile kuwa mwaka huu ulioisha ni mwaka ambapo watawala walipigishwa magoti na watawaliwa! 
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Jinsi gani unaweza kuuliza; sikiliza tafakari yangu ya kufunga mwaka 2008. 
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
Nakutakia wewe na vyote vilivyo vyako heri na fanaka za mwaka mpya! Kwa wale ambao bado wanamwelekeo wa ufisadi na ambao bado hawajajifunza yaliyotokea mwaka huu unaoisha, kwao nawaambia, tukutane 2009! &lt;/p&gt;&lt;p&gt;

M. M. Mwanakijiji
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;&lt;b&gt;
Ungana na wanakijiji wenzako! : http://www.mwanakijiji.com&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;
</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-12-30T23_09_28-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-12-30T23_09_28-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 31 Dec 2008 07:06:28 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-12-31</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-12-31</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>kenya,kilimanjaro,kiswahili,kwaheri,nyerere,swahili,tanzania,uganda,zanzibar</itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-12-30T23_09_28-08_00.mp3" length="24767529"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1472888.jpg"/>
      <itunes:duration>2063</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Mwaka wa 2008 ndiyo huo umefikia ukingoni. Na pamoja nao ni matamu na machungu yote, furaha na huzuni, kicheko na kilio! Ni mwaka ambao umeweka historia nyingi katika nchi yetu na nje ya nchi! Hata hivyo ya nchi nyingine tutawaachia wengine, lakini kwetu sisi wenyewe tunaweza kusema pasipo shaka yoyote ile kuwa mwaka huu ulioisha ni mwaka ambapo watawala walipigishwa magoti na watawaliwa! 

Jinsi gani unaweza kuuliza; sikiliza tafakari yangu ya kufunga mwaka 2008. 

Nakutakia wewe na vyote vilivyo vyako heri na fanaka za mwaka mpya! Kwa wale ambao bado wanamwelekeo wa ufisadi na ambao bado hawajajifunza yaliyotokea mwaka huu unaoisha, kwao nawaambia, tukutane 2009! 

M. M. Mwanakijiji

Ungana na wanakijiji wenzako! : http://www.mwanakijiji.com
</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Tutaka kujitawala au tulibadilisha watawala? </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1426122.jpeg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Tulipodai haki yetu ya kuwa watu huru tulidai ili baadaye kiwe nini? Tulipoona fahari bendera ya Ufalme wa Uingereza ikiteremka taratibu usiku ule wa kukumbukwa na ya Tanganyika huru ikapindishwa tulikuwa tuna njozi ya aina gani ya Taifa? Siku ile wazee wetu walipocheza kwa furaha na kushangilia kuwa "na sisi ni huru" walikuwa wanafurahia uhuru hasa kutoka kitu nani na kwa nini? 

Je yawezekana kile tulichoshangilia wakati ule, miaka 47 iliyopita sicho ambacho tunacho leo hii? Je njozi zile za wazee wetu ndizo zimetimia leo hii? Je watawala tulionao leo ndio viongozi tuliowatamani watutawale baada ya kumuondoa Mwingireza?

Hoja yangu leo ni nyepesi kuwa tunachoshuhudia leo hii kutoka kwa watawala wetu ni dalili za kuonesha tu kuwa kuna mahali tumeenda kombo tangu wakati ule. Kuna kitu tulikiacha, kanuni tuliyoivunja, au njozi tuliyoificha ambayo ndani ya mioyo yetu bado tunaiwazia. 

Karibu katika mfululizo wa maonesho yetu ya "funga mwaka" ambayo tunatumaini yataamsha fikra zao na kuchochea mwamko mpya wa kiraia ndani ya moyo wako na kukufanya nawe usiridhikie na hali iliyopo (status quo) na uwe tayari kushirikia katika mabadiliko tunayoyataka. 

Pamoja na Sisi tunaweza, mmoja mmoja tutabakia kubezwa! 

(Pichani vikosi vya Ulinzi na Usalama vikipita mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Rais Kikwete na kutoa heshima siku ya Uhuru jana - Picha kwa hisani ya Issamichuzi.blogspot.com)</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-12-09T20_19_40-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-12-09T20_19_40-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 10 Dec 2008 04:10:44 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-12-10</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-12-10</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>day,kenya,kikwete,kilimanjaro,nyerere,tanzania,uhuru,zanzibar</itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-12-09T20_19_40-08_00.mp3" length="15199190"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1426122.jpeg"/>
      <itunes:duration>1391</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Tulipodai haki yetu ya kuwa watu huru tulidai ili baadaye kiwe nini? Tulipoona fahari bendera ya Ufalme wa Uingereza ikiteremka taratibu usiku ule wa kukumbukwa na ya Tanganyika huru ikapindishwa tulikuwa tuna njozi ya aina gani ya Taifa? Siku ile wazee wetu walipocheza kwa furaha na kushangilia kuwa "na sisi ni huru" walikuwa wanafurahia uhuru hasa kutoka kitu nani na kwa nini? 

Je yawezekana kile tulichoshangilia wakati ule, miaka 47 iliyopita sicho ambacho tunacho leo hii? Je njozi zile za wazee wetu ndizo zimetimia leo hii? Je watawala tulionao leo ndio viongozi tuliowatamani watutawale baada ya kumuondoa Mwingireza?

Hoja yangu leo ni nyepesi kuwa tunachoshuhudia leo hii kutoka kwa watawala wetu ni dalili za kuonesha tu kuwa kuna mahali tumeenda kombo tangu wakati ule. Kuna kitu tulikiacha, kanuni tuliyoivunja, au njozi tuliyoificha ambayo ndani ya mioyo yetu bado tunaiwazia. 

Karibu katika mfululizo wa maonesho yetu ya "funga mwaka" ambayo tunatumaini yataamsha fikra zao na kuchochea mwamko mpya wa kiraia ndani ya moyo wako na kukufanya nawe usiridhikie na hali iliyopo (status quo) na uwe tayari kushirikia katika mabadiliko tunayoyataka. 

Pamoja na Sisi tunaweza, mmoja mmoja tutabakia kubezwa! 

(Pichani vikosi vya Ulinzi na Usalama vikipita mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Rais Kikwete na kutoa heshima siku ya Uhuru jana - Picha kwa hisani ya Issamichuzi.blogspot.com)</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Julius Mtatiro azungumzia kukamatwa na Polisi kwa Uchochezi!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1377025.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Mara baada ya kupata dhamana katika kesi yake ya uchochezi iliyofunguliwa mjini Dar, Bw. Julius Mtatiro alipata nafasi ya kuzungumza nasi kupitia KLHN kwa kirefu kuhusu sakata zima la kukamatwa kwake na madai mbalimbali yaliyozunguka tukio la kukamatwa na muda aliokuwa mikononi mwa Polisi. Je ni kweli aliteswa, Je alikataliwa mwanasheria, na je anahusika vipi na migomo inayoendelea kiasi cha kufunguliwa mashtaka mazito kama haya?

Sikiliza majibu kupitia MWANAKIJIJI.COM au KLHN (site zote mbili zinafanya kazi).

Kwenye ukurasa wa mbele unaweza kusikiliza Live au kwa kubonyeza alama ya "M" upande wa kulia. 

Pichani kamanda wa Polisi Kanda ya Dar Suleiman Kova</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-11-19T22_21_20-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-11-19T22_21_20-08_00</comments>
      <pubDate>Thu, 20 Nov 2008 06:15:42 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-11-20</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-11-20</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>kikwete,mtatiro,nyerere,swahili,tanzania</itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-11-19T22_21_20-08_00.mp3" length="18744529"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1377025.jpg"/>
      <itunes:duration>1716</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Mara baada ya kupata dhamana katika kesi yake ya uchochezi iliyofunguliwa mjini Dar, Bw. Julius Mtatiro alipata nafasi ya kuzungumza nasi kupitia KLHN kwa kirefu kuhusu sakata zima la kukamatwa kwake na madai mbalimbali yaliyozunguka tukio la kukamatwa na muda aliokuwa mikononi mwa Polisi. Je ni kweli aliteswa, Je alikataliwa mwanasheria, na je anahusika vipi na migomo inayoendelea kiasi cha kufunguliwa mashtaka mazito kama haya?

Sikiliza majibu kupitia MWANAKIJIJI.COM au KLHN (site zote mbili zinafanya kazi).

Kwenye ukurasa wa mbele unaweza kusikiliza Live au kwa kubonyeza alama ya "M" upande wa kulia. 

Pichani kamanda wa Polisi Kanda ya Dar Suleiman Kova</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Remembering Mama Africa Miriam Makeba  - Malaika</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1361194.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;South African singing legend and activist "Mama Africa" Miriam Makeba's great grandchild Lindelane (L) says farewell to her after her coffin arrived at Johannesburg's OR Tambo Airport from Italy, where she died age 76. South African President Kgalema Motlanthe on Wednesday declared a period of national mourning for music legend and anti-apartheid activist Makeba.
(AFP/DFA/Jacoline Prinsloo)

Join us at: http://www.mwanakijiji.com</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-11-13T20_53_00-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-11-13T20_53_00-08_00</comments>
      <pubDate>Fri, 14 Nov 2008 04:50:19 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-11-14</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-11-14</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>africa,makeba,malaika,miriam,south</itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-11-13T20_53_00-08_00.mp3" length="3407098"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1361194.jpg"/>
      <itunes:duration>283</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>South African singing legend and activist "Mama Africa" Miriam Makeba's great grandchild Lindelane (L) says farewell to her after her coffin arrived at Johannesburg's OR Tambo Airport from Italy, where she died age 76. South African President Kgalema Motlanthe on Wednesday declared a period of national mourning for music legend and anti-apartheid activist Makeba.
(AFP/DFA/Jacoline Prinsloo)

Join us at: http://www.mwanakijiji.com</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Taarifa ya Maendeleo ya msiba wa Ndali Nzaro</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1296164.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Kwa heshima kubwa na Taadhima wana Familia ya Nzaro waliopo Detroit Michigan wakiongozwa na Da Mboja Nzaro na Mwamvita Nzaro pamoja na rafiki wa kike wa Marehemu Saada Ali, wanapenda kutoa shukrani za dhati kabisa kwa niaba ya familia nzima ya Nzaro iliyoko nyumbani Tanzania pamoja na jamaa na ndugu wote kwa mwitikio mkubwa kutoka sehemu mbalimbali wa rambirambi, maneno ya faraja na misaada ya hali na mali iliyotolewa mpaka sasa.&lt;/p&gt;&lt;P&gt;

Tunashukuru vyombo mbalimbali vya habari na hasa mitandao mbalimbali ya kiintaneti ya Watanzania ambayo imefungua kurasa zao na kubeba habari hizi za msiba ambao kwa familia yeyote ile ni mzigo wa majonzi usiobebeka. Kwa wanaokumbuka ni wiki moja tu familia yetu imetoka kumzika Baba mkubwa mzee Hamisi Mfinanga (baba yake na kina Ayubu Mfinanga) ndani ya wiki moja tunampoteza kaka yetu. Tumegubikwa na wingu la huzuni.&lt;/p&gt;&lt;P&gt;

Michango na misaada yenu imewezesha kwa kiasi kikubwa kufanikisha shughuli za awali za kuundaa mwili kwa heshima za mwisho na hatimaye kwa safari ya nyumbani. Lengo letu la michango ili kuweza kumsafirisha Marehemu Ndali pamoja na mwanawe lilikuwa ni kufikia kiasi cha dola 16000. Hadi sasa tumefikia karibu asilimia 75 ya lengo hilo kutokana na ukarimu wenu, ukarimu ambao hatuwezi kamwe kuusahau na kwa hakika ni faraja ya wazazi nyumbani na bila ya shaka maneno peke yake hayawezi kutosha kuelezea shukrani yetu.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Tumekusudia kumsafirisha marehemu Ndalima Nzaro siku ya Jumanne na tunawaomba wale ambao wamekusudia kutusaidia kiasi chochote kile kuweza kufanya hivyo hasa leo ili tufikie lengo hilo. Mwisho wa shughuli yote hii tutawapa taarifa ya michango yote na mchakato wa matumizi yake kwa ujumla. Tafadhali tuma mchango wowote kwa kutumia akaunti hii maalum:
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;&lt;b&gt;
Bank Of America: (Mwishoni mwa juma iliyokuwa Benki ya Lasalle imemaliza kuungana na BoA)

A/C Name: Philemon Mnzava/Mboja Nzaro
Routing No. 072000805
A/C No. 5407722411
Bank Location: Michigan

Swift Code: &lt;u&gt;BOFAUS3N&lt;/u&gt;&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Tukiwa wenye mioyo ya shukrani, na macho yaliyolowa machozi tunatoa shukrani zetu za dhati kwa mwitikio wenu kwa saa hii ya majonzi ya familia yetu. Kama tunachakumwomba Mungu, ni awabariki na kuwalinda ninyi na familia zenu na aukumbuke wema wenu kwetu ili siku moja awalipe mara nyingi zaidi. Kwa habari za mazishi nyumbani Tanzania tutawapa taarifa ndani ya siku hizi mbili.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Katika msiba, Detroit;
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;&lt;i&gt;&lt;b&gt;
Mboja Nzaro
Mwamvita Nzaro
Mohd Nzaro
Saada Ali
&lt;/b&gt;&lt;/i&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Kwa niaba ya Familia ya Nzaro.&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-10-19T21_40_08-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-10-19T21_40_08-07_00</comments>
      <pubDate>Mon, 20 Oct 2008 04:25:09 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-10-20</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-10-20</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-10-19T21_40_08-07_00.mp3" length="14020231"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1296164.jpg"/>
      <itunes:duration>1282</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Kwa heshima kubwa na Taadhima wana Familia ya Nzaro waliopo Detroit Michigan wakiongozwa na Da Mboja Nzaro na Mwamvita Nzaro pamoja na rafiki wa kike wa Marehemu Saada Ali, wanapenda kutoa shukrani za dhati kabisa kwa niaba ya familia nzima ya Nzaro iliyoko nyumbani Tanzania pamoja na jamaa na ndugu wote kwa mwitikio mkubwa kutoka sehemu mbalimbali wa rambirambi, maneno ya faraja na misaada ya hali na mali iliyotolewa mpaka sasa.

Tunashukuru vyombo mbalimbali vya habari na hasa mitandao mbalimbali ya kiintaneti ya Watanzania ambayo imefungua kurasa zao na kubeba habari hizi za msiba ambao kwa familia yeyote ile ni mzigo wa majonzi usiobebeka. Kwa wanaokumbuka ni wiki moja tu familia yetu imetoka kumzika Baba mkubwa mzee Hamisi Mfinanga (baba yake na kina Ayubu Mfinanga) ndani ya wiki moja tunampoteza kaka yetu. Tumegubikwa na wingu la huzuni.

Michango na misaada yenu imewezesha kwa kiasi kikubwa kufanikisha shughuli za awali za kuundaa mwili kwa heshima za mwisho na hatimaye kwa safari ya nyumbani. Lengo letu la michango ili kuweza kumsafirisha Marehemu Ndali pamoja na mwanawe lilikuwa ni kufikia kiasi cha dola 16000. Hadi sasa tumefikia karibu asilimia 75 ya lengo hilo kutokana na ukarimu wenu, ukarimu ambao hatuwezi kamwe kuusahau na kwa hakika ni faraja ya wazazi nyumbani na bila ya shaka maneno peke yake hayawezi kutosha kuelezea shukrani yetu.

Tumekusudia kumsafirisha marehemu Ndalima Nzaro siku ya Jumanne na tunawaomba wale ambao wamekusudia kutusaidia kiasi chochote kile kuweza kufanya hivyo hasa leo ili tufikie lengo hilo. Mwisho wa shughuli yote hii tutawapa taarifa ya michango yote na mchakato wa matumizi yake kwa ujumla. Tafadhali tuma mchango wowote kwa kutumia akaunti hii maalum:

Bank Of America: (Mwishoni mwa juma iliyokuwa Benki ya Lasalle imemaliza kuungana na BoA)

A/C Name: Philemon Mnzava/Mboja Nzaro
Routing No. 072000805
A/C No. 5407722411
Bank Location: Michigan

Swift Code: BOFAUS3N

Tukiwa wenye mioyo ya shukrani, na macho yaliyolowa machozi tunatoa shukrani zetu za dhati kwa mwitikio wenu kwa saa hii ya majonzi ya familia yetu. Kama tunachakumwomba Mungu, ni awabariki na kuwalinda ninyi na familia zenu na aukumbuke wema wenu kwetu ili siku moja awalipe mara nyingi zaidi. Kwa habari za mazishi nyumbani Tanzania tutawapa taarifa ndani ya siku hizi mbili.

Katika msiba, Detroit;

Mboja Nzaro
Mwamvita Nzaro
Mohd Nzaro
Saada Ali

Kwa niaba ya Familia ya Nzaro.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Serikali yaipiga mkwara Mwanahalisi, Kubenea ajibu hoja!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1272427.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Kwenye ukurasa wa mbele kuna habari iliyozua kasheshe Tanzania. Habari hii ilitoka kwenye gazeti la Mwanahalisi la Jumatano la kupokelewa kwake kumekuwa na hisia za aina yake kwani siku ya pili yake Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo iliandika barua kwa Mwanahalisi kutaka maelezo juu ya habari hiyo ambayo kwa maoni ya serikali inaonekana ni kiuchochezi na kiuchonganishi. Watu wa serikali wanaona kuwa habari hiyo ilikuwa na lengo la kumchonganisha Rais na viongozi wenzake wa CCM hasa Mhe. Edward Lowassa na Bw. Mhe. Rostam Aziz.&lt;/p&gt;

 &lt;p&gt;Lakini zaidi ni mstari ambao unaonekana kumgusa Rais Kikwete na mwanawe Ridhiwani ambaye anaonekana kuhusika katika hicho ambacho gazeti la Mwanahalisi limekiandika na unaweza kusoma kwenye ukurasa wa mbele wa http://www.klhnews.com Lakini hapa Bw. Kubenea anaelezea upande wake na tutajitahidi kupata upande wa serikali mwishoni mwa juma hili. Soma habari yenyewe, kisha amua kama kweli inaweza kusababisha gazeti kufungiwa, kama ni ya kichochezi kiasi cha kutishia Urais wa Kikwete na kama inasema jambo lolote ambalo halijawahi kusemwa na watu wengine (sisi Cheche liligusia suala la Lowassa kuwa Zuma wa Tanzania karibu mwezi sasa umepita).&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;&lt;b&gt;Je gazeti hilo limevuka mpaka wa uhuru wa maoni na linastahili adhabu ya serikali&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-10-09T22_54_00-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-10-09T22_54_00-07_00</comments>
      <pubDate>Fri, 10 Oct 2008 05:47:03 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-10-10</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-10-10</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>blogs,kenya,kikwete,kilimanjaro,kubenea,mwanahalisi,swahili,tanzania,uganda,zanzibar</itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-10-09T22_54_00-07_00.mp3" length="23445002"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1272427.jpg"/>
      <itunes:duration>2147</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Kwenye ukurasa wa mbele kuna habari iliyozua kasheshe Tanzania. Habari hii ilitoka kwenye gazeti la Mwanahalisi la Jumatano la kupokelewa kwake kumekuwa na hisia za aina yake kwani siku ya pili yake Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo iliandika barua kwa Mwanahalisi kutaka maelezo juu ya habari hiyo ambayo kwa maoni ya serikali inaonekana ni kiuchochezi na kiuchonganishi. Watu wa serikali wanaona kuwa habari hiyo ilikuwa na lengo la kumchonganisha Rais na viongozi wenzake wa CCM hasa Mhe. Edward Lowassa na Bw. Mhe. Rostam Aziz.

 Lakini zaidi ni mstari ambao unaonekana kumgusa Rais Kikwete na mwanawe Ridhiwani ambaye anaonekana kuhusika katika hicho ambacho gazeti la Mwanahalisi limekiandika na unaweza kusoma kwenye ukurasa wa mbele wa http://www.klhnews.com Lakini hapa Bw. Kubenea anaelezea upande wake na tutajitahidi kupata upande wa serikali mwishoni mwa juma hili. Soma habari yenyewe, kisha amua kama kweli inaweza kusababisha gazeti kufungiwa, kama ni ya kichochezi kiasi cha kutishia Urais wa Kikwete na kama inasema jambo lolote ambalo halijawahi kusemwa na watu wengine (sisi Cheche liligusia suala la Lowassa kuwa Zuma wa Tanzania karibu mwezi sasa umepita).

Je gazeti hilo limevuka mpaka wa uhuru wa maoni na linastahili adhabu ya serikali</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Juu ya vifo vya Watoto 20 Tabora, siku ya Idi Mosi. </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1256505.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Bila ya shaka utakuwa umeshasikia na kugushwa na habari za vifo vya watoto wapatao ishirini waliokuwa siku ya Idi huko Tabora kwenye ukumbi wa Muziki kutokana na kukosa hewa na kukanyagana wakitafuta kutoka ukumbini humo. Hii ni sehemu ya kwanza ya maoni yangu, sehemu ya pili itakuwa kwenye gazeti siku ya Jumapili. Ni lazima tukasirike.</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-10-02T22_39_17-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-10-02T22_39_17-07_00</comments>
      <pubDate>Fri, 03 Oct 2008 05:14:11 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-10-03</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-10-03</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>kikwete,kilimanjaro,tabora,tanzania</itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-10-02T22_39_17-07_00.mp3" length="13421818"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1256505.jpg"/>
      <itunes:duration>1228</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Bila ya shaka utakuwa umeshasikia na kugushwa na habari za vifo vya watoto wapatao ishirini waliokuwa siku ya Idi huko Tabora kwenye ukumbi wa Muziki kutokana na kukosa hewa na kukanyagana wakitafuta kutoka ukumbini humo. Hii ni sehemu ya kwanza ya maoni yangu, sehemu ya pili itakuwa kwenye gazeti siku ya Jumapili. Ni lazima tukasirike.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Eid Mubarak Waislamu wote!</title>
      <description>&lt;object width="425" height="344"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/_2tEefKzmCI&amp;hl=en&amp;fs=1"&gt;&lt;/param&gt;&lt;param name="allowFullScreen" value="true"&gt;&lt;/param&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/v/_2tEefKzmCI&amp;hl=en&amp;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" width="425" height="344"&gt;&lt;/embed&gt;&lt;/object&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-09-30T21_32_09-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-09-30T21_32_09-07_00</comments>
      <pubDate>Wed, 01 Oct 2008 04:07:07 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-10-01</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-10-01</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary></itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>CCM Kuna nini Jamani? </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1222525.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Kuna kitu kinaendelea ndani ya CCM kitu ambacho kinaashiria kuwa hali si shwari ndani ya chama hicho na zaidi ya yote kuonesha dalili ya ufa ambao hatima yake ni kumeguka kwa chama hicho kama siyo kusambaratika kabisa.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Kwa wengine hilo laweza kuonekana kuwa ndoto lakini kwa mtu yeyote anayeaangalia kwa ukaribu dalili za mmeguko huo upo wazi hasa baada ukweli uonekanao kuwa Rais Kikwete kama Mwenyekiti wa Chama hicho na Katibu wake Mkuu Bw. Yusuph Makamba wako katika hali ngumu ya kutoa uongozi unaohitajika kwa chama hicho kikongwe zaidi cha siasa nchini.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Hebu tuzingatie:

&lt;/p&gt;&lt;P&gt;

a. Tuhuma kuwa Chama hicho kilichota na kutumia fedha kutoka Benki Kuu kwa kutumia makampuni hewa na pia kupata mshiko wa nguvu toka kwenye akaunti ya EPA kupitia kampuni ya Kagoda Agriculture. Hadi leo hii Chama cha Mapinduzi hakijaweka wazi mahesabu yake na vyanzo vyake vya fedha za uchaguzi mkuu, mapato na matumizi. 

&lt;/p&gt;&lt;p&gt;Habari za uhakika kabisa zinasema kuwa hata katika uchunguzi wa suala la EPA chini ya Mwanasheria Mkuu Bw. Johnson Mwanyika viongozi wakuu wa CCM wa wakati wa uchaguzi hawakupata nafasi ya kuhojiwa. Miongoni mwa viongozi hao ni pamoja na aliyekuwa Mwenyekiti Bw. Benjamin Mkapa na Katibu wake Bw. Phillip Mangula. Aliyekuwa Mweka Hazina Bi. Salome Mbatia alifariki katika ajali ya gari mkoani Iringa na dereva wa gari lililomgonga kutokomea kusikojulikana.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Majibizano ya viongozi wa CCM kuanzia Bungeni hadi kwenye magazeti. Kuanzia kuanguka kwa aliyekuwa Waziri Mkuu Bw. Edward Lowassa na washirika wake kumekuwa na hisia ya kisasi ndani ya chama hicho, hisia ambazo zinaonekana wazi katika malumbano ambayo wengi hatukutaria kuyaona kwenye chama chenye mfumo uliokomaa wa nidhamu. Majibizano na madongo katika ya wahusika mbalimbali kama Rostam Aziz, Edward Lowassa, Andrew Chenge, Samuel Sitta, Harrison Mwakyembe, Anna Kilango, Anna Makinda, Kingunge Ngombare Mwiru ni ishara wazi kuwa ndani ya chama hicho kuna mgongano mkubwa wa mawazo kiasi cha kufikia watu kuwekana kwenye kambi za "wapingao ufisadi" na "wasiokemea ufisadi".&lt;/p&gt;&lt;P&gt;

&lt;p&gt;Mgongano wa Umoja wa vijana kati ya viongozi mbalimbali wa Umoja huo kufikia kurushiana madongo hadharani kwa visingizio mbalimbali. Sakata la Nape, Nchimbi, na Jengo la Umoja wa Vijana ni dalili ya wazi kuwa hakuna hali ya utulivu ndani ya Jumuiya hiyo. &lt;/p&gt;&lt;P&gt;

Mgongano kati ya wagombea wa Uenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake ya CCM Bi. Sophia Simba na Bi. Janeti Kahama. Malumbano yao nao yaliyofikia kwenye vyombo vya habari na hadi kurushiana maneno makali na madai ya kufanyiana vurugu ni dalili kuwa ndani ya Jumuiya hiyo nako kuna mambo mazito ambayo yanaashiria siyo tu tofauti za kimawazo lakini kuna machungu ya kisasi na hasira ya  kitu ambacho wao wenyewe wanakijua.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Vitisho dhidi ya viongozi mbalimbali ndani ya CCM; kama tutakavyoona kwenye toleo lijali la "Cheche" kumekuwa na vitisho dhidi ya viongozi mbalimbali wa CCM hasa wale wanaoonekana kukemea na kuupiga vita ufisadi. Vitisho hivyo ambavyo siku za hivi karibuni vimeongezeka na kulazimisha watu kama Spika Sitta kuvizungumzia hadharani ni dalili tu kuwa yawezekana kuna mazito zaidi ndani ya CCM ambayo yanakielekeza Chama hicho kwenye kugongana na hatimaye kumeguka.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Vyovyote vile ilivyo, ndani ya CCM kuna matatizo na ni matatizo ambayo utatuzi wake inaonekana hauko kwenye Kamati Kuu, wala Halmashauri Kuu. Utatuzi wa mgongano wa ndani ya CCM unahitaja chombo cha juu kabisa cha uongozi ndani ya chama hicho nacho ni Mkutano Mkuu. Naamini kama CCM inataka kusalimika huko mbeleni na kurudisha heshima yake kwa wananchi ipo haja ya haraka na ya lazima kuitisha Mkutano Mkuu Maalum wa CCM wakati fulani Mwakani ili kuangalia hali na mwelekeo wa Chama hicho.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Vinginevyo CCM inajiandaa kuwa mojawapo ya herufi za kitabu ambazo zimefutika na kusahauliwa. Je, Kikwete atakiongoza Chama kama hicho ambacho yeye hana nguvu, uwezo au uthubutu wa kukisimamia?&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;&lt;B&gt;Hakikisha unajipatia nakala yako ya "Cheche za Fikra" toleo la tano hapa: http://www.klhnews.com/kijarida-cha-cheche/view-category.php&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-09-17T21_26_26-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-09-17T21_26_26-07_00</comments>
      <pubDate>Thu, 18 Sep 2008 04:07:39 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-09-18</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-09-18</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1222525.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Kuna kitu kinaendelea ndani ya CCM kitu ambacho kinaashiria kuwa hali si shwari ndani ya chama hicho na zaidi ya yote kuonesha dalili ya ufa ambao hatima yake ni kumeguka kwa chama hicho kama siyo kusambaratika kabisa.

Kwa wengine hilo laweza kuonekana kuwa ndoto lakini kwa mtu yeyote anayeaangalia kwa ukaribu dalili za mmeguko huo upo wazi hasa baada ukweli uonekanao kuwa Rais Kikwete kama Mwenyekiti wa Chama hicho na Katibu wake Mkuu Bw. Yusuph Makamba wako katika hali ngumu ya kutoa uongozi unaohitajika kwa chama hicho kikongwe zaidi cha siasa nchini.

Hebu tuzingatie:



a. Tuhuma kuwa Chama hicho kilichota na kutumia fedha kutoka Benki Kuu kwa kutumia makampuni hewa na pia kupata mshiko wa nguvu toka kwenye akaunti ya EPA kupitia kampuni ya Kagoda Agriculture. Hadi leo hii Chama cha Mapinduzi hakijaweka wazi mahesabu yake na vyanzo vyake vya fedha za uchaguzi mkuu, mapato na matumizi. 

Habari za uhakika kabisa zinasema kuwa hata katika uchunguzi wa suala la EPA chini ya Mwanasheria Mkuu Bw. Johnson Mwanyika viongozi wakuu wa CCM wa wakati wa uchaguzi hawakupata nafasi ya kuhojiwa. Miongoni mwa viongozi hao ni pamoja na aliyekuwa Mwenyekiti Bw. Benjamin Mkapa na Katibu wake Bw. Phillip Mangula. Aliyekuwa Mweka Hazina Bi. Salome Mbatia alifariki katika ajali ya gari mkoani Iringa na dereva wa gari lililomgonga kutokomea kusikojulikana.

Majibizano ya viongozi wa CCM kuanzia Bungeni hadi kwenye magazeti. Kuanzia kuanguka kwa aliyekuwa Waziri Mkuu Bw. Edward Lowassa na washirika wake kumekuwa na hisia ya kisasi ndani ya chama hicho, hisia ambazo zinaonekana wazi katika malumbano ambayo wengi hatukutaria kuyaona kwenye chama chenye mfumo uliokomaa wa nidhamu. Majibizano na madongo katika ya wahusika mbalimbali kama Rostam Aziz, Edward Lowassa, Andrew Chenge, Samuel Sitta, Harrison Mwakyembe, Anna Kilango, Anna Makinda, Kingunge Ngombare Mwiru ni ishara wazi kuwa ndani ya chama hicho kuna mgongano mkubwa wa mawazo kiasi cha kufikia watu kuwekana kwenye kambi za "wapingao ufisadi" na "wasiokemea ufisadi".

Mgongano wa Umoja wa vijana kati ya viongozi mbalimbali wa Umoja huo kufikia kurushiana madongo hadharani kwa visingizio mbalimbali. Sakata la Nape, Nchimbi, na Jengo la Umoja wa Vijana ni dalili ya wazi kuwa hakuna hali ya utulivu ndani ya Jumuiya hiyo. 

Mgongano kati ya wagombea wa Uenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake ya CCM Bi. Sophia Simba na Bi. Janeti Kahama. Malumbano yao nao yaliyofikia kwenye vyombo vya habari na hadi kurushiana maneno makali na madai ya kufanyiana vurugu ni dalili kuwa ndani ya Jumuiya hiyo nako kuna mambo mazito ambayo yanaashiria siyo tu tofauti za kimawazo lakini kuna machungu ya kisasi na hasira ya  kitu ambacho wao wenyewe wanakijua.

Vitisho dhidi ya viongozi mbalimbali ndani ya CCM; kama tutakavyoona kwenye toleo lijali la "Cheche" kumekuwa na vitisho dhidi ya viongozi mbalimbali wa CCM hasa wale wanaoonekana kukemea na kuupiga vita ufisadi. Vitisho hivyo ambavyo siku za hivi karibuni vimeongezeka na kulazimisha watu kama Spika Sitta kuvizungumzia hadharani ni dalili tu kuwa yawezekana kuna mazito zaidi ndani ya CCM ambayo yanakielekeza Chama hicho kwenye kugongana na hatimaye kumeguka.

Vyovyote vile ilivyo, ndani ya CCM kuna matatizo na ni matatizo ambayo utatuzi wake inaonekana hauko kwenye Kamati Kuu, wala Halmashauri Kuu. Utatuzi wa mgongano wa ndani ya CCM unahitaja chombo cha juu kabisa cha uongozi ndani ya chama hicho nacho ni Mkutano Mkuu. Naamini kama CCM inataka kusalimika huko mbeleni na kurudisha heshima yake kwa wananchi ipo haja ya haraka na ya lazima kuitisha Mkutano Mkuu Maalum wa CCM wakati fulani Mwakani ili kuangalia hali na mwelekeo wa Chama hicho.

Vinginevyo CCM inajiandaa kuwa mojawapo ya herufi za kitabu ambazo zimefutika na kusahauliwa. Je, Kikwete atakiongoza Chama kama hicho ambacho yeye hana nguvu, uwezo au uthubutu wa kukisimamia?

Hakikisha unajipatia nakala yako ya "Cheche za Fikra" toleo la tano hapa: http://www.klhnews.com/kijarida-cha-c</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mahojiano na Nape Nnauye kuhusu kusimamishwa Uanachama</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1203612.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Nape Nnauye ni mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM). Nafasi hiyo inagombewa na vijana wengine 27. Miezi michache iliyopoita Bw. Nnauye alianzisha mjadala mkubwa pale alipodai hadharani kuwa taratibu za kuingia mkataba wa Jengo la Umoja wa vijana zilikiukwa na mkataba wenye haukuwa na faida kwa umoja wa vijana. Akasema hadharani kuwa aliyewahi kuwa Waziri Mkuu Bw. Edward Lowassa pamoja na Uongozi wa Umoja huo akiwemo Mwenyekiti wa sasa Bw. Nchimbi wanahusika. 
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
 Ikumbukwe kuwa Bw. Emmanuel Nchimbi alimshinda Bw. Nnauye mara ya mwisho katika uchaguzi wa nafasi hiyo miaka michache iliyopita. Siku ya Jumapili Bw. Nchimbi akiwa ndiye Mwenyekiti wa Umoja huo alisimamia mchakato wa mkutano ambao ulimvua Bw. Nnauye Uanachama wa Jumuiya hiyo na kupendekeza hatua zaidi zichukuliwe dhidi yake na vyombo vya juu vya CCM. Tulipata nafasi ya kuzungumza naye baada ya kupata taarifa za kusimamishwa kwake uanachama wa UVCCM na hasa kutaka kujua hatima yake ya kisiasa ndani ya CCM. &lt;/p&gt; </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-09-08T21_58_59-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-09-08T21_58_59-07_00</comments>
      <pubDate>Tue, 09 Sep 2008 04:54:10 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-09-09</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-09-09</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>ccm,kikwete,nnape,nnauye,tanzania,zanzibar</itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-09-08T21_58_59-07_00.mp3" length="15278184"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1203612.jpg"/>
      <itunes:duration>1398</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Nape Nnauye ni mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM). Nafasi hiyo inagombewa na vijana wengine 27. Miezi michache iliyopoita Bw. Nnauye alianzisha mjadala mkubwa pale alipodai hadharani kuwa taratibu za kuingia mkataba wa Jengo la Umoja wa vijana zilikiukwa na mkataba wenye haukuwa na faida kwa umoja wa vijana. Akasema hadharani kuwa aliyewahi kuwa Waziri Mkuu Bw. Edward Lowassa pamoja na Uongozi wa Umoja huo akiwemo Mwenyekiti wa sasa Bw. Nchimbi wanahusika. 

 Ikumbukwe kuwa Bw. Emmanuel Nchimbi alimshinda Bw. Nnauye mara ya mwisho katika uchaguzi wa nafasi hiyo miaka michache iliyopita. Siku ya Jumapili Bw. Nchimbi akiwa ndiye Mwenyekiti wa Umoja huo alisimamia mchakato wa mkutano ambao ulimvua Bw. Nnauye Uanachama wa Jumuiya hiyo na kupendekeza hatua zaidi zichukuliwe dhidi yake na vyombo vya juu vya CCM. Tulipata nafasi ya kuzungumza naye baada ya kupata taarifa za kusimamishwa kwake uanachama wa UVCCM na hasa kutaka kujua hatima yake ya kisiasa ndani ya CCM.  </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Kikwete na Membe wanatuburuza IOC</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1191463.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Serikali imeshachukua msimamo kuwa liwalo na liwe Tanzania itajiunga kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiislamu (OIC). Mengi yamesemwa na hoja nyingi zimetolewa kwanini iwe au isiwe hivyo. 

Na mimi leo natoa mchango wangu kwenye gazeti la Tanzania Daima. Hoja zangu hata hivyo ni tofauti na ulizowahi kuzisikia.

Unaweza kuniandikia kutoa maoni yako: mwanakijiji@klhnews.com

Asante. </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-09-02T20_46_05-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-09-02T20_46_05-07_00</comments>
      <pubDate>Wed, 03 Sep 2008 03:43:32 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-09-03</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-09-03</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1191463.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Serikali imeshachukua msimamo kuwa liwalo na liwe Tanzania itajiunga kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiislamu (OIC). Mengi yamesemwa na hoja nyingi zimetolewa kwanini iwe au isiwe hivyo. 

Na mimi leo natoa mchango wangu kwenye gazeti la Tanzania Daima. Hoja zangu hata hivyo ni tofauti na ulizowahi kuzisikia.

Unaweza kuniandikia kutoa maoni yako: mwanakijiji@klhnews.com

Asante. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Cheche mitaani Septemba 2</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1189879.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Toleo jipya la "Cheche za Fikra" liko mitaani. Jipatie nakala yako kupitia http://www.klhnews.com </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-09-02T04_51_40-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-09-02T04_51_40-07_00</comments>
      <pubDate>Tue, 02 Sep 2008 11:46:16 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-09-02</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-09-02</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="image/jpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-09-02T04_51_40-07_00.jpg" length="174690"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1189879.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Toleo jipya la "Cheche za Fikra" liko mitaani. Jipatie nakala yako kupitia http://www.klhnews.com </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>KLHN Exclusive: Dr. Slaa ajibu hotuba ya Rais Kikwete</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1170694.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Mara baada ya hotuba ya Rais kwa Wabunge siku ya tarehe 21 August 2008 KLHN Ilipata nafasi ya kuzungumza na Katibu Mkuu wa Chama Chade Demokrasia na Maendeleo Mhe. Dr. Wilbroad Slaa (Karatu) kuhusu mtazamo wake kuhusu hotuba hiyo. Ifuatayo basi ni sehemu kidogo ya hotuba ya Rais na mahojiano kamili na Dr. Slaa.</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-08-22T09_14_23-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-08-22T09_14_23-07_00</comments>
      <pubDate>Fri, 22 Aug 2008 16:10:18 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-08-22</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-08-22</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>dr.,kikwete,slaa,tanzania,zanzibar</itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1170694.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Mara baada ya hotuba ya Rais kwa Wabunge siku ya tarehe 21 August 2008 KLHN Ilipata nafasi ya kuzungumza na Katibu Mkuu wa Chama Chade Demokrasia na Maendeleo Mhe. Dr. Wilbroad Slaa (Karatu) kuhusu mtazamo wake kuhusu hotuba hiyo. Ifuatayo basi ni sehemu kidogo ya hotuba ya Rais na mahojiano kamili na Dr. Slaa.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Kikwete apokea Ripoti ya EPA</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718634.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Ifuatayo ni Taarifa iliyotolewa jana na Ikulu: 
&lt;b&gt;&lt;p&gt;
Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo (Jumatatu, Agosti 18, 2008) amepokea rasmi ripoti ya uchunguzi wa upotevu wa fedha za Akaunti ya Malipo ya Nje (External Payments Accounts - EPA) katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam.
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Rais Kikwete amekabidhiwa ripoti hiyo na Mwenyekiti wa Timu iliyokuwa inafanya uchunguzi huo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Johnson P.M. Mwanyika.
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Mwanasheria Mkuu huyo alifuatana na wajumbe wengine wa Timu hiyo, Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali Saidi Mwema na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, Edward Hosea.
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Rais amewashukuru na kuwapongeza wajumbe wa Timu hiyo kwa kazi kubwa na ngumu lakini nzuri.
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Rais, baada ya kuwa ameisoma na kuitafakari ripoti hiyo, ataitolea maamuzi katika siku chache zijazo, na taarifa rasmi ya maamuzi hayo ya Rais itatolewa kwa wananchi.
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Timu hiyo iliundwa na Rais Kikwete Januari 9, mwaka huu, 2008 katika tangazo rasmi lililotolewa kwa waandishi wa habari na Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo.&lt;/p&gt;&lt;/b&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-08-18T21_31_37-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-08-18T21_31_37-07_00</comments>
      <pubDate>Tue, 19 Aug 2008 04:01:15 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-08-19</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-08-19</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718634.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Ifuatayo ni Taarifa iliyotolewa jana na Ikulu: 

Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo (Jumatatu, Agosti 18, 2008) amepokea rasmi ripoti ya uchunguzi wa upotevu wa fedha za Akaunti ya Malipo ya Nje (External Payments Accounts - EPA) katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam.

Rais Kikwete amekabidhiwa ripoti hiyo na Mwenyekiti wa Timu iliyokuwa inafanya uchunguzi huo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Johnson P.M. Mwanyika.

Mwanasheria Mkuu huyo alifuatana na wajumbe wengine wa Timu hiyo, Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali Saidi Mwema na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, Edward Hosea.

Rais amewashukuru na kuwapongeza wajumbe wa Timu hiyo kwa kazi kubwa na ngumu lakini nzuri.

Rais, baada ya kuwa ameisoma na kuitafakari ripoti hiyo, ataitolea maamuzi katika siku chache zijazo, na taarifa rasmi ya maamuzi hayo ya Rais itatolewa kwa wananchi.

Timu hiyo iliundwa na Rais Kikwete Januari 9, mwaka huu, 2008 katika tangazo rasmi lililotolewa kwa waandishi wa habari na Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Kwanini Kikwete anaangalia tu mjadala wa "Nchi si Nchi"</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718579.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Kuna uasi unaendelea nchini kati ya viongozi wa juu na Rais Kikwete inaonekana hajali kiti. Mjadala wa Zanzibar "nchi si nchi" kimsingi ni mjadala ambao unaelekea kufanya uasi dhidi ya Jamhuri ya Muungano. Wanachogombea watu wa Zanzibar siyo nafasi yao ndani ya Muungano bali nje yake.

Kwa wiki kadhaa mjadala huu umeendelea kupamba moto na imefikia mahali mawaziri wa Muungano na Wabunge wa Muungano wanalumbana hadharani na Mawaziri wa Zanziba na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi.

Kwa kadiri Kikwete anaendelea kuvumilia uasi huu ndivyo Zanzibar wanavyozidi kuthubutu na tusipoangalia watavuka ule mstari wa uhaini watakapoamua kutangaza Uhuru kutoka Tanzania Bara. Ikitokea hivyo, Rais Kikwete itampasa aondolewe madarakani kwa taratibu za Kibunge kwa kuruhusu na kulea uasi huu ambao utavunja jamhuri yetu. 

Mjadala wetu ulitakiwa uishe pale waliposoma Ibara ya Kwanza ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano inayosema wazi kuwa "Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi moja". Haya ya Zanzibar ni "nchi au siyo nchi" hayana hata nafasi. Kutanganza nchi ndani ya nchi nyingine ni kujitangazia uhuru. Nitachambua zaidi mada hii kwenye toleo la Jumatano la Tanzania Daima, inshallah, kwani hatuwezi kuendelea kuacha mjadala wa kijinga (and I really mean it) uendelee kana kwamba Tanzania haina wasomi wa Katiba au viongozi wenye kulinda Muungano. Yes I said it, huu ni mjadala wa wajinga! </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-08-17T22_01_25-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-08-17T22_01_25-07_00</comments>
      <pubDate>Mon, 18 Aug 2008 04:53:55 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-08-18</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-08-18</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>kikwete,tanzania,zanzibar</itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718579.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Kuna uasi unaendelea nchini kati ya viongozi wa juu na Rais Kikwete inaonekana hajali kiti. Mjadala wa Zanzibar "nchi si nchi" kimsingi ni mjadala ambao unaelekea kufanya uasi dhidi ya Jamhuri ya Muungano. Wanachogombea watu wa Zanzibar siyo nafasi yao ndani ya Muungano bali nje yake.

Kwa wiki kadhaa mjadala huu umeendelea kupamba moto na imefikia mahali mawaziri wa Muungano na Wabunge wa Muungano wanalumbana hadharani na Mawaziri wa Zanziba na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi.

Kwa kadiri Kikwete anaendelea kuvumilia uasi huu ndivyo Zanzibar wanavyozidi kuthubutu na tusipoangalia watavuka ule mstari wa uhaini watakapoamua kutangaza Uhuru kutoka Tanzania Bara. Ikitokea hivyo, Rais Kikwete itampasa aondolewe madarakani kwa taratibu za Kibunge kwa kuruhusu na kulea uasi huu ambao utavunja jamhuri yetu. 

Mjadala wetu ulitakiwa uishe pale waliposoma Ibara ya Kwanza ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano inayosema wazi kuwa "Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi moja". Haya ya Zanzibar ni "nchi au siyo nchi" hayana hata nafasi. Kutanganza nchi ndani ya nchi nyingine ni kujitangazia uhuru. Nitachambua zaidi mada hii kwenye toleo la Jumatano la Tanzania Daima, inshallah, kwani hatuwezi kuendelea kuacha mjadala wa kijinga (and I really mean it) uendelee kana kwamba Tanzania haina wasomi wa Katiba au viongozi wenye kulinda Muungano. Yes I said it, huu ni mjadala wa wajinga! </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Chacha Wangwe Afariki Dunia</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1127775.jpeg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Mbunge wa Tarime Mhe. Zakayo Chacha Wangwe amefariki dunia jana jioni karibu saa tatu hivi za usiku kwa ajali ya gari akitokea Dodoma kuelekea Jijini Dar ambako alikuwa ahudhirie msiba wa Mzee Bhoke Munanka. 
                
                KLH News imefanya onesho maalumu la taarifa ya msiba huu na unaweza kusikiliza kwenye klhnews.com 
                
                Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi. Amina.</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-07-28T21_28_54-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-07-28T21_28_54-07_00</comments>
      <pubDate>Tue, 29 Jul 2008 04:23:16 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-07-30</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-07-29</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1127775.jpeg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Mbunge wa Tarime Mhe. Zakayo Chacha Wangwe amefariki dunia jana jioni karibu saa tatu hivi za usiku kwa ajali ya gari akitokea Dodoma kuelekea Jijini Dar ambako alikuwa ahudhirie msiba wa Mzee Bhoke Munanka. 
                
                KLH News imefanya onesho maalumu la taarifa ya msiba huu na unaweza kusikiliza kwenye klhnews.com 
                
                Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi. Amina.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>"Tutaendelea kuwafunua mafisadi" --- Kubenea</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1115209.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;KLHN imepata nafasi ya kuzungumza na Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Bw. Robert Manumba kuhusu suala la kuvamiwa waandishi wa wahabari. Bw. Manumba hata hivyo amekataa kuhojiwa akidai kuwa tayari wameshatoa statement yao na maelezo yao ndivyo yalivyo hadi sasa. Nilipojaribu kumbana zaidi Bw. Manumba alikata simu.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
                
                Hata hivyo tumepata nafasi ya kuzungumza na Mhariri Mtendaji wa Hali Halisi Bw. Saed Kubenea ambaye ameelezea kwa kirefu kilichojiri na pia kutoboa mambo mengine makubwa zaidi ambayo kujulikana kwake lazima kuwatetemeshe karibu viongozi wote waliowahi kushika nyadhifa za juu nchini.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
                
                Mojawapo ya madai makubwa aliyoyatoa ni kuwa akaunti ya Meremeta ambayo inadaiwa kuwa ilikuwa imefilisiwa na baadaye kuundwa Tangold, akaunti hiyo hadi hivi sasa bado inafanya kazi.
                &lt;/p&gt;&lt;P&gt;
                Zaidi ya yote Bw. Kubenea amedai kuwa yeye mwenyewe na watu wako tayari kwenda gerezani lakini kamwe hawatota siri ya sources zao za habari na ya kuwa computer na vifaa vilichochukuliwa havina kitu chochote cha kucompromise that sacred trust kati ya vyombo vya habari na vyanzo vya habari.
                &lt;/p&gt;&lt;p&gt;
                "Hatuogopi, wala hatutishwi, aluta continua" alisema Bw. Kubenea kwa kujiamini.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
                
                Mahojiano ya KLHN na Manumba na Bw. Kubenea yatarushwa siku ya Jumapili kupitia KLH News na ikiwezekana kupitia Bongo Radio kuanzia saa nane kamili mchana (saa tatu za usiku za Tanzania) katika matangazo yetu ya moja kwa moja ambapo pia tutapokea simu zenu na maoni yenu kuhusu. Kwa wale wanaotaka kutumia skype kuwasiliana nasi kwa simu watumie contact mwanakijiji007.&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-07-19T21_49_25-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-07-19T21_49_25-07_00</comments>
      <pubDate>Sun, 20 Jul 2008 04:45:43 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-07-23</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-07-20</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>kubenea,mwanahalisi</itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-07-19T21_49_25-07_00.mp3" length="38509714"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1115209.jpg"/>
      <itunes:duration>3527</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>KLHN imepata nafasi ya kuzungumza na Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Bw. Robert Manumba kuhusu suala la kuvamiwa waandishi wa wahabari. Bw. Manumba hata hivyo amekataa kuhojiwa akidai kuwa tayari wameshatoa statement yao na maelezo yao ndivyo yalivyo hadi sasa. Nilipojaribu kumbana zaidi Bw. Manumba alikata simu.
                
                Hata hivyo tumepata nafasi ya kuzungumza na Mhariri Mtendaji wa Hali Halisi Bw. Saed Kubenea ambaye ameelezea kwa kirefu kilichojiri na pia kutoboa mambo mengine makubwa zaidi ambayo kujulikana kwake lazima kuwatetemeshe karibu viongozi wote waliowahi kushika nyadhifa za juu nchini.
                
                Mojawapo ya madai makubwa aliyoyatoa ni kuwa akaunti ya Meremeta ambayo inadaiwa kuwa ilikuwa imefilisiwa na baadaye kuundwa Tangold, akaunti hiyo hadi hivi sasa bado inafanya kazi.
                
                Zaidi ya yote Bw. Kubenea amedai kuwa yeye mwenyewe na watu wako tayari kwenda gerezani lakini kamwe hawatota siri ya sources zao za habari na ya kuwa computer na vifaa vilichochukuliwa havina kitu chochote cha kucompromise that sacred trust kati ya vyombo vya habari na vyanzo vya habari.
                
                "Hatuogopi, wala hatutishwi, aluta continua" alisema Bw. Kubenea kwa kujiamini.
                
                Mahojiano ya KLHN na Manumba na Bw. Kubenea yatarushwa siku ya Jumapili kupitia KLH News na ikiwezekana kupitia Bongo Radio kuanzia saa nane kamili mchana (saa tatu za usiku za Tanzania) katika matangazo yetu ya moja kwa moja ambapo pia tutapokea simu zenu na maoni yenu kuhusu. Kwa wale wanaotaka kutumia skype kuwasiliana nasi kwa simu watumie contact mwanakijiji007.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Rostam na Mtikila na kisa cha Milioni 3!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1097745.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Mbunge wa Igunga Mhe. Rostam Aziz mapema leo amezungumza na waandishi wa habari akijibu kitendo cha Kanisa la KKKT kumkana na kutaka kumrudishia mchango alioutoa kusaidia Kwaya ya "Amkeni" ya Usharika wa Kinondoni. Katika majibu yake Bw. Rostam (CCM) ametoa madai makubwa pia likiwemo la kudai kuwa yeye amekuwa akisaidia makanisa na misikiti likiwemo Kanisa la Mchg. Christopher Mtikila.&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
                
                Bw. Rostam amedai kuwa miezi mitatu iliyopita Mchg. Mtikila alienda kwake na kumuomba mchango wa kusaidia Kanisa lake ambapo yeye Rostam alitoa Shs. Milioni tatu ambazo Mtikila alizopokea na "hakuziona za ufisadi".&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
                
                Unaweza kusikiliza mazungumzo ya Mhe. Rostam na waandishi wa habari kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Kempsinki Jijini Dar. Mojawapo ambayo Bw. Rostam anadai ni kuwa kuna kundi la watu "wakubwa na mashuhuri" ambalo limekuwa likijitahidi kuchafua majina na hadhi ya watu. Anasema kundi hilo limeunda "ushirika usio mtakatifu". &lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Baadaye nilipata nafasi ya kuzungumza na Mchg. Christopher Mtikila ambaye baadaye leo anatarajiwa kutoa statement yake jijini Dar, lakini kama kawaida KLHNews inaenda mbele kabla ya chombo kingine cha habari kukuletea siyo habari bali wenye habari wenyewe. &lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Shukrani za dhati ziwaendee wale wote ambao walifanikisha kutufanya tushiriki katika mazungumzo ya Rostam na waandishi ingawa hatukualikwa na hivyo sisi wenyewe kuweza kurekodi mazungumzo yake. (-5 GMT).  &lt;/p&gt;

Sikiliza kisa hiki cha Mchungaji na Mwanasiasa kupitia http://www.klhnews.com </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-07-13T06_13_32-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-07-13T06_13_32-07_00</comments>
      <pubDate>Sun, 13 Jul 2008 13:11:05 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-07-14</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-07-13</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>aziz,mbunge,mtikila,rostam</itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1097745.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Mbunge wa Igunga Mhe. Rostam Aziz mapema leo amezungumza na waandishi wa habari akijibu kitendo cha Kanisa la KKKT kumkana na kutaka kumrudishia mchango alioutoa kusaidia Kwaya ya "Amkeni" ya Usharika wa Kinondoni. Katika majibu yake Bw. Rostam (CCM) ametoa madai makubwa pia likiwemo la kudai kuwa yeye amekuwa akisaidia makanisa na misikiti likiwemo Kanisa la Mchg. Christopher Mtikila.
                
                Bw. Rostam amedai kuwa miezi mitatu iliyopita Mchg. Mtikila alienda kwake na kumuomba mchango wa kusaidia Kanisa lake ambapo yeye Rostam alitoa Shs. Milioni tatu ambazo Mtikila alizopokea na "hakuziona za ufisadi".
                
                Unaweza kusikiliza mazungumzo ya Mhe. Rostam na waandishi wa habari kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Kempsinki Jijini Dar. Mojawapo ambayo Bw. Rostam anadai ni kuwa kuna kundi la watu "wakubwa na mashuhuri" ambalo limekuwa likijitahidi kuchafua majina na hadhi ya watu. Anasema kundi hilo limeunda "ushirika usio mtakatifu". 
Baadaye nilipata nafasi ya kuzungumza na Mchg. Christopher Mtikila ambaye baadaye leo anatarajiwa kutoa statement yake jijini Dar, lakini kama kawaida KLHNews inaenda mbele kabla ya chombo kingine cha habari kukuletea siyo habari bali wenye habari wenyewe. 

Shukrani za dhati ziwaendee wale wote ambao walifanikisha kutufanya tushiriki katika mazungumzo ya Rostam na waandishi ingawa hatukualikwa na hivyo sisi wenyewe kuweza kurekodi mazungumzo yake. (-5 GMT).  

Sikiliza kisa hiki cha Mchungaji na Mwanasiasa kupitia http://www.klhnews.com </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Uhuru wa Taasisi zetu, kiini cha Utawala wa sheria!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1093106.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;B&gt;UCHUNGUZI WA BUNGE MFANO MBAYA WA UCHUNGUZI HURU&lt;/B&gt;
&lt;P&gt;
Jeshi la Polisi limetoa ripoti yake kuhusu uchunguzi wa kile kilichodaiwa vitendo vya kishirikina Bungeni karibu mwezi mmoja uliopita ambapo ilidaiwa mmojawapo wa wabunge alionekana akimwaga unga kwenye viti mbalimbali. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma amesema kuwa (kati ya niliyoyanasa kwa haraka) &lt;/P&gt;&lt;p&gt;

a. Hakuna Kamera iliyozimwa kuanzia mwaka 2006 (don't ask me walisema zilikuwa zimezimwa)
b. Kwenye mkanda uliodaiwa hakuna mtu aliyeonekana akifanya jambo lolote lile (mkanda mtupu?)
c. Vumbi lililoenda kuchunguzwa halikuwa na sumu yoyote inayotambulika. 
d. Hakuna kitendo cha kishirikina.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
Hayo yamesemwa na Kamanda huyo wa Mkoa Bw. Omar Mganga alipotoa taarifa kwa Kamati ya Uongozi ya Bunge kuhusu uchunguzi huo uliofuatia matukio ya wiki chache zilizopita. Vyanzo vingine vinasema kuwa kati ya mambo yaligundulika katika uchunguzi huo ni pamoja:
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
a. Kamera mbili kuwa mbovu kwa muda mrefu bila ya kufanyiwa matengenezo  na nyuingine mbili zilikuwa zimegeuzwa (tilted) ingawa sijui zilikuwa zinaangalia upande gani!
b. Na mojawapo ya madai ya kushtua kabisa ambayo wenu mtiifu ameyasikia ni kuwa baadhi ya watu wanaolipwa kuzikodolea macho hizo kamera walikuwa wameuchapa!&lt;/P&gt;
&lt;P&gt;
Uchunguzi huu unatulazimisha kujiuliza kama kweli bila ya kuwa na mfumo mzuri unaohakikisha uhuru wa taasisi zetu tunaweza kweli kuendesha uchunguzi wowote ambao matokeo yake yakashawishi uaminifu?&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Baada ya uchunguzi wa TAKUKURU kuhusu Richmond ambao baadaye ulioneshwa na Kamati Teule ya Bunge kuwa ulikuwa umelenga kupotosha jamii, hatuna budi kujiuliza tena kama vyombo vyetu viko huru na vinaweza kuaminika.&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Endapo hatuwezi kuwaamini hawa ambao wamepewa jukumu hilo la kufanya uchunguzi na kutoa taarifa au kufanyia kazi taarifa basi inakuwa vigumu sana kuhakikisha kunakuwepo na utawala wa sheria. Mfano mzuri ni suala la uchunguzi wa EPA ambao ulitakiwa kukamilika ndani ya miezi sita. Hadi sasa hakuna anayejua kinaendelea nini baada ya Mwanyika na timu yake kushindwa kutekeleza kazi hiyo ndani ya miezi sita licha ya ushahidi wote kukusanywa na kupelekwa mbele yao?&lt;/P&gt;&lt;P&gt;
Kwa mtindo huu sidhani kama tutafika, tutaendelea kuzugwa, kuzugana, na kuzugika. Sikiliza matangazo haya "live" kupitia KLHnews.com&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-07-10T21_27_18-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-07-10T21_27_18-07_00</comments>
      <pubDate>Fri, 11 Jul 2008 04:15:26 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-07-11</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-07-11</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>bunge,kabwe,kikwete,sitta,tanzania,zitto</itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-07-10T21_27_18-07_00.mp3" length="12533760"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1093106.jpg"/>
      <itunes:duration>1147</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>UCHUNGUZI WA BUNGE MFANO MBAYA WA UCHUNGUZI HURU

Jeshi la Polisi limetoa ripoti yake kuhusu uchunguzi wa kile kilichodaiwa vitendo vya kishirikina Bungeni karibu mwezi mmoja uliopita ambapo ilidaiwa mmojawapo wa wabunge alionekana akimwaga unga kwenye viti mbalimbali. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma amesema kuwa (kati ya niliyoyanasa kwa haraka) 

a. Hakuna Kamera iliyozimwa kuanzia mwaka 2006 (don't ask me walisema zilikuwa zimezimwa)
b. Kwenye mkanda uliodaiwa hakuna mtu aliyeonekana akifanya jambo lolote lile (mkanda mtupu?)
c. Vumbi lililoenda kuchunguzwa halikuwa na sumu yoyote inayotambulika. 
d. Hakuna kitendo cha kishirikina.

Hayo yamesemwa na Kamanda huyo wa Mkoa Bw. Omar Mganga alipotoa taarifa kwa Kamati ya Uongozi ya Bunge kuhusu uchunguzi huo uliofuatia matukio ya wiki chache zilizopita. Vyanzo vingine vinasema kuwa kati ya mambo yaligundulika katika uchunguzi huo ni pamoja:

a. Kamera mbili kuwa mbovu kwa muda mrefu bila ya kufanyiwa matengenezo  na nyuingine mbili zilikuwa zimegeuzwa (tilted) ingawa sijui zilikuwa zinaangalia upande gani!
b. Na mojawapo ya madai ya kushtua kabisa ambayo wenu mtiifu ameyasikia ni kuwa baadhi ya watu wanaolipwa kuzikodolea macho hizo kamera walikuwa wameuchapa!

Uchunguzi huu unatulazimisha kujiuliza kama kweli bila ya kuwa na mfumo mzuri unaohakikisha uhuru wa taasisi zetu tunaweza kweli kuendesha uchunguzi wowote ambao matokeo yake yakashawishi uaminifu?
Baada ya uchunguzi wa TAKUKURU kuhusu Richmond ambao baadaye ulioneshwa na Kamati Teule ya Bunge kuwa ulikuwa umelenga kupotosha jamii, hatuna budi kujiuliza tena kama vyombo vyetu viko huru na vinaweza kuaminika.
Endapo hatuwezi kuwaamini hawa ambao wamepewa jukumu hilo la kufanya uchunguzi na kutoa taarifa au kufanyia kazi taarifa basi inakuwa vigumu sana kuhakikisha kunakuwepo na utawala wa sheria. Mfano mzuri ni suala la uchunguzi wa EPA ambao ulitakiwa kukamilika ndani ya miezi sita. Hadi sasa hakuna anayejua kinaendelea nini baada ya Mwanyika na timu yake kushindwa kutekeleza kazi hiyo ndani ya miezi sita licha ya ushahidi wote kukusanywa na kupelekwa mbele yao?
Kwa mtindo huu sidhani kama tutafika, tutaendelea kuzugwa, kuzugana, na kuzugika. Sikiliza matangazo haya "live" kupitia KLHnews.com</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Cheyo: "Serikali isilisingizie JWTZ kuhusu Meremeta"</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1070617.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Mwishoni mwa juma nilipata nafasi ya kuzungumza na Mbunge wa Bariadi Mashariki Mhe. John Momose Cheyo (UDP) kuhusu suala la kampuni ya Meremeta ambayo imepokea mabilioni ya shilingi toka Benki Kuu na hakuna mtu aliye tayari kusema wazi kampuni hiyo ni ya nani.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Mahojiano yangu na Bw. Cheyo yalikuja masaa machacha baada ya majibizano yake na Waziri Mkuu Mhe. Pinda Bungeni siku ya Ijumaa ambapo alikataa kuyakubali maelezo ya Waziri Mkuu kuwa kampuni ya Meremeta na nyingine yenye kuhusiana nazo inahusiana na masuala ya Usalama wa Taifa. &lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Wakati huo huo tunarajia kurusha mahojiano yangu na Mhe. Chacha Wangwe na Bw. Tundu Lissu kufuata sakata ambalo limeanza kuibuka ndani ya Chadema. Mahojiano hayo yalifanyika masaa machache baada ya Kamati Kuu ya Chadema kumsimamisha Umakamu Mwenyekiti Bw. Wangwe kwa kukiuka maadili ya uongozi. &lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-29T20_52_25-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-29T20_52_25-07_00</comments>
      <pubDate>Mon, 30 Jun 2008 03:33:19 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-30</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-06-30</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-06-29T20_52_25-07_00.mp3" length="23044702"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1070617.jpg"/>
      <itunes:duration>2111</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Mwishoni mwa juma nilipata nafasi ya kuzungumza na Mbunge wa Bariadi Mashariki Mhe. John Momose Cheyo (UDP) kuhusu suala la kampuni ya Meremeta ambayo imepokea mabilioni ya shilingi toka Benki Kuu na hakuna mtu aliye tayari kusema wazi kampuni hiyo ni ya nani.

Mahojiano yangu na Bw. Cheyo yalikuja masaa machacha baada ya majibizano yake na Waziri Mkuu Mhe. Pinda Bungeni siku ya Ijumaa ambapo alikataa kuyakubali maelezo ya Waziri Mkuu kuwa kampuni ya Meremeta na nyingine yenye kuhusiana nazo inahusiana na masuala ya Usalama wa Taifa. 

Wakati huo huo tunarajia kurusha mahojiano yangu na Mhe. Chacha Wangwe na Bw. Tundu Lissu kufuata sakata ambalo limeanza kuibuka ndani ya Chadema. Mahojiano hayo yalifanyika masaa machache baada ya Kamati Kuu ya Chadema kumsimamisha Umakamu Mwenyekiti Bw. Wangwe kwa kukiuka maadili ya uongozi. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Sakata la Richmond kufumuka tena?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1062781.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Habari ambazo zinapita pita kama vile maji ya mfereji zinasema kuwa Mhe. Karamagi anatarajiwa kuwa mkutano na waandishi wa habari hapo kesho, atakachozungumzia hakijajulikana bado na kama kinahusiana na masuala ya TICTS au masuala ya Richmond. Wakati huo huo Bunge linatarajiwa kutoa maamuzi kuhusu ombi la Dr. Mwakyembe kuhusu kanuni za Bunge.&lt;/p&gt;&lt;P&gt;

Hii Alhamisi pia inatarajiwa Spika Sitta atatoa uamuzi wa kama kuruhusu Bunge lipige kura ya kutengua kanuni yake inayozuia kujadiliwa kwa azimio la Bunge au jambo lililotolewa uamuzi  na Bunge hadi miezi 12 ipite. Endapo Bunge litaridhia kutengua kanuni hiyo, basi mjadala wa ripoti ya Kamati Teule ya kuhusu Kampuni ya Richmond utaanza tena Bungeni.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Mojawapo ya waliouhisika na sakata hilo wamesema kuwa wanaisubiri kwa hamu siku ambayo wataweza kujitetea mbele ya Bunge. "Hatukupata nafasi ya kujitetea, hivyo kanuni ikitenguliwa tutaweza na sisi kuelezea upande wetu" alisema mmoja wa Mawaziri ambao walijiuzulu kufuatia kashfa ya Richmond.&lt;/p&gt;&lt;P&gt;

Hata hivyo, Dr. Mwakyembe na kamati yake wamesema wako tayari kusimama na kufafanua jambo lolote ambalo halikueleweka au kutoa hisia zao kuhusu yale ambayo yamekuwa yakifanyika. Kwa mujibu wa mjumbe mmojawapo wa Kamati ile Teule, kitendo cha NEC na sasa Wabunge kujaribu kwa nguvu zote kuwasafisha na kuwatetea viongozi waliojiuzulu kina lengo moja tu nalo ni kuvuruga jitihada nzima za kurudisha fedha zilizolipwa Richmond na kuondoa mjadala kuhusu Dowans na kuufanya uwe unahusu Kamati Teule.
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
"Angalia ni nani aliyesimama kutetea kurudishwa kwa malipo ya mamilioni ya shilingi kila siku kwa Dowans? Angalia ni mjumbe gani wa NEC ambaye amesema anataka malipo yasimamishwe; hakuna!" alisema mjumbe huyo kwa jazba akizungumza na KLHN.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

"Hili jambo halijafikia mwisho" alisema Mbunge mwingine ambaye anamwelekeo wa kuiunga mkono kamati teule.
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Muda wote kesho KLHN itakuwa inakuletea taarifa kwa kadiri zinavyopatikana kufuatia maendeleo yoyote kuhusu masuala yote mawili ambayo yanahusiana.&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-25T21_02_55-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-25T21_02_55-07_00</comments>
      <pubDate>Thu, 26 Jun 2008 03:58:38 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-26</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-06-26</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1062781.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Habari ambazo zinapita pita kama vile maji ya mfereji zinasema kuwa Mhe. Karamagi anatarajiwa kuwa mkutano na waandishi wa habari hapo kesho, atakachozungumzia hakijajulikana bado na kama kinahusiana na masuala ya TICTS au masuala ya Richmond. Wakati huo huo Bunge linatarajiwa kutoa maamuzi kuhusu ombi la Dr. Mwakyembe kuhusu kanuni za Bunge.

Hii Alhamisi pia inatarajiwa Spika Sitta atatoa uamuzi wa kama kuruhusu Bunge lipige kura ya kutengua kanuni yake inayozuia kujadiliwa kwa azimio la Bunge au jambo lililotolewa uamuzi  na Bunge hadi miezi 12 ipite. Endapo Bunge litaridhia kutengua kanuni hiyo, basi mjadala wa ripoti ya Kamati Teule ya kuhusu Kampuni ya Richmond utaanza tena Bungeni.

Mojawapo ya waliouhisika na sakata hilo wamesema kuwa wanaisubiri kwa hamu siku ambayo wataweza kujitetea mbele ya Bunge. "Hatukupata nafasi ya kujitetea, hivyo kanuni ikitenguliwa tutaweza na sisi kuelezea upande wetu" alisema mmoja wa Mawaziri ambao walijiuzulu kufuatia kashfa ya Richmond.

Hata hivyo, Dr. Mwakyembe na kamati yake wamesema wako tayari kusimama na kufafanua jambo lolote ambalo halikueleweka au kutoa hisia zao kuhusu yale ambayo yamekuwa yakifanyika. Kwa mujibu wa mjumbe mmojawapo wa Kamati ile Teule, kitendo cha NEC na sasa Wabunge kujaribu kwa nguvu zote kuwasafisha na kuwatetea viongozi waliojiuzulu kina lengo moja tu nalo ni kuvuruga jitihada nzima za kurudisha fedha zilizolipwa Richmond na kuondoa mjadala kuhusu Dowans na kuufanya uwe unahusu Kamati Teule.

"Angalia ni nani aliyesimama kutetea kurudishwa kwa malipo ya mamilioni ya shilingi kila siku kwa Dowans? Angalia ni mjumbe gani wa NEC ambaye amesema anataka malipo yasimamishwe; hakuna!" alisema mjumbe huyo kwa jazba akizungumza na KLHN.

"Hili jambo halijafikia mwisho" alisema Mbunge mwingine ambaye anamwelekeo wa kuiunga mkono kamati teule.

Muda wote kesho KLHN itakuwa inakuletea taarifa kwa kadiri zinavyopatikana kufuatia maendeleo yoyote kuhusu masuala yote mawili ambayo yanahusiana.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Chenge ahusishwa na Ushirikina!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1040334.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Tafadhali soma habari kamili kwenye http://www.klhnews.com Wakati huo huo tumeanza kutangaza "live" kama majaribio kwa kucheza muziki. Tunaomba feedback yako mahali popote unapotusikia na kama unatusikia vizuri, na hasa wale walioko Tanzania.</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-15T23_24_14-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-15T23_24_14-07_00</comments>
      <pubDate>Mon, 16 Jun 2008 06:16:30 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-19</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-06-16</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>andrew,chenge,tanzania</itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1040334.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Tafadhali soma habari kamili kwenye http://www.klhnews.com Wakati huo huo tumeanza kutangaza "live" kama majaribio kwa kucheza muziki. Tunaomba feedback yako mahali popote unapotusikia na kama unatusikia vizuri, na hasa wale walioko Tanzania.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Leo ni Siku ya Bajeti - Jisomee kabla ya kusikia!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1031135.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Leo ni siku ya Bajeti. Waziri wa Fedha Bw. Mustafa Mkullo anatarajiwa kusoma bajeti hiyo leo na hivyo kuonesha ni wapi tumefika toka mwaka uliopita na wapi tunataka kwenda katika mwaka ujao wa fedha. 
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Nimepata nafasi ya kupata nakala ya bajeti hiyo ambayo inapatikana hapa: &lt;b&gt;http://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=1680&amp;d=1213211256&lt;/b&gt;

Tafadhali copy and paste kwenye browser yako.
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Nimatumaini yangu mtapata nafasi ya kuipitia kabla hamjaisikia. 
&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-11T22_46_51-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-11T22_46_51-07_00</comments>
      <pubDate>Thu, 12 Jun 2008 05:41:04 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-18</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-06-12</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-06-11T22_46_51-07_00.mp3" length="2970122"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1031135.jpg"/>
      <itunes:duration>247</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Leo ni siku ya Bajeti. Waziri wa Fedha Bw. Mustafa Mkullo anatarajiwa kusoma bajeti hiyo leo na hivyo kuonesha ni wapi tumefika toka mwaka uliopita na wapi tunataka kwenda katika mwaka ujao wa fedha. 

Nimepata nafasi ya kupata nakala ya bajeti hiyo ambayo inapatikana hapa: http://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=1680&amp;d=1213211256

Tafadhali copy and paste kwenye browser yako.

Nimatumaini yangu mtapata nafasi ya kuipitia kabla hamjaisikia. 
</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Huu si wakati wa kukata tamaa! </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1028925.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Bila ya shaka mlolongo wa matukio kadha wa kadha unaweza kumfanya mtu yeyote kushika tama na kukata tamaa. Hasa inapotokea matukio ambayo yanaihusu nchi yetu. Msururu wa kashfa ambazo zimeiandama nchi na viongozi wetu bila ya shaka vinaweza kukufanya ujisikie mpweke na mnyonge na zaidi kuweza kujiuliza "Tanzania ina matatizo gani?". 

&lt;p&gt;Kwa wengine kujiuliza swali hili kunaendana na hisia ya kuachwa peke (abandonment) na kukata tamaa (despair). Na zaidi ya yote kuna wengine ambao wanaweza kujihisi kuvunjwa moyo (discouraged) na hivyo kuona kuwa hakuna lolote na chochote kinachoweza kufanyika Tanzania ambacho kinaweza kuturudisha kwenye matumaini?&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;&lt;b&gt;Je huu ndio wakati wa kukata tamaa na kuwaachia mafisadi wafanye wapendavyo? Je huu ndio wakati wa kukubali viongozi wabovu na wasio na uwezo alimradi tuendelee katika hali ya utulivu, amani na mshikamano? Je huu ni wakati wa kusalimu amri na kukubali kile ambacho kimetuangukia na kuwa yote ni "mapenzi ya Mungu"?&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;

&lt;/P&gt;Je unajihisi kukata tamaa ukiangalia mambo yanayoendelea katika nchi yetu?&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-10T22_55_32-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-10T22_55_32-07_00</comments>
      <pubDate>Wed, 11 Jun 2008 05:42:38 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-18</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-06-11</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-06-10T22_55_32-07_00.mp3" length="19698102"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1028925.jpg"/>
      <itunes:duration>1802</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Bila ya shaka mlolongo wa matukio kadha wa kadha unaweza kumfanya mtu yeyote kushika tama na kukata tamaa. Hasa inapotokea matukio ambayo yanaihusu nchi yetu. Msururu wa kashfa ambazo zimeiandama nchi na viongozi wetu bila ya shaka vinaweza kukufanya ujisikie mpweke na mnyonge na zaidi kuweza kujiuliza "Tanzania ina matatizo gani?". 

Kwa wengine kujiuliza swali hili kunaendana na hisia ya kuachwa peke (abandonment) na kukata tamaa (despair). Na zaidi ya yote kuna wengine ambao wanaweza kujihisi kuvunjwa moyo (discouraged) na hivyo kuona kuwa hakuna lolote na chochote kinachoweza kufanyika Tanzania ambacho kinaweza kuturudisha kwenye matumaini?

Je huu ndio wakati wa kukata tamaa na kuwaachia mafisadi wafanye wapendavyo? Je huu ndio wakati wa kukubali viongozi wabovu na wasio na uwezo alimradi tuendelee katika hali ya utulivu, amani na mshikamano? Je huu ni wakati wa kusalimu amri na kukubali kile ambacho kimetuangukia na kuwa yote ni "mapenzi ya Mungu"?

Je unajihisi kukata tamaa ukiangalia mambo yanayoendelea katika nchi yetu?</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mkapa ameweza kujisafisha?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1005830.bmp" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Baada ya miezi ya maneno, kejeli na hadi kuzomewa hatimaye Rais Mstaafu Bw. Benjamin Mkapa amezungumza wiki iliyopita akikanusha madai kuwa ametajirika visivyo halali. Zaidi ya yote amedai kuwa yeye anaishi kwa pensheni yake kama anavyoishi Mzee Mwinyi na yakuwa wanaozua maneno ya yeye kuwa "fisadi" ni watu ambao kwa maneno yake walitaka "awapendelee" alipokuwa madarakani na yeye "hakuwapendelea".&lt;/p&gt;&lt;P&gt;

Na kabla wingu la utetezi wake huo halijatua kampuni ya Makaa ya Mawe ya Kiwira imejitokeza baada ya miezi kuhusishwwa na Urais wa Mkapa na kutangaza kuwa Rais Mkapa si mmiliki wa mgodi huo na hivyo kujaribu kuzima madai hayo. Hata hivyo mambo yafuatayo ni ya kuangalia na tuone kama utetezi wa Mkapa mwenyewe na Kiwira unatosha kumsafisha Rais Mstaafu. &lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Unaweza kusoma mjadala huu kwenye Jamiiforums.com mada ya "Kiwira yamsafisha Mkapa"&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Tanpower Resources ilisajiliwa 29/12/2004 na kupewa namba 51080 ikiwa na dhumuni kuu la kwanza kuchimba mkaa wa mawe nakuzalisha umeme, wakati huo Mkapa bado ana hisa na alijua sababu za kuanzishwa kwake. Wakati inasajiliwa wanahisa walikua ANBEM hisa 200,000 na aliyesaini ni Anna Mkapa, Devconsult ya Yona na Mwanae (hisa 200,000), Universal Tech (hisa 200,000), Choice Industries ya Mbuna (200,000) na Fosnik Enterprises ya Nicholus Mkapa na mkewe Foster wakiwa wameiga jina la kampuni ya baba na mama zao ya ANBEM (wao wakiwa na hisa 200,000) na aliyesaini ni Nico&lt;/p&gt;&lt;P&gt;

-----Lakini jambo la hatari ni kwamba, kabla hata ya TANPOWER kusajiliwa ilikwishaanza kufanya kazi na Evans Mapundi akiwa Mkurugenzi wake, alifanya mawasiliano Desemba 15 na wakatembelea Kiwira Desemba 18 na 20, kwa baraka za Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona. Yona akiwa pia mmoja wa wanahisa wa kampuni hiyo.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

----Mkapa na Mkewe kupitia ANBEM walijitoa TANPOWER Februari 21, 2005 ikiwa tayari hata mkataba wa ubia kati ya TANPOWER na Kiwira umekwishaandaliwa na Yona akiwa Waziri wa Nishati na Madini.... Hata baada ya Kujitoa, Mwanae Nico na mkewe Foster na baba mkwe wao Mbuna walikua ndani ya Kiwira.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

----Ni mwaka huo ambao Yona na bosi wake waliitosa STAMICO na kuchukua eneo jingine lenye hazina kubwa ya mkaa wa mawe liitwalo Kabulo rig ambalo serikali ilikopeshwa USD milioni 50 kufanya utafiti. STAMICO hadi sasa wanalilia eneo hilo ambalo limechukuliwa na TANPOWER/Kiwira bure&lt;/p&gt;&lt;P&gt;

&lt;img&gt;http://www.jamiiforums.com/photos/Mkapa1.jpg&lt;/img&gt;
&lt;img&gt;http://www.jamiiforums.com/photos/Mkapa2.jpg&lt;/img&gt;&lt;/P&gt;&lt;P&gt;

&lt;B&gt;SWALI&lt;/B&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Je Umeridhika na utetezi na jitihada za kujisafisha za Rais Mkapa. Waandishi waache kumsakama Rais mstaafu kwa sababu Kiwira wamesema hahusiki nayo?&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-02T22_08_36-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-06-02T22_08_36-07_00</comments>
      <pubDate>Tue, 03 Jun 2008 04:47:47 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-03</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-06-03</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>kenya,kilimanjaro,kiswahili,kiwira,mkapa,tanzania</itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_1005830.bmp"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Baada ya miezi ya maneno, kejeli na hadi kuzomewa hatimaye Rais Mstaafu Bw. Benjamin Mkapa amezungumza wiki iliyopita akikanusha madai kuwa ametajirika visivyo halali. Zaidi ya yote amedai kuwa yeye anaishi kwa pensheni yake kama anavyoishi Mzee Mwinyi na yakuwa wanaozua maneno ya yeye kuwa "fisadi" ni watu ambao kwa maneno yake walitaka "awapendelee" alipokuwa madarakani na yeye "hakuwapendelea".

Na kabla wingu la utetezi wake huo halijatua kampuni ya Makaa ya Mawe ya Kiwira imejitokeza baada ya miezi kuhusishwwa na Urais wa Mkapa na kutangaza kuwa Rais Mkapa si mmiliki wa mgodi huo na hivyo kujaribu kuzima madai hayo. Hata hivyo mambo yafuatayo ni ya kuangalia na tuone kama utetezi wa Mkapa mwenyewe na Kiwira unatosha kumsafisha Rais Mstaafu. 

Unaweza kusoma mjadala huu kwenye Jamiiforums.com mada ya "Kiwira yamsafisha Mkapa"

Tanpower Resources ilisajiliwa 29/12/2004 na kupewa namba 51080 ikiwa na dhumuni kuu la kwanza kuchimba mkaa wa mawe nakuzalisha umeme, wakati huo Mkapa bado ana hisa na alijua sababu za kuanzishwa kwake. Wakati inasajiliwa wanahisa walikua ANBEM hisa 200,000 na aliyesaini ni Anna Mkapa, Devconsult ya Yona na Mwanae (hisa 200,000), Universal Tech (hisa 200,000), Choice Industries ya Mbuna (200,000) na Fosnik Enterprises ya Nicholus Mkapa na mkewe Foster wakiwa wameiga jina la kampuni ya baba na mama zao ya ANBEM (wao wakiwa na hisa 200,000) na aliyesaini ni Nico

-----Lakini jambo la hatari ni kwamba, kabla hata ya TANPOWER kusajiliwa ilikwishaanza kufanya kazi na Evans Mapundi akiwa Mkurugenzi wake, alifanya mawasiliano Desemba 15 na wakatembelea Kiwira Desemba 18 na 20, kwa baraka za Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona. Yona akiwa pia mmoja wa wanahisa wa kampuni hiyo.

----Mkapa na Mkewe kupitia ANBEM walijitoa TANPOWER Februari 21, 2005 ikiwa tayari hata mkataba wa ubia kati ya TANPOWER na Kiwira umekwishaandaliwa na Yona akiwa Waziri wa Nishati na Madini.... Hata baada ya Kujitoa, Mwanae Nico na mkewe Foster na baba mkwe wao Mbuna walikua ndani ya Kiwira.

----Ni mwaka huo ambao Yona na bosi wake waliitosa STAMICO na kuchukua eneo jingine lenye hazina kubwa ya mkaa wa mawe liitwalo Kabulo rig ambalo serikali ilikopeshwa USD milioni 50 kufanya utafiti. STAMICO hadi sasa wanalilia eneo hilo ambalo limechukuliwa na TANPOWER/Kiwira bure

http://www.jamiiforums.com/photos/Mkapa1.jpg
http://www.jamiiforums.com/photos/Mkapa2.jpg

SWALI
Je Umeridhika na utetezi na jitihada za kujisafisha za Rais Mkapa. Waandishi waache kumsakama Rais mstaafu kwa sababu Kiwira wamesema hahusiki nayo?</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Exclusive: Mhe. Anne Kilango Malecela azungumza na KLHN</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_995931.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Tulikokuwa tunaenda siko, tumeamua kugeuka" - hayo ni baadhi ya maneno ya Mhe. Anne Kilango Malecela akizungumza na KLH News siku chache zilizopita akielezea mabadiliko ya wabunge wa CCM linapokuja suala la kulinda maslahi ya Taifa. &lt;br /&gt;
                &lt;br /&gt;
                Kati ya mambo ambayo anayazungumzia ni pamoja na hali ya kisiasa nchini, kifo cha Ballali, kwanini wabunge wa CCM walikuwa wanaitetea serikali yao hata ilipokuwa inaharibu, kwanini anaamini Kikwete ni kweli anataka mabadiliko na masuala mengine kemkem. &lt;br /&gt;
                &lt;br /&gt;
                Mahojiano yangu hayo na Mhe. Anne Kilango Malecela (CCM - Same Mashariki) yatarushwa siku ya Ijumaa kupitia KLH News International  na pia tunatarajia yataweza kusomwa kwenye mojawapo ya magazeti ambayo yamekubali kutupa nafasi. &lt;br /&gt;
                &lt;br /&gt;
                Mimi niko impressed na watu mara chache sana.. this is one of those times&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-05-29T10_05_04-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-05-29T10_05_04-07_00</comments>
      <pubDate>Thu, 29 May 2008 16:52:15 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-18</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-05-29</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>anne,kikwete,kilango,kiswahili,malecela,mwanakijiji,tanzania</itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-05-29T10_05_04-07_00.mp3" length="5653106"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_995931.jpg"/>
      <itunes:duration>471</itunes:duration>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Tulikokuwa tunaenda siko, tumeamua kugeuka" - hayo ni baadhi ya maneno ya Mhe. Anne Kilango Malecela akizungumza na KLH News siku chache zilizopita akielezea mabadiliko ya wabunge wa CCM linapokuja suala la kulinda maslahi ya Taifa. 
                
                Kati ya mambo ambayo anayazungumzia ni pamoja na hali ya kisiasa nchini, kifo cha Ballali, kwanini wabunge wa CCM walikuwa wanaitetea serikali yao hata ilipokuwa inaharibu, kwanini anaamini Kikwete ni kweli anataka mabadiliko na masuala mengine kemkem. 
                
                Mahojiano yangu hayo na Mhe. Anne Kilango Malecela (CCM - Same Mashariki) yatarushwa siku ya Ijumaa kupitia KLH News International  na pia tunatarajia yataweza kusomwa kwenye mojawapo ya magazeti ambayo yamekubali kutupa nafasi. 
                
                Mimi niko impressed na watu mara chache sana.. this is one of those times</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Wabunge wahoji kifo cha Ballali</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_985328.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Hii ni marudio ya show tuliyofanya siku ya Jumapili. NI sehemu tu ya onesho hilo. </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-05-26T14_37_26-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-05-26T14_37_26-07_00</comments>
      <pubDate>Mon, 26 May 2008 16:08:15 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-19</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-05-26</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_985328.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Hii ni marudio ya show tuliyofanya siku ya Jumapili. NI sehemu tu ya onesho hilo. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Utata wa Kifo cha Dr. Ballali - Njooni tuzungumze!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_979164.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;&lt;b&gt;What happened? why did it happen? do you have any idea who did it and why? do you believe it. What next!?
                &lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
                KLHN will air a Live Show on Sunday at 2:00PM EST (1:00PM CST, 9:00PM East African Time) to discuss the events that have transpired this past week especially the death that is shrouded in mystery and speculation of former Bank of Tanzania Dr. Daudi Thomas Said Ballali who passed away last Friday.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
                
                You can participate in the "live" show through a phone call in at 1 248 686 2010 during the live show, or you can call the same line through out Saturday and live your short message of your thoughts about the death and the events surrounding his passing.
                &lt;/p&gt;&lt;P&gt;
                Otherwise you can also write an email of not more than six lines paragraph to express your thought/s (anything more than that will be deleted) on the matter. Write to klhnews(at)klhnews.com
                &lt;/p&gt;&lt;P&gt;
                You can hear the show through &lt;B&gt;http://www.bongoradio.com&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
                
                Exclusive with this show is a suprise guest; an outspoken member of Parliament through CCM and a few other MPs from the ruling party and the opposition who will respond to the question posed to them on whether the death of Gov. Ballali should impact in anyway,shape or form the ongoing EPA investigation and how they received the news of his death.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
                
                This event is brought to you in association with JamiiForums and Bongo Radio.
                &lt;/p&gt;&lt;P&gt;&lt;b&gt;
                NB: I know people can type and scream behind their computers and show their anger through the speed of their fingers.. it is about time to be heard.. let us hear that anger, frustrations, concerns etc.. don't be scared that they might know who you are.. it is about time to be heard, I know I will...&lt;/b&gt;&lt;/P&gt;
                &lt;p&gt;&lt;B&gt;
                NOTICE:
                
                Any Tanzania Radio Station or media House that would like to stream or air this "live" show you are most welcome to do so just let us know so that we can acknowledge your listeners and identify your station.
                &lt;/B&gt;&lt;p&gt;
                DARING TO BOLDY GO, WHERE NO ONE ELSE DARE TO!
                &lt;/p&gt; </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-05-24T20_35_35-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-05-24T20_35_35-07_00</comments>
      <pubDate>Sun, 25 May 2008 03:27:22 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-25</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-05-25</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>balali,ballali,bank,kikwete,of,tanzania</itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_979164.jpg"/>
      <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
      <itunes:summary>What happened? why did it happen? do you have any idea who did it and why? do you believe it. What next!?
                
                KLHN will air a Live Show on Sunday at 2:00PM EST (1:00PM CST, 9:00PM East African Time) to discuss the events that have transpired this past week especially the death that is shrouded in mystery and speculation of former Bank of Tanzania Dr. Daudi Thomas Said Ballali who passed away last Friday.
                
                You can participate in the "live" show through a phone call in at 1 248 686 2010 during the live show, or you can call the same line through out Saturday and live your short message of your thoughts about the death and the events surrounding his passing.
                
                Otherwise you can also write an email of not more than six lines paragraph to express your thought/s (anything more than that will be deleted) on the matter. Write to klhnews(at)klhnews.com
                
                You can hear the show through http://www.bongoradio.com
                
                Exclusive with this show is a suprise guest; an outspoken member of Parliament through CCM and a few other MPs from the ruling party and the opposition who will respond to the question posed to them on whether the death of Gov. Ballali should impact in anyway,shape or form the ongoing EPA investigation and how they received the news of his death.
                
                This event is brought to you in association with JamiiForums and Bongo Radio.
                
                NB: I know people can type and scream behind their computers and show their anger through the speed of their fingers.. it is about time to be heard.. let us hear that anger, frustrations, concerns etc.. don't be scared that they might know who you are.. it is about time to be heard, I know I will...
                
                NOTICE:
                
                Any Tanzania Radio Station or media House that would like to stream or air this "live" show you are most welcome to do so just let us know so that we can acknowledge your listeners and identify your station.
                
                DARING TO BOLDY GO, WHERE NO ONE ELSE DARE TO!
                 </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Gov. Balali Afariki Dunia</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_930306.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Aliyewahi kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Dr. Daud Balali amefariki dunia. Habari ambazo zimeanza kusikika tangu jana jioni na kuthibitishwa na ndugu zake zimesema kuwa Gavana Balali amefariki mwishoni mwa juma na mipango ya mazishi inafanywa. Anatarajiwa kuzikwa huko huko Marekani. Inatarajiwa taarifa ya kifo chake kutangazwa Tanzania baadaye leo. Sikiliza matangazo kuhusu kifo hicho hapa au kwa kutwa nzima ya kesho tutakuwa tunaleta maendeleo yoyote ya habari hii kwenye tovuti yetu ya http://www.klhnews.com ambako "we bring the news first". </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-05-20T21_46_54-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-05-20T21_46_54-07_00</comments>
      <pubDate>Wed, 21 May 2008 04:46:54 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-05-21</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-05-20T21_46_54-07_00.mp3" length="4125965"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_930306.jpg"/>
      <itunes:duration>282</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Aliyewahi kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Dr. Daud Balali amefariki dunia. Habari ambazo zimeanza kusikika tangu jana jioni na kuthibitishwa na ndugu zake zimesema kuwa Gavana Balali amefariki mwishoni mwa juma na mipango ya mazishi inafanywa. Anatarajiwa kuzikwa huko huko Marekani. Inatarajiwa taarifa ya kifo chake kutangazwa Tanzania baadaye leo. Sikiliza matangazo kuhusu kifo hicho hapa au kwa kutwa nzima ya kesho tutakuwa tunaleta maendeleo yoyote ya habari hii kwenye tovuti yetu ya http://www.klhnews.com ambako "we bring the news first". </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Alichozungumza Mhe Zitto Detroit! </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_909826.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Karibu wiki moja iliyopita Mhe. Zitto Kabwe alizungumza na jumuiya ya Watanzania waishio Jimbo la Michigan nchini Marekani. Mazungumzo hayo yaliyofanyika wakati wa hafla ya chakula cha jioni aliyoandaliwa Bw. Zitto yaligusia mambo mbalimbali na hasa kuwataarifu wanajumuiya hiyo mambo mbalimbali yanayoendelea nyumbani na pia kusikiliza maoni na maswali yao.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Matangazo ya leo basi ni hotuba ya Mhe. Zitto kwa jumuiya hiyo na sehemu ya maswali na majibu, yote ni uncut and an edited. Makosa mengine yoyote ya kurekodi hasa mwanzoni kidogo ni ya KLHN.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;&lt;i&gt;Pichani Mhe. ZItto akijiandaa kuzungumza na wanajumuiya ya TAMI - Tanzanians Association of Michigan. Huko Detroit eneo la Maili Nane.&lt;/i&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-05-13T23_00_28-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-05-13T23_00_28-07_00</comments>
      <pubDate>Wed, 14 May 2008 06:00:28 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-19</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-05-14</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-05-13T23_00_28-07_00.mp3" length="42921507"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_909826.jpg"/>
      <itunes:duration>2949</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Karibu wiki moja iliyopita Mhe. Zitto Kabwe alizungumza na jumuiya ya Watanzania waishio Jimbo la Michigan nchini Marekani. Mazungumzo hayo yaliyofanyika wakati wa hafla ya chakula cha jioni aliyoandaliwa Bw. Zitto yaligusia mambo mbalimbali na hasa kuwataarifu wanajumuiya hiyo mambo mbalimbali yanayoendelea nyumbani na pia kusikiliza maoni na maswali yao.

Matangazo ya leo basi ni hotuba ya Mhe. Zitto kwa jumuiya hiyo na sehemu ya maswali na majibu, yote ni uncut and an edited. Makosa mengine yoyote ya kurekodi hasa mwanzoni kidogo ni ya KLHN.

Pichani Mhe. ZItto akijiandaa kuzungumza na wanajumuiya ya TAMI - Tanzanians Association of Michigan. Huko Detroit eneo la Maili Nane.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mgonja na Ndulu  - Mmoja wao anatudanganya!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_900839.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;&lt;i&gt;Gavana wa Benki Kuu, Dk Beno Ndullu (katikati) akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Benki ya Maendeleo Afrika Mashariki (EADB), Andulile Mwakalyelye (kulia) alipotembelea mabanda wakati wa mkutano wa Makandarasi na Taasisi za fedha kwenye viwanja vya Karimjee Dar es Salaam. Kushoto ni Msajili wa Bodi ya Makandarasi, Mhandisi Boniface Muhegi&lt;/i&gt;&lt;/p&gt;

&lt;p&gt; Kuna mahali katika serikali yetu watu hawawasiliani. Nina kila sababu ya kuamini kuwa kuna mtu ambaye hafikishi habari kwa mwingine kiasi kwamba tumefikia mahali watumishi wa wizara ile ile na ambao kimsingi wanatakiwa kuwasiliana inaonekana hawawasiliani. &lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Hebu fikiria, Katibu Mkuu wa Hazina anasimama na kutetea maamuzi yake kuwa alipotia sahihi kwenye kampuni ya Tangold kama mmoja wa wakurugenzi alijua kuwa kampuni hiyo ni mali ya serikali. Siyo hivyo tu aliyekuwa Waziri wa Fedha Bi. Zakhia Meghji aliliambia Bunge kuwa kampuni hiyo iliyochukua nafasi ya kampuni nyingine ya "serikali" ya Meremeta ni mali ya serikali.&lt;/p&gt; 

&lt;p&gt;Kabla hilo halijatulia Gavana wa Benki Kuu ambayo kampuni hiyo ilimegewa karibu Bilioni 155 kwa vile ni kampuni ya serikali anaibuka kesho yake na kusema kuwa watu wasiihusishe Benki hiyo Kuu na Kampuni hiyo kwani hakuna ushahidi wowote kuwa kampuni hiyo inamilikiwa na serikali&lt;/p&gt;

&lt;p&gt; Sasa nani anaweza kuwa na uwezo wa kujua juu ya Kampuni hii kati ya Katibu Mkuu Hazina ambaye ni Mkurugenzi wa Tangold na Gavana wa Benki Kuu iliyotoa mabilioni kwa taasisi hiyo?&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;&lt;b&gt;Hivi Watanzania tumekosa nini hadi tuburuzwe kama watoto wanaochezewa mchezo wa Karata tatu? Hivi mtu akimuuliza Kikwete kama Kampuni ya Tangold ni ya serikali atakuwa na jibu kweli wakati Hazina na Benki Kuu hawakubaliani?&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Hili nalo linanikumbusha juu ya Mgodi wa Buhemba ambao tuliambiwa kuwa ni mali ya serikali lakini Mkaguzi Mkuu wa serikali anasema hana jina hilo katika orodha ya makampuni ya serikali. Sasa mgodi huo unalindwa na Polisi, nani anaumiliki?&lt;/P&gt;

&lt;p&gt;Kuna mtu yeyote anaweza kutoa jibu? Hivi kweli tumefikia mahali hatujui hata nani anamiliki mgodi mkubwa kama Buhemba? Hivi tukiuliza nani anamiliki Ikulu yetu tunaweza kuwa tunatafuta ugomvi? Tukisema kuna mafisadi hivi kweli watakuwa na sababu ya kututafuta?  Au tuanze kampeni kwa kupitia wahisani dhidi ya misaada au tutaambiwa tunataka watu wa kawaida wapate shida? Ni nini kitatufanya tuchore mstari?&lt;/p&gt; 

&lt;p&gt;Naomba nitoe wito kwa Waziri wetu wa Fedha atuambie bila kujiuma uma, ni nani anamiliki Tangold na Buhemba? is this too much to ask as citizens of our beloved country au ndio imekuwa ni mradi wa Usalama wa Taifa? &lt;/p&gt; 

</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-05-08T22_22_06-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-05-08T22_22_06-07_00</comments>
      <pubDate>Fri, 09 May 2008 05:22:06 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-05-09</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_900839.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Gavana wa Benki Kuu, Dk Beno Ndullu (katikati) akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Benki ya Maendeleo Afrika Mashariki (EADB), Andulile Mwakalyelye (kulia) alipotembelea mabanda wakati wa mkutano wa Makandarasi na Taasisi za fedha kwenye viwanja vya Karimjee Dar es Salaam. Kushoto ni Msajili wa Bodi ya Makandarasi, Mhandisi Boniface Muhegi

 Kuna mahali katika serikali yetu watu hawawasiliani. Nina kila sababu ya kuamini kuwa kuna mtu ambaye hafikishi habari kwa mwingine kiasi kwamba tumefikia mahali watumishi wa wizara ile ile na ambao kimsingi wanatakiwa kuwasiliana inaonekana hawawasiliani. 

Hebu fikiria, Katibu Mkuu wa Hazina anasimama na kutetea maamuzi yake kuwa alipotia sahihi kwenye kampuni ya Tangold kama mmoja wa wakurugenzi alijua kuwa kampuni hiyo ni mali ya serikali. Siyo hivyo tu aliyekuwa Waziri wa Fedha Bi. Zakhia Meghji aliliambia Bunge kuwa kampuni hiyo iliyochukua nafasi ya kampuni nyingine ya "serikali" ya Meremeta ni mali ya serikali. 

Kabla hilo halijatulia Gavana wa Benki Kuu ambayo kampuni hiyo ilimegewa karibu Bilioni 155 kwa vile ni kampuni ya serikali anaibuka kesho yake na kusema kuwa watu wasiihusishe Benki hiyo Kuu na Kampuni hiyo kwani hakuna ushahidi wowote kuwa kampuni hiyo inamilikiwa na serikali

 Sasa nani anaweza kuwa na uwezo wa kujua juu ya Kampuni hii kati ya Katibu Mkuu Hazina ambaye ni Mkurugenzi wa Tangold na Gavana wa Benki Kuu iliyotoa mabilioni kwa taasisi hiyo?

Hivi Watanzania tumekosa nini hadi tuburuzwe kama watoto wanaochezewa mchezo wa Karata tatu? Hivi mtu akimuuliza Kikwete kama Kampuni ya Tangold ni ya serikali atakuwa na jibu kweli wakati Hazina na Benki Kuu hawakubaliani?

Hili nalo linanikumbusha juu ya Mgodi wa Buhemba ambao tuliambiwa kuwa ni mali ya serikali lakini Mkaguzi Mkuu wa serikali anasema hana jina hilo katika orodha ya makampuni ya serikali. Sasa mgodi huo unalindwa na Polisi, nani anaumiliki?

Kuna mtu yeyote anaweza kutoa jibu? Hivi kweli tumefikia mahali hatujui hata nani anamiliki mgodi mkubwa kama Buhemba? Hivi tukiuliza nani anamiliki Ikulu yetu tunaweza kuwa tunatafuta ugomvi? Tukisema kuna mafisadi hivi kweli watakuwa na sababu ya kututafuta?  Au tuanze kampeni kwa kupitia wahisani dhidi ya misaada au tutaambiwa tunataka watu wa kawaida wapate shida? Ni nini kitatufanya tuchore mstari? 

Naomba nitoe wito kwa Waziri wetu wa Fedha atuambie bila kujiuma uma, ni nani anamiliki Tangold na Buhemba? is this too much to ask as citizens of our beloved country au ndio imekuwa ni mradi wa Usalama wa Taifa?  

</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Rostam na vitisho kwa magazeti-mkakati utafanikiwa?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_883707.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Mbunge wa Igunga Mhe. Rostam Aziz (CCM) ameamua kulishtaki gazeti la Mwanahalisi na wakati huo huo kulitishia gazeti la Raia Mwema kuwa atalifungulia mashtaka endapo halitaomba radhi kwa mojawapo ya makala zake. &lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Bw. Rostam anakuwa kiongozi wa kwanza ambaye amekuwa akitajwa na vyombo vya habari kuhusu ufisadi aliyeamua kwenda mahakamani. Kwa namna ya pekee hli linaashiria mambo kadhaa.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Kwanza, endapo mahakama itaridhia maombi yake basi masuala ya Richmond na Rostam yanaweza yasitajwe kwenye sentensi moja kwani kesi itakuwa mahakamani . Huu ni mchakato wa Kisheria na vyombo husika vitatakiwa kuheshimu, ingawa hilo halitufungi sisi wengine kutolea maoni&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Pili, kujaribu kunyamazisha vyombo hivyo vya habari endapo kutakubaliwa na mahakama basi kutazuia habari mpya kuweza kuchapwa na gazeti hilo . Hata hivyo, sisi wengine tutaweza kuendelea kutolea maoni&lt;/p&gt;

&lt;p&gt; Jambo la tatu ni kuwa Bw. Rostam amefanya jambo la maana kwa kuamua kwenda mahakamani hasa kwa vile anaamini haki yake inatishiwa na jina lake kuchafuliwa. Hivyo, uamuzi wake ni mfano wa kuigwa kwa wengine ambao wanahisi kuonewa au kutotendewa haki ili watumie vyombo vya sheria kutafuta haki hiyo badala ya kukimbilia kwenye TV au radio kujisafisha.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Hata hivyo, kama kesi hii itanedelea au itaishia pembeni hatuna uhakika. Hata hivyo vyanzo vyangu vya karibu na MwanaHalisi vimenihakikishia kuwa hawana mpango wa ku "back down" na wanaendelea kufanyia kazi taarifa nyngine kuhusu Rostam na Richmond. Sisi wengine yetu ni macho tu.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;&lt;b&gt;Je wadaiwa wengine na wale wanaotajwa kwenye tuhuma za ufisadi na wenyewe waende mahakamani? Je ndiyo njia pekee ya wao kujisafisha? Kwanini wale wengine waliotishia kwenda mahakamani hawakwenda?&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-29T21_46_17-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-29T21_46_17-07_00</comments>
      <pubDate>Wed, 30 Apr 2008 04:46:17 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-22</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-04-30</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>kwa,magazeti,mkakati,na,rostam,utafanikiwa?,vitisho</itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_883707.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Mbunge wa Igunga Mhe. Rostam Aziz (CCM) ameamua kulishtaki gazeti la Mwanahalisi na wakati huo huo kulitishia gazeti la Raia Mwema kuwa atalifungulia mashtaka endapo halitaomba radhi kwa mojawapo ya makala zake. 

Bw. Rostam anakuwa kiongozi wa kwanza ambaye amekuwa akitajwa na vyombo vya habari kuhusu ufisadi aliyeamua kwenda mahakamani. Kwa namna ya pekee hli linaashiria mambo kadhaa.

Kwanza, endapo mahakama itaridhia maombi yake basi masuala ya Richmond na Rostam yanaweza yasitajwe kwenye sentensi moja kwani kesi itakuwa mahakamani . Huu ni mchakato wa Kisheria na vyombo husika vitatakiwa kuheshimu, ingawa hilo halitufungi sisi wengine kutolea maoni

Pili, kujaribu kunyamazisha vyombo hivyo vya habari endapo kutakubaliwa na mahakama basi kutazuia habari mpya kuweza kuchapwa na gazeti hilo . Hata hivyo, sisi wengine tutaweza kuendelea kutolea maoni

 Jambo la tatu ni kuwa Bw. Rostam amefanya jambo la maana kwa kuamua kwenda mahakamani hasa kwa vile anaamini haki yake inatishiwa na jina lake kuchafuliwa. Hivyo, uamuzi wake ni mfano wa kuigwa kwa wengine ambao wanahisi kuonewa au kutotendewa haki ili watumie vyombo vya sheria kutafuta haki hiyo badala ya kukimbilia kwenye TV au radio kujisafisha.

Hata hivyo, kama kesi hii itanedelea au itaishia pembeni hatuna uhakika. Hata hivyo vyanzo vyangu vya karibu na MwanaHalisi vimenihakikishia kuwa hawana mpango wa ku "back down" na wanaendelea kufanyia kazi taarifa nyngine kuhusu Rostam na Richmond. Sisi wengine yetu ni macho tu.

Je wadaiwa wengine na wale wanaotajwa kwenye tuhuma za ufisadi na wenyewe waende mahakamani? Je ndiyo njia pekee ya wao kujisafisha? Kwanini wale wengine waliotishia kwenda mahakamani hawakwenda?</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Nimevunja Mwiko - Soma &amp;quot;Kulikoni&amp;quot; la Leo</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_875785.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Kwa karibu wiki mbili sasa nimekuwa nikitengeneza hoja na kumulika kama vile kurunzi idara ya Usalama wa Taifa. Sikiliza introduction ya makala yangu maalum kwenye gazeti la "Kulikoni" leo. Kwa wale ambao hampo nyumbani makala hii itawekwa baadaye mchana wa Ijumaa (saa za Marekani) kwenye http://www.klhnews.com upande wa editorial. </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-24T22_48_49-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-24T22_48_49-07_00</comments>
      <pubDate>Fri, 25 Apr 2008 05:48:49 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-04-25</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-04-24T22_48_49-07_00.mp3" length="13732910"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_875785.jpg"/>
      <itunes:duration>941</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Kwa karibu wiki mbili sasa nimekuwa nikitengeneza hoja na kumulika kama vile kurunzi idara ya Usalama wa Taifa. Sikiliza introduction ya makala yangu maalum kwenye gazeti la "Kulikoni" leo. Kwa wale ambao hampo nyumbani makala hii itawekwa baadaye mchana wa Ijumaa (saa za Marekani) kwenye http://www.klhnews.com upande wa editorial. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Taifa limejiandaa kwa janga la njaa linalokuja?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_874058.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Ndugu zangu, kuna uwezekano mkubwa kwamba itakapofika kiangazi mwaka huu, Taifa letu linaweza kujikuta kwenye upungufu mkubwa wa chakula ambao siyo tu unatishia maisha ya watu wetu bali pia unashusha hadhi na utu wa mwanadamu. Hakuna kitu kinachomdhalilisha mwanadamu na kuweza kumfanya awe mtu kama njaa. &lt;br /&gt;

&lt;br /&gt;
Ni njaa ndiyo inayoweza kumfanya mtu aukane urithi wake wa kwanza kama alivyofanya Esau na ni njaa ambayo ilikuwa inatumika tangu enzi za kale kama silaha ya mwisho ya vita ambayo inalazimisha watu kusalimu amri. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tanzania tutakabiliwa na njaa ambayo chanzo chake si ukame. Mara nyingi (kama siyo zote) njaa husababishwa na ukame na vita. Hata hivyo njaa ambayo naweza kuiangalia toka mbali na inayosogelea kama simba anyatiaye haitokani na mambo hayo bali makubwa mawili.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;b&gt;a. Kupanda kwa bei ya chakula duniani.&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;
Habari za leo ni kuwa bei ya chakula duniani imepanda kwa haraka kuliko wakati wowote ule na hivyo kusababisha ugumu wa kupatikana kwa chakula. Yaliyotokea Haiti na Misri siku chache zilizopita ni dalili ya ubaya wa hali hiyo. Kwa wale walioko Dar au maeneo yenye masoko ya kudumu na kwenye mialo mbalimbali kanda ya ziwa wanaweza kutusaidia kutuambia kama kumeanza kutokea mabadiliko yanayoonekana ya bei ya chakula siku hizi chache zilizopita.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;b&gt;b. Mvua ya masika.&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;
Hata hivyo naamini kwa upande wa Tanzania kitakachosababisha njaa sana ni hii mvua ambayo imeharibu mashamba na mazao ya watu kiasi kwamba baadhi ya maeneo ambayo kwa kawaida yana chakula cha kutosha yanaweza kujikuta yanahamia mwaka huu. Kama mpunga wa Kyela utakuwa umeathirika kama Dr. Mwakyembe alivyosema kwenye mahojiano yake nami kuna uwezekano kuwa Mwaka huu bei ya Mchele nayo itapanda na hivyo kufanya nafaka hiyo ianze kuwa adimu na kupatikana kwa wachache. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;

Maeneo ambayo mchele ndiyo chakula kikuu na pia zao la biashara watajikuta wanakabiliwa na upungufu wa fedha za kununulia hata vitu vingine na hivyo kusubiri chakula cha misaada. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa vile tunajua haya yote na ziada; tufanye nini ili tujiandae na njaa ijayo?&lt;/div&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-23T22_47_26-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-23T22_47_26-07_00</comments>
      <pubDate>Thu, 24 Apr 2008 05:47:26 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-04-24</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_874058.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Ndugu zangu, kuna uwezekano mkubwa kwamba itakapofika kiangazi mwaka huu, Taifa letu linaweza kujikuta kwenye upungufu mkubwa wa chakula ambao siyo tu unatishia maisha ya watu wetu bali pia unashusha hadhi na utu wa mwanadamu. Hakuna kitu kinachomdhalilisha mwanadamu na kuweza kumfanya awe mtu kama njaa. 


Ni njaa ndiyo inayoweza kumfanya mtu aukane urithi wake wa kwanza kama alivyofanya Esau na ni njaa ambayo ilikuwa inatumika tangu enzi za kale kama silaha ya mwisho ya vita ambayo inalazimisha watu kusalimu amri. 

Tanzania tutakabiliwa na njaa ambayo chanzo chake si ukame. Mara nyingi (kama siyo zote) njaa husababishwa na ukame na vita. Hata hivyo njaa ambayo naweza kuiangalia toka mbali na inayosogelea kama simba anyatiaye haitokani na mambo hayo bali makubwa mawili.

a. Kupanda kwa bei ya chakula duniani.
Habari za leo ni kuwa bei ya chakula duniani imepanda kwa haraka kuliko wakati wowote ule na hivyo kusababisha ugumu wa kupatikana kwa chakula. Yaliyotokea Haiti na Misri siku chache zilizopita ni dalili ya ubaya wa hali hiyo. Kwa wale walioko Dar au maeneo yenye masoko ya kudumu na kwenye mialo mbalimbali kanda ya ziwa wanaweza kutusaidia kutuambia kama kumeanza kutokea mabadiliko yanayoonekana ya bei ya chakula siku hizi chache zilizopita.

b. Mvua ya masika.
Hata hivyo naamini kwa upande wa Tanzania kitakachosababisha njaa sana ni hii mvua ambayo imeharibu mashamba na mazao ya watu kiasi kwamba baadhi ya maeneo ambayo kwa kawaida yana chakula cha kutosha yanaweza kujikuta yanahamia mwaka huu. Kama mpunga wa Kyela utakuwa umeathirika kama Dr. Mwakyembe alivyosema kwenye mahojiano yake nami kuna uwezekano kuwa Mwaka huu bei ya Mchele nayo itapanda na hivyo kufanya nafaka hiyo ianze kuwa adimu na kupatikana kwa wachache. 


Maeneo ambayo mchele ndiyo chakula kikuu na pia zao la biashara watajikuta wanakabiliwa na upungufu wa fedha za kununulia hata vitu vingine na hivyo kusubiri chakula cha misaada. 

Kwa vile tunajua haya yote na ziada; tufanye nini ili tujiandae na njaa ijayo?</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Usalama walikuwa wamelala wapi, mafisadi walipoamka?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_872267.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Hadi gazeti la Guardian litutangazie kuwa Waziri wetu ameficha Bilioni kisiwani Jersey (thanks Yebox2) wao kina RO walikuwa wapi?&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Hadi Kamati Teule ilipotuambia rasmi kuwa RDC ni kampuni hewa RO na timu yake walikuwa wapi?&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Niendelee kuorodhesha ushahidi wa uzembe uliokithiri na uvivu wa kufikiri wa taasisi nyeti ya Usalama wa Taifa? Kama wameshindwa kugundua matukio ya economic sabotage yanayoendelea nchini wana faida gani? Hii ya kusafiri na Rais na kutumia vi ear pieces na makoti marefu kama vile wao Secret Service?&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Kwanini basi Mkurugenzi wa Idara hiyo Bw. Rashid Othman (Pichani) asijiuzulu kwa ajili ya Usalama wa Taifa!!!&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Lakini kabla yake Bw. Cornel Apson Mwang'onda na yeye alishikiri vipi katika kuzembea kulilinda Taifa letu na ni nani mwenye ujasiri wa kumuita na kumhoji? &lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Isije kuwa Usalama wa haki ya kula na kutanua na fedha za walipa kodi wa Tanzania lakini inapokuja katika kuelezea walifanya nini na pesa hizo inakuwa mbinde?&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;&lt;b&gt;yes I said it!&lt;/b&gt;&lt;/P&gt;
</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-22T22_45_03-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-22T22_45_03-07_00</comments>
      <pubDate>Wed, 23 Apr 2008 05:45:03 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-04-23</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_872267.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Hadi gazeti la Guardian litutangazie kuwa Waziri wetu ameficha Bilioni kisiwani Jersey (thanks Yebox2) wao kina RO walikuwa wapi?

Hadi Kamati Teule ilipotuambia rasmi kuwa RDC ni kampuni hewa RO na timu yake walikuwa wapi?

Niendelee kuorodhesha ushahidi wa uzembe uliokithiri na uvivu wa kufikiri wa taasisi nyeti ya Usalama wa Taifa? Kama wameshindwa kugundua matukio ya economic sabotage yanayoendelea nchini wana faida gani? Hii ya kusafiri na Rais na kutumia vi ear pieces na makoti marefu kama vile wao Secret Service?

Kwanini basi Mkurugenzi wa Idara hiyo Bw. Rashid Othman (Pichani) asijiuzulu kwa ajili ya Usalama wa Taifa!!!

Lakini kabla yake Bw. Cornel Apson Mwang'onda na yeye alishikiri vipi katika kuzembea kulilinda Taifa letu na ni nani mwenye ujasiri wa kumuita na kumhoji? 

Isije kuwa Usalama wa haki ya kula na kutanua na fedha za walipa kodi wa Tanzania lakini inapokuja katika kuelezea walifanya nini na pesa hizo inakuwa mbinde?

yes I said it!
</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Kujiuzulu Uwaziri kwa Chenge, usiwe mwisho wa kuwajibika</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_868753.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Ni kweli yawezekana kuwa kujiuzulu Uwaziri kumepokelewa kwa furaha na wengi (mimi mmoja wao). Yawezekana kwa kufanya hivyo uchunguzi utakuwa huru (sidhani alikuwa anazuia uchunguzi anyway); yawezekana kujiuzulu kwake kumekuwa ni kitulizo cha kelele dhidi ya ufisadi; Yawezekana kujiuzulu kwake kumeonesha ufisadi wa viongozi wa serikali ya JK na hivyo kumuondoa kumeonesha jitihada za kusafisha serikali hiyo; &lt;br /&gt;

&lt;br /&gt;
Hata hivyo, hadi hivi sasa CCM haijalipa gharama yoyote ya viongozi wake kuhusishwa na ufisadi na hakuna wakati hadi hivi sasa ambao wao kama CCM wamechukua hatua za viongozi wa serikali waliofanya vitendo vya ufisadi wakiwa ni wanachama wake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ni kwa sababu hiyo basi naamini kujiuzulu kwa Chenge toka serikalini hakutoshi bali lazima kufuatiwe na kujiuzulu toka Ubunge. Kwanini?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
a. Kiasi cha fedha anachodaiwa kukutwa nacho kingeweza kuleta mabadiliko makubwa kwa watu wa Jimbo lake lakini aliwaficha wapiga kura wake.&lt;br /&gt;
b. Kwa kukiita kiasi hicho "vijisenti" kwa kisingizio cha "usukuma wake" ni tusi kwa wasukuma wengine ambao hawajui maana ya "vijisenti" hasa baada ya yeye mwenyewe kuelezea kuwa "kila mtu ana kiwango chake". &lt;br /&gt;

c. Mwakilishi wa wananchi anapotajwa na kuhusishwa na kitendo cha matumizi mabaya ya nafasi yake, nafasi ambayo imetokana na kuchaguliwa na wananchi hao, basi anapojiuzulu nafasi yake basi hana budi kuachia kiti chake ili ampishe mtu mwingine kushika nafasi hiyo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Bw. Chenge amewaangusha wapiga kura wake, na amekiletea aibu kubwa chama chake. Kati ya wote walioatajwa katika tuhuma za ufisadi ni yeye pekee ambaye tunajua angalau kiasi gani che fedha kimefichwa huko Jersey. Kwa sababu hiyo basi Chenge siyo tu ajiuzulu Uwaziri kama alivyofanya bali pia ajiuzulu Ubunge wake na Uwakilishi wake ili mwana CCM au mtu mwingine aweze kuwawakilisha wananchi wa Bariadi Magharibi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;b&gt;JIUZULU UBUNGE BW. CHENGE, UMEKUWA AIBU YA TAIFA LETU!&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;&lt;b&gt;PIcha na Mpoki&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-20T22_39_02-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-20T22_39_02-07_00</comments>
      <pubDate>Mon, 21 Apr 2008 05:39:02 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-04-21</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_868753.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Ni kweli yawezekana kuwa kujiuzulu Uwaziri kumepokelewa kwa furaha na wengi (mimi mmoja wao). Yawezekana kwa kufanya hivyo uchunguzi utakuwa huru (sidhani alikuwa anazuia uchunguzi anyway); yawezekana kujiuzulu kwake kumekuwa ni kitulizo cha kelele dhidi ya ufisadi; Yawezekana kujiuzulu kwake kumeonesha ufisadi wa viongozi wa serikali ya JK na hivyo kumuondoa kumeonesha jitihada za kusafisha serikali hiyo; 


Hata hivyo, hadi hivi sasa CCM haijalipa gharama yoyote ya viongozi wake kuhusishwa na ufisadi na hakuna wakati hadi hivi sasa ambao wao kama CCM wamechukua hatua za viongozi wa serikali waliofanya vitendo vya ufisadi wakiwa ni wanachama wake. 

Ni kwa sababu hiyo basi naamini kujiuzulu kwa Chenge toka serikalini hakutoshi bali lazima kufuatiwe na kujiuzulu toka Ubunge. Kwanini?

a. Kiasi cha fedha anachodaiwa kukutwa nacho kingeweza kuleta mabadiliko makubwa kwa watu wa Jimbo lake lakini aliwaficha wapiga kura wake.
b. Kwa kukiita kiasi hicho "vijisenti" kwa kisingizio cha "usukuma wake" ni tusi kwa wasukuma wengine ambao hawajui maana ya "vijisenti" hasa baada ya yeye mwenyewe kuelezea kuwa "kila mtu ana kiwango chake". 

c. Mwakilishi wa wananchi anapotajwa na kuhusishwa na kitendo cha matumizi mabaya ya nafasi yake, nafasi ambayo imetokana na kuchaguliwa na wananchi hao, basi anapojiuzulu nafasi yake basi hana budi kuachia kiti chake ili ampishe mtu mwingine kushika nafasi hiyo. 

Bw. Chenge amewaangusha wapiga kura wake, na amekiletea aibu kubwa chama chake. Kati ya wote walioatajwa katika tuhuma za ufisadi ni yeye pekee ambaye tunajua angalau kiasi gani che fedha kimefichwa huko Jersey. Kwa sababu hiyo basi Chenge siyo tu ajiuzulu Uwaziri kama alivyofanya bali pia ajiuzulu Ubunge wake na Uwakilishi wake ili mwana CCM au mtu mwingine aweze kuwawakilisha wananchi wa Bariadi Magharibi.

JIUZULU UBUNGE BW. CHENGE, UMEKUWA AIBU YA TAIFA LETU!

PIcha na Mpoki</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Chenge - mbona anatuchengua!?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_857800.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Chenge ni bilionea wa kutupwa ambaye kwake shilingi Bilioni moja anayodaiwa kuificha huko Marekani ni sawa na "vijisenti" vichache. Hivi tatizo letu liko wapi? Je yawezekena kuwa chenge ni dalili tu ya tatizo? Je eye ni kiongozi pekee wa TAnzania ambaye amewekeza mabilioni ya shilingi kwenye akaunti za kigeni? Je ajiuzulu au na yeye anaweza akalia kuwa amefanywa "Bangusilo" wa rada!? </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-16T22_53_44-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-16T22_53_44-07_00</comments>
      <pubDate>Thu, 17 Apr 2008 05:53:44 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-04-17</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-04-16T22_53_44-07_00.mp3" length="12662934"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_857800.jpg"/>
      <itunes:duration>869</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Chenge ni bilionea wa kutupwa ambaye kwake shilingi Bilioni moja anayodaiwa kuificha huko Marekani ni sawa na "vijisenti" vichache. Hivi tatizo letu liko wapi? Je yawezekena kuwa chenge ni dalili tu ya tatizo? Je eye ni kiongozi pekee wa TAnzania ambaye amewekeza mabilioni ya shilingi kwenye akaunti za kigeni? Je ajiuzulu au na yeye anaweza akalia kuwa amefanywa "Bangusilo" wa rada!? </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Rostam, Richmond, na siri ya watu wawili!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_849029.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Sakata la Richmond na mtikisiko wake bado havijaisha Bungeni. Kuna kila dalili kuwa yaliyotokea Bungeni mwezi wa pili na kusababisha kujiuzulu kwa Waziri Mkuu na kuvunjika kwa baraza la Mawaziri hayakuwa mwisho. Kuna kila dalili kuwa kuna baadhi ya watu ambao waliumizwa na hadi hivi sasa hawajakubali "yaishe"

&lt;p&gt;Miongoni mwa watu ambao kwa hakika waliumizwa hisia zao, hadhi na sifa zao ni Mbunge wa Igunga Mhe. Rostam Aziz (CCM) ambaye wakati wa matukio hayo alidai kuwa ripoti iliyosomwa na Mwenyekiti wa Kamati Teule ya Bunge Mhe. Harrison Mwakyembe (Kyela - CCM) haikuwa sahihi na akadai kama vile wengine kuwa hakutendewa haki. &lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Juhudi za kujisafisha kwa wahusika mbalimbali wa Richmond zimekuwa zikiendelea na kwa namna fulani jukumu kubwa zaidi linamuangukia Bw. Rostam ambaye aidha kwa kujitwisha mwenyewe au kukubali kutumika inaonekana amekuwa akitumia kila aina ya njia upande mmoja kujibu mashambulizi ya wapinzani kwa kutumia vyombo vyake vya habari na upande wa pili kutilia shaka utendaji mzima wa Kamati Teule na hivyo kujaribu kuhoji maamuzi yote yaliyotolewa Bungeni&lt;/p&gt;

&lt;P&gt;Katika kikao kinachoendelea cha Bunge alitakiwa aje kutoa maelezo yake na kujibu hoja za Wabunge na kutoa utetezi wake. Mwishoni mwa juma alikuwa amejiandaa kutoa utetezi huo lakini kwa kile kinachodaiwa kuwa ni "unyeti" wa utetezi wake basi imeonekana si vyema kwa Bw. Rostam kujitetea Bungeni kwani italeta msukosuko mwingine nchini&lt;/p&gt;

&lt;P&gt;Kama hilo ni kweli au ni mojawapo ya karata za CCM binafsi siamini kuwa Rostam anaweza kusema chochote kile ambacho kinaweza kutuyumbisha kama Taifa na ambacho hatuwezi kukihimili. Tumeweza "kuchafuka kwa hali ya kisiasa Zanzibar", tumeweza kuhimila msiba wa Sokoine, tumeweza kuhimili "mizengwe" ya Kizota na kifo cha Katibu Mkuu Kolimba na kwa hakika tumeweza kuhimila kujiuzulu kwa WAziri Mkuu&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Naamini nchi yetu inaweza kuhimili msuko suko wowote ule wa kisiasa hata kama ni kujiuzulu kwa Rais aliyeko madarakani! Hata ikibidi Bunge zima kujiuzulu au kuvunjwa na kuitisha uchaguzi mwingine, TAifa letu lina uwezo wa kuhimili mambo hayo kwani Taifa ni kubwa zaidi kuliko kikundi fulani cha wanasiasa.&lt;/p&gt;

&lt;P&gt;Wito wangu leo ni kuwa kama Rostam analo la kusema na aliseme sasa asinyamazishwe tena wala kupigwa mkwara na chama chake. Kamas anaona hakutendewa haki yeye kama Raia basi anayo haki ya kujisafisha hadharani badala ya kulazimika kukaa kimya. Asije akafikiri kuwa ana mpango wa kuzungumza "huko mbeleni" lakini ikatokea kuwa yeye na utetezi wake wakanyamaza "milele" kama alivyonyamaza Bi. Amina Chifupa ambaye naye alitaka kupewa nafasi ya kujitetea lakini akazibwa mdomo. Natoa wito; kama Rostam unaamini una hoja &lt;B&gt;SIMAMA JITETEE NA JIELEZE&lt;/B&gt;&lt;/P&gt;
&lt;p&gt;Lakini swali kubwa ni &lt;b&gt;Rostam ana nini ambacho kinampa nguvu ya kutia mwashawasha Bungeni? Je anatikisha kiberiti kuona kama kimejaa&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-13T21_38_36-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-13T21_38_36-07_00</comments>
      <pubDate>Mon, 14 Apr 2008 04:38:36 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-04-14</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_849029.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Sakata la Richmond na mtikisiko wake bado havijaisha Bungeni. Kuna kila dalili kuwa yaliyotokea Bungeni mwezi wa pili na kusababisha kujiuzulu kwa Waziri Mkuu na kuvunjika kwa baraza la Mawaziri hayakuwa mwisho. Kuna kila dalili kuwa kuna baadhi ya watu ambao waliumizwa na hadi hivi sasa hawajakubali "yaishe"

Miongoni mwa watu ambao kwa hakika waliumizwa hisia zao, hadhi na sifa zao ni Mbunge wa Igunga Mhe. Rostam Aziz (CCM) ambaye wakati wa matukio hayo alidai kuwa ripoti iliyosomwa na Mwenyekiti wa Kamati Teule ya Bunge Mhe. Harrison Mwakyembe (Kyela - CCM) haikuwa sahihi na akadai kama vile wengine kuwa hakutendewa haki. 

Juhudi za kujisafisha kwa wahusika mbalimbali wa Richmond zimekuwa zikiendelea na kwa namna fulani jukumu kubwa zaidi linamuangukia Bw. Rostam ambaye aidha kwa kujitwisha mwenyewe au kukubali kutumika inaonekana amekuwa akitumia kila aina ya njia upande mmoja kujibu mashambulizi ya wapinzani kwa kutumia vyombo vyake vya habari na upande wa pili kutilia shaka utendaji mzima wa Kamati Teule na hivyo kujaribu kuhoji maamuzi yote yaliyotolewa Bungeni

Katika kikao kinachoendelea cha Bunge alitakiwa aje kutoa maelezo yake na kujibu hoja za Wabunge na kutoa utetezi wake. Mwishoni mwa juma alikuwa amejiandaa kutoa utetezi huo lakini kwa kile kinachodaiwa kuwa ni "unyeti" wa utetezi wake basi imeonekana si vyema kwa Bw. Rostam kujitetea Bungeni kwani italeta msukosuko mwingine nchini

Kama hilo ni kweli au ni mojawapo ya karata za CCM binafsi siamini kuwa Rostam anaweza kusema chochote kile ambacho kinaweza kutuyumbisha kama Taifa na ambacho hatuwezi kukihimili. Tumeweza "kuchafuka kwa hali ya kisiasa Zanzibar", tumeweza kuhimila msiba wa Sokoine, tumeweza kuhimili "mizengwe" ya Kizota na kifo cha Katibu Mkuu Kolimba na kwa hakika tumeweza kuhimila kujiuzulu kwa WAziri Mkuu

Naamini nchi yetu inaweza kuhimili msuko suko wowote ule wa kisiasa hata kama ni kujiuzulu kwa Rais aliyeko madarakani! Hata ikibidi Bunge zima kujiuzulu au kuvunjwa na kuitisha uchaguzi mwingine, TAifa letu lina uwezo wa kuhimili mambo hayo kwani Taifa ni kubwa zaidi kuliko kikundi fulani cha wanasiasa.

Wito wangu leo ni kuwa kama Rostam analo la kusema na aliseme sasa asinyamazishwe tena wala kupigwa mkwara na chama chake. Kamas anaona hakutendewa haki yeye kama Raia basi anayo haki ya kujisafisha hadharani badala ya kulazimika kukaa kimya. Asije akafikiri kuwa ana mpango wa kuzungumza "huko mbeleni" lakini ikatokea kuwa yeye na utetezi wake wakanyamaza "milele" kama alivyonyamaza Bi. Amina Chifupa ambaye naye alitaka kupewa nafasi ya kujitetea lakini akazibwa mdomo. Natoa wito; kama Rostam unaamini una hoja SIMAMA JITETEE NA JIELEZE
Lakini swali kubwa ni Rostam ana nini ambacho kinampa nguvu ya kutia mwashawasha Bungeni? Je anatikisha kiberiti kuona kama kimejaa</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>KLH Exclusive: &amp;quot;Mafuriko Kyela - 40,000 hatarini!&amp;quot; - Dr. Harrison Mwakyembe</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_847388.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;&lt;I&gt;Pichani baadhi ya wananchi wakijaribu kuvuka mto. Kidaraja hicho sasa hakipitiki tena. Picha kwa hisani ya Mjengwa&lt;/i&gt;&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Mvua za masika zimezidi kupamba moto nchini na zimekuwa zikisababisha mafuriko sehemu mbalimbali. Baadhi ya maeneo ambayo yamepata mafuriko ni pamoja na Vunjo, Same na Kyela. Hata hivyo hadi hivi sasa ni wilaya ya Kyela ambayo ina kata 15 ambazo kati ya hizo 11 zimepatwa na mafuriko makubwa . &lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Siku ya Jumamosi nimepata nafasi ya kuzungumza na Mbunge wa Jimbo la Kyela Dr. Harrison Mwakyembe (CCM) kuhusu athari za mafuriko hayo na mahitaji ya msaada. Kwa kifupi hali ilivyo ni kuwa:&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
&lt;b&gt;&lt;p&gt;
a. Kaya 9000 hazina mahali pa kuishi, zimekosa chakula, au athari ya moja kwa moja iliyotokana na mafukio hayo&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
b. Hadi hivi sasa watu wawili wamefariki
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
c. Madhara makubwa katika mashamba ya mpunga kiasi kwamba kuna uwezekano kuwa kwa mara ya kwanza Kyela itahemea chakula mwaka huu.
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
d. Mvua kubwa namna hii hazijawahi kunyesha Kyela kwa karibu miaka thelathini sasa. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
e. Juhudi za kuleta misaada zinaendelea ambapo JWTZ imepeleka kikosi chake cha Uhandisi, huku Msalaba Mwekundu wakiandaa misaada ya vitu mbalimbali. 
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Dr. Mwakyembe anaomba msaada wa Watanzania wote popote pale walipo kuweza kusaidia wananchi wenzao ambao ni kama wamepatwa na "Kimbunga cha Katrina" kwani wengi sasa wanaishi makanisani na kwenye mashule na afya zao ziko hatarini hasa kutokana na uwezekano mkubwa wa kuibuka mlipuko wa magonjwa yanayoambukizwa kwa maji kama typhoid, kuhara damu, salmonella, na pia ongezeko la Mbu wasababishao Malaria. 
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
Kwa yeyote aliyeko Dar, unaweza kutuma mchango wako kupitia:
&lt;P&gt;&lt;U&gt;
Kyela Development Fund
MNB Bank House
Acct No: 2013300198
&lt;/U&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Au Wasiliana na Dr. Mwakyembe kupitia simu Namba:&lt;u&gt; 255 754 284130&lt;/u&gt;&lt;/P&gt; kwa maelekeo ya kuweza kutoa mchango wako kupitia yeye mwenyewe&lt;/P&gt;&lt;/b&gt;

&lt;P&gt; Tafadhali sikiliza mahojiano yangu na Dr. Mwakyembe. KLH News imeahidi kutoa msaada wa Shilingi laki mbili kama sehemu ya jitihada za kuwasaidia wananchi wa Kyela&lt;/P&gt;

</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-12T18_55_53-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-12T18_55_53-07_00</comments>
      <pubDate>Sun, 13 Apr 2008 01:55:53 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-04-13</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-04-12T18_55_53-07_00.mp3" length="19287629"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_847388.jpg"/>
      <itunes:duration>1322</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Pichani baadhi ya wananchi wakijaribu kuvuka mto. Kidaraja hicho sasa hakipitiki tena. Picha kwa hisani ya Mjengwa

Mvua za masika zimezidi kupamba moto nchini na zimekuwa zikisababisha mafuriko sehemu mbalimbali. Baadhi ya maeneo ambayo yamepata mafuriko ni pamoja na Vunjo, Same na Kyela. Hata hivyo hadi hivi sasa ni wilaya ya Kyela ambayo ina kata 15 ambazo kati ya hizo 11 zimepatwa na mafuriko makubwa . 

Siku ya Jumamosi nimepata nafasi ya kuzungumza na Mbunge wa Jimbo la Kyela Dr. Harrison Mwakyembe (CCM) kuhusu athari za mafuriko hayo na mahitaji ya msaada. Kwa kifupi hali ilivyo ni kuwa:

a. Kaya 9000 hazina mahali pa kuishi, zimekosa chakula, au athari ya moja kwa moja iliyotokana na mafukio hayo

b. Hadi hivi sasa watu wawili wamefariki

c. Madhara makubwa katika mashamba ya mpunga kiasi kwamba kuna uwezekano kuwa kwa mara ya kwanza Kyela itahemea chakula mwaka huu.

d. Mvua kubwa namna hii hazijawahi kunyesha Kyela kwa karibu miaka thelathini sasa. 

e. Juhudi za kuleta misaada zinaendelea ambapo JWTZ imepeleka kikosi chake cha Uhandisi, huku Msalaba Mwekundu wakiandaa misaada ya vitu mbalimbali. 

Dr. Mwakyembe anaomba msaada wa Watanzania wote popote pale walipo kuweza kusaidia wananchi wenzao ambao ni kama wamepatwa na "Kimbunga cha Katrina" kwani wengi sasa wanaishi makanisani na kwenye mashule na afya zao ziko hatarini hasa kutokana na uwezekano mkubwa wa kuibuka mlipuko wa magonjwa yanayoambukizwa kwa maji kama typhoid, kuhara damu, salmonella, na pia ongezeko la Mbu wasababishao Malaria. 

Kwa yeyote aliyeko Dar, unaweza kutuma mchango wako kupitia:

Kyela Development Fund
MNB Bank House
Acct No: 2013300198

Au Wasiliana na Dr. Mwakyembe kupitia simu Namba: 255 754 284130 kwa maelekeo ya kuweza kutoa mchango wako kupitia yeye mwenyewe

 Tafadhali sikiliza mahojiano yangu na Dr. Mwakyembe. KLH News imeahidi kutoa msaada wa Shilingi laki mbili kama sehemu ya jitihada za kuwasaidia wananchi wa Kyela

</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Richmond na EPA: Pinda ameanza kupinda maneno?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_845098.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kweli najaribu kujizuia kumkosoa au kuangalia kwa ukaribu kauli za Waziri Mkuu Mpya Bw. Mizengo Pinda na kama nilivyosema awali kuwa bado yeye na timu yake nawapa muda angalau wa miezi sita hivi ili waweze kujionesha kuwa wanaweza kweli kukabili changamoto za Taifa letu tutawaweka kwenye kundi la "wale wale".

&lt;p&gt;Walipotangazwa nilisema kuwa ninawapa asilimia 100 ya imani yangu kwao na mimi kama wengine tunasubiri ni kwa kiasi gani wataitunza hiyo imani siku kwa siku katika utendaji wao&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Kwa vile siyo lengo langu kuonesha udhaifu wa kauli za Waziri Mkuu na maana iliyofichika ndani yake, ninajikuta basi leo katika kuwaza kuuliza tu kama kauli za Waziri Mkuu kwa vyombo vya habari zinapimwa vizuri au ni za papo kwa hapo?"&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Kwamba ni kwa kiasi gani Waziri mkuu anapozungumzia suala la mapendekezo ya Bunge kuhusu suala la Richmond yeye anasema hivi: &lt;b&gt;Kama Spika ataona ni vema kunipa nafasi katika Bunge hili, nitatoa taarifa ya baadhi ya mapendekezo yaliyotolewa kwa hatua za awali, na kama nitakosa nafasi, Bunge lijalo taarifa yote ya mapendekezo inaweza ikatolewa ikiwa imekamilika&lt;/b&gt; &lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Mwanzoni nilidhani kuwa yeye kama Waziri Mkuu na ambaye ndiye msimamizi wa shughuli za serikali Bungeni ana uwezo wa kumtaarifu Spika kuwa ana taarifa muhimu kuhusu Richmond. Iweje sasa amemrudishia mpira spika? Ina maana kama Spika asipompa nafasi ndiyo imetoka hiyo?&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Na kuhusu suala la EPA alisema kitu kimoja ambacho nadhani kinahitaji majibu kuhusu imani ya Waziri Mkuu kuhusu Mahakama zetu au maana nzima ya kuamua kufuata mahakama ili kupata au kutafuta haki. Alisema kwanini waliamua kutaka fedha zirudishwe kwanza &lt;b&gt;"Usipojipanga vizuri unaweza kukurupuka kuwashtaki na wakakushinda, hivyo utapoteza vyote, kesi umeshindwa na fedha hujapata, sasa serikali kwanza inaona cha muhimu ni kupata fedha zake, mambo mengine baadae"&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;

Sasa mimi nauliza, kama hana la kusema ni lazima aseme kitu ilimradi aseme? Kama jambo hajalipangia kauli nzuri kwanini kutumia kauli zenye utata kama hizi? Je, ameanza kupinda maneno? Au tuendelee kumpa muda kidogo ajifunze kutokana na makosa. Je anaye mwandishi wa hotuba?</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-10T22_16_11-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-10T22_16_11-07_00</comments>
      <pubDate>Fri, 11 Apr 2008 05:16:11 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-04-11</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_845098.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Kwa kweli najaribu kujizuia kumkosoa au kuangalia kwa ukaribu kauli za Waziri Mkuu Mpya Bw. Mizengo Pinda na kama nilivyosema awali kuwa bado yeye na timu yake nawapa muda angalau wa miezi sita hivi ili waweze kujionesha kuwa wanaweza kweli kukabili changamoto za Taifa letu tutawaweka kwenye kundi la "wale wale".

Walipotangazwa nilisema kuwa ninawapa asilimia 100 ya imani yangu kwao na mimi kama wengine tunasubiri ni kwa kiasi gani wataitunza hiyo imani siku kwa siku katika utendaji wao

Kwa vile siyo lengo langu kuonesha udhaifu wa kauli za Waziri Mkuu na maana iliyofichika ndani yake, ninajikuta basi leo katika kuwaza kuuliza tu kama kauli za Waziri Mkuu kwa vyombo vya habari zinapimwa vizuri au ni za papo kwa hapo?"

Kwamba ni kwa kiasi gani Waziri mkuu anapozungumzia suala la mapendekezo ya Bunge kuhusu suala la Richmond yeye anasema hivi: Kama Spika ataona ni vema kunipa nafasi katika Bunge hili, nitatoa taarifa ya baadhi ya mapendekezo yaliyotolewa kwa hatua za awali, na kama nitakosa nafasi, Bunge lijalo taarifa yote ya mapendekezo inaweza ikatolewa ikiwa imekamilika 

Mwanzoni nilidhani kuwa yeye kama Waziri Mkuu na ambaye ndiye msimamizi wa shughuli za serikali Bungeni ana uwezo wa kumtaarifu Spika kuwa ana taarifa muhimu kuhusu Richmond. Iweje sasa amemrudishia mpira spika? Ina maana kama Spika asipompa nafasi ndiyo imetoka hiyo?

Na kuhusu suala la EPA alisema kitu kimoja ambacho nadhani kinahitaji majibu kuhusu imani ya Waziri Mkuu kuhusu Mahakama zetu au maana nzima ya kuamua kufuata mahakama ili kupata au kutafuta haki. Alisema kwanini waliamua kutaka fedha zirudishwe kwanza "Usipojipanga vizuri unaweza kukurupuka kuwashtaki na wakakushinda, hivyo utapoteza vyote, kesi umeshindwa na fedha hujapata, sasa serikali kwanza inaona cha muhimu ni kupata fedha zake, mambo mengine baadae"

Sasa mimi nauliza, kama hana la kusema ni lazima aseme kitu ilimradi aseme? Kama jambo hajalipangia kauli nzuri kwanini kutumia kauli zenye utata kama hizi? Je, ameanza kupinda maneno? Au tuendelee kumpa muda kidogo ajifunze kutokana na makosa. Je anaye mwandishi wa hotuba?</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>CCM na CUF Zanzibar - Hivi ni visiwa vyao?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_832610.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Naomba nikiri kuwa hakuna wakati ambao nimejisikia "hamnazo" kama nilivyofuatilia mazingaombwe na vichekesho visivyochekesha vya CCM na CUF kuhusu muafaka wa Zanzibar.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Nimejikuta nikiamini kitu kimoja kuwa vyama hivi viwili vinafanya mzaha na hisia za watu na havina lengo la kweli la kutafuta suluhisho la suala hili hasa kila moja kikijaribu kumtega mwenzake kana kwamba watoto wanaocheza mchangani.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Hivi kama kweli wanataka muafaka kwanini Kamati Kuu za vyama vyao zisikae chini na kuamua kufanya majadilliano huku wakitoa nafasi kwa wadau wengine wa visiwa hivyo? Kwanini suala la utawala wa visiwa hivyo uwe mikononi mwa wanasiasa tu kana kwamba hakuna jumuiya nyingine katika visiwa hivyo. Michango ya taasisi za kiraia iko vipi na maslahi yao yanaangaliwa na nani katika mijadala hii&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Hivi ni kitu gani kitalazimisha waone umuhimu wa kuhakikisha kuwa Zanzibar inakuwa na mfumo mzuri wa siasa? Na kwanini wafikiri kuwa kile kinachotakiwa Zanzibar Bara hakitakiwi? Kwanini wafikirie kuwa na serikali ya Mseto (ushirikiano) kule visiwani lakini Bara CCM haitaki ushirikiano. Sasa na bara nako wakiwa na uchaguzi unaopishana kwa asilimia 1 au mbili wakae chini na kuanza majadiliano ya muafaka na uundwaji wa serikali yamseto?!&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Binafsi nimekerwa na jinsi vyama hivi vinavyotuendesha kana kwamba sisi sote hamnazo na wanazungushana hadi mmoja afikie mwisho na kusema "imetosha"!&lt;/p&gt;

&lt;p&gt; Tufanye nini kuhusu Zanzibar na hususan kuhusu vyama hivi viwili ambavyo vinajaribu kugawiana utawala wa visiwa hivyo kana kwamba vimeumbwa kutawala kule milele na ya kuwa ni wao pekee wenye akili na mawazo ya kuviendesha?&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-02T22_55_06-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-04-02T22_55_06-07_00</comments>
      <pubDate>Thu, 03 Apr 2008 05:55:06 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-22</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-04-03</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_832610.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Naomba nikiri kuwa hakuna wakati ambao nimejisikia "hamnazo" kama nilivyofuatilia mazingaombwe na vichekesho visivyochekesha vya CCM na CUF kuhusu muafaka wa Zanzibar.

Nimejikuta nikiamini kitu kimoja kuwa vyama hivi viwili vinafanya mzaha na hisia za watu na havina lengo la kweli la kutafuta suluhisho la suala hili hasa kila moja kikijaribu kumtega mwenzake kana kwamba watoto wanaocheza mchangani.

Hivi kama kweli wanataka muafaka kwanini Kamati Kuu za vyama vyao zisikae chini na kuamua kufanya majadilliano huku wakitoa nafasi kwa wadau wengine wa visiwa hivyo? Kwanini suala la utawala wa visiwa hivyo uwe mikononi mwa wanasiasa tu kana kwamba hakuna jumuiya nyingine katika visiwa hivyo. Michango ya taasisi za kiraia iko vipi na maslahi yao yanaangaliwa na nani katika mijadala hii

Hivi ni kitu gani kitalazimisha waone umuhimu wa kuhakikisha kuwa Zanzibar inakuwa na mfumo mzuri wa siasa? Na kwanini wafikiri kuwa kile kinachotakiwa Zanzibar Bara hakitakiwi? Kwanini wafikirie kuwa na serikali ya Mseto (ushirikiano) kule visiwani lakini Bara CCM haitaki ushirikiano. Sasa na bara nako wakiwa na uchaguzi unaopishana kwa asilimia 1 au mbili wakae chini na kuanza majadiliano ya muafaka na uundwaji wa serikali yamseto?!

Binafsi nimekerwa na jinsi vyama hivi vinavyotuendesha kana kwamba sisi sote hamnazo na wanazungushana hadi mmoja afikie mwisho na kusema "imetosha"!

 Tufanye nini kuhusu Zanzibar na hususan kuhusu vyama hivi viwili ambavyo vinajaribu kugawiana utawala wa visiwa hivyo kana kwamba vimeumbwa kutawala kule milele na ya kuwa ni wao pekee wenye akili na mawazo ya kuviendesha?</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Exclusive Report: Msikilize Msekwa akitoa tamko la NEC Butiama</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_827032.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Unaweza kusikiliza hotuba ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Bw. Pius Msekwa kupitia http://www.klnews.com kwenye eneo la "Podcast" na unaweza kutoa maoni yako.</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-30T19_08_04-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-30T19_08_04-07_00</comments>
      <pubDate>Mon, 31 Mar 2008 02:08:04 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-19</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-03-31</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>akitoa,butiama,exclusive,la,msekwa,msikilize,nec,report:,tamko</itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_827032.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Unaweza kusikiliza hotuba ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Bw. Pius Msekwa kupitia http://www.klnews.com kwenye eneo la "Podcast" na unaweza kutoa maoni yako.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Bila CCM Madhubuti? - Mwalimu alisema kweli...</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_824920.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Mwanzoni sikuyaelewa maneno ya Baba wa Taifa Mwl. J.K. Nyerere kuwa &#8220;Bila CCM Madhubuti nchi yetu itayumba&#8221;.  Nilifirikia kuwa alimaanisha &#8220;Bila CCM&#8221; nchi yetu itayumba, na pia nilidhania alimaanisha kuwa &#8220;Bila viongozi wa CCM&#8221; nchi yetu itayumba. Miaka hii ilivyopita na hasa baada ya matukio yaliyolikumba Taifa letu ndio maana hasa ya maneno yake imeanza kuniingia na kwa hakika nimekubali kuwa bila Chama cha Mapinduzi ambacho ni &#8220;madhubuti&#8221; basi Taifa letu liko matatani, na kwa hakika litayumba. &lt;/p&gt;
&lt;p&gt;Kabla hujaanza kunirarua nisikilize hapa au kwenye http://www.klhnews.com&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-28T22_48_56-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-28T22_48_56-07_00</comments>
      <pubDate>Sat, 29 Mar 2008 05:48:56 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-03-29</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-03-28T22_48_56-07_00.mp3" length="21158791"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_824920.jpg"/>
      <itunes:duration>1452</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Mwanzoni sikuyaelewa maneno ya Baba wa Taifa Mwl. J.K. Nyerere kuwa &#8220;Bila CCM Madhubuti nchi yetu itayumba&#8221;.  Nilifirikia kuwa alimaanisha &#8220;Bila CCM&#8221; nchi yetu itayumba, na pia nilidhania alimaanisha kuwa &#8220;Bila viongozi wa CCM&#8221; nchi yetu itayumba. Miaka hii ilivyopita na hasa baada ya matukio yaliyolikumba Taifa letu ndio maana hasa ya maneno yake imeanza kuniingia na kwa hakika nimekubali kuwa bila Chama cha Mapinduzi ambacho ni &#8220;madhubuti&#8221; basi Taifa letu liko matatani, na kwa hakika litayumba. 
Kabla hujaanza kunirarua nisikilize hapa au kwenye http://www.klhnews.com</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Kikao cha NEC Butiama - tutarajie makuu?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_823562.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kinafanyika mwishoni mwa juma hili huko Butiama, Mkoani Mara, mahalia ambapo Baba wa Taifa Mwl. Julius Nyerere alizaliwa na kuzikwa. Kikao hiki kinasubiriwa kwa hamu na watu wengi wakiamini kuwa kuna mambo makubwa ambayo yanaweza kutolewa maamuzi huko.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Baadhi ya mambo ambayo yanasubiriwa kwa hamu ni pamoja na NEC kutoa baraka na kuridhia makubaliano kati ya CCM na CUF kuhusu hali ya kisiasa huko Zanzibar na hasa uwezekano wa uundwaji wa serikali ya Mseto visiwani humo na pia suala la hali ya kisiasa nchini kwa ujumla.&lt;/p?
&lt;p&gt;Hata hivyo kinachosubiriwa kwa hamu ni uamuzi wa chombo hicho kikubwa chini cha CCM kuhusu masuala kadhaa ambayo yanahusiana na hali halisi nchini. Kubwa zaidi ni msimamo wa CCM kuhusu ufisadi uliojidhihirisha kwenye Benki Kuu na kama CCM itakuwa jasiri kuagiza chombo hicho kizima kichunguzwe na kufanyiwa mabadiliko makubwa kuliko ilivyo sasa.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt; Hata hivyo uwezekano ambao naweza kuuona ni kuwa CCM itatoa kauli ya kuunga mkono juhudi za Rais Kikwete kupambana na ufisadi na sidhani kama wataenda zaidi ya hapo. &lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Kwa watu wengine hata hivyo kinachosubiriwa ni kuona ni jinsi gani CCM itawashughulikia wanachama wake ambao wametajwa kuhusika na vitendo vya kifisadi na hasa wale waliotajwa katika ripoti ya Kamati Teule ya Bunge iliyoongozwa na Dr. Harrison Mwakyembe. Baadhi ya watu wanaamini kuwa viongozi kama Lowassa, Msabaha, Karamagi na Rostam wanaweza kuchukuliwa hatua mbalimbali za kinidhamu ikiwemo kukaripiwa, onyo kali, kusimamishwa kugombea na hata kuvuliwa uanachama.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Kwa maoni yangu hata hivyo sioni kama CCM itachukua hatua zozote za kinidhamu dhidi ya wanachama wake hao kwa sababu moja kubwa mbili. Kwanza, kinachosemwa kwenye NEC hakina kinga hivyo mtu akitoa tuhuma anakuwa  na mzigo wa kuzithibisha vinginevyo anaweza kujikuta matatani. Pili, mahusiano ya viongozi wa juu wa chama hicho na watu wanaotajwa kuhusika na ufisadi yameshikana sana kiasi kwamba itakuwa vigumu kwa wao kuwanyoshea wengine vidole bila ya wao wenyewe kujinyoshea. &lt;/p&gt;

&lt;p&gt; Pamoja na hayo, naamini kama kuna mmoja anayeweza kupewa angalau onyo itakuwa ni Lowassa hasa baada ya kitendo chake cha kwenda kwenye TVT na kwa namna fulani kujaribu kulishambulia Bunge.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Hivyo basi licha ya hamu ya watu wengi, kikao hiki chaweza kuwa ni cha kawaida kabisa na hakuna lolote kubwa ambalo laweza kutokea. Hata hivyo, CCM imewahi kuwashangaza watu huko nyuma na msishangae ikaja na mambo ambayo yatatufanya sisi sote kubakia vinywa wazi kwa ujasiri wake na hasa kama watathubutu kufanya kile ambacho hakuna anayedhani watafanya. Wakifanya hivyo ina maana hatimaye CCM wamesoma alama za nyakati na wako tayari kubadilika&lt;/P&gt;

&lt;p&gt;Na kubwa ambalo wanaweza kufanya ni kutolea tamko suala la Rais Mstaafu Bw. Benjamin Mkapa na Waziri wake wa Madini Bw. Daniel Yona kujipatia mradi wa Kiwira wakiwa madarakani na kuwataka waachilie mradi huo kwani ni mgongano mkubwa wa maslahi. Hilo litaishtua Tanzania na kuanza nyakati mpya za maadili katika uongozi&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-27T22_19_11-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-27T22_19_11-07_00</comments>
      <pubDate>Fri, 28 Mar 2008 05:19:11 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-03-28</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_823562.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kinafanyika mwishoni mwa juma hili huko Butiama, Mkoani Mara, mahalia ambapo Baba wa Taifa Mwl. Julius Nyerere alizaliwa na kuzikwa. Kikao hiki kinasubiriwa kwa hamu na watu wengi wakiamini kuwa kuna mambo makubwa ambayo yanaweza kutolewa maamuzi huko.

Baadhi ya mambo ambayo yanasubiriwa kwa hamu ni pamoja na NEC kutoa baraka na kuridhia makubaliano kati ya CCM na CUF kuhusu hali ya kisiasa huko Zanzibar na hasa uwezekano wa uundwaji wa serikali ya Mseto visiwani humo na pia suala la hali ya kisiasa nchini kwa ujumla.Hata hivyo kinachosubiriwa kwa hamu ni uamuzi wa chombo hicho kikubwa chini cha CCM kuhusu masuala kadhaa ambayo yanahusiana na hali halisi nchini. Kubwa zaidi ni msimamo wa CCM kuhusu ufisadi uliojidhihirisha kwenye Benki Kuu na kama CCM itakuwa jasiri kuagiza chombo hicho kizima kichunguzwe na kufanyiwa mabadiliko makubwa kuliko ilivyo sasa.

 Hata hivyo uwezekano ambao naweza kuuona ni kuwa CCM itatoa kauli ya kuunga mkono juhudi za Rais Kikwete kupambana na ufisadi na sidhani kama wataenda zaidi ya hapo. 

Kwa watu wengine hata hivyo kinachosubiriwa ni kuona ni jinsi gani CCM itawashughulikia wanachama wake ambao wametajwa kuhusika na vitendo vya kifisadi na hasa wale waliotajwa katika ripoti ya Kamati Teule ya Bunge iliyoongozwa na Dr. Harrison Mwakyembe. Baadhi ya watu wanaamini kuwa viongozi kama Lowassa, Msabaha, Karamagi na Rostam wanaweza kuchukuliwa hatua mbalimbali za kinidhamu ikiwemo kukaripiwa, onyo kali, kusimamishwa kugombea na hata kuvuliwa uanachama.

Kwa maoni yangu hata hivyo sioni kama CCM itachukua hatua zozote za kinidhamu dhidi ya wanachama wake hao kwa sababu moja kubwa mbili. Kwanza, kinachosemwa kwenye NEC hakina kinga hivyo mtu akitoa tuhuma anakuwa  na mzigo wa kuzithibisha vinginevyo anaweza kujikuta matatani. Pili, mahusiano ya viongozi wa juu wa chama hicho na watu wanaotajwa kuhusika na ufisadi yameshikana sana kiasi kwamba itakuwa vigumu kwa wao kuwanyoshea wengine vidole bila ya wao wenyewe kujinyoshea. 

 Pamoja na hayo, naamini kama kuna mmoja anayeweza kupewa angalau onyo itakuwa ni Lowassa hasa baada ya kitendo chake cha kwenda kwenye TVT na kwa namna fulani kujaribu kulishambulia Bunge.

Hivyo basi licha ya hamu ya watu wengi, kikao hiki chaweza kuwa ni cha kawaida kabisa na hakuna lolote kubwa ambalo laweza kutokea. Hata hivyo, CCM imewahi kuwashangaza watu huko nyuma na msishangae ikaja na mambo ambayo yatatufanya sisi sote kubakia vinywa wazi kwa ujasiri wake na hasa kama watathubutu kufanya kile ambacho hakuna anayedhani watafanya. Wakifanya hivyo ina maana hatimaye CCM wamesoma alama za nyakati na wako tayari kubadilika

Na kubwa ambalo wanaweza kufanya ni kutolea tamko suala la Rais Mstaafu Bw. Benjamin Mkapa na Waziri wake wa Madini Bw. Daniel Yona kujipatia mradi wa Kiwira wakiwa madarakani na kuwataka waachilie mradi huo kwani ni mgongano mkubwa wa maslahi. Hilo litaishtua Tanzania na kuanza nyakati mpya za maadili katika uongozi</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Msiba Michigan - Mama Suma Ngonyani</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_822150.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;it is with sorrow and regrets that I inform you about&lt;br /&gt;
the passing of Mrs Suma Mwankenja Ngonyani who died  &lt;br /&gt;
in the early hours of Monday March 24, 2008 in Lansing&lt;br /&gt;
Michigan.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
The late Suma was suffering from celvical cancer and&lt;br /&gt;
was under going treatment till the time of her death.&lt;br /&gt;

Please pray for Suma to have a peaceful resting place,&lt;br /&gt;
and that her husband Prof. Deo Ngonyani, children and family&lt;br /&gt;
will have strength through this difficult time. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
The body of Mama Suma is expected to be returned home to Tanzania&lt;br /&gt;
for burial in the coming days. In order to accomplish&lt;br /&gt;
this, we ask for your help in raising the necessary&lt;br /&gt;
funds to make it possible. A memorial account has been&lt;br /&gt;
opened with the following information.&lt;br /&gt;

&lt;br /&gt;
SUMA MWANKENJA MEMORIAL ACCOUNT&lt;br /&gt;
M.S.U.F.C.U (Michigan State University Federal Credit Union)&lt;br /&gt;
P.O. BOX 1208 EAST LANSING&lt;br /&gt;
MICHIGAN, 48826&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;b&gt;Account # 34627707&lt;br /&gt;
Routing # 272479663&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
If you have any question please call&lt;br /&gt;

&lt;br /&gt;
Deo Ngonyani - 517 614 3543&lt;br /&gt;
Frank Mwakasisi - 269 321 9900&lt;br /&gt;
Martin Korosso - 734 239 3935&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Thanking you in advance&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Martin.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunawapa pole familia nzima ya kina Ngonyani na Mwankenja kufuatia msiba huu mkubwa.&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-26T22_40_27-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-26T22_40_27-07_00</comments>
      <pubDate>Thu, 27 Mar 2008 05:40:27 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-19</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-03-27</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>mama,michigan,msiba,nyonyani,suma</itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_822150.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>it is with sorrow and regrets that I inform you about
the passing of Mrs Suma Mwankenja Ngonyani who died  
in the early hours of Monday March 24, 2008 in Lansing
Michigan.

The late Suma was suffering from celvical cancer and
was under going treatment till the time of her death.

Please pray for Suma to have a peaceful resting place,
and that her husband Prof. Deo Ngonyani, children and family
will have strength through this difficult time. 

The body of Mama Suma is expected to be returned home to Tanzania
for burial in the coming days. In order to accomplish
this, we ask for your help in raising the necessary
funds to make it possible. A memorial account has been
opened with the following information.


SUMA MWANKENJA MEMORIAL ACCOUNT
M.S.U.F.C.U (Michigan State University Federal Credit Union)
P.O. BOX 1208 EAST LANSING
MICHIGAN, 48826

Account # 34627707
Routing # 272479663

If you have any question please call


Deo Ngonyani - 517 614 3543
Frank Mwakasisi - 269 321 9900
Martin Korosso - 734 239 3935

Thanking you in advance

Martin.

Tunawapa pole familia nzima ya kina Ngonyani na Mwankenja kufuatia msiba huu mkubwa.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Operesheni Demokrasia Comoro - Wangwe angekaa kimya!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_819040.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Saa na wakati huu vikosi vya majeshi ya Jumuiya ya Afrika vimeanza mapambano ya kukikomboa kisiwa cha Anjouan ili hatimaye kurudi katika shirikisho la Comoro. Vikosi hivyo vikiongozwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania wanashiriki katika Operesheni Demokrasia Komoro yenye lengo la kumuondoa Rais aliyejipachika Bw. Mohammed Bacar.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Hivyo saa na wakati kama huu ambapo vijana wetu wako katika hali ya hatari na ambapo wanayaweka maisha yao hatarini ni kitendo cha kutokuwajibika kwa mwanasiasa kama Wangwe kudai kuwa Rais amevunja Katiba wakati kipengele alichokinukuu hakihusiki na mapigano haya. Kitendo cha kutumia mapigano hayo kujipatia pointi za kisiasa nakipinga na kinaonesha ni jinsi gani Bw. Wangwe siyo tu hajui Katiba lakini wakati wanajeshi wetu wako kwenye mapigano yeye anaongoza jitihada za kuwavunja moyo.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Kama raia wa Tanzania naomba nitumie nafasi hii kutuma salamu za ushindi kwa Jeshi la Wananchi, kwa Amiri Jeshi Mkuu na kwa makamanda na wapiganaji wote huko Comoro ili hatimaye wafanye kazi tuliyowatuma kwa haraka, ufanisi na kuhakikisha kuwa maisha ya raia yanalindwa kwa kiasi chote kinachowezekana.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Saa na wakati kama huu, hakuna Chadema, CUF, CCM au SAUT Tanzania ni moja na hatima yake ni moja, na ni jukumu la kila raia kusimama na kutakia ushindi vikosi vyetu na haya mambo ya kulalamika yaje baadaye siyo wakati risasi zinarushwa.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;&lt;b&gt;
Kwa jeshi letu, USHINDI NI LAZIMA!&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;&lt;b&gt;
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Afrika.&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

NB: Kwa matangazo yangu ya leo nikichambua hoja dhaifu za Mhe. Wangwe kama zilivyosikika BBC tafadhali tembelea http://www.klhnews.com na usisahau kutumia search injini yetu pale.&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-24T22_32_09-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-24T22_32_09-07_00</comments>
      <pubDate>Tue, 25 Mar 2008 05:32:09 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-03-25</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>angekaa,comoro,demokrasia,kimya!,operesheni,wangwe</itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-03-24T22_32_09-07_00.mp3" length="21418318"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_819040.jpg"/>
      <itunes:duration>1470</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Saa na wakati huu vikosi vya majeshi ya Jumuiya ya Afrika vimeanza mapambano ya kukikomboa kisiwa cha Anjouan ili hatimaye kurudi katika shirikisho la Comoro. Vikosi hivyo vikiongozwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania wanashiriki katika Operesheni Demokrasia Komoro yenye lengo la kumuondoa Rais aliyejipachika Bw. Mohammed Bacar.

Hivyo saa na wakati kama huu ambapo vijana wetu wako katika hali ya hatari na ambapo wanayaweka maisha yao hatarini ni kitendo cha kutokuwajibika kwa mwanasiasa kama Wangwe kudai kuwa Rais amevunja Katiba wakati kipengele alichokinukuu hakihusiki na mapigano haya. Kitendo cha kutumia mapigano hayo kujipatia pointi za kisiasa nakipinga na kinaonesha ni jinsi gani Bw. Wangwe siyo tu hajui Katiba lakini wakati wanajeshi wetu wako kwenye mapigano yeye anaongoza jitihada za kuwavunja moyo.

Kama raia wa Tanzania naomba nitumie nafasi hii kutuma salamu za ushindi kwa Jeshi la Wananchi, kwa Amiri Jeshi Mkuu na kwa makamanda na wapiganaji wote huko Comoro ili hatimaye wafanye kazi tuliyowatuma kwa haraka, ufanisi na kuhakikisha kuwa maisha ya raia yanalindwa kwa kiasi chote kinachowezekana.

Saa na wakati kama huu, hakuna Chadema, CUF, CCM au SAUT Tanzania ni moja na hatima yake ni moja, na ni jukumu la kila raia kusimama na kutakia ushindi vikosi vyetu na haya mambo ya kulalamika yaje baadaye siyo wakati risasi zinarushwa.


Kwa jeshi letu, USHINDI NI LAZIMA!

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Afrika.

NB: Kwa matangazo yangu ya leo nikichambua hoja dhaifu za Mhe. Wangwe kama zilivyosikika BBC tafadhali tembelea http://www.klhnews.com na usisahau kutumia search injini yetu pale.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Muziki wa Fresh Jumbe</title>
      <description>umependekezwa na Advocate Jasha:

&lt;object width="425" height="355"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/z9VzIPH3yos&amp;hl=en"&gt;&lt;/param&gt;&lt;param name="wmode" value="transparent"&gt;&lt;/param&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/v/z9VzIPH3yos&amp;hl=en" type="application/x-shockwave-flash" wmode="transparent" width="425" height="355"&gt;&lt;/embed&gt;&lt;/object&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-17T09_18_07-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-17T09_18_07-07_00</comments>
      <pubDate>Mon, 17 Mar 2008 16:18:07 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-03-17</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>umependekezwa na Advocate Jasha:

</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Sisi tumepotea wapi?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_893248.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Ndugu zangu, mlolongo wa matukio ambayo yameliandama Taifa letu kwa miaka kadhaa sasa na ambayo kilele chake bado hatujui kitafikia lini yanathibitisha jambo moja kubwa, kwamba sisi kama Taifa kuna mahali tumekwenda kombo. Kuna mahali ambapo sisi kama taifa tumepotea njia na hatuko tayari kukubali kuwa tumepotea na matokeo yake tumeendelea kufuata njia ile ile ya upotevu tukiamini kuwa huko mbeleni mambo yatanyoka. &lt;/p&gt;&lt;P&gt;

Je, Tanzania tunayoiona leo hii, ndiyo hii ambayo tuliitaka na ambayo wazee wetu waliitaka? Je hii ndiyo nchi ambayo tulipotaka uhuru ndiyo tulikuwa tunaiwazia? Nchi ambayo tulisema iwe ni yenye "watu huru na sawa" na ambayo kila "mtu ana haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake"? Je matukio ya Tabata siku chache zilizopita ambapo nyumba kadhaa zilibomolewa kiuonevu (kama inavyoonekana pichani) ni dalili ya nchi tuliyoitaka au ni dalili ya nchi iliyokwenda kombo? 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Tufanye nini basi? tukubali kuwa "lililokuwa limekuwa, na liwalo liwe"? Je tukubali kuwa hivi ndivyo "waafrika tulivyo" na tusalimu amri mbele ya roho ya kukata tamaa? &lt;/p&gt;
&lt;p&gt;&lt;b&gt;Picha toka kwa "Mzee wa Sumo"&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-16T22_32_46-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-16T22_32_46-07_00</comments>
      <pubDate>Mon, 17 Mar 2008 05:32:46 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-03-17</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-03-16T22_32_46-07_00.mp3" length="19778664"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_893248.jpg"/>
      <itunes:duration>1358</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Ndugu zangu, mlolongo wa matukio ambayo yameliandama Taifa letu kwa miaka kadhaa sasa na ambayo kilele chake bado hatujui kitafikia lini yanathibitisha jambo moja kubwa, kwamba sisi kama Taifa kuna mahali tumekwenda kombo. Kuna mahali ambapo sisi kama taifa tumepotea njia na hatuko tayari kukubali kuwa tumepotea na matokeo yake tumeendelea kufuata njia ile ile ya upotevu tukiamini kuwa huko mbeleni mambo yatanyoka. 

Je, Tanzania tunayoiona leo hii, ndiyo hii ambayo tuliitaka na ambayo wazee wetu waliitaka? Je hii ndiyo nchi ambayo tulipotaka uhuru ndiyo tulikuwa tunaiwazia? Nchi ambayo tulisema iwe ni yenye "watu huru na sawa" na ambayo kila "mtu ana haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake"? Je matukio ya Tabata siku chache zilizopita ambapo nyumba kadhaa zilibomolewa kiuonevu (kama inavyoonekana pichani) ni dalili ya nchi tuliyoitaka au ni dalili ya nchi iliyokwenda kombo? 

Tufanye nini basi? tukubali kuwa "lililokuwa limekuwa, na liwalo liwe"? Je tukubali kuwa hivi ndivyo "waafrika tulivyo" na tusalimu amri mbele ya roho ya kukata tamaa? 
Picha toka kwa "Mzee wa Sumo"</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Sikiliza KLHN Live Entertainment</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_893250.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Wikendi hii tunafanya majaribio ya kurusha matangazo moja kwa moja toka studio zetu nje kidogo ya "jiji la Detroit". Tafadhali aribu kusikiliza hapo chini kwenye sehemu inayosema "listen live" kuna picha ya mcheza soka Thiery Henry.  Tafadhali tuandikie feedback yako klhnews@klhnews.com, ili tuamue kama hili ni wazo zuri au la. Ingia http://www.klhnews.com</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-14T21_48_32-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-14T21_48_32-07_00</comments>
      <pubDate>Sat, 15 Mar 2008 04:48:32 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-03-15</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_893250.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Wikendi hii tunafanya majaribio ya kurusha matangazo moja kwa moja toka studio zetu nje kidogo ya "jiji la Detroit". Tafadhali aribu kusikiliza hapo chini kwenye sehemu inayosema "listen live" kuna picha ya mcheza soka Thiery Henry.  Tafadhali tuandikie feedback yako klhnews@klhnews.com, ili tuamue kama hili ni wazo zuri au la. Ingia http://www.klhnews.com</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mwanyika - unatutania?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_820716.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Bw. Mwanyika ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Tanzania amenukuliwa kwenye gazeti la Habari Leo akikataa kujiuzulu kufuatia kuhusishwa kwake na Kamati Teule iliyochunguza Richmond kwa kushindwa kusimamia mikataba ya Taifa ipasavyo.   &lt;/P&gt;

&lt;br&gt;&#8220;Kwa wale wanaonifahamu, mimi ni mtu safi tangu nilipoanza kazi serikalini Machi 10, 1973. 
&lt;br&gt;
&lt;br&gt;Nendeni mkawahoji watu niliofanya nao kazi,&#8221; Mwanyika aliwaambia wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari  Dar es Salaam jana alipokuwa akizungumza kama Mwenyekiti wa Timu ya Rais ya Uchunguzi wa wizi wa fedha za Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania. 
&lt;br&gt;
&lt;br&gt;Alisema kilichoelezwa na Kamati teule ya Bunge ya kuchunguza mkataba wa Richmond siyo tuhuma, ni mapendekezo, hivyo haoni sababu yoyote ya kujiuzulu.  
&lt;br&gt;
&lt;br&gt;&#8220;Sioni sababu yoyote ya kujiuzulu, sijaiba,&#8221; alisema Mwanyika na kuongeza kuwa waliojiuzulu kutokana na kashfa hiyo walifanya hivyo kwa sababu ya  siasa ya sehemu zao walizokuwa wakiongoza. &#8220;Mimi ni mtaalamu kama vile walivyo mawakili, anapokosea kuna taratibu zake za kumwajibisha kitaalamu. Mimi binafsi ni mtu safi, milele na milele mimi ni mtu safi.&#8221;  
&lt;br&gt;
&lt;br&gt;Alisema kwamba Rais Jakaya Kikwete alipoteua timu ya uchunguzi wa EPA alitaja ofisi akiwa na maana ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mkuu wa Jeshi la Polisi na ya Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, hivyo &#8220;Mwanyika yupo au hayupo, kazi itaendelea kama kawaida.&#8221;  
&lt;br&gt;
&lt;br&gt;Tangu kutangazwa hadharani kwa ripoti ya Kamati teule ya Bunge kuhusu mkataba wa Richmond na kusababisha kujiuzulu kwa mawaziri watatu, baadhi ya wanasiasa na wanaharakati, wamemtaka Mwanyika ajiuzulu baada ya ofisi yake kuhusishwa na kashfa hiyo.  
&lt;br&gt;
&lt;br&gt;Aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Ibrahim Msabaha, walijiuzulu nyadhifa zao kutokana na kashfa hiyo na hivyo kusababisha kuvunjwa kwa Baraza la Mawaziri, mwanzoni mwa mwezi uliopita.  
&lt;br&gt;
&lt;br&gt;Mbali ya Mwanyika,  pia umekuwapo   mwito   wa kutaka ajiuzulu  Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Edward Hosea, baada ya awali taasisi yake kudai hakukuwa na matatizo yoyote katika mkataba huo na Richmond ambayo ililetwa  kuzalisha umeme wa dharura baada ya nchi kukumbwa na matatizo mwaka 2006.&lt;/br&gt;
&lt;p&gt;
&lt;b&gt;SWALI&lt;/B&gt;
&lt;p&gt;
Kwa kweli ninatamaniniulize maswali mengi lakini naomba niulize haya mawili tu, ni nani aliyedai kuwa Bw. Johnson Mwanyika ajiuzulu? Na la pili, hivi Lowassa, Karamagi, na Msabaha waliiba nini hadi wakajiuzulu? Inawezekana mwanasheria mkuu anajua kile ambacho hakikutajwa hadharani! &lt;/P&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-12T21_49_47-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-12T21_49_47-07_00</comments>
      <pubDate>Thu, 13 Mar 2008 04:49:47 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-03-13</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_820716.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Bw. Mwanyika ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Tanzania amenukuliwa kwenye gazeti la Habari Leo akikataa kujiuzulu kufuatia kuhusishwa kwake na Kamati Teule iliyochunguza Richmond kwa kushindwa kusimamia mikataba ya Taifa ipasavyo.   

&#8220;Kwa wale wanaonifahamu, mimi ni mtu safi tangu nilipoanza kazi serikalini Machi 10, 1973. 

Nendeni mkawahoji watu niliofanya nao kazi,&#8221; Mwanyika aliwaambia wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari  Dar es Salaam jana alipokuwa akizungumza kama Mwenyekiti wa Timu ya Rais ya Uchunguzi wa wizi wa fedha za Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania. 

Alisema kilichoelezwa na Kamati teule ya Bunge ya kuchunguza mkataba wa Richmond siyo tuhuma, ni mapendekezo, hivyo haoni sababu yoyote ya kujiuzulu.  

&#8220;Sioni sababu yoyote ya kujiuzulu, sijaiba,&#8221; alisema Mwanyika na kuongeza kuwa waliojiuzulu kutokana na kashfa hiyo walifanya hivyo kwa sababu ya  siasa ya sehemu zao walizokuwa wakiongoza. &#8220;Mimi ni mtaalamu kama vile walivyo mawakili, anapokosea kuna taratibu zake za kumwajibisha kitaalamu. Mimi binafsi ni mtu safi, milele na milele mimi ni mtu safi.&#8221;  

Alisema kwamba Rais Jakaya Kikwete alipoteua timu ya uchunguzi wa EPA alitaja ofisi akiwa na maana ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mkuu wa Jeshi la Polisi na ya Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, hivyo &#8220;Mwanyika yupo au hayupo, kazi itaendelea kama kawaida.&#8221;  

Tangu kutangazwa hadharani kwa ripoti ya Kamati teule ya Bunge kuhusu mkataba wa Richmond na kusababisha kujiuzulu kwa mawaziri watatu, baadhi ya wanasiasa na wanaharakati, wamemtaka Mwanyika ajiuzulu baada ya ofisi yake kuhusishwa na kashfa hiyo.  

Aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Ibrahim Msabaha, walijiuzulu nyadhifa zao kutokana na kashfa hiyo na hivyo kusababisha kuvunjwa kwa Baraza la Mawaziri, mwanzoni mwa mwezi uliopita.  

Mbali ya Mwanyika,  pia umekuwapo   mwito   wa kutaka ajiuzulu  Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Edward Hosea, baada ya awali taasisi yake kudai hakukuwa na matatizo yoyote katika mkataba huo na Richmond ambayo ililetwa  kuzalisha umeme wa dharura baada ya nchi kukumbwa na matatizo mwaka 2006.

SWALI

Kwa kweli ninatamaniniulize maswali mengi lakini naomba niulize haya mawili tu, ni nani aliyedai kuwa Bw. Johnson Mwanyika ajiuzulu? Na la pili, hivi Lowassa, Karamagi, na Msabaha waliiba nini hadi wakajiuzulu? Inawezekana mwanasheria mkuu anajua kile ambacho hakikutajwa hadharani! </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Ushahidi kuwa Mwanyika na Chenge walituuza!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_893247.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;&lt;b&gt;Kabla ya shirika la umeme la Tanesco kuingia mkataba wa Richmond, liliingia pia mikataba mingine mingi na mbalimbali. Swali moja kubwa linaloulizwa na watu wengi ni jinsi gani mikataba hii ilikuwa mibovu kiasi hicho. Ni wazi kuwa mikataba iliyoingiwa ni matokeo ya Wanasheria Wakuu Andrew Chenge na Johnson Mwanyika. Je, wangepatikana Watanzania wengine wapate nafasi ya kuangalia mikataba hiyo kisheria na kuitolea maoni watasemaje?&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;&lt;b&gt;

CD hii inatokana na kazi ya Watanzania hao kwa niaba ya Kamati Teule ya Bunge ambao walipewa jukumu la kuangalia mikataba sita ya nishati iliyoingiwa na TANESCO ukiwemo huo wa Richmond. Yafuatayo ni maoni yao wakianisha mapungufu ya kisheria ya mikataba hiyo na hivyo kuonesha wazi kuwa Andrew Chenge ni Mtanzania aliyeligharimu Taifa lake mabilioni ya shilingi kwa kushindwa kusimamia vipengele vya kisheria kwenye mikataba hiyo. Na pia aliyemfuatia Bw. Johnson Mwanyika naye ameonesha anafuata nyayo za Chenge.&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;&lt;b&gt;

Ni kwanini watu hawa bado wanaendelea kuwa katika utumishi? Hili tunawaachia wengine waliamue. Lakini ushahidi wa uzembe wao na kutolijali taifa lao uko kwenye http:www.jamboforums.com kwa mwenye macho kuona.&lt;/b&gt;&lt;/P&gt;
</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-11T04_53_02-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-11T04_53_02-07_00</comments>
      <pubDate>Tue, 11 Mar 2008 11:53:02 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-03-11</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_893247.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Kabla ya shirika la umeme la Tanesco kuingia mkataba wa Richmond, liliingia pia mikataba mingine mingi na mbalimbali. Swali moja kubwa linaloulizwa na watu wengi ni jinsi gani mikataba hii ilikuwa mibovu kiasi hicho. Ni wazi kuwa mikataba iliyoingiwa ni matokeo ya Wanasheria Wakuu Andrew Chenge na Johnson Mwanyika. Je, wangepatikana Watanzania wengine wapate nafasi ya kuangalia mikataba hiyo kisheria na kuitolea maoni watasemaje?

CD hii inatokana na kazi ya Watanzania hao kwa niaba ya Kamati Teule ya Bunge ambao walipewa jukumu la kuangalia mikataba sita ya nishati iliyoingiwa na TANESCO ukiwemo huo wa Richmond. Yafuatayo ni maoni yao wakianisha mapungufu ya kisheria ya mikataba hiyo na hivyo kuonesha wazi kuwa Andrew Chenge ni Mtanzania aliyeligharimu Taifa lake mabilioni ya shilingi kwa kushindwa kusimamia vipengele vya kisheria kwenye mikataba hiyo. Na pia aliyemfuatia Bw. Johnson Mwanyika naye ameonesha anafuata nyayo za Chenge.

Ni kwanini watu hawa bado wanaendelea kuwa katika utumishi? Hili tunawaachia wengine waliamue. Lakini ushahidi wa uzembe wao na kutolijali taifa lao uko kwenye http:www.jamboforums.com kwa mwenye macho kuona.
</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Taarifa ya Mwanyika kwa wananchi kuhusu EPA !</title>
      <description>Onesho la mwisho niliungana na waandishi wengine kuhoji jinsi uchunguzi wa EPA na hatua zinazochukuliwa zinavyoendeshwa. Siku ya Jumapili Mwenyekiti wa Kamati maalum ya Rais  Mwanasheria Mkuu Bw. Johnson Mwanyika ametoa taarifa ifuatayo kuhusu  uchunguzi huo.
&lt;p&gt;
&lt;br /&gt;
TIMU YA RAIS YA UCHUNGUZI WA FEDHA ZA EPA&lt;br /&gt;

&lt;br /&gt;
TAARIFA KWA UMMA&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kama mnavyofahamu tarehe 08 Januari, 2008 Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete aliunda Timu inayojumuisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mkuu wa Jeshi la Polisi na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ili, pamoja na mambo mengine, kuchunguza na kuchukua hatua za kisheria kwa makampuni na watuhumiwa wa upotevu wa fedha katika Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA) kupitia Benki Kuu ya Tanzania (BoT).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mheshimiwa Rais alituagiza kuwa tuwe tumekamilisha kazi hiyo katika kipindi cha miezi sita.&lt;br /&gt;
 &lt;br /&gt;
Taarifa hii ya tatu inatolewa kufafanua na kutoa taarifa ya namna kazi inavyoendelea kama alivyoagiza Mheshimiwa Rais takriban miezi miwili iliyopita.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Timu inapenda kuufahamisha umma kuwa pamoja na majukumu mengi iliyopewa, kwa sasa Timu imejikita katika kufanya uchunguzi wa kitaalam na wa kina. Kwa msingi huo, pamoja na fedha zinazorudishwa, ni vyema Umma na Wanahabari wakafahamu kuwa kazi ya uchunguzi haijafika mwisho na kwa sasa Timu inaona ni vyema kutotoa taarifa ambazo zitaathiri kazi ya uchunguzi inayoendelea. Tunapenda kuusihi Umma na Wanahabari kuwa na subira wakati kazi hii inaendelea.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;

Hata hivyo, Timu inapenda kuuhakikishia Umma na Vyombo vya Habari kuwa kazi hii ya uchunguzi inaendelea vizuri na Timu inapata ushirikiano mzuri kutoka kwa makampuni na wamiliki wanaohusika na upotevu wa fedha za EPA.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Vilevile tunapenda kuukumbusha Umma na Wanahabari kuwa Timu imepewa miezi sita ya kufanya kazi na hatimaye kuwasilisha Taarifa kwa Mheshimiwa Rais. Huu ni mwezi wa pili tangu Timu ianze kazi yake. Kwa msingi huo, Timu inawasihi Umma na Wanahabari kuwa na subira kwani Wahenga walisema SUBIRA YAVUTA HERI. Tunawahakakishia kuwa kazi inaendelea vizuri na heri yaja kwani tulichonacho hadi sasa katika uchunguzi si haba.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Vilevile Timu inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu maswali na malalamiko ya kutokamatwa kwa waliohusika. Tunapenda kuueleza umma kwamba uchunguzi wetu hadi hivi sasa unaonyesha kwamba wahusika wakuu ni makampuni. Kisheria, makampuni hayo ni mtu yaani &#8216;Legal Person&#8217;. Hata hivyo, makampuni hayo ni tofauti na mtu wa kawaida. Kampuni katika maana hii, inajitegemea yenyewe.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa msingi huo, ikiwa kampuni imefanya kosa, kuna utaratibu wa kufuata kisheria. Kazi inayofanyika hivi sasa, ni uchunguzi wa kina kuhusu maafisa wa makampuni hayo ili kufahamu ni kitu gani kilichosababisha hali hiyo  kutokea. Uchunguzi huu unaendelea na ndiyo utakaotuwezesha kujua hatua za kisheria zitakazochukuliwa.  &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Timu inapenda kuutarifu Umma na Wanahabari kuwa itaendelea kutoa taarifa ambazo inaamini hazitaathiri uchunguzi unaoendelea mara kwa mara.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;&lt;/p&gt;
Imetolewa na Johnson P.M Mwanyika,&lt;br /&gt;

Mwenyekiti wa Timu&lt;br /&gt;
9 Machi, 2008&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-09T22_29_29-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-09T22_29_29-07_00</comments>
      <pubDate>Mon, 10 Mar 2008 05:29:29 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-19</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-03-10</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>epa!,kuhusu,kwa,mwanyika,taarifa,wananchi,ya</itunes:keywords>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Onesho la mwisho niliungana na waandishi wengine kuhoji jinsi uchunguzi wa EPA na hatua zinazochukuliwa zinavyoendeshwa. Siku ya Jumapili Mwenyekiti wa Kamati maalum ya Rais  Mwanasheria Mkuu Bw. Johnson Mwanyika ametoa taarifa ifuatayo kuhusu  uchunguzi huo.


TIMU YA RAIS YA UCHUNGUZI WA FEDHA ZA EPA


TAARIFA KWA UMMA

Kama mnavyofahamu tarehe 08 Januari, 2008 Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete aliunda Timu inayojumuisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mkuu wa Jeshi la Polisi na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ili, pamoja na mambo mengine, kuchunguza na kuchukua hatua za kisheria kwa makampuni na watuhumiwa wa upotevu wa fedha katika Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA) kupitia Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Mheshimiwa Rais alituagiza kuwa tuwe tumekamilisha kazi hiyo katika kipindi cha miezi sita.
 
Taarifa hii ya tatu inatolewa kufafanua na kutoa taarifa ya namna kazi inavyoendelea kama alivyoagiza Mheshimiwa Rais takriban miezi miwili iliyopita.

Timu inapenda kuufahamisha umma kuwa pamoja na majukumu mengi iliyopewa, kwa sasa Timu imejikita katika kufanya uchunguzi wa kitaalam na wa kina. Kwa msingi huo, pamoja na fedha zinazorudishwa, ni vyema Umma na Wanahabari wakafahamu kuwa kazi ya uchunguzi haijafika mwisho na kwa sasa Timu inaona ni vyema kutotoa taarifa ambazo zitaathiri kazi ya uchunguzi inayoendelea. Tunapenda kuusihi Umma na Wanahabari kuwa na subira wakati kazi hii inaendelea.


Hata hivyo, Timu inapenda kuuhakikishia Umma na Vyombo vya Habari kuwa kazi hii ya uchunguzi inaendelea vizuri na Timu inapata ushirikiano mzuri kutoka kwa makampuni na wamiliki wanaohusika na upotevu wa fedha za EPA.

Vilevile tunapenda kuukumbusha Umma na Wanahabari kuwa Timu imepewa miezi sita ya kufanya kazi na hatimaye kuwasilisha Taarifa kwa Mheshimiwa Rais. Huu ni mwezi wa pili tangu Timu ianze kazi yake. Kwa msingi huo, Timu inawasihi Umma na Wanahabari kuwa na subira kwani Wahenga walisema SUBIRA YAVUTA HERI. Tunawahakakishia kuwa kazi inaendelea vizuri na heri yaja kwani tulichonacho hadi sasa katika uchunguzi si haba.

Vilevile Timu inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu maswali na malalamiko ya kutokamatwa kwa waliohusika. Tunapenda kuueleza umma kwamba uchunguzi wetu hadi hivi sasa unaonyesha kwamba wahusika wakuu ni makampuni. Kisheria, makampuni hayo ni mtu yaani &#8216;Legal Person&#8217;. Hata hivyo, makampuni hayo ni tofauti na mtu wa kawaida. Kampuni katika maana hii, inajitegemea yenyewe.

Kwa msingi huo, ikiwa kampuni imefanya kosa, kuna utaratibu wa kufuata kisheria. Kazi inayofanyika hivi sasa, ni uchunguzi wa kina kuhusu maafisa wa makampuni hayo ili kufahamu ni kitu gani kilichosababisha hali hiyo  kutokea. Uchunguzi huu unaendelea na ndiyo utakaotuwezesha kujua hatua za kisheria zitakazochukuliwa.  

Timu inapenda kuutarifu Umma na Wanahabari kuwa itaendelea kutoa taarifa ambazo inaamini hazitaathiri uchunguzi unaoendelea mara kwa mara.

Imetolewa na Johnson P.M Mwanyika,

Mwenyekiti wa Timu
9 Machi, 2008
</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Walioiba EPA wasiepe Pingu! </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_813439.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Habari za kuwa wale walioifanya uhalifu kwenye akaunti ya EPA wameanza kurudisha fedha zile zimepokelewa kwa hisia zinazopingana. Kuna wale ambao wanaona uamuzi huo ni wa kupongeza kuwa "angalau fedha zinarudi"  na hawa wanasema kuwa baada ya fedha kurudi ndiyo tufuatilie suala la kupelekwa wahalifu hawa mahakamani.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Kuna wale wengine ambao wanaamini kuwa fedha kurudishwa kungeenda sambamba na wahalifu kuchukuliwa hatua za kisheria badala ya ilivyo sasa. Watu  hawa nikiwemo mimi naamini tunahoja ambayo haina budi nayo kusikilizwa&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Tembelea &lt;url&gt;&lt;b&gt;http://www.klhnews.com&lt;/b&gt;&lt;/url&gt;&lt;/p&gt; kwa habari mpya kutwa nzima. </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-05T21_17_25-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-05T21_17_25-08_00</comments>
      <pubDate>Thu, 06 Mar 2008 05:17:25 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-03-06</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-03-05T21_17_25-08_00.mp3" length="22222472"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_813439.jpg"/>
      <itunes:duration>1524</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Habari za kuwa wale walioifanya uhalifu kwenye akaunti ya EPA wameanza kurudisha fedha zile zimepokelewa kwa hisia zinazopingana. Kuna wale ambao wanaona uamuzi huo ni wa kupongeza kuwa "angalau fedha zinarudi"  na hawa wanasema kuwa baada ya fedha kurudi ndiyo tufuatilie suala la kupelekwa wahalifu hawa mahakamani.

Kuna wale wengine ambao wanaamini kuwa fedha kurudishwa kungeenda sambamba na wahalifu kuchukuliwa hatua za kisheria badala ya ilivyo sasa. Watu  hawa nikiwemo mimi naamini tunahoja ambayo haina budi nayo kusikilizwa

Tembelea http://www.klhnews.com kwa habari mpya kutwa nzima. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Miaka miwili baadaye - Tunasonga mbele! </title>
      <description>&lt;p&gt;Siku ya Jumamosi Machi1, Kijijini Leo Hii imetimiza miaka miwili tangu ianze na kuongoza kwa namna ya pekee mapambano ya kifikra, yenye lengo la kubadili mtazamo wa wananchi wa Tanzania kuhusu nchi yao ili waweze kujitoa zaidi, kujisahihisha zaidi, na kuitumikia kuliko wakati mwingine wowote wa historia yetu kama Taifa. &lt;/p.

&lt;p&gt;Matangazo ya kwanza ya KLH News yalianza kurushwa kupitia http://www.mwanakijiji.podomatic.com miaka miwili iliyopita na katika hilo tumekuwa tukiongoza kwa kutolea maoni masuala mbalimbali ya kisiasa, kijamii, na kimaisha yanayowahusu Watanzania.  Na sasa tumeweza kuhamia kwenye tovuti yetu ya &lt;b&gt;http://www.klhnews.com&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Licha ya kutoa maoni na mijadala tumeweza pia kuwaletea mahojiano na watu mbalimbali mashuhuru ambao wamekuwa na taathira kubwa katika maisha ya Watanzania mahali popote walipo. Mwaka jana licha ya mahojiano mengi ambayo tuliweza kuleta na ambayo yanakumbukwa sana ni yale ya Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bi. Asha Rose Migiro mara tu baada ya kuteuliwa kwake. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Tumeweza kushiriki katika mijadala mbalimbali inayohusu taifa letu kwa maandishi au kwa sauti na pia kusimama na wale wote ambao tunaamini hawatendewi haki na serikali ya nchi yao. Mwaka jana tuliweza kusimama kidete kulileta suala la vijana waliokwama Ukraine na mwaka huu tumeanza kwa kusimama tena na vijana wawili waliokamatwa pasipo sababu na maafisa usalama. 
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;

 Tunaahidi tutaendelea siyo tu kuwa wa kwanza kuwaletea habari lakini pia kusimama pamoja na wale wote wanaodhulumiwa, wanaoonewa na wale ambao kwa namna moja au nyingine wanajikuta wako upande wa dhulma. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Na zaidi ya yote tunaahidi kuendelea kuongoza mapambano ya mabadiliko ya kifikra yenye lengo moja kubwa; kuamsha dhamira na mawazo ya Watanzania ili:
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
 - Waweze kujua wanastahili vitu vyema cha kwanza miongoni mwao kikiwa ni viongozi bora;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
- Waweze kujiamini kuwa na wao wanaweza; wanaweza kujenga Taifa la kisasa na lenye utawala bora wa sheria na la kidemokrasia.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
- Waweze kutambua kuwa nchi hii ni yetu sisi sote na wale walioko madarakani wako kama dhamana na kuondolewa kwao kupitia sanduku la kura siyo kuwaonea bali ni kwa ajili ya kutafuta kilichobora zaidi (angalia 1 hapo juu)&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Hili ndilo lengo letu na lengo hili linaongozwa na kauli mbiu isemayo "Hapendwi mtu, haogopwi mtu, hapendelewi mtu na haonewi mtu; yote yanazungumzika". &lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Tunapoanza mwaka huu wa tatu, tunajikuta tukitoa mwaliko kwa waandishi wa habari, wapiga picha, na waandika maoni (columnists) na bloggers kuungana nasi katika kuwafikia watu wengi zaidi na kuwaletea Watanzania habari mapema iwezekanavyo. Yeyote ambaye anataka kujitolea katika kushirikiana nasi tafadhali atuandikie kupitia klhnews@klhnews. &lt;/P
&lt;p&gt;
Katika kushirikiana huko tutafungulia sehemu nyingine za tovuti hii zikiwemo sehemu za Blogs ili watu waweze kuanza kublog na kuwa na sehemu zao za kutolea maoni. Kwa pamoja tutaweza na  mmoja mmoja tutashindwa kwa pamoja!
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Mwaka huu wa tatu, ni mwaka wa vitendo zaidi kuliko maneno ya kizalendo!! Kama unapenda kupatiwa mpango wa mwaka wa tatu utakaotoka wiki ijayo ambao ni kwa kuombwa tu tafadhali andika kwa mwanakijiji@klhnews.com na uone ni jinsi gani unaweza kushirikiana nasi.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

&lt;b&gt;Asanteni: KLH News Management &lt;/b&gt;&lt;/p&gt;

Katika kusherehekea basi naomba muburudike na "Kingwendu"
&lt;object width="425" height="355"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/AgwFk1kdJ_U"&gt;&lt;/param&gt;&lt;param name="wmode" value="transparent"&gt;&lt;/param&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/v/AgwFk1kdJ_U" type="application/x-shockwave-flash" wmode="transparent" width="425" height="355"&gt;&lt;/embed&gt;&lt;/object&gt;

</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-04T09_58_10-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-03-04T09_58_10-08_00</comments>
      <pubDate>Tue, 04 Mar 2008 17:58:10 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-03-04</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Siku ya Jumamosi Machi1, Kijijini Leo Hii imetimiza miaka miwili tangu ianze na kuongoza kwa namna ya pekee mapambano ya kifikra, yenye lengo la kubadili mtazamo wa wananchi wa Tanzania kuhusu nchi yao ili waweze kujitoa zaidi, kujisahihisha zaidi, na kuitumikia kuliko wakati mwingine wowote wa historia yetu kama Taifa. Matangazo ya kwanza ya KLH News yalianza kurushwa kupitia http://www.mwanakijiji.podomatic.com miaka miwili iliyopita na katika hilo tumekuwa tukiongoza kwa kutolea maoni masuala mbalimbali ya kisiasa, kijamii, na kimaisha yanayowahusu Watanzania.  Na sasa tumeweza kuhamia kwenye tovuti yetu ya http://www.klhnews.com

Licha ya kutoa maoni na mijadala tumeweza pia kuwaletea mahojiano na watu mbalimbali mashuhuru ambao wamekuwa na taathira kubwa katika maisha ya Watanzania mahali popote walipo. Mwaka jana licha ya mahojiano mengi ambayo tuliweza kuleta na ambayo yanakumbukwa sana ni yale ya Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bi. Asha Rose Migiro mara tu baada ya kuteuliwa kwake. 

Tumeweza kushiriki katika mijadala mbalimbali inayohusu taifa letu kwa maandishi au kwa sauti na pia kusimama na wale wote ambao tunaamini hawatendewi haki na serikali ya nchi yao. Mwaka jana tuliweza kusimama kidete kulileta suala la vijana waliokwama Ukraine na mwaka huu tumeanza kwa kusimama tena na vijana wawili waliokamatwa pasipo sababu na maafisa usalama. 


 Tunaahidi tutaendelea siyo tu kuwa wa kwanza kuwaletea habari lakini pia kusimama pamoja na wale wote wanaodhulumiwa, wanaoonewa na wale ambao kwa namna moja au nyingine wanajikuta wako upande wa dhulma. 

Na zaidi ya yote tunaahidi kuendelea kuongoza mapambano ya mabadiliko ya kifikra yenye lengo moja kubwa; kuamsha dhamira na mawazo ya Watanzania ili:

 - Waweze kujua wanastahili vitu vyema cha kwanza miongoni mwao kikiwa ni viongozi bora;
- Waweze kujiamini kuwa na wao wanaweza; wanaweza kujenga Taifa la kisasa na lenye utawala bora wa sheria na la kidemokrasia.
- Waweze kutambua kuwa nchi hii ni yetu sisi sote na wale walioko madarakani wako kama dhamana na kuondolewa kwao kupitia sanduku la kura siyo kuwaonea bali ni kwa ajili ya kutafuta kilichobora zaidi (angalia 1 hapo juu)
Hili ndilo lengo letu na lengo hili linaongozwa na kauli mbiu isemayo "Hapendwi mtu, haogopwi mtu, hapendelewi mtu na haonewi mtu; yote yanazungumzika". 

Tunapoanza mwaka huu wa tatu, tunajikuta tukitoa mwaliko kwa waandishi wa habari, wapiga picha, na waandika maoni (columnists) na bloggers kuungana nasi katika kuwafikia watu wengi zaidi na kuwaletea Watanzania habari mapema iwezekanavyo. Yeyote ambaye anataka kujitolea katika kushirikiana nasi tafadhali atuandikie kupitia klhnews@klhnews. 
Katika kushirikiana huko tutafungulia sehemu nyingine za tovuti hii zikiwemo sehemu za Blogs ili watu waweze kuanza kublog na kuwa na sehemu zao za kutolea maoni. Kwa pamoja tutaweza na  mmoja mmoja tutashindwa kwa pamoja!

Mwaka huu wa tatu, ni mwaka wa vitendo zaidi kuliko maneno ya kizalendo!! Kama unapenda kupatiwa mpango wa mwaka wa tatu utakaotoka wiki ijayo ambao ni kwa kuombwa tu tafadhali andika kwa mwanakijiji@klhnews.com na uone ni jinsi gani unaweza kushirikiana nasi.

Asanteni: KLH News Management 

Katika kusherehekea basi naomba muburudike na "Kingwendu"


</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Lowassa na wenzako, mnajaribisha nini?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_893249.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Tangu kujiuzulu kwa aliyekuwa Waziri Mkuu Mhe. Edward Lowassa kuna kila dalili kuwa Bw. Lowassa na wenzake wanafanya majaribio ya uthabiti wa uongozi wa Kikwete na Bunge letu. Wanafanya hivyo wakijua kabisa kuwa hadi hivi sasa hakuna hata mmoja miongoni mwao aliyekiri kufanya kosa lolote isipokuwa "kuwajibika" kutokana na makosa ya walio chini yao.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Bw. Lowassa kujiuzulu jinsi alivyojiuzulu bila hata ya kutoa taarifa kwa Rais ambaye alimteua na kulitendea Bunge jinsi ile na kusababisha wasiwasi nchini kilikuwa ni kitendo cha kuchallenge nguvu ya Kikwete. Hadi hivi sasa inaonekana mkakati wa Lowassa kujisafisha umepamba moto.&lt;/p&gt;

&lt;P&gt;Yeye pamoja na kina Msabaha, Yona na Karamagi wote wanaona kuwa kitendo cha Kamati ya  Bunge kuwataja na kuwanyoshea kidole ni cha uonevu na hakikustahili na kwa sababu hiyo hakuna hata moja wao aliyekubali kufanya kosa lolote kwenye sakata la Richmond. Wote wanaona wameonewa na kusingiziwa. Matokeo yake waziwazi wanapingana na Bunge badala ya kusubiri kikao kijacho ambacho kama mbunge binafsi n.k wanaweza kuleta hoja zao Bungeni.&lt;/p&gt;

&lt;P&gt;Hata hivyo bado najiuliza, ni nini wanachojaribu kuonesha au kufanya? Na Rais Kikwete na chama chake watavumilia mpaka lini?&lt;/p.</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-28T09_35_32-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-28T09_35_32-08_00</comments>
      <pubDate>Thu, 28 Feb 2008 17:35:32 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-02-28</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_893249.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Tangu kujiuzulu kwa aliyekuwa Waziri Mkuu Mhe. Edward Lowassa kuna kila dalili kuwa Bw. Lowassa na wenzake wanafanya majaribio ya uthabiti wa uongozi wa Kikwete na Bunge letu. Wanafanya hivyo wakijua kabisa kuwa hadi hivi sasa hakuna hata mmoja miongoni mwao aliyekiri kufanya kosa lolote isipokuwa "kuwajibika" kutokana na makosa ya walio chini yao.

Bw. Lowassa kujiuzulu jinsi alivyojiuzulu bila hata ya kutoa taarifa kwa Rais ambaye alimteua na kulitendea Bunge jinsi ile na kusababisha wasiwasi nchini kilikuwa ni kitendo cha kuchallenge nguvu ya Kikwete. Hadi hivi sasa inaonekana mkakati wa Lowassa kujisafisha umepamba moto.

Yeye pamoja na kina Msabaha, Yona na Karamagi wote wanaona kuwa kitendo cha Kamati ya  Bunge kuwataja na kuwanyoshea kidole ni cha uonevu na hakikustahili na kwa sababu hiyo hakuna hata moja wao aliyekubali kufanya kosa lolote kwenye sakata la Richmond. Wote wanaona wameonewa na kusingiziwa. Matokeo yake waziwazi wanapingana na Bunge badala ya kusubiri kikao kijacho ambacho kama mbunge binafsi n.k wanaweza kuleta hoja zao Bungeni.

Hata hivyo bado najiuliza, ni nini wanachojaribu kuonesha au kufanya? Na Rais Kikwete na chama chake watavumilia mpaka lini?&lt;/p.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Aliyekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa akijieleza  TVT</title>
      <description>&lt;p&gt;&lt;object width="425" height="373"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/GP9-ZiISkmY&amp;rel=0&amp;color1=0x234900&amp;color2=0x4e9e00&amp;border=1"&gt;&lt;/param&gt;&lt;param name="wmode" value="transparent"&gt;&lt;/param&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/v/GP9-ZiISkmY&amp;rel=0&amp;color1=0x234900&amp;color2=0x4e9e00&amp;border=1" type="application/x-shockwave-flash" wmode="transparent" width="425" height="373"&gt;&lt;/embed&gt;&lt;/object&gt;&lt;/p&gt;

&lt;b&gt;SEHEMU YA PILI&lt;/b&gt;

&lt;p&gt;&lt;object width="425" height="373"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/u0YgTdrRWeE&amp;rel=0&amp;color1=0x006699&amp;color2=0x54abd6&amp;border=1"&gt;&lt;/param&gt;&lt;param name="wmode" value="transparent"&gt;&lt;/param&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/v/u0YgTdrRWeE&amp;rel=0&amp;color1=0x006699&amp;color2=0x54abd6&amp;border=1" type="application/x-shockwave-flash" wmode="transparent" width="425" height="373"&gt;&lt;/embed&gt;&lt;/object&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-23T18_50_12-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-23T18_50_12-08_00</comments>
      <pubDate>Sun, 24 Feb 2008 02:50:12 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-02-24</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>

SEHEMU YA PILI

</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mahojiano na DCI :  &amp;quot;Jambo Forums haihusiani na Ughaidi&amp;quot;</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_778029.gif" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Baada ya msemaji wa Jeshi la Polisi kuihusisha Jambo Forums na Ughaidi niliamua kutafuta msimamo wa wale wanaochunguza ili watuambie kweli wana amini kuwa JF inahusiana na Ughaidi.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt; Nilipata nafasi ya kuzungumza na Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI) Kamanda Robert Manumba na kumuuliza mambo kadhaa yanayohusiana na Jambo Forums na kukamatwa kwa wawili kati ya wanachama wake kama 4000.&lt;/P&gt;

&lt;p&gt;Tafadhali karibu usikilize mahojiano hayo na kwa habarii za kutwa nzima usikose kuingia http://www.klhnews.com&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-21T22_39_09-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-21T22_39_09-08_00</comments>
      <pubDate>Fri, 22 Feb 2008 06:39:09 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-02-22</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-02-21T22_39_09-08_00.mp3" length="13150250"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_778029.gif"/>
      <itunes:duration>900</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Baada ya msemaji wa Jeshi la Polisi kuihusisha Jambo Forums na Ughaidi niliamua kutafuta msimamo wa wale wanaochunguza ili watuambie kweli wana amini kuwa JF inahusiana na Ughaidi.

 Nilipata nafasi ya kuzungumza na Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI) Kamanda Robert Manumba na kumuuliza mambo kadhaa yanayohusiana na Jambo Forums na kukamatwa kwa wawili kati ya wanachama wake kama 4000.

Tafadhali karibu usikilize mahojiano hayo na kwa habarii za kutwa nzima usikose kuingia http://www.klhnews.com</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Jambo Forums na Ughaidi?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_777403.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Jana ilikuwa ni siku ya huzuni katika jitihada za kupanua uhuru wa habari na maoni Tanzania; jeshi la Polisi lilikiri kuwa linawashikilia watu wawili kutokana na kuhusika kwao na JF kwa madai kuwa tovuti hiyo inahusiana na uchochezi na mambo ya Kighaidi.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Inasikitisha kuona kuwa Jeshi letu la Polisi badala ya kuwakamata watu waliokwapua fedha za umma na ambao wameliingizia Taifa letu hasara limeamua kuwatafuta watu walioufunua ufisadi hadharani. Hili limesikitisha sana. Ni kwa sababu hiyo wana Jambo Forums wametoa msimamo wao kuhusu madai hayo ya kinazi dhidi ya baraza hilo huru ambalo linawachama wengi toka serikalini na taasisi mbalimbali&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Unaweza kusoma tamko hilo kwenye http://www.klhnews.com kwenye eneo la &lt;b&gt;Pics &amp; Docs&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Nilipata nafasi ya kuzungumza na BBC Swahili Service na ninawawekea sehemu ya mahojiano hayo hapa&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-20T20_43_53-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-20T20_43_53-08_00</comments>
      <pubDate>Thu, 21 Feb 2008 04:43:53 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-02-21</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/x-ms-wma" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-02-20T20_43_53-08_00.mp3" length="3941803"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_777403.jpg"/>
      <itunes:duration>490</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Jana ilikuwa ni siku ya huzuni katika jitihada za kupanua uhuru wa habari na maoni Tanzania; jeshi la Polisi lilikiri kuwa linawashikilia watu wawili kutokana na kuhusika kwao na JF kwa madai kuwa tovuti hiyo inahusiana na uchochezi na mambo ya Kighaidi.

Inasikitisha kuona kuwa Jeshi letu la Polisi badala ya kuwakamata watu waliokwapua fedha za umma na ambao wameliingizia Taifa letu hasara limeamua kuwatafuta watu walioufunua ufisadi hadharani. Hili limesikitisha sana. Ni kwa sababu hiyo wana Jambo Forums wametoa msimamo wao kuhusu madai hayo ya kinazi dhidi ya baraza hilo huru ambalo linawachama wengi toka serikalini na taasisi mbalimbali

Unaweza kusoma tamko hilo kwenye http://www.klhnews.com kwenye eneo la Pics &amp; Docs

Nilipata nafasi ya kuzungumza na BBC Swahili Service na ninawawekea sehemu ya mahojiano hayo hapa</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Nani aliamuru wapigwe mikononi mwa Polisi?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_776993.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Siku ya Jumapili huko Kiteto viongozi kadhaa wa upinzani (Pichani) walijikuta wanapigwa wakiwa mikononi mwa Polisi bila sababu ya msingi. Tukio hili tukijumlisha na yale yaliyowakuta kina Kubenea na Tegambwage au matukio ya vijana walioshikiliwa na polisi tangu juzi, kunatulazimisha kujiuliza; CCM mnaogopa nini? &lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Tanzania inakwenda wapi? Je haiwezekani kusimamia hoja na kuacha hoja ishinde bila kutumia virungu? Kweli Tanzania iliyotajwa na Rais Bush kuwa ni nchi ya mfano inaweza kufumbia macho uvunjaji mkubwa wa haki za raia kama huu?&lt;p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-19T21_45_21-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-19T21_45_21-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 20 Feb 2008 05:45:21 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-02-20</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_776993.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Siku ya Jumapili huko Kiteto viongozi kadhaa wa upinzani (Pichani) walijikuta wanapigwa wakiwa mikononi mwa Polisi bila sababu ya msingi. Tukio hili tukijumlisha na yale yaliyowakuta kina Kubenea na Tegambwage au matukio ya vijana walioshikiliwa na polisi tangu juzi, kunatulazimisha kujiuliza; CCM mnaogopa nini? 

Tanzania inakwenda wapi? Je haiwezekani kusimamia hoja na kuacha hoja ishinde bila kutumia virungu? Kweli Tanzania iliyotajwa na Rais Bush kuwa ni nchi ya mfano inaweza kufumbia macho uvunjaji mkubwa wa haki za raia kama huu?</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Rais Bush Tanzania - Kwanini tumkaribishe?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_777004.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Ujio wa Rais Bush nchini Tanzania tangu Jumamosi umezua hisia za watu wengi, wapo wale ambao wanapinga na hawaoni sababu ya kwanini Rais huyo aje Tanzania?  Watu hao wanaona kuwa Rais Bush kutoka na kupingwa sehemu mbalimbali duniani na kuihusisha nchi yake na migogoro ya kivita huko Afghanistan na Iraq basi hana sababu ya kuja Tanzania nchi ambayo inatetea haki za binadamu&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;Hata hivyo wapo wale ambao wanaunga mkono ujio wa Rais huyo wakionesha ni jinsi gani Marekani inatoa misaada mingi kwa Tanzania misaasa ambayo inatusaidia katika viti dhidi ya Ukimwi, Malari, na miundo mbinu mibovu&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;&lt;b&gt;je, una maoni gani kuhusu ziara ya Rais Bush nchini ambayo inamalizika baadaye leo?&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-18T10_14_08-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-18T10_14_08-08_00</comments>
      <pubDate>Mon, 18 Feb 2008 18:14:08 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-02-18</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_777004.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Ujio wa Rais Bush nchini Tanzania tangu Jumamosi umezua hisia za watu wengi, wapo wale ambao wanapinga na hawaoni sababu ya kwanini Rais huyo aje Tanzania?  Watu hao wanaona kuwa Rais Bush kutoka na kupingwa sehemu mbalimbali duniani na kuihusisha nchi yake na migogoro ya kivita huko Afghanistan na Iraq basi hana sababu ya kuja Tanzania nchi ambayo inatetea haki za binadamu
Hata hivyo wapo wale ambao wanaunga mkono ujio wa Rais huyo wakionesha ni jinsi gani Marekani inatoa misaada mingi kwa Tanzania misaasa ambayo inatusaidia katika viti dhidi ya Ukimwi, Malari, na miundo mbinu mibovu

je, una maoni gani kuhusu ziara ya Rais Bush nchini ambayo inamalizika baadaye leo?</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Dr. Harrison Mwakyembe &amp;quot;Live on Sunday&amp;quot;</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_771644.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;&lt;b&gt;KLH News itakuletea mahojiano ya kwanza baada ya Bunge kumalizika na ya kina na aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati Teule ya Bunge iliyochunguza sakata la Richmond Dr. Harrison Mwakyembe. Mahojiano hayo yatarushwa moja kwa moja baadaye leo kupitia Bongoradio.com kuanzia saa sita kamili mchana (EST) sawa na saa Tano Asubuhi CST ambayo ni saa mbili za usiku EAT. Wote mnakaribishwa. &lt;/b&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-16T21_51_11-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-16T21_51_11-08_00</comments>
      <pubDate>Sun, 17 Feb 2008 05:51:11 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-02-17</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_771644.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>KLH News itakuletea mahojiano ya kwanza baada ya Bunge kumalizika na ya kina na aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati Teule ya Bunge iliyochunguza sakata la Richmond Dr. Harrison Mwakyembe. Mahojiano hayo yatarushwa moja kwa moja baadaye leo kupitia Bongoradio.com kuanzia saa sita kamili mchana (EST) sawa na saa Tano Asubuhi CST ambayo ni saa mbili za usiku EAT. Wote mnakaribishwa. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Rais Kikwete atangaza Baraza la Mawaziri</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_765771.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;Rais Jakaya Mrisho Kikwete jana ametangaza baraza la Mawaziri hapo jana kwenye ukumbi wa TAMISEMI mjini Dodoma. Ifuatayo ni sehemu ya hotuba yake akitangaza baraza hilo. Sikiliza kupitia &lt;url&gt;http://www.klhnews.com&lt;/url&gt; kwenye "podcasts"&lt;/b&gt;
&lt;p&gt;
Unafikiri nini kuhusu baraza hili?&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-12T21_54_09-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-12T21_54_09-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 13 Feb 2008 05:54:09 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-02-13</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_765771.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Rais Jakaya Mrisho Kikwete jana ametangaza baraza la Mawaziri hapo jana kwenye ukumbi wa TAMISEMI mjini Dodoma. Ifuatayo ni sehemu ya hotuba yake akitangaza baraza hilo. Sikiliza kupitia http://www.klhnews.com kwenye "podcasts"

Unafikiri nini kuhusu baraza hili?</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mizengo Pinda Waziri Mkuu mteule</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_758606.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;&lt;i&gt;&lt;b&gt;Pichani Waziri Mkuu Mteule Bw. Mizengo Pinda akipongezwa na wabunge mara baada ya kulipitisha jina lake kuwa Waziri Mkuu&lt;/b&gt;&lt;/i&gt;&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mhe. Mizengo Pinda (Mpanda Mashariki) kuwa Waziri Mkuu mpya kuchukua nafasi ya Mhe. Edward Lowassa aliyejiuzulu kufuatia kashfa ya Richmond. &lt;/p&gt;

&lt;p&gt;KLH News international inakuletea taarifa ya uteuzi huo hapa kwenye podomatic na pia kwenye &lt;b&gt;http://www.klhnews.com&lt;/b&gt; ambapo tunafuatilia maendeleo ya sakata hili linalojifunua kila baada ya masaa na kuwaletea.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Kesho siku ya Jumamosi, nitakuwa na onesho live kuanzia saa nane kamili mchana (EST) sawa na saa saba CST  ambayo ni sawa na -5GMT.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Matangazo hayo yatarushwa moja kwa moja kama kawaida na Bongo Radio kwenye tovuti yao ya &lt;b&gt;http://www.bongoradio.com&lt;/b&gt; na tutaweza kupekea simu na mwitikio wa watu kufuatia sakata hili&lt;/p&gt; </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-08T10_03_17-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-08T10_03_17-08_00</comments>
      <pubDate>Fri, 08 Feb 2008 18:03:17 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-02-08</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>bunge,lowassa,mizengo,pinda,tanzania</itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-02-08T10_03_17-08_00.mp3" length="6765923"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_758606.jpg"/>
      <itunes:duration>422</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Pichani Waziri Mkuu Mteule Bw. Mizengo Pinda akipongezwa na wabunge mara baada ya kulipitisha jina lake kuwa Waziri Mkuu

Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mhe. Mizengo Pinda (Mpanda Mashariki) kuwa Waziri Mkuu mpya kuchukua nafasi ya Mhe. Edward Lowassa aliyejiuzulu kufuatia kashfa ya Richmond. 

KLH News international inakuletea taarifa ya uteuzi huo hapa kwenye podomatic na pia kwenye http://www.klhnews.com ambapo tunafuatilia maendeleo ya sakata hili linalojifunua kila baada ya masaa na kuwaletea.

Kesho siku ya Jumamosi, nitakuwa na onesho live kuanzia saa nane kamili mchana (EST) sawa na saa saba CST  ambayo ni sawa na -5GMT.

Matangazo hayo yatarushwa moja kwa moja kama kawaida na Bongo Radio kwenye tovuti yao ya http://www.bongoradio.com na tutaweza kupekea simu na mwitikio wa watu kufuatia sakata hili </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Lowassa aandika barua ya kujiuzulu- JK atakubali?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_757099.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Tafadhali sikiliza maoni yangu kuhusu hili. Na zaidi ya yote hakikisha unatembelea KLH News through out the day for any breaking news and for any new development kufuatia kashfa hii ya Richmond. Ukienda kwenye "Archives" hapa utaweza kusikiliza mahojiano yangu na Dr. Mwakyembe miezi michache iliyopita. &lt;/p&gt;

&lt;p&gt;&lt;b&gt;Pichani Mbunge wa Kyela - CCM na Mwenyekiti wa Kamati iliyochunguza Richmond Mhe. Dr. Harrison Mwakyembe akitopewa mkono wa pongezi (pole?) na wabunge wenzake. Picha kwa hisani ya Mroki Mroki&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-06T22_20_51-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-06T22_20_51-08_00</comments>
      <pubDate>Thu, 07 Feb 2008 06:20:51 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-02-07</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-02-06T22_20_51-08_00.mp3" length="11204232"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_757099.jpg"/>
      <itunes:duration>766</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Tafadhali sikiliza maoni yangu kuhusu hili. Na zaidi ya yote hakikisha unatembelea KLH News through out the day for any breaking news and for any new development kufuatia kashfa hii ya Richmond. Ukienda kwenye "Archives" hapa utaweza kusikiliza mahojiano yangu na Dr. Mwakyembe miezi michache iliyopita. 

Pichani Mbunge wa Kyela - CCM na Mwenyekiti wa Kamati iliyochunguza Richmond Mhe. Dr. Harrison Mwakyembe akitopewa mkono wa pongezi (pole?) na wabunge wenzake. Picha kwa hisani ya Mroki Mroki</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Inatosha! - Lowassa Jiuzulu !</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_755745.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;i&gt;&lt;b&gt;Pichani Waziri Mkuu Bw. Edward Lowassa (Monduli - CCM) akiapa kuilinda Katiba alipoapishwa kuwa Waziri Mkkuu&lt;/b&gt;&lt;/i&gt;
&lt;p&gt;Hatimaye mchawi wa Richmond ni yule ambaye watu walimhisi kwa muda mrefu. Na sasa tumegundua hakuwa peke yake. Taarifa ya leo ya Kamati Teule ya Bunge iliyoundwa mwishoni mwa mwaka jana kuchunguza mkataba wa Richmond imeonesha kuwa siyo tu taratibu zilikiukwa bali pia kuna ushahidi mkubwa wa rushwa&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Ripoti hiyo ambayo unaweza kuipata kwenye tovuti ya http://www.klhnews.com inaonesha wazi kuwa mhusika mkubwa wa sakata hili zima ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. &lt;/p&gt;

&lt;p&gt; Kwa vile bwana Lowassa aliapa kuilinda na kuitetea Katiba yetu na kwa vitendo vyake ameshindwa kufanya hivyo hana budi kuwa wa kwanza kuwajibika yeye mwenyewe bila ya kungojea kuwajibishwa. Mhe. Lowassa kwa hili umekosea na liwe somo kwa viongozi wengine wote kuwa Tanzania inabadilika na viongozi wasioongoza hawana budi kuwekwa pembeni. Mhe. Lowassa tunataka ujiuzulu wadhifa wako mara moja&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Pamoja na wewe wahusika wengine wote ambao wanatajwa katika ripoti hiyo akiwemo Waziri Msabaha, Karamagi, Rostam Aziz na Mwanyika nao pia wajiuzulu mara moja kwa kutumia madaraka yao vibaya, kulidanganya Taifa, kufanya kazi kinyume na maadili, na kwa kuliletea Taifa letu hasara. &lt;/p&gt;

&lt;p&gt; Watanzania wana mambo mengine ya msingi ya kufuatilia (kama BoT na mengine) na wakati umefika suala la Richmond lifikie kikomo kwa viongozi na wahusika wote kujiuzulu. Tulishasema toka awali kuwa Baraza hili la mawaziri ni la kishikaji na ambalo limemwangusha sana Rais na kwa hakika ni kujiangusha alikojitakia kwani alishaonywa, halina budi kuvunjwa ili Baraza jipya litakalokidhi hamu na matamanio ya Watanzania na ambalo wajumbe wake watatoka hata nje ya CCM liundwe ili tuendelee na jitihada za kulijenga Taifa letu&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;&lt;b&gt;Watanzania naomba kutoa hoja!&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-06T10_06_09-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-06T10_06_09-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 06 Feb 2008 18:06:09 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-02-06</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_755745.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Pichani Waziri Mkuu Bw. Edward Lowassa (Monduli - CCM) akiapa kuilinda Katiba alipoapishwa kuwa Waziri Mkkuu
Hatimaye mchawi wa Richmond ni yule ambaye watu walimhisi kwa muda mrefu. Na sasa tumegundua hakuwa peke yake. Taarifa ya leo ya Kamati Teule ya Bunge iliyoundwa mwishoni mwa mwaka jana kuchunguza mkataba wa Richmond imeonesha kuwa siyo tu taratibu zilikiukwa bali pia kuna ushahidi mkubwa wa rushwa

Ripoti hiyo ambayo unaweza kuipata kwenye tovuti ya http://www.klhnews.com inaonesha wazi kuwa mhusika mkubwa wa sakata hili zima ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 

 Kwa vile bwana Lowassa aliapa kuilinda na kuitetea Katiba yetu na kwa vitendo vyake ameshindwa kufanya hivyo hana budi kuwa wa kwanza kuwajibika yeye mwenyewe bila ya kungojea kuwajibishwa. Mhe. Lowassa kwa hili umekosea na liwe somo kwa viongozi wengine wote kuwa Tanzania inabadilika na viongozi wasioongoza hawana budi kuwekwa pembeni. Mhe. Lowassa tunataka ujiuzulu wadhifa wako mara moja

Pamoja na wewe wahusika wengine wote ambao wanatajwa katika ripoti hiyo akiwemo Waziri Msabaha, Karamagi, Rostam Aziz na Mwanyika nao pia wajiuzulu mara moja kwa kutumia madaraka yao vibaya, kulidanganya Taifa, kufanya kazi kinyume na maadili, na kwa kuliletea Taifa letu hasara. 

 Watanzania wana mambo mengine ya msingi ya kufuatilia (kama BoT na mengine) na wakati umefika suala la Richmond lifikie kikomo kwa viongozi na wahusika wote kujiuzulu. Tulishasema toka awali kuwa Baraza hili la mawaziri ni la kishikaji na ambalo limemwangusha sana Rais na kwa hakika ni kujiangusha alikojitakia kwani alishaonywa, halina budi kuvunjwa ili Baraza jipya litakalokidhi hamu na matamanio ya Watanzania na ambalo wajumbe wake watatoka hata nje ya CCM liundwe ili tuendelee na jitihada za kulijenga Taifa letu

Watanzania naomba kutoa hoja!</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mchawi wa Richmond kufunuliwa leo?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_755086.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;&lt;i&gt;&lt;b&gt;Pichani jengo la makao makuu ya kampuni ya Richmond Development ya mjini Houston, Texas huko Marekani, picha na mpiga picha wetu&lt;/b&gt;&lt;/i&gt;&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;Leo bila ya shaka tutaanza kujua ilikuwaje Taifa lenye viongozi wenye akili timamu na watu wasomi liliweza kuingia mkataba wa Richmond katika mazingira ya ajabu kama yale. Taarifa ambazo zimefika kuanzia jioni ya jana ni kuwa hatimaye ripoti hiyo ambayo imekuwa ikisubiriwa kwa hamu na wabunge na watanzania wengine itasambazwa kwa Wabunge wote.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Baadaye jioni wabunge wa CCM watakutana na kukaa pamoja kuchukua msimamo wa pamoja. Hadi hivi sasa dalili zinaonesha kuwa kuna uwezekano wa angalau waziri mmoja kujiuzulu kabla ya mjadala huu kuanza. Kama hili litafanyika litakumbushia kujiuzulu kwa Waziri wa Viwanda Idi Simba na Waziri Ngasongwa kufuatia kashfa ya Kodi za Sukari miaka kadhaa iliyopita.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Jina ambalo linatajwa na baadhi ya wachunguzi wa mambo ni la Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki Dr. Ibrahim Msabaha ambaye wakati mkataba huu unaingiwa alikuwa ndiye Waziri wa Nishati na Madini. Wakati huo huo utaona kuwa Waziri wa sasa wa Wizara hiyo naye anachunguzwa kuhusu mkataba wa Buzwagi na inawezekana na yeye akaamua kuachia ngazi. &lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Hata hivyo kuna uwezekano mwingine kuwa hakuna Waziri atakayejiuzulu zaidi ya kupigiwa kelele na wabunge wengine na watajitetea kuwa walifanya yote kwa "nia nzuri" na hasa wakati huu ambapo tunasubiri ujio wa Rais Bush Tanzania, sidhani kama Rais Kikwete atataka kugubikwa na suala la mabadiliko ya mawaziri au hata waziri mkuu. Ila hilo la angalau waziri mmoja kujiuzulu linawezekana zaidi. &lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Vyovyote itakavyokuwa kama nilivyosema mwishoni mwa mwaka jana ni lazima tujifunze kuzungumza na kukamilisha mambo ili tuendelee na mambo mengine. Suala la Richmond lisingestahili kuchukua muda huu wote kama lingeshughulikiwa mapema. Hivyo ni matumaini yangu kuwa baada ya yote yanayopaswa kufanyika  tutalimaliza suala la Richmond kwa hatua kuchukuliwa na makosa kusahihishwa na tuangalie mambo mengine.  &lt;/p&gt;

&lt;p&gt;&lt;b&gt;Unaweza kusikiliza matangazo yangu ya leo kwenye http://www.klhnews.com na nenda kwenye "Podcasts" na unaweza pia kutoa maoni yako kule au hapa. Pia katika matangazo hayo kuna kibao murua cha wana Kilwa Jazz, natumaini kitawakumbusha mbali&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-05T21_55_51-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-05T21_55_51-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 06 Feb 2008 05:55:51 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-02-06</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_755086.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Pichani jengo la makao makuu ya kampuni ya Richmond Development ya mjini Houston, Texas huko Marekani, picha na mpiga picha wetu
Leo bila ya shaka tutaanza kujua ilikuwaje Taifa lenye viongozi wenye akili timamu na watu wasomi liliweza kuingia mkataba wa Richmond katika mazingira ya ajabu kama yale. Taarifa ambazo zimefika kuanzia jioni ya jana ni kuwa hatimaye ripoti hiyo ambayo imekuwa ikisubiriwa kwa hamu na wabunge na watanzania wengine itasambazwa kwa Wabunge wote.

Baadaye jioni wabunge wa CCM watakutana na kukaa pamoja kuchukua msimamo wa pamoja. Hadi hivi sasa dalili zinaonesha kuwa kuna uwezekano wa angalau waziri mmoja kujiuzulu kabla ya mjadala huu kuanza. Kama hili litafanyika litakumbushia kujiuzulu kwa Waziri wa Viwanda Idi Simba na Waziri Ngasongwa kufuatia kashfa ya Kodi za Sukari miaka kadhaa iliyopita.

Jina ambalo linatajwa na baadhi ya wachunguzi wa mambo ni la Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki Dr. Ibrahim Msabaha ambaye wakati mkataba huu unaingiwa alikuwa ndiye Waziri wa Nishati na Madini. Wakati huo huo utaona kuwa Waziri wa sasa wa Wizara hiyo naye anachunguzwa kuhusu mkataba wa Buzwagi na inawezekana na yeye akaamua kuachia ngazi. 

Hata hivyo kuna uwezekano mwingine kuwa hakuna Waziri atakayejiuzulu zaidi ya kupigiwa kelele na wabunge wengine na watajitetea kuwa walifanya yote kwa "nia nzuri" na hasa wakati huu ambapo tunasubiri ujio wa Rais Bush Tanzania, sidhani kama Rais Kikwete atataka kugubikwa na suala la mabadiliko ya mawaziri au hata waziri mkuu. Ila hilo la angalau waziri mmoja kujiuzulu linawezekana zaidi. 

Vyovyote itakavyokuwa kama nilivyosema mwishoni mwa mwaka jana ni lazima tujifunze kuzungumza na kukamilisha mambo ili tuendelee na mambo mengine. Suala la Richmond lisingestahili kuchukua muda huu wote kama lingeshughulikiwa mapema. Hivyo ni matumaini yangu kuwa baada ya yote yanayopaswa kufanyika  tutalimaliza suala la Richmond kwa hatua kuchukuliwa na makosa kusahihishwa na tuangalie mambo mengine.  

Unaweza kusikiliza matangazo yangu ya leo kwenye http://www.klhnews.com na nenda kwenye "Podcasts" na unaweza pia kutoa maoni yako kule au hapa. Pia katika matangazo hayo kuna kibao murua cha wana Kilwa Jazz, natumaini kitawakumbusha mbali</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Joto lazidi kupanda Bungeni - Nani atasalimika?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_753503.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Kelele za wananchi bila ya shaka zimesikika, na hatimaye Spika ameahirisha ziara yake "muhimu" ya kwenda Marekani ili kubakia kushiriki katika mijadala muhimu Bungeni. Sijui kama amefanya hivyo kwa sababu ya umuhimu wa jambo lenyewe au kwa sababu lugha aliyotumia ilikuwa mbaya na ilimuonesha katika mwanga mbaya&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Hata hivyo uamuzi wa yeye kutengua safari yakehiyo unaweza kuashiria mambo mengi sana. Kama nilivyosema siku chache zilizopita tuangalie sana Bungeni kwani kuna kila dalili kuwa joto linazidi kupanda hususan kwenye suala la Richmond &lt;/p&gt;

&lt;P&gt;Kama habari za kuwa Waziri Mkuu na baadhi ya viongozi wa serikali wanajaribu kuwekana sawa ili kukabili moto wa wabunge wakati wa mjadala huo dalili zinaonesha kuwa kuna mtu atatolewa kafara na binafsi naamini itakuwa ni Dr. Ibrahim Msabaha aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini wakati wa suala la Richmond&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Siamini kama Lowassa atawajibishwa kwani nina uhakika ameandaa hotuba moto ya kuelezea jinsi gani "nia" ya serikali ilikuwa nzuri na ya kuwa hakukuwa na ufisadi na wabunge wawaonee huruma. Lowassa atasurvive lakini kuna mtu lazima atolewe kafara na sitashangaa kama Msabaha mwenyewe akiamua kujiuzulu saa chache kabla ya ripoti kuletwa Bungeni kama walivyofanya Idi Simba na Ngasongwa kwenye lile sakata  la Kodi za Sukari zaidi ya miaka kumi iliyopita.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Nani atasalimika Bungeni mjadala wa Richmond ukianza?&lt;/b&gt; </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-04T22_30_11-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-04T22_30_11-08_00</comments>
      <pubDate>Tue, 05 Feb 2008 06:30:11 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-02-05</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_753503.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Kelele za wananchi bila ya shaka zimesikika, na hatimaye Spika ameahirisha ziara yake "muhimu" ya kwenda Marekani ili kubakia kushiriki katika mijadala muhimu Bungeni. Sijui kama amefanya hivyo kwa sababu ya umuhimu wa jambo lenyewe au kwa sababu lugha aliyotumia ilikuwa mbaya na ilimuonesha katika mwanga mbaya

Hata hivyo uamuzi wa yeye kutengua safari yakehiyo unaweza kuashiria mambo mengi sana. Kama nilivyosema siku chache zilizopita tuangalie sana Bungeni kwani kuna kila dalili kuwa joto linazidi kupanda hususan kwenye suala la Richmond 

Kama habari za kuwa Waziri Mkuu na baadhi ya viongozi wa serikali wanajaribu kuwekana sawa ili kukabili moto wa wabunge wakati wa mjadala huo dalili zinaonesha kuwa kuna mtu atatolewa kafara na binafsi naamini itakuwa ni Dr. Ibrahim Msabaha aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini wakati wa suala la Richmond

Siamini kama Lowassa atawajibishwa kwani nina uhakika ameandaa hotuba moto ya kuelezea jinsi gani "nia" ya serikali ilikuwa nzuri na ya kuwa hakukuwa na ufisadi na wabunge wawaonee huruma. Lowassa atasurvive lakini kuna mtu lazima atolewe kafara na sitashangaa kama Msabaha mwenyewe akiamua kujiuzulu saa chache kabla ya ripoti kuletwa Bungeni kama walivyofanya Idi Simba na Ngasongwa kwenye lile sakata  la Kodi za Sukari zaidi ya miaka kumi iliyopita.

Nani atasalimika Bungeni mjadala wa Richmond ukianza? </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Spika anapoweka Bunge Kibindoni </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_752154.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Ama kweli Tanzania kuna mambo makubwa na hasa katika serikali yetu.  Makubwa zaidi ni pale ambapo Spika anapoamua kuondoka na sehemu ya Bunge kibindoni na hivyo kusababisha watunga sheria wetu wasijadili jambo lolote hadi arudi&lt;/p&gt;
&lt;P&gt;Wiki iliyopita bila ya shaka utakuwa umeshasikia Spika wa Bunge letu Mhe. Samwel Sitta aliagiza kuwa mijadala kuhusu Richmond na BoT isifanyike wakati yeye hayupo. Mhe. Sitta alisema kuwa "Mambo yote nyeti yatasubiri mpaka mimi mwenyewe nipo, Naibu Spika asije akakurupuka akaanza kuyavaa mambo makubwa wakati mimi sipo"&lt;/P&gt;
&lt;p&gt;Kama hilo halikutosha Mhe. Spika akaongeza na kusema "Haya ni masuala mazito yanayoigusa nchi, si masuala rahisi rahisi ni vizuri mimi mwenyewe nikawepo katika mjadala huo na si vyenginevyo"&lt;/P&gt;

&lt;p&gt; Sasa mimi najiuliuza hivi wanayozungumza sasa hivi Bungeni ni masuala muhimu? Hivi Naibu wa Spika anatakiwa kusimamai mambo yasiyo muhimu hadi "mwenyewe" arudi kama vile baba aliyeenda Luanda kutuletea mkungu wa ndizi?. Hivi kati ya masuala muhimu kwa Taifa lipi ni nyeti zaidi haya ya BoT na Richmond au haya ya kutembelea Marekani?"&lt;/P&gt;

&lt;p&gt;Binafsi sipendi tena sitaki kusikia ati Spika anaweza kuliweka Bunge kibindoni na kuliweka kipori hadi atakaporudi safari zake za ng'ambo&lt;/P&gt; </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-03T22_40_25-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-02-03T22_40_25-08_00</comments>
      <pubDate>Mon, 04 Feb 2008 06:40:25 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-02-04</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_752154.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Ama kweli Tanzania kuna mambo makubwa na hasa katika serikali yetu.  Makubwa zaidi ni pale ambapo Spika anapoamua kuondoka na sehemu ya Bunge kibindoni na hivyo kusababisha watunga sheria wetu wasijadili jambo lolote hadi arudi
Wiki iliyopita bila ya shaka utakuwa umeshasikia Spika wa Bunge letu Mhe. Samwel Sitta aliagiza kuwa mijadala kuhusu Richmond na BoT isifanyike wakati yeye hayupo. Mhe. Sitta alisema kuwa "Mambo yote nyeti yatasubiri mpaka mimi mwenyewe nipo, Naibu Spika asije akakurupuka akaanza kuyavaa mambo makubwa wakati mimi sipo"
Kama hilo halikutosha Mhe. Spika akaongeza na kusema "Haya ni masuala mazito yanayoigusa nchi, si masuala rahisi rahisi ni vizuri mimi mwenyewe nikawepo katika mjadala huo na si vyenginevyo"

 Sasa mimi najiuliuza hivi wanayozungumza sasa hivi Bungeni ni masuala muhimu? Hivi Naibu wa Spika anatakiwa kusimamai mambo yasiyo muhimu hadi "mwenyewe" arudi kama vile baba aliyeenda Luanda kutuletea mkungu wa ndizi?. Hivi kati ya masuala muhimu kwa Taifa lipi ni nyeti zaidi haya ya BoT na Richmond au haya ya kutembelea Marekani?"

Binafsi sipendi tena sitaki kusikia ati Spika anaweza kuliweka Bunge kibindoni na kuliweka kipori hadi atakaporudi safari zake za ng'ambo </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Hotuba ya JK : Mwanzo wa kuelekea uwajibikaji?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_748068.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Katika hotuba yake ya mwisho wa mwezi, Rais Kikwete alizungumzia uamuzi ambao Kamati Kuu ya CCM imeufikia hususan suala la viongozi wa kisiasa wa ngazi za juu kujishughulisha na siasa&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Kwa mujibu wa Rais, CCM imeamua kuwa viongozi hasa wabunge na mawaziri itabidi waamue kama wanataka kufanya biashara au shughuli za siasa. Hata hivyo Rais Kikwete hakusema mpango huo utaanza kutekelezwa lini na kwa mchakato upi&lt;/p&gt;

&lt;p&gt; Unaweza kusoma hotuba nzima ya Rais kwenye http://www.klhnews.com ambako inapatikana katika pdf. format. ili uweze kuamua mwenyewe kama nia hiyo ya Rais ni mwanzo wa kujenga Taifa la viongozi wa wawajibikaji au viini macho&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Jambo ambalo mimi linanigusa na nitaandika zaidi wiki ijayo ni kuangalia kama wanataka kurudisha ile miiko ya uongozi ya Azimio la Arusha kinyemela au wanajaribu kuona jinsi gani wanaweza kusuka na kunyoa kwa wakati mmoja&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Kwa upande wa KLH News, tunatarajia kuweka chat feature siku chache zijazo na kuifanyia majaribio na baada tutaiaupgrade. Hivyo usikose kutembelea na kupata habari kwa kadiri zinavyotokea &lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-01-31T21_36_01-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-01-31T21_36_01-08_00</comments>
      <pubDate>Fri, 01 Feb 2008 05:36:01 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-02-01</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords>hotuba,jk:,kuelekea,mwanzo,uwajibikaji?,wa,ya</itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_748068.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Katika hotuba yake ya mwisho wa mwezi, Rais Kikwete alizungumzia uamuzi ambao Kamati Kuu ya CCM imeufikia hususan suala la viongozi wa kisiasa wa ngazi za juu kujishughulisha na siasa

Kwa mujibu wa Rais, CCM imeamua kuwa viongozi hasa wabunge na mawaziri itabidi waamue kama wanataka kufanya biashara au shughuli za siasa. Hata hivyo Rais Kikwete hakusema mpango huo utaanza kutekelezwa lini na kwa mchakato upi

 Unaweza kusoma hotuba nzima ya Rais kwenye http://www.klhnews.com ambako inapatikana katika pdf. format. ili uweze kuamua mwenyewe kama nia hiyo ya Rais ni mwanzo wa kujenga Taifa la viongozi wa wawajibikaji au viini macho

Jambo ambalo mimi linanigusa na nitaandika zaidi wiki ijayo ni kuangalia kama wanataka kurudisha ile miiko ya uongozi ya Azimio la Arusha kinyemela au wanajaribu kuona jinsi gani wanaweza kusuka na kunyoa kwa wakati mmoja

Kwa upande wa KLH News, tunatarajia kuweka chat feature siku chache zijazo na kuifanyia majaribio na baada tutaiaupgrade. Hivyo usikose kutembelea na kupata habari kwa kadiri zinavyotokea </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Wabunge wanaokurupuka, na Kampeni za Kiteto</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_745061.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Leo hii vichwa vya habari vya magazeti mengi nyumbani vinahusu jinsi wabunge walivyodai ripoti kamili ya uchunguzi wa BoT badala ya maelezo ya juu yaliyotolewa na Waziri wa Fedha Bi. Zakia Meghji Bungeni jana.

&lt;p&gt;Binafsi siyo tu nasikia kinyaa lakini nakerwa na wabunge ambao kama watu walioamshwa usingizini wanakurupuka na kuanza kujifanya ati leo wamekuwa watetezi wa BoT&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Wabunge hawa walikuwa wapi wakati wa miaka 15 ya ufisadi kwenye benki yetu Kuu? Walikuwa wapi wakati Meremeta na ndugu zake wanachota fedha zetu? Walikuwa wapi wakati EPA inakwapua kama kumuibia mlevi wa gongo? Hivi baada ya kazi kufanywa na wapinzani leo hii ndio Bunge lijifanye liko tayari kusimamia Benki Kuu? Walikuwa na nafasi ya kuunda Kamati ya Uchunguzi, hivi kweli leo ndio waone umuhimu huo?&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Sipendi tena sitaki wabunge wanaokurupuka! Ni bora tuwe na wabunge wawili kama kina Slaa na Zitto kuwa na wabunge 200 na zaidi wanaovutwa kama kwa kamba!&lt;/P&gt;

&lt;p&gt; Hili linanileta kwenye uchaguzi wa Kiteto. Tafadhali pitia barua yangu kwa wananchi wa Kiteto iliyotoka kwenye gazeti la Tanzania Daima. Pichani ni mgombea atakayesimama kwa tiketi ya Chadema akiwakilisha ushirika wa wapinzani Bw. Victor Kimesera&lt;/P&gt;

&lt;p&gt; Soma barua hiyo utaelewa ni kwanini naamini CCM hawastahili kiti hata kimoja cha ziada Bungeni&lt;/p&gt; </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-01-29T21_41_02-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-01-29T21_41_02-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 30 Jan 2008 05:41:02 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-01-30</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-01-29T21_41_02-08_00.mp3" length="26339788"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_745061.jpg"/>
      <itunes:duration>1806</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Leo hii vichwa vya habari vya magazeti mengi nyumbani vinahusu jinsi wabunge walivyodai ripoti kamili ya uchunguzi wa BoT badala ya maelezo ya juu yaliyotolewa na Waziri wa Fedha Bi. Zakia Meghji Bungeni jana.

Binafsi siyo tu nasikia kinyaa lakini nakerwa na wabunge ambao kama watu walioamshwa usingizini wanakurupuka na kuanza kujifanya ati leo wamekuwa watetezi wa BoT

Wabunge hawa walikuwa wapi wakati wa miaka 15 ya ufisadi kwenye benki yetu Kuu? Walikuwa wapi wakati Meremeta na ndugu zake wanachota fedha zetu? Walikuwa wapi wakati EPA inakwapua kama kumuibia mlevi wa gongo? Hivi baada ya kazi kufanywa na wapinzani leo hii ndio Bunge lijifanye liko tayari kusimamia Benki Kuu? Walikuwa na nafasi ya kuunda Kamati ya Uchunguzi, hivi kweli leo ndio waone umuhimu huo?

Sipendi tena sitaki wabunge wanaokurupuka! Ni bora tuwe na wabunge wawili kama kina Slaa na Zitto kuwa na wabunge 200 na zaidi wanaovutwa kama kwa kamba!

 Hili linanileta kwenye uchaguzi wa Kiteto. Tafadhali pitia barua yangu kwa wananchi wa Kiteto iliyotoka kwenye gazeti la Tanzania Daima. Pichani ni mgombea atakayesimama kwa tiketi ya Chadema akiwakilisha ushirika wa wapinzani Bw. Victor Kimesera

 Soma barua hiyo utaelewa ni kwanini naamini CCM hawastahili kiti hata kimoja cha ziada Bungeni </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Tumepigwa ganzi ya Ufisadi?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_743745.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Mlolongo wa kashfa umeigubika serikali ya Tanzania na kama vile watu wanashindana imekuwa ni kashfa juu ya kashfa. 

&lt;p&gt; Swali ambalo linanisumbua hasa baada ya kashfa ya BoT naona watu wamekuwa kama wametiwa ganzi ya aina fulani, kuwa hatusikii  tena uchungu na tumekubali kuwa "mambo ndivyo yalivyo"&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Je tukubali kuwa tuko katika utamaduni wa kifisadi na mambo ndivyo yalivyo? Je tukubali kuwa sisi sote ni mafisadi wa aina moja au nyingine na tukipewa nafasi hizo walizonazo wao bila ya shaka na sisi tutaingiza nchi yetu kwenye mikataba bomu?&lt;/p&gt;

&lt;p&gt; Je, kama tumekufa ganzi na hatusikii maumizu tena ya ufisadi tunasababu gani ya kufichua wizi na ubadhirifu serikalini? Kwanini tusiamue kufumba macho na kila mtu ajifanyie vya kwake&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;najaribu kuchambua maswali hayo katika matangazo ya leo ambayo pia unaweza kuyasikia kwenye &lt;b&gt;http://www.klhnews.com&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;

&lt;B&gt;Kwa wale wa wapenzi wa magari nimewawekea picha karibu hamsini za magari toka kwenye Onesho la Kimataifa la Magari lililofanyika kwenye jiji la Detroit, Michigan ambako nilihudhuria siku ya Jumamosi. Picha hizo zote zinapatikana kwenye website ya klhnews.com na unaweza kuzitumia upendavyo na kwenye vyombo vya habari au mahali popote na kuzi credit "Klhnews"&lt;/b&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-01-28T23_04_22-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-01-28T23_04_22-08_00</comments>
      <pubDate>Tue, 29 Jan 2008 07:04:22 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-01-29</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-01-28T23_04_22-08_00.mp3" length="16813244"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_743745.jpg"/>
      <itunes:duration>1152</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Mlolongo wa kashfa umeigubika serikali ya Tanzania na kama vile watu wanashindana imekuwa ni kashfa juu ya kashfa. 

 Swali ambalo linanisumbua hasa baada ya kashfa ya BoT naona watu wamekuwa kama wametiwa ganzi ya aina fulani, kuwa hatusikii  tena uchungu na tumekubali kuwa "mambo ndivyo yalivyo"

Je tukubali kuwa tuko katika utamaduni wa kifisadi na mambo ndivyo yalivyo? Je tukubali kuwa sisi sote ni mafisadi wa aina moja au nyingine na tukipewa nafasi hizo walizonazo wao bila ya shaka na sisi tutaingiza nchi yetu kwenye mikataba bomu?

 Je, kama tumekufa ganzi na hatusikii maumizu tena ya ufisadi tunasababu gani ya kufichua wizi na ubadhirifu serikalini? Kwanini tusiamue kufumba macho na kila mtu ajifanyie vya kwake

najaribu kuchambua maswali hayo katika matangazo ya leo ambayo pia unaweza kuyasikia kwenye http://www.klhnews.com

Kwa wale wa wapenzi wa magari nimewawekea picha karibu hamsini za magari toka kwenye Onesho la Kimataifa la Magari lililofanyika kwenye jiji la Detroit, Michigan ambako nilihudhuria siku ya Jumamosi. Picha hizo zote zinapatikana kwenye website ya klhnews.com na unaweza kuzitumia upendavyo na kwenye vyombo vya habari au mahali popote na kuzi credit "Klhnews"</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Balali apewe Kinga! </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_736861.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Jana nimejenga hoja kuwa kama kweli wanataka kukomesha mtandao wa wahalifu katika ngazi mbalimbali za serikali na utumishi wa umma, hususan kuanza na BoT, wampe kinga ya kisheria (immunity) aliyekuwa Gavana wa Benki hiyo Bw. Daud Balali ili aweze kuwa shahidi na kutoa msaada wa kutambua kilichoendelea Benki Kuu bila hofu ya kile atakachosema kutumiwa dhidi yake katika mahakama. 

Ni hoja ndefu, na kabla hujashtuka na kusema "kinga ya nini" tafadhali soma nilichosema halafu tuwe na mjadala mzuri. Angalia kwenye editorial ya KLH News. Na pia unaweza kuisoma kwenye Tanzania Daima toleo la Januari 22, 2008. Je, serikali watakuwa tayari kumpa kinga Balali? Je kumpa kinga kutasaidia kuwatambua watu wengine? Je kumpa kinga kutasidia kutuonesha fedha zetu ziko wapi? </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-01-23T21_14_12-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-01-23T21_14_12-08_00</comments>
      <pubDate>Thu, 24 Jan 2008 05:14:12 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-01-24</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_736861.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Jana nimejenga hoja kuwa kama kweli wanataka kukomesha mtandao wa wahalifu katika ngazi mbalimbali za serikali na utumishi wa umma, hususan kuanza na BoT, wampe kinga ya kisheria (immunity) aliyekuwa Gavana wa Benki hiyo Bw. Daud Balali ili aweze kuwa shahidi na kutoa msaada wa kutambua kilichoendelea Benki Kuu bila hofu ya kile atakachosema kutumiwa dhidi yake katika mahakama. 

Ni hoja ndefu, na kabla hujashtuka na kusema "kinga ya nini" tafadhali soma nilichosema halafu tuwe na mjadala mzuri. Angalia kwenye editorial ya KLH News. Na pia unaweza kuisoma kwenye Tanzania Daima toleo la Januari 22, 2008. Je, serikali watakuwa tayari kumpa kinga Balali? Je kumpa kinga kutasaidia kuwatambua watu wengine? Je kumpa kinga kutasidia kutuonesha fedha zetu ziko wapi? </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Sakata la BoT: Kweli serikali inadhani sisi mazezeta?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_735535.gif" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;B&gt;SITAKI SERIKALI ISIJUE ALIKO BALALI!&lt;/B&gt;

&lt;p&gt;Nilitaka nizungumze leo, lakini sauti imenikauka kidogo. Hivyo nitasema kwa maandishi. Sipendi tena sitaki serikali yangu inione mimi zezeta, hamnazo, limbukeni na zimeniruka! Na kwa hakika sitaki wale niliowachagua na sasa watawala wetu wanifanye mimi kama sijui hesabu!
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Hivi kweli mpango wao wa kumfika Balali ulianza lini? Hivi kweli wanataka wananchi waamini kuwa hakuna kiongozi anayejua Balali aliko? Au wanataka kutufanya sisi hatuna akili na hatujui mantiki? Kuna ugumu gani wa serikali kusema Balali yuko wapi? 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Kwanza kabisa, tangu Balali aondoke na hata alipoondoka hawakusema anakwenda hospitali gani kutibiwa. Huu usiri wa nini? Leo amekuwa hospitali hadi akawaandikia barua ya kujiuzulu na hatimaye wakaamua kutengeua uteuzi wake, yaani kweli hawajui alipo? &lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Mimi swali langu la leo, tumekubali mmetengua lakini mnaficha nini? Kwanini njama ya kumficha Balali ilianza mapema. Ushahidi wote upo kuwa serikali inajua alipo lakini kila kiongozi akiulizwa wanasema "hatujui alipo". Hivi kweli wanadhani watanzania wanaamini hayo?&lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Vinginevyo wataweza vipi kuelezea kauli ya Rais ya Disemba 19 kuwa "Balali kweli anaumwa" alipoulizwa na waandishi. Aidha Rais alikuwa anasema ukweli au alikuwa anasema uongo. Kwa vile siwezi kudhania Rais anaweza kuwadanganya Watanzania nalazimika kuamini kuwa alikuwa anasema kweli. Vinginevyo alijuaje kweli "anaumwa"? &lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Aidha Rais aliambiwa na watu wanaojua kweli anaumwa na ambao wanaushahidi huo vinginevyo alidanganywa. Hivyo kwanza kabisa nalazimika kusema wazi kuwa Rais Kikwete anajua Balali yuko wapi!
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Watu wa BoT nao wanajua alipo kwani ni wao wamekuwa wakilipia matibabu yake. Vinginevyo hizo hela zinatumwa kwa mkono kwenye kwa mtu au kwa taasisi ya tiba? Au ndio ufisadi hati wakati wa kuuguzana? Hivyo hawa jamaa wanajua alipo vinginevyo waeleze hizo fedha za matibabu zililipwa wapi?
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Sasa kama serikali ina sababu zake za kumficha Balali watuambie tu kwa vile sisi ni wadanganyika tutakubali tu! Vinginevyo, wakati umefika serikali iseme fedha za umma alizolipiwa Balali zililipwa kwa Mganga gani wa Kienyeji huko Marekani (maana wapo)!? Kama wameamua asirudi si watuambie tu tuanze kuwang'ang'ania mafisadi wengine maana hilo la Balali sijui litakuwaje (soma Makala yangu kwenye Tanzania Daima leo). 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Sijui wenzangu, mnafikiri kuna sababu ya msingi kwanini Watanzania hawakuambiwa Balali kaenda kutibiwa hospitali gani na waliamua kutuficha hilo hata kabla ya kujiuzulu? Je yawezekana ile barua ya kujiuzulu ilivujishwa na wao wao ili kupima mwendo wa maji? Vinginevyo sipendi kugeuzwa zezeta wakati nina akili zangu timamu!
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Kwani tayari tunaambiwa kuwa yule jamaa wa rada naye katoweka, na siku si nyingi mtasikia Jeetu Patel katoweka, na msishangae Mramba na Mgonja nao watatoweka mbele ya macho yenu!
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Mjadala tunaweza kuufanya kwenye&lt;b&gt; http://www.klhnews.com&lt;/b&gt; Pale Juu kuna sehemu inasema "Members"... bonyeza na vidirisha vya kujiandikisha vitajitokeza. Karibu kwa mjadala. &lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-01-22T22_03_14-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-01-22T22_03_14-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 23 Jan 2008 06:03:14 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-01-23</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_735535.gif"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>SITAKI SERIKALI ISIJUE ALIKO BALALI!

Nilitaka nizungumze leo, lakini sauti imenikauka kidogo. Hivyo nitasema kwa maandishi. Sipendi tena sitaki serikali yangu inione mimi zezeta, hamnazo, limbukeni na zimeniruka! Na kwa hakika sitaki wale niliowachagua na sasa watawala wetu wanifanye mimi kama sijui hesabu!

Hivi kweli mpango wao wa kumfika Balali ulianza lini? Hivi kweli wanataka wananchi waamini kuwa hakuna kiongozi anayejua Balali aliko? Au wanataka kutufanya sisi hatuna akili na hatujui mantiki? Kuna ugumu gani wa serikali kusema Balali yuko wapi? 

Kwanza kabisa, tangu Balali aondoke na hata alipoondoka hawakusema anakwenda hospitali gani kutibiwa. Huu usiri wa nini? Leo amekuwa hospitali hadi akawaandikia barua ya kujiuzulu na hatimaye wakaamua kutengeua uteuzi wake, yaani kweli hawajui alipo? 

Mimi swali langu la leo, tumekubali mmetengua lakini mnaficha nini? Kwanini njama ya kumficha Balali ilianza mapema. Ushahidi wote upo kuwa serikali inajua alipo lakini kila kiongozi akiulizwa wanasema "hatujui alipo". Hivi kweli wanadhani watanzania wanaamini hayo?

Vinginevyo wataweza vipi kuelezea kauli ya Rais ya Disemba 19 kuwa "Balali kweli anaumwa" alipoulizwa na waandishi. Aidha Rais alikuwa anasema ukweli au alikuwa anasema uongo. Kwa vile siwezi kudhania Rais anaweza kuwadanganya Watanzania nalazimika kuamini kuwa alikuwa anasema kweli. Vinginevyo alijuaje kweli "anaumwa"? 

Aidha Rais aliambiwa na watu wanaojua kweli anaumwa na ambao wanaushahidi huo vinginevyo alidanganywa. Hivyo kwanza kabisa nalazimika kusema wazi kuwa Rais Kikwete anajua Balali yuko wapi!

Watu wa BoT nao wanajua alipo kwani ni wao wamekuwa wakilipia matibabu yake. Vinginevyo hizo hela zinatumwa kwa mkono kwenye kwa mtu au kwa taasisi ya tiba? Au ndio ufisadi hati wakati wa kuuguzana? Hivyo hawa jamaa wanajua alipo vinginevyo waeleze hizo fedha za matibabu zililipwa wapi?

Sasa kama serikali ina sababu zake za kumficha Balali watuambie tu kwa vile sisi ni wadanganyika tutakubali tu! Vinginevyo, wakati umefika serikali iseme fedha za umma alizolipiwa Balali zililipwa kwa Mganga gani wa Kienyeji huko Marekani (maana wapo)!? Kama wameamua asirudi si watuambie tu tuanze kuwang'ang'ania mafisadi wengine maana hilo la Balali sijui litakuwaje (soma Makala yangu kwenye Tanzania Daima leo). 

Sijui wenzangu, mnafikiri kuna sababu ya msingi kwanini Watanzania hawakuambiwa Balali kaenda kutibiwa hospitali gani na waliamua kutuficha hilo hata kabla ya kujiuzulu? Je yawezekana ile barua ya kujiuzulu ilivujishwa na wao wao ili kupima mwendo wa maji? Vinginevyo sipendi kugeuzwa zezeta wakati nina akili zangu timamu!

Kwani tayari tunaambiwa kuwa yule jamaa wa rada naye katoweka, na siku si nyingi mtasikia Jeetu Patel katoweka, na msishangae Mramba na Mgonja nao watatoweka mbele ya macho yenu!

Mjadala tunaweza kuufanya kwenye http://www.klhnews.com Pale Juu kuna sehemu inasema "Members"... bonyeza na vidirisha vya kujiandikisha vitajitokeza. Karibu kwa mjadala. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mahojiano na Waziri wa Fedha Bi. Zakia Meghji (MB)</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_725660.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Je, Bi. Zakia Meghji naye ni fisadi? Je kitendo chake cha kuandika barua kuthibitisha malipo kwa kampuni iliyotajwa kwenye ripoti ya BoT na baadaye kuikana barua hiyo baada ya kufahamu ukweli ni kitendo cha kifisadi? Je, anapaswa kujiuzulu?&lt;/p&gt; 

&lt;p&gt;Nimezungumza na waziri wetu wa fedha kujaribu kutafuta baadhi ya majibu ya maswali hayo. Sikiliiza na uamue mwenyewe. Kama huwezi kusikiliza hapa kwa sababu yeyote ile, unaweza kusikiliza mahojiano haya kwenye http://www.klhnews.com eneo la podcast pale juu. &lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-01-15T20_57_41-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-01-15T20_57_41-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 16 Jan 2008 04:57:41 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-18</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-01-16</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-01-15T20_57_41-08_00.mp3" length="32199993"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_725660.jpg"/>
      <itunes:duration>2209</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Je, Bi. Zakia Meghji naye ni fisadi? Je kitendo chake cha kuandika barua kuthibitisha malipo kwa kampuni iliyotajwa kwenye ripoti ya BoT na baadaye kuikana barua hiyo baada ya kufahamu ukweli ni kitendo cha kifisadi? Je, anapaswa kujiuzulu? 

Nimezungumza na waziri wetu wa fedha kujaribu kutafuta baadhi ya majibu ya maswali hayo. Sikiliiza na uamue mwenyewe. Kama huwezi kusikiliza hapa kwa sababu yeyote ile, unaweza kusikiliza mahojiano haya kwenye http://www.klhnews.com eneo la podcast pale juu. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Kifo cha Fatima Said na imani za kishirikina, mko wapi? </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718525.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;&lt;i&gt;&lt;b&gt;Pichani mama Muenda Gigwa (46)  wa kijiji cha Butini Shinyanga akiwa amekatwa katwa mapanga kwa tuhumza uchawi. Juzi Jumatatu mama mwingine jiji Dar Bi. Aurelia Thomas alinusurika kuuawa kwa tuhuma kama hizo.&lt;/b&gt; &lt;/i&gt;&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Siku chache baada ya Rais Kikwete kukemea tabia za kuua watu kwa kuwashuku uchawi mama mmoja amenusurika kuuawa lakini akapoteza nyumba na mali yake yote kwa kushukiwa uchawi huko Vingunguti, Ilala jijini Dar-es-Salaam.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Tarehe 29 Disemba 2007 binti mdoto wa kama miaka 12 hivi aitwaye Rehema Said alitoweka nyumbani kwao huko Vingunguti jijini Dar-es-Salaam. Baada ya kila jitihada kufanyika za kumtafuta watu walikuwa hawajui wafanye nini. Juzi hata hivyo, mwili wake ukiwa umeharibika ulikutwa pembezoni mwa mto wa Msimbazi. &lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Mara baada ya habari za mwili huo kupatikana tetesi za imani za kishirikina zilizokuwa zimeanza zikazagaa na mara moja watu wakahusisha kifo cha binti huyo na mama mmoja hapo mtaani. Bi. Aurelia Thomas. Bi. Aurelia Thomas bila kujua hili wala lile na yeye alikuwa ni miongoni mwa watu waliotoka kwenda kuushuhudia huo mwili matokeo yake yeye akawa ndiyo mtuhumiwa namba moja. &lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Siku ile ya Jumatatu watu wakaanza kumzonga mama huyo na wakawa tayari kumfanyizia. Bahati nzuri Polisi walifika mahali hapo na wakirusha risasi za moto wakaweza kuwatawanya watu hao wenye hasira na kumuokoa mama huyo. Watu wakazihamishia hasira zao kwenye nyumba ya mama huyo wakijaribu kurusha mawe na kuivunja vunja. Viongozi wa mtaa wakafika na kuingia hadi ndani ya nyumba hiyo bila kukuta ushahidi wowote ule. 
&lt;p&gt;&lt;/P&gt;
Kiongozi mmoja wa mtaa akiwatuliwa wananchi akawaambia kuwa huko ndani "hakuna mtoto mwingine"; kana kwamba mtoto Rehema ambaye hakuwahi kuonekana nyumba hiyo aliwahi kuwemo! Watu hawakuridhika na matokeo yake wakaendelea kuijaribu kuivunja nyumba ya Bi. Thomas aliyojitahidi kuijenga kwa miaka mingi na kulelea watoto wake ambao ni watu wazima na wengine wameshaolewa! Polisi wakaweka ulinzi pale na watu wakatawanyika lakini siku hiyo ya Jumatatu jioni Polisi wakaondoa ulinzi wao na kutokomea!&lt;/P&gt;&lt;p&gt;

Wananchi wakawa wamepewa kibali cha ufisadi. Wakaipangusa nyumba ile kila kitu, wakang'oa madirisha na milango, kuvunja choo na kukwapua kila walichoweza kwa kisingizio cha "kumuadhibu mchawi".! Mama Thomas na familia yake wakajikuta hawana mahala pa kuishi na hakuna wa wa kuwatetea! Kisa na mkasa ni kwa sababu wao wametuhumiwa uchawi. Mwanae wa kiume akizungumza na televisheni moja akasikika kusema "kama angekuwa mtu mmoja ningelipiza kisasi ili wajue jinsi kitendo hiki kinavyotuuma!, hata kama kunyongwa niko tayari kunyongwa"! 
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Cha kusikitisha ni kuwa hakuna wa kumtetea mama huyo na familia yake au kiongozi yeyote kuonesha anajali kwa ajili ya hofu ya "ushirikina". NInafahamu wengi tuna imani hizi na sisi wengine ambao tumekulia pwani na hata wale wa bara imani za kulogana, misukule, n.k ni za kawaida. Hata hivyo siku hizi kama ilivyo hasa mkoani Shinyanga, kina mama wazee hawatakiwi kuzeeka! wanaitwa wachawi! Wenye macho yaliyopoteza rangi kwa kupulizia moto wa moshi na kushinda juani, wanaambiwa ni macho ya uchawi! Kina mama wazee wanaoishi kama wajane wamekuwa ndiyo kondoo wa kafara inapotokea misiba, ajali n.k! 
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Imani hizi za kilozi ambazo mwanzoni zilikuwa zinapuuziwa sasa zimefikia pabaya kwani katika TAnzania mtu hafi kwa ajali, kwa mapenzi ya Mungu au kwa sababu za kawaida. Kila anayekufa hata aliyegonwa na gari atatafutwa mchawi. Kinachosikitisha kwenye kesi ya Rehema Said ni Polisi kushindwa kutoa maelezo ya kitaalamu ili kuzuia tetesi hizi. Kwa jinsi mwili ulivyokuwa haiwezekani binti yule awe amekufa juzi au jana. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Binafsi nimeumizwa moyoni na kitendo hiki ambacho siyo cha kibidamu, cha kinyama na ambacho kinatishia kuivunja jamii hasa pale ambapo watoto wadogo wanaachwa kuvunja nyumba za watu na kuoneshwa kwenye televisheni kama jambo la kuonea fahari. Jinsi Channel 10 ilivyoripoti habari hiyo binafsi nimeona aibu kwa sababu ilikuwa na lengo la kuhamasishwa watu katika imani za kishirikina! &lt;/p&gt;&lt;p&gt;

Wakati serikali imekurupuka kwa haraka na kwenda kumsaidia mwandishi mwenzetu Saed Kubenea kwa vile ni mtu maarufu na impact yake kwa jamii ni kubwa, je serikali hiyo hiyo itaweza kujitokeza na kumsaidia mama Aurelia Thomas? Au na serikali yetu inaamini ushirikina kiasi kwamba inaogopa kujitokeza na kutoa msaada na kuwakamata wale wote waliohusika na uvunjaji na uharibifu wa mali ya Mtanzania mwenzetu huyu? HIvi mtu ukituhumiwa uchawi unapoteza utu wako? Je mjane anayeishi peke yake au anayefanya jitihada za kuishi kwa kujitegemea yeye mwenyewe ni raia nusu ambaye hastahili kulindwa uhai na mali yake! Wako wapi viongozi wetu walio na haraka ya kusafirisha mtu India ambaye tayari amegharimiwa na watu wengine na kumfumbia macho mama huyu na familia yake? Ni nani basi atakuwa sauti ya wasio na sauti katika nchi yetu kama siyo serikali yao?  

Karibu kwenye mjadala huu kwenye &lt;url&gt;http://www.klhnews.com&lt;/url&gt; eneo la "Forums" subforum  - Imani na dini.. </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-01-08T22_01_42-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-01-08T22_01_42-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 09 Jan 2008 06:01:42 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-01-09</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718525.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Pichani mama Muenda Gigwa (46)  wa kijiji cha Butini Shinyanga akiwa amekatwa katwa mapanga kwa tuhumza uchawi. Juzi Jumatatu mama mwingine jiji Dar Bi. Aurelia Thomas alinusurika kuuawa kwa tuhuma kama hizo. 

Siku chache baada ya Rais Kikwete kukemea tabia za kuua watu kwa kuwashuku uchawi mama mmoja amenusurika kuuawa lakini akapoteza nyumba na mali yake yote kwa kushukiwa uchawi huko Vingunguti, Ilala jijini Dar-es-Salaam.

Tarehe 29 Disemba 2007 binti mdoto wa kama miaka 12 hivi aitwaye Rehema Said alitoweka nyumbani kwao huko Vingunguti jijini Dar-es-Salaam. Baada ya kila jitihada kufanyika za kumtafuta watu walikuwa hawajui wafanye nini. Juzi hata hivyo, mwili wake ukiwa umeharibika ulikutwa pembezoni mwa mto wa Msimbazi. 

Mara baada ya habari za mwili huo kupatikana tetesi za imani za kishirikina zilizokuwa zimeanza zikazagaa na mara moja watu wakahusisha kifo cha binti huyo na mama mmoja hapo mtaani. Bi. Aurelia Thomas. Bi. Aurelia Thomas bila kujua hili wala lile na yeye alikuwa ni miongoni mwa watu waliotoka kwenda kuushuhudia huo mwili matokeo yake yeye akawa ndiyo mtuhumiwa namba moja. 

Siku ile ya Jumatatu watu wakaanza kumzonga mama huyo na wakawa tayari kumfanyizia. Bahati nzuri Polisi walifika mahali hapo na wakirusha risasi za moto wakaweza kuwatawanya watu hao wenye hasira na kumuokoa mama huyo. Watu wakazihamishia hasira zao kwenye nyumba ya mama huyo wakijaribu kurusha mawe na kuivunja vunja. Viongozi wa mtaa wakafika na kuingia hadi ndani ya nyumba hiyo bila kukuta ushahidi wowote ule. 

Kiongozi mmoja wa mtaa akiwatuliwa wananchi akawaambia kuwa huko ndani "hakuna mtoto mwingine"; kana kwamba mtoto Rehema ambaye hakuwahi kuonekana nyumba hiyo aliwahi kuwemo! Watu hawakuridhika na matokeo yake wakaendelea kuijaribu kuivunja nyumba ya Bi. Thomas aliyojitahidi kuijenga kwa miaka mingi na kulelea watoto wake ambao ni watu wazima na wengine wameshaolewa! Polisi wakaweka ulinzi pale na watu wakatawanyika lakini siku hiyo ya Jumatatu jioni Polisi wakaondoa ulinzi wao na kutokomea!

Wananchi wakawa wamepewa kibali cha ufisadi. Wakaipangusa nyumba ile kila kitu, wakang'oa madirisha na milango, kuvunja choo na kukwapua kila walichoweza kwa kisingizio cha "kumuadhibu mchawi".! Mama Thomas na familia yake wakajikuta hawana mahala pa kuishi na hakuna wa wa kuwatetea! Kisa na mkasa ni kwa sababu wao wametuhumiwa uchawi. Mwanae wa kiume akizungumza na televisheni moja akasikika kusema "kama angekuwa mtu mmoja ningelipiza kisasi ili wajue jinsi kitendo hiki kinavyotuuma!, hata kama kunyongwa niko tayari kunyongwa"! 

Cha kusikitisha ni kuwa hakuna wa kumtetea mama huyo na familia yake au kiongozi yeyote kuonesha anajali kwa ajili ya hofu ya "ushirikina". NInafahamu wengi tuna imani hizi na sisi wengine ambao tumekulia pwani na hata wale wa bara imani za kulogana, misukule, n.k ni za kawaida. Hata hivyo siku hizi kama ilivyo hasa mkoani Shinyanga, kina mama wazee hawatakiwi kuzeeka! wanaitwa wachawi! Wenye macho yaliyopoteza rangi kwa kupulizia moto wa moshi na kushinda juani, wanaambiwa ni macho ya uchawi! Kina mama wazee wanaoishi kama wajane wamekuwa ndiyo kondoo wa kafara inapotokea misiba, ajali n.k! 

Imani hizi za kilozi ambazo mwanzoni zilikuwa zinapuuziwa sasa zimefikia pabaya kwani katika TAnzania mtu hafi kwa ajali, kwa mapenzi ya Mungu au kwa sababu za kawaida. Kila anayekufa hata aliyegonwa na gari atatafutwa mchawi. Kinachosikitisha kwenye kesi ya Rehema Said ni Polisi kushindwa kutoa maelezo ya kitaalamu ili kuzuia tetesi hizi. Kwa jinsi mwili ulivyokuwa haiwezekani binti yule awe amekufa juzi au jana. 

Binafsi nimeumizwa moyoni na kitendo hiki ambacho siyo cha kibidamu, cha kinyama na ambacho kinatishia kuivunja jamii hasa pale ambapo watoto wadogo wanaachwa kuvunja nyumba za watu na kuoneshwa kwenye televisheni kama jambo la kuonea fahari. Jinsi Channel 10 ilivyoripoti habari hiyo binafsi nimeona aibu kwa sababu ilikuwa na lengo la kuhamasishwa watu katika imani za kishirikina! 

W</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Kushambuliwa kwa waandishi alama mbaya kwa Tanzania</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718526.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Siku ya Jumamosi waandishi wa habari wa Gazeti la Mwanahalisi Bw. Saed Kubenea (pichani) na Ndimara Tegambwage walishambuliwa na watu wasiojulikana ambao waliwasababishia madhara mwilini. Watu hao walivamia mida ya karibu saa tatu za usiku kwenye ofisi za Magazeti hayo huko Kinondoni huku wakiwa na mapanga na visu! 

&lt;p&gt;Bw. Kubenea ambaye ni Mkurugenzi wa magazeti ya Mwanahalisi na Mseto alipata majeraha makubwa zaidi hasa baada ya kumwagiwa tindikali (acid) machoni ambayo imempotezea uwezo wake wa kuona ingawa kiasi cha madhara hayo bado hakijajulikana chote.&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;Bw. Tegambwage yeye naye alijeruhiwa mwilini na kulazimika kushonwa nyuzi karibu 15 kuganga majeraha hayo. Hadi hivi sasa Bw. Kubenea yuko Hospitali ya Taifa Muhimbili huku Bw. Ndimara akiuguzia maumivu yake nyumbani&lt;/p&gt;

&lt;p&gt; Je mashambulizi haya yana maana gani kwa waandishi? Je ni nani inawezekena akawa anahusika na serikali inaweza kufanyanini kuhakikisha usalama wa waandishi wetu? Hayo ni baadhi ya maswali ambayo ninajaribu kujibu katika matangazo yangu ya leo kwenye http://www.klhnews.com&lt;/p&gt; 

&lt;p&gt; Tafadhali karibu kwenye tovuti yetu mpya ambapo tunaanza pole pole kuwaletea habari moja kwa moja toka nyumbani. Tayari Forum yetu imeshaanza kazi kama nilivyoaahidi na wote mnakaribishwa na hoja na mijadala yenu. Kuna mambo mengi ambayo ni kutembelea na kujaribu ndio utaweza kuona utajiri mkubwa ambao tumeanza kuwakea&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-01-06T22_22_34-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-01-06T22_22_34-08_00</comments>
      <pubDate>Mon, 07 Jan 2008 06:22:34 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-01-07</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718526.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Siku ya Jumamosi waandishi wa habari wa Gazeti la Mwanahalisi Bw. Saed Kubenea (pichani) na Ndimara Tegambwage walishambuliwa na watu wasiojulikana ambao waliwasababishia madhara mwilini. Watu hao walivamia mida ya karibu saa tatu za usiku kwenye ofisi za Magazeti hayo huko Kinondoni huku wakiwa na mapanga na visu! 

Bw. Kubenea ambaye ni Mkurugenzi wa magazeti ya Mwanahalisi na Mseto alipata majeraha makubwa zaidi hasa baada ya kumwagiwa tindikali (acid) machoni ambayo imempotezea uwezo wake wa kuona ingawa kiasi cha madhara hayo bado hakijajulikana chote.
Bw. Tegambwage yeye naye alijeruhiwa mwilini na kulazimika kushonwa nyuzi karibu 15 kuganga majeraha hayo. Hadi hivi sasa Bw. Kubenea yuko Hospitali ya Taifa Muhimbili huku Bw. Ndimara akiuguzia maumivu yake nyumbani

 Je mashambulizi haya yana maana gani kwa waandishi? Je ni nani inawezekena akawa anahusika na serikali inaweza kufanyanini kuhakikisha usalama wa waandishi wetu? Hayo ni baadhi ya maswali ambayo ninajaribu kujibu katika matangazo yangu ya leo kwenye http://www.klhnews.com 

 Tafadhali karibu kwenye tovuti yetu mpya ambapo tunaanza pole pole kuwaletea habari moja kwa moja toka nyumbani. Tayari Forum yetu imeshaanza kazi kama nilivyoaahidi na wote mnakaribishwa na hoja na mijadala yenu. Kuna mambo mengi ambayo ni kutembelea na kujaribu ndio utaweza kuona utajiri mkubwa ambao tumeanza kuwakea</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Ripoti ya Kamati Teule kuhusu Richmond, wananchi wasubiri! </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718527.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Hatimaye Ripoti ya uchunguzi kuhusu kampuni ya Richmond Development ya Houston imekamilika na hatimaye kukabidhiwa rasmi kwa Spika wa Jamhuri ya Muungano hapo jana na Mwenyekiti wa Kamati Teule ya Bunge Dr. Harrison Mwakyembe (Kyela - CCM) pichani. 
&lt;p&gt;Kamati hiyo imetumia siku 45, mashahidi 75, vielelezo zaidi ya mia moja na maswali zaidi ya 2700. Kwa kifupi ni kuwa ukilinganisha na uchunguzi wa PCCB inawezekana wananchi watataka Kamati Teule ifanye uchunguzi wa mambo mengine yote kuliko Taasisi ya Uchunguzi wa Kisanii kuhusu Rushwa!. &lt;/p&gt;
&lt;p&gt;Ni kwa sababu hiyo basi wananchi wana kila haki ya kusubiri kwa hamu na kutegemea kuwa hatimaye suala la Richmond litafikia kilele chake na maswali yote yatapatiwa majibu ya kuridhisha ambayo kwa wema au kwa ubaya yatafunga mjadala wa Richmond&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;Kwa niaba yangu, napenda kutoa shukrani kwa kazi ambayo timu ya Dr. Mwakyembe imefanya na lolote watakalokuwa wamefikia hitimisho basi ndiyo tutakalolichukua kwani zaidi ya hapo ni kusubiri ukweli zaidi kuliko chanzo kingine, ukweli ambao kina Dr. Mwakyembe hawakupata nafasi ya kuuangalia.&lt;/p&gt;

Usisahau kujaribu kusikiliza matangazo haya haya kwenye tovuti yetu mpya ya http://www.klhnews.com </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-01-02T21_31_52-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-01-02T21_31_52-08_00</comments>
      <pubDate>Thu, 03 Jan 2008 05:31:52 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-18</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2008-01-03</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2008-01-02T21_31_52-08_00.mp3" length="20899213"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718527.jpg"/>
      <itunes:duration>1434</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Hatimaye Ripoti ya uchunguzi kuhusu kampuni ya Richmond Development ya Houston imekamilika na hatimaye kukabidhiwa rasmi kwa Spika wa Jamhuri ya Muungano hapo jana na Mwenyekiti wa Kamati Teule ya Bunge Dr. Harrison Mwakyembe (Kyela - CCM) pichani. 
Kamati hiyo imetumia siku 45, mashahidi 75, vielelezo zaidi ya mia moja na maswali zaidi ya 2700. Kwa kifupi ni kuwa ukilinganisha na uchunguzi wa PCCB inawezekana wananchi watataka Kamati Teule ifanye uchunguzi wa mambo mengine yote kuliko Taasisi ya Uchunguzi wa Kisanii kuhusu Rushwa!. 
Ni kwa sababu hiyo basi wananchi wana kila haki ya kusubiri kwa hamu na kutegemea kuwa hatimaye suala la Richmond litafikia kilele chake na maswali yote yatapatiwa majibu ya kuridhisha ambayo kwa wema au kwa ubaya yatafunga mjadala wa Richmond
Kwa niaba yangu, napenda kutoa shukrani kwa kazi ambayo timu ya Dr. Mwakyembe imefanya na lolote watakalokuwa wamefikia hitimisho basi ndiyo tutakalolichukua kwani zaidi ya hapo ni kusubiri ukweli zaidi kuliko chanzo kingine, ukweli ambao kina Dr. Mwakyembe hawakupata nafasi ya kuuangalia.

Usisahau kujaribu kusikiliza matangazo haya haya kwenye tovuti yetu mpya ya http://www.klhnews.com </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Kenya election: another sad day for africa, a setback for democracy1</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718528.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Sometimes we have to wonder whether we Africans can do anything right. It seems that one of the things we try to do really bad is conduct an election. So far, it looks like whenever we get a chance to to change power through democratic process we fail miserably or we try so hard to justify our failures. 
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
What happened in Kenya over the weekend could be describe in a one word; shameful. The people of Kenya deserve more than what they got from the political leaders and government officers following their general election. The sense of despair, frustration, anger and disappointment linger among so many Kenyans today while some have a sense of relief and joy that finally the election is over. &lt;/p&gt;&lt;p&gt;

However, the way the counting of votes and eventual declaration of Mwai Kibaki as the winner need to go down in history as one of the most dark moments in the history of post independence Africa.  &lt;/p&gt;&lt;p&gt;

As the people of Kenya pass through this "dark hour" we call upon the political leadership in Kenya to do everything in their power to ensure that the grievances of the opposition, the integrity of the electoral process and  assumption to power by a legitimate president is respected and protected. &lt;/p&gt;&lt;/P&gt;

If Kenyans one of the most educated and relatively more developed countries in the region can not conduct a free, fair, transparent and legal electoral process it leaves us with wonder what will happen to other countries in the region when their "hour of trial" comes. &lt;/P&gt;
&lt;p&gt;
We pray that the people of Kenya will find in them every resources that will lead them to protect their nation, ensure public safety and find a path that will lead to national reconciliation  and healing. We have seen enoughs of "Mugabes" in Africa, we DO NOT need more of them. &lt;/p&gt;&lt;b&gt;

May God Bless Kenya and Africa at this hour of their need!&lt;/b&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-12-30T20_53_14-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-12-30T20_53_14-08_00</comments>
      <pubDate>Mon, 31 Dec 2007 04:53:14 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-12-31</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718528.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Sometimes we have to wonder whether we Africans can do anything right. It seems that one of the things we try to do really bad is conduct an election. So far, it looks like whenever we get a chance to to change power through democratic process we fail miserably or we try so hard to justify our failures. 

What happened in Kenya over the weekend could be describe in a one word; shameful. The people of Kenya deserve more than what they got from the political leaders and government officers following their general election. The sense of despair, frustration, anger and disappointment linger among so many Kenyans today while some have a sense of relief and joy that finally the election is over. 

However, the way the counting of votes and eventual declaration of Mwai Kibaki as the winner need to go down in history as one of the most dark moments in the history of post independence Africa.  

As the people of Kenya pass through this "dark hour" we call upon the political leadership in Kenya to do everything in their power to ensure that the grievances of the opposition, the integrity of the electoral process and  assumption to power by a legitimate president is respected and protected. 

If Kenyans one of the most educated and relatively more developed countries in the region can not conduct a free, fair, transparent and legal electoral process it leaves us with wonder what will happen to other countries in the region when their "hour of trial" comes. 

We pray that the people of Kenya will find in them every resources that will lead them to protect their nation, ensure public safety and find a path that will lead to national reconciliation  and healing. We have seen enoughs of "Mugabes" in Africa, we DO NOT need more of them. 

May God Bless Kenya and Africa at this hour of their need!</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mahojiano ya waandishi na Rais Kikwete</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718529.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 21/12/2007 ilitimia miaka miwili kamili tangu Rais Kikwete aapishwe kuwa Rais wa Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Katika kuzingatia miaka hiyo miwili Rais Kikwete alikutana na wahariri na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari nchini ambapo alifanya mahojiano nayo. Ifuatayo ni  sehemu ya mwanzo tu wa mahojiano hayo. Unaweza kuyasikiliza mahojiano hayo kwenye tovuti yetu mpya ya http://www.klhnews.com eneo la Podcasts. </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-12-25T22_31_31-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-12-25T22_31_31-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 26 Dec 2007 06:31:31 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-12-26</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718529.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Tarehe 21/12/2007 ilitimia miaka miwili kamili tangu Rais Kikwete aapishwe kuwa Rais wa Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Katika kuzingatia miaka hiyo miwili Rais Kikwete alikutana na wahariri na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari nchini ambapo alifanya mahojiano nayo. Ifuatayo ni  sehemu ya mwanzo tu wa mahojiano hayo. Unaweza kuyasikiliza mahojiano hayo kwenye tovuti yetu mpya ya http://www.klhnews.com eneo la Podcasts. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Heri ya Krismasi !</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718530.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Wapendwa wasikilizaji kwa niaba yangu na ya KLH News napenda kuwatakia ndugu zetu Wakristu mahali pote duniani na wengine wote heri ya Krismasi wanapoadhimisha kuzaliwa kwa Mkombozi Bwana Yesu Kristu. Kutoka hapa kijijini na kwenu nyote nawatakia heri ya Krismasi. Mnayoisikiliza ni kwaya ya Vijana ya Kanisa Katoliki la Mtakatifu Theresa Arusha mjini. Albamu yao inatoka hivi karibuni na bila ya shaka kwa watakaopenda wanaweza kuwasiliana nami kuona jinsi gani wataweza kuinunua. </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-12-24T20_38_29-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-12-24T20_38_29-08_00</comments>
      <pubDate>Tue, 25 Dec 2007 04:38:29 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-18</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-12-25</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2007-12-24T20_38_29-08_00.mp3" length="4414969"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718530.jpg"/>
      <itunes:duration>275</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Wapendwa wasikilizaji kwa niaba yangu na ya KLH News napenda kuwatakia ndugu zetu Wakristu mahali pote duniani na wengine wote heri ya Krismasi wanapoadhimisha kuzaliwa kwa Mkombozi Bwana Yesu Kristu. Kutoka hapa kijijini na kwenu nyote nawatakia heri ya Krismasi. Mnayoisikiliza ni kwaya ya Vijana ya Kanisa Katoliki la Mtakatifu Theresa Arusha mjini. Albamu yao inatoka hivi karibuni na bila ya shaka kwa watakaopenda wanaweza kuwasiliana nami kuona jinsi gani wataweza kuinunua. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>testing testing - http://www.klhnews.com</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718531.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Wapendwa wasikilizaji wa KLH News, mashabiki, wakosoaji, marafiji, ndugu na jamaa, naomba niwatumbulishe kwenu tovuti yetu mpya ya KLH News ambayo tumeanza kuifanyia majaribio leo. Kwa karibu wiki hii nzima tutaendelea kuifanyia marekebisho ya hapa na pale ili kuweza kuhakikisha kuwa siyo tu inafikia matarajio yenu bali inapita kwa kiasi kikubwa matarajio hayo. Tafadhali tembelea na unaweza kutoa maoni yako aidha kwa kuniandikia kwenye email au kwa kutoa comments zako hapa.  

Asante sana. </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-12-21T13_15_49-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-12-21T13_15_49-08_00</comments>
      <pubDate>Fri, 21 Dec 2007 21:15:49 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-12-21</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718531.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Wapendwa wasikilizaji wa KLH News, mashabiki, wakosoaji, marafiji, ndugu na jamaa, naomba niwatumbulishe kwenu tovuti yetu mpya ya KLH News ambayo tumeanza kuifanyia majaribio leo. Kwa karibu wiki hii nzima tutaendelea kuifanyia marekebisho ya hapa na pale ili kuweza kuhakikisha kuwa siyo tu inafikia matarajio yenu bali inapita kwa kiasi kikubwa matarajio hayo. Tafadhali tembelea na unaweza kutoa maoni yako aidha kwa kuniandikia kwenye email au kwa kutoa comments zako hapa.  

Asante sana. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Eid Mubarak!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718532.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Napenda kutumia nafasi hii kuwatakia heri ya siku kuu ya Eid ndugu zetu waislamu wanapoungana na na Waislamu wengine katika kuunganisha mioyo yao katika kuhitimisha mojawapo ya Nguzo za Uislamu, yaani Hijja. Tunapowafikiria wale waliokuwa wamekwama uwanja wa ndege tuna matumaini kuwa serikali imefanya mipango mizuri na ya uhakika ili kuweza kuwarudisha wote salama na bila ya usumbufu wowote ule. </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-12-19T21_19_14-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-12-19T21_19_14-08_00</comments>
      <pubDate>Thu, 20 Dec 2007 05:19:14 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-12-20</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2007-12-19T21_19_14-08_00.mp3" length="5285930"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718532.jpg"/>
      <itunes:duration>330</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Napenda kutumia nafasi hii kuwatakia heri ya siku kuu ya Eid ndugu zetu waislamu wanapoungana na na Waislamu wengine katika kuunganisha mioyo yao katika kuhitimisha mojawapo ya Nguzo za Uislamu, yaani Hijja. Tunapowafikiria wale waliokuwa wamekwama uwanja wa ndege tuna matumaini kuwa serikali imefanya mipango mizuri na ya uhakika ili kuweza kuwarudisha wote salama na bila ya usumbufu wowote ule. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mahojiano na Jaji Mark Bomani wa Kamati ya Madini</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718535.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Yafuatayo ni mahojiano yangu na Jaji Mark Bomani, Mwenyekiti wa Kamati ya Ushauri ya Rais kuhusu Sekta ya Madini. Nilipata nafasi ya kuzungumza naye kuhusu kamati hiyo na majukumu yake.  Majibu ya Jaji Makani yanaweza kuwashangaza watu wengi. Zaidi ya yote  miaka 46 baada ya Uhuru; wapi tulipo, wapi tunataka kwenda.&lt;i&gt; (Pichani, Amir Jamal, Dereck Brycson, JK Nyerere, Chief Abdallah Fundikira, Gorge Kahama
Nyuma: Kushoto Solomon Eliofoo, Rashid Kawawa, Nsilo Swai, Oscar Kambona, Tewa Saidi Tewa) &lt;/i&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-12-09T00_31_32-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-12-09T00_31_32-08_00</comments>
      <pubDate>Sun, 09 Dec 2007 08:31:32 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-12-09</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2007-12-09T00_31_32-08_00.mp3" length="19262092"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718535.jpg"/>
      <itunes:duration>1322</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Yafuatayo ni mahojiano yangu na Jaji Mark Bomani, Mwenyekiti wa Kamati ya Ushauri ya Rais kuhusu Sekta ya Madini. Nilipata nafasi ya kuzungumza naye kuhusu kamati hiyo na majukumu yake.  Majibu ya Jaji Makani yanaweza kuwashangaza watu wengi. Zaidi ya yote  miaka 46 baada ya Uhuru; wapi tulipo, wapi tunataka kwenda. (Pichani, Amir Jamal, Dereck Brycson, JK Nyerere, Chief Abdallah Fundikira, Gorge Kahama
Nyuma: Kushoto Solomon Eliofoo, Rashid Kawawa, Nsilo Swai, Oscar Kambona, Tewa Saidi Tewa) </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mabadiliko Maliasili na Utalii - Mlango uzungukao? </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718536.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Jana Rais Kikwete amefanya mabadiliko makubwa kwenye Wizara ya Maliasili na Utalii akiwapangua wakurugunzi na manaibu wakurugenzi 22 huku wapya wakiwa 17. Miongoni mwa walioondolewa kwenye nafasi zao ni Mkurugenzi wa Wanyama Pori Bw. Emmanuel Severe ambaye amekuwa ni mtu anayelalamikiwa sana. Nafasi yake imechukuliwa na Bw. Erasmus Tarimo.

&lt;p&gt;Kuna mambo mawili ambayo binafsi yananichanganya na bado sijayatolea uamuzi maana yake ni nini hasa.&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Kwanza mabadiliko haya yametokea siku ile ile ambayo Waziri Mkuu Bw. Edward Lowassa amerejia nyumbani toka ULaya ambako alienda kuhudhuria mkutano. Bw. Lowassa na Severe ni washirika wa kibiashara na zaidi ya yote ni watu ambao familia zao zimeoleana. Ni kutokana na uhusiano huu wa karibu na Waziri Mkuu Bw. Severe ilidaiwa alijipatia kiburi kupita kiasi akiamini kuwa yeye ni "kigogo" kweli kweli na haondoki hapo. 
&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Kwa mtu anayefuatilia siasa za nyumbani. Hili peke yake linaweza kumaanisha mambo kadhaa kubwa ni kuwa Lowassa akae chonjo kwani he is no longer invincible. Kama mtu na mwanafamilia wa karibu amepanguliwa basi sitashangaa wengine wakafuata.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt; Hilo linanileta kwenye jambo la pili. Kutokana na uhusiano huo na Waziri Mkuu je Severe yuko nje ya serikali (kafukuzwa kazi) au kahamishwa tu na atazukia kwingine? Binafsi naamini (hadi nitakapoona vinginevyo) kuwa kilichofanyika ni mazingaombwe yale yale ambapo kiongozi anaondolewa huku na kuzunguka upande mwingine. Hawa viongozi wote ambao wamepanguliwa kazi tumeambiwa kuwa "watapangiwa kazi nyingine" kwa maana ya kwamba "leo hamuwaoni, kesho mnawaona". Isije kuwa kama ule mlango uzungukao (revolving door)&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Kama hilo ni kweli, basi furaha ya mabadiliko kwenye idara hiyo yawezekana kabisa kuwa ni sahii na ni muafaka. Hata hivyo kupimwa kwake kutatokea baada ya kujua walioondolewa wameenda kupewa "ulaji" mwingine wapi. Maana tusije kushangaa Severe anapangiwa Ofisi ya Waziri Mkuu!&lt;/p&gt;

&lt;P&gt; Mwisho, kama Rais amefanya hivi kufuatia malalamiko ya muda mrefu dhidi ya idara ya Wanyama Pori na nyingine na akaamua "kufanya kweli". Ni kitu gani kimefanya hadi leo hii kuendelea kuwaacha kina Balali na wengine kuendelea kufanya kazi Benki Kuu?&lt;/P&gt; 

M. M. </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-12-06T20_52_10-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-12-06T20_52_10-08_00</comments>
      <pubDate>Fri, 07 Dec 2007 04:52:10 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-12-07</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718536.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Jana Rais Kikwete amefanya mabadiliko makubwa kwenye Wizara ya Maliasili na Utalii akiwapangua wakurugunzi na manaibu wakurugenzi 22 huku wapya wakiwa 17. Miongoni mwa walioondolewa kwenye nafasi zao ni Mkurugenzi wa Wanyama Pori Bw. Emmanuel Severe ambaye amekuwa ni mtu anayelalamikiwa sana. Nafasi yake imechukuliwa na Bw. Erasmus Tarimo.

Kuna mambo mawili ambayo binafsi yananichanganya na bado sijayatolea uamuzi maana yake ni nini hasa.

Kwanza mabadiliko haya yametokea siku ile ile ambayo Waziri Mkuu Bw. Edward Lowassa amerejia nyumbani toka ULaya ambako alienda kuhudhuria mkutano. Bw. Lowassa na Severe ni washirika wa kibiashara na zaidi ya yote ni watu ambao familia zao zimeoleana. Ni kutokana na uhusiano huu wa karibu na Waziri Mkuu Bw. Severe ilidaiwa alijipatia kiburi kupita kiasi akiamini kuwa yeye ni "kigogo" kweli kweli na haondoki hapo. 


Kwa mtu anayefuatilia siasa za nyumbani. Hili peke yake linaweza kumaanisha mambo kadhaa kubwa ni kuwa Lowassa akae chonjo kwani he is no longer invincible. Kama mtu na mwanafamilia wa karibu amepanguliwa basi sitashangaa wengine wakafuata.

 Hilo linanileta kwenye jambo la pili. Kutokana na uhusiano huo na Waziri Mkuu je Severe yuko nje ya serikali (kafukuzwa kazi) au kahamishwa tu na atazukia kwingine? Binafsi naamini (hadi nitakapoona vinginevyo) kuwa kilichofanyika ni mazingaombwe yale yale ambapo kiongozi anaondolewa huku na kuzunguka upande mwingine. Hawa viongozi wote ambao wamepanguliwa kazi tumeambiwa kuwa "watapangiwa kazi nyingine" kwa maana ya kwamba "leo hamuwaoni, kesho mnawaona". Isije kuwa kama ule mlango uzungukao (revolving door)

Kama hilo ni kweli, basi furaha ya mabadiliko kwenye idara hiyo yawezekana kabisa kuwa ni sahii na ni muafaka. Hata hivyo kupimwa kwake kutatokea baada ya kujua walioondolewa wameenda kupewa "ulaji" mwingine wapi. Maana tusije kushangaa Severe anapangiwa Ofisi ya Waziri Mkuu!

 Mwisho, kama Rais amefanya hivi kufuatia malalamiko ya muda mrefu dhidi ya idara ya Wanyama Pori na nyingine na akaamua "kufanya kweli". Ni kitu gani kimefanya hadi leo hii kuendelea kuwaacha kina Balali na wengine kuendelea kufanya kazi Benki Kuu? 

M. M. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Ajira za Benki Kuu - Na porojo za  Marmo!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718537.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Waziri wa Nchi anayeshughulikia Utawala Mhe Phillip Marmo (Pichani) bora amesema kuwa anawasiwasi kuwa ajira zinazopatikana kwenye Benki Kuu zinatokana na kujuana. Hata hivyo sielewi kuna mpango gani wa kuhakikisha watoto wa wakubwa hawabaguliwi lakini pia hawapewi upendeleo wa aina fulani (nepotism). Lakini je yawezekana wala wanaolalamikia vijana hawa kuajiriwa BoT wanaona wivu tu kwa watoto wa "wenzao" kupata pa "kula"? Baadhi ya majina ambayo yanapatikana Benki Kuu  ni hawa wafuatao:

&lt;p&gt;&lt;b&gt;
Pamella Lowassa,
Filbert Frederick Sumaye,
Zalia Kawawa,
Harieth Lumbanga,
Salama Ally Mwinyi,
Rachael Muganda,
Sylvia Omari Mahita,
Justina James Mungai,
Kenneth John Nchimbi,
Blassia Blassius William Mkapa,
 Violeth Phillemon Luhanjo,
Liku Irene Katte Kamba,
Thomas Mongella,
JabirAbdallah Kigoda&lt;/b&gt; &lt;/p&gt;

Bila ya shaka wapo na wengine ambao bado hawajaingizwa kwenye orodha hiyo. 

&lt;p&gt;
Hawa ni baadhi ya watoto wa wakubwa wa wakubwa; sasa tukija kwenye watoto wa wakubwa peke yake itakuwaje? Mimi sina jibu ila swali; je kama inajulikana kuwa watoto wa wakubwa wamepewa ajira huko jikoni kwa upendeleo hatua gani zichukuliwe au ndio kilichokwenda kwa mganga?
&lt;/p&gt;
M. M.</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-12-04T20_49_53-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-12-04T20_49_53-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 05 Dec 2007 04:49:53 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-12-05</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718537.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Waziri wa Nchi anayeshughulikia Utawala Mhe Phillip Marmo (Pichani) bora amesema kuwa anawasiwasi kuwa ajira zinazopatikana kwenye Benki Kuu zinatokana na kujuana. Hata hivyo sielewi kuna mpango gani wa kuhakikisha watoto wa wakubwa hawabaguliwi lakini pia hawapewi upendeleo wa aina fulani (nepotism). Lakini je yawezekana wala wanaolalamikia vijana hawa kuajiriwa BoT wanaona wivu tu kwa watoto wa "wenzao" kupata pa "kula"? Baadhi ya majina ambayo yanapatikana Benki Kuu  ni hawa wafuatao:


Pamella Lowassa,
Filbert Frederick Sumaye,
Zalia Kawawa,
Harieth Lumbanga,
Salama Ally Mwinyi,
Rachael Muganda,
Sylvia Omari Mahita,
Justina James Mungai,
Kenneth John Nchimbi,
Blassia Blassius William Mkapa,
 Violeth Phillemon Luhanjo,
Liku Irene Katte Kamba,
Thomas Mongella,
JabirAbdallah Kigoda 

Bila ya shaka wapo na wengine ambao bado hawajaingizwa kwenye orodha hiyo. 


Hawa ni baadhi ya watoto wa wakubwa wa wakubwa; sasa tukija kwenye watoto wa wakubwa peke yake itakuwaje? Mimi sina jibu ila swali; je kama inajulikana kuwa watoto wa wakubwa wamepewa ajira huko jikoni kwa upendeleo hatua gani zichukuliwe au ndio kilichokwenda kwa mganga?

M. M.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Ujambazi Migodini - Ya Nigeria yanakuja? </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718538.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;
&lt;i&gt;Mererani in northern Tanzania is the only place on earth where the precious stone tanzanite is mined. Every day thousands of children risk their lives in poorly constructed mine shafts for barely a meal a day. Despite efforts to curb this deadly practice, the global thirst for tanzanite continues to drive these children underground
&lt;/i&gt;
&lt;object width="425" height="355"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/geQrt1LDvu8&amp;rel=1"&gt;&lt;/param&gt;&lt;param name="wmode" value="transparent"&gt;&lt;/param&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/v/geQrt1LDvu8&amp;rel=1" type="application/x-shockwave-flash" wmode="transparent" width="425" height="355"&gt;&lt;/embed&gt;&lt;/object&gt;

&lt;object width="425" height="355"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/NVb2WlKzfL0&amp;rel=1"&gt;&lt;/param&gt;&lt;param name="wmode" value="transparent"&gt;&lt;/param&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/v/NVb2WlKzfL0&amp;rel=1" type="application/x-shockwave-flash" wmode="transparent" width="425" height="355"&gt;&lt;/embed&gt;&lt;/object&gt;

 

&lt;i&gt;Pichani wachimbaji madini wadogo wadogo wa Mererani. Chini ni filamu ya Watumwa wa Vito&lt;/i&gt;&lt;p&gt;

Ndani ya wiki moja iliyopita kumetokea matukio kadhaa kwenye migodi yetu ambayo kama hayatadhibitiwa mara moja basi yanaashiria kitu kibaya mbeleni. Mwanzoni kabisa ni matukio ya ujambazi kwenye mgodi maarufu wa Almasi wa Mwadui na siku hivi juzi wizi wa madini ya Tanzanite huko Mererani Arusha. &lt;/p&gt;

&lt;p&gt;
Na leo habari za DC wa Bukombe kuamuru kufunga mgodi ni mambo ambayo bila ya  shaka hayana budi kutushtua na kutufanya tufikiri japo kwa dakika chache&lt;/p&gt;

&lt;P&gt;Kwa wale wanaofuatilia mambo ya madini na jinsi ambayo yamekuwa yakiwa ni chanzo cha migogoro katika nchi nyingi, matukio haya ni lazima yatuamshe na kujiuliza maswali. Tunafahamu jinsi mafuta yalivyosababisha mgongano kule Delta Nigeria na sehemu nyingine ambapo dhahabu hiyo nyeusi imekuwa ikipatikana. Wananchi wa Delta baada ya miaka mingi iliyopita wamejikuta hali yao si bora zaidi licha ya utajiri waliokuwa nao kwenye ardhi ya mama zao, utajiri ambao makampuni ya kigeni yamekuwa yakichota toka miaka sitini! Imefikia mahali kuwa wananchi wa delta wamekuwa wakiharibu miundo mbinu, kuchukua wafanyakazi mateka na mara kadhaa kupambana na vikosi vya serikali. Kwa wengi wanaoishi maeneo ya Delta mafuta hayakuwa baraka kwao bali imekuwa ni laana.&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Ni kihi ndicho ninachokihofia kuwa tusipoangalia wananchi wa Tanzania hasa wanaoishi maeneo ya karibu na migodi wataanza kujichukulia sheria mikononi mwao, hasa pale ambapo  wanaanza kuhisi kuwa madini ambayo ni baraka kwa makampuni ya kimataifa yamekuwa ni laana kwao. Katika hali hii, watu watakuwa wamekata tamaa, na hakuna kitu kibaya kama kukata tamaa. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Leo hii gazeti la Habari Leo limetangaza kile ambacho wengine tumekuwa tukikipigia kelele kuwa hali inazidi kuwa ngumu. Kwa taifa ambalo lina kila aina ya utajiri lakini wenye watu masikini basi kutokuwa na jibu kwa Rais Kikwete alipoulizwa "kwanini TAnzania ni maskini" kuna onesha mantiki. 
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Ili tusiende tusikotaka kwenda haitoshi peke yake kuunda Kamati ya Madini au kuzungumzia suala hili. NI lazima wananchi waoneshwe kuwa kuna matumaini kwa kuchukua hatua madhubuti na za makusudi kabisa. Matatizo ya madini na mikataba ya madini kunalazimisha hatua za kihodari na mweleko wa kijasiri.&lt;b&gt; Naamini kuwa wakati umefika kwa serikali ya TAnzania kusitisha uchimbaji wa madini yote kwa angalau miezi sita ili sheria mpya madini ipitishwe, utaratibu mpya wa kufuatilia mapato upatikane na mpango mpya wa matumizi wa mapato hayo ujulikane. Ninachoitisha ni Moratorium on Mining Activities in Tanzania. 
&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Ninafahamu kuwa uamuzi wa namna hiyo ni uamuzi mgumu, utakaotikisa sekta hii na unaweza kabisa kutishia uwekezaji. Hata hivyo desperate times calls for desperate measures; Uamuzi wa kusitisha utoaji wa leseni mpya na kusitisha uchimbaji mkubwa wa madini ni uamuzi wa lazima utakaowapa watu tumaini, utatengeneza muda wa vyombo muafaka kutengenezwa na utakaohakikisha kile ambacho Mhe. RAis anakiita ni "win win" situation kinatokea. 
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
Tusipowapa tumaini watu wetu kwa maamuzi ya kijasiri na mipango iliyothabiti badala ya kuwaundia Kamati juu ya Kamati, basi huko tunakoelekea tutasikia mengi. Haya ya Mererani na Mwadui ni mwanzo tu. Na Mungu atuhurumie, kama tutakwenda huko!
&lt;/P&gt;

&lt;b&gt;M. M.M&lt;/p&gt; </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-12-02T21_25_45-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-12-02T21_25_45-08_00</comments>
      <pubDate>Mon, 03 Dec 2007 05:25:45 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-12-03</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718538.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>
Mererani in northern Tanzania is the only place on earth where the precious stone tanzanite is mined. Every day thousands of children risk their lives in poorly constructed mine shafts for barely a meal a day. Despite efforts to curb this deadly practice, the global thirst for tanzanite continues to drive these children underground





 

Pichani wachimbaji madini wadogo wadogo wa Mererani. Chini ni filamu ya Watumwa wa Vito

Ndani ya wiki moja iliyopita kumetokea matukio kadhaa kwenye migodi yetu ambayo kama hayatadhibitiwa mara moja basi yanaashiria kitu kibaya mbeleni. Mwanzoni kabisa ni matukio ya ujambazi kwenye mgodi maarufu wa Almasi wa Mwadui na siku hivi juzi wizi wa madini ya Tanzanite huko Mererani Arusha. 


Na leo habari za DC wa Bukombe kuamuru kufunga mgodi ni mambo ambayo bila ya  shaka hayana budi kutushtua na kutufanya tufikiri japo kwa dakika chache

Kwa wale wanaofuatilia mambo ya madini na jinsi ambayo yamekuwa yakiwa ni chanzo cha migogoro katika nchi nyingi, matukio haya ni lazima yatuamshe na kujiuliza maswali. Tunafahamu jinsi mafuta yalivyosababisha mgongano kule Delta Nigeria na sehemu nyingine ambapo dhahabu hiyo nyeusi imekuwa ikipatikana. Wananchi wa Delta baada ya miaka mingi iliyopita wamejikuta hali yao si bora zaidi licha ya utajiri waliokuwa nao kwenye ardhi ya mama zao, utajiri ambao makampuni ya kigeni yamekuwa yakichota toka miaka sitini! Imefikia mahali kuwa wananchi wa delta wamekuwa wakiharibu miundo mbinu, kuchukua wafanyakazi mateka na mara kadhaa kupambana na vikosi vya serikali. Kwa wengi wanaoishi maeneo ya Delta mafuta hayakuwa baraka kwao bali imekuwa ni laana.

Ni kihi ndicho ninachokihofia kuwa tusipoangalia wananchi wa Tanzania hasa wanaoishi maeneo ya karibu na migodi wataanza kujichukulia sheria mikononi mwao, hasa pale ambapo  wanaanza kuhisi kuwa madini ambayo ni baraka kwa makampuni ya kimataifa yamekuwa ni laana kwao. Katika hali hii, watu watakuwa wamekata tamaa, na hakuna kitu kibaya kama kukata tamaa. 

Leo hii gazeti la Habari Leo limetangaza kile ambacho wengine tumekuwa tukikipigia kelele kuwa hali inazidi kuwa ngumu. Kwa taifa ambalo lina kila aina ya utajiri lakini wenye watu masikini basi kutokuwa na jibu kwa Rais Kikwete alipoulizwa "kwanini TAnzania ni maskini" kuna onesha mantiki. 


Ili tusiende tusikotaka kwenda haitoshi peke yake kuunda Kamati ya Madini au kuzungumzia suala hili. NI lazima wananchi waoneshwe kuwa kuna matumaini kwa kuchukua hatua madhubuti na za makusudi kabisa. Matatizo ya madini na mikataba ya madini kunalazimisha hatua za kihodari na mweleko wa kijasiri. Naamini kuwa wakati umefika kwa serikali ya TAnzania kusitisha uchimbaji wa madini yote kwa angalau miezi sita ili sheria mpya madini ipitishwe, utaratibu mpya wa kufuatilia mapato upatikane na mpango mpya wa matumizi wa mapato hayo ujulikane. Ninachoitisha ni Moratorium on Mining Activities in Tanzania. 

Ninafahamu kuwa uamuzi wa namna hiyo ni uamuzi mgumu, utakaotikisa sekta hii na unaweza kabisa kutishia uwekezaji. Hata hivyo desperate times calls for desperate measures; Uamuzi wa kusitisha utoaji wa leseni mpya na kusitisha uchimbaji mkubwa wa madini ni uamuzi wa lazima utakaowapa watu tumaini, utatengeneza muda wa vyombo muafaka kutengenezwa na utakaohakikisha kile ambacho Mhe. RAis anakiita ni "win win" situation kinatokea. 

Tusipowapa tumaini watu wetu kwa maamuzi ya kijasiri na mipango iliyothabiti badala ya kuwaundia Kamati juu ya Kamati, basi huko tunakoelekea tutasikia mengi. Haya ya Mererani na Mwadui ni mwanzo tu. Na Mungu atuhurumie, kama tutakwenda huko!


M. M.M </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>&amp;quot;Leave the Presidential Mining Committee alone&amp;quot; - The Daily News</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718539.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;I have no idea why a Newspaper such as the "Daily News" would write an editorial like the one they wrote on Tuesday. The following is my response: &lt;a href="http://h1.ripway.com/mporipori/dailynewsedop.PDF"&gt;RESPONSE TO THE EDITOR&lt;/a&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-28T21_29_49-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-28T21_29_49-08_00</comments>
      <pubDate>Thu, 29 Nov 2007 05:29:49 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-11-29</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718539.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>I have no idea why a Newspaper such as the "Daily News" would write an editorial like the one they wrote on Tuesday. The following is my response: RESPONSE TO THE EDITOR</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mkapa na Yona wanyang'anywe Kiwira?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718540.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Wakiwa madarakani Rais Benjamini Mkapa na Waziri wake wa Nishati na Madini waliingia ubia na kuanzisha kampuni ya Tanpower Resources. Wakati Yona analiambia Bunge kuwa wanatafuta wawekezaji wa "kufufua" Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Kiwira, sirini walikuwa wanapanga yeye na Rais wake kuwa "wawekezaji" hao watakuwa ni wao wawili. Na miezi michache kabla Rais Mkapa hajaachia madaraka, Mgodi wa Kiwira ulikuwa chini ya viongozi hao wawili wakiwa na hisa zaidi ya asilimia 80. Hadi leo hii hakuna aliye tayari kueleza ni jinsi gani viongozi hao wawili waliweza kusimamia uuzwaji wa Kiwira wakati wao wenyewe wakiwa ndio wanunuzi wakubwa. Kabla watu hawajashangaa maajabu hayo ya "Musa" wakajikuta wanashuhudia serikali ya awamu ya nne ikiingiza Tanesco kwenye mkataba na kampuni ya kina Mkapa  na Yona ambao waweza kuligharimu taifa zaidi ya shilingi bilioni 300. Binafsi naona inatosha kuoneana aibu; Rais Mkapa na Yona Wanyang'anywe mgodi huo ambao walijipatia kwa kutumia madaraka yao vibaya. 
&lt;p&gt;Tatizo ni kuwa nani, atamfunga paka kengele?&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-26T21_31_00-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-26T21_31_00-08_00</comments>
      <pubDate>Tue, 27 Nov 2007 05:31:00 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-11-27</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2007-11-26T21_31_00-08_00.mp3" length="22244359"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718540.jpg"/>
      <itunes:duration>1528</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Wakiwa madarakani Rais Benjamini Mkapa na Waziri wake wa Nishati na Madini waliingia ubia na kuanzisha kampuni ya Tanpower Resources. Wakati Yona analiambia Bunge kuwa wanatafuta wawekezaji wa "kufufua" Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Kiwira, sirini walikuwa wanapanga yeye na Rais wake kuwa "wawekezaji" hao watakuwa ni wao wawili. Na miezi michache kabla Rais Mkapa hajaachia madaraka, Mgodi wa Kiwira ulikuwa chini ya viongozi hao wawili wakiwa na hisa zaidi ya asilimia 80. Hadi leo hii hakuna aliye tayari kueleza ni jinsi gani viongozi hao wawili waliweza kusimamia uuzwaji wa Kiwira wakati wao wenyewe wakiwa ndio wanunuzi wakubwa. Kabla watu hawajashangaa maajabu hayo ya "Musa" wakajikuta wanashuhudia serikali ya awamu ya nne ikiingiza Tanesco kwenye mkataba na kampuni ya kina Mkapa  na Yona ambao waweza kuligharimu taifa zaidi ya shilingi bilioni 300. Binafsi naona inatosha kuoneana aibu; Rais Mkapa na Yona Wanyang'anywe mgodi huo ambao walijipatia kwa kutumia madaraka yao vibaya. 
Tatizo ni kuwa nani, atamfunga paka kengele?</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Buriani mzee Kanyama Chiume... </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718541.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Most of us knew his name by reading his articles and opinions in Mzalendo, Daily News and Uhuru; He was one of the leading nationalists of his time and indeed a patriot of Africa, a true son of our beloved motherland. Mr. Chiume who was born in Malawi and later exiled to Tanzania was a "leader of Nyasaland African Congress and served as the Minister of Education and the Minister for Foreign Affairs in the 1960s." according to one popular website. Beside writing for Tanzania Newspaper he also authored several books.&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
During the Malawian Cabinet Crisis in 1964 he was exiled to Tanzania where he stayed until 1994 after Multi-Party were reintroduce in Malawi. Mr. Chiume died suddenly on Wednesday a day short of his 78th birthday.  The following is the official statement from the Chiume's family. 

May God Rest his Soul in Eternal Peace...

Amen . M. M. 




&lt;p&gt;Familia ya Bwana Chiume inasikitika kuwatangazia msiba wa mpendwa baba yao Marehemu Mzee Kanyama CHIUME (78) uliotokea juzi tarehe 21 Novemba 2007 hapa NewYork. Mipango ya kusafirisha mwili wa marehemu kwenda Dar es Salaam, Tanzania na Lilongwe, Malawi inaendelea.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
 
Heshima za mwisho hapa NYC zitakuwa kesho siku ya Jumamosi Novemba 24, 2007 na zitafanyika kuanzia saa 8 mchana mpaka saa 11 jioni, ikifuatiwa na misa saa 11 mpaka 12 jioni. Anuani ni: Flynn Memorial Home, 1652 Central Park Avenue, Yonkers, NY 10710.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
 
Kama ilivyo kawaida yetu, kwa watakaoweza kutoa mchango kusaidia kufanikisha mazishi ya baba yetu mpendwa, familia imefungua akaunti maalum ambapo mnaweza kutanguliza rambi rambi zenu:&lt;/p&gt;
 &lt;p&gt;&lt;b&gt;
Bank of America
Accounts #: 483-011-631-205
Routing #: 021-000-322
 &lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Kwa watakaoweza kwenda kuhani kilio na kutoa rambirambi, msiba upo kwa Mama mdogo wa familia, Bi Leah Semguruka, anuani ni 33 Tennyson St, Hartsdale, NY 10530 (go to Yahoo! Maps for driving directions). 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Tafadhali tembelea www.kanyamachiume.com kwa historia ya maisha ya marehemu na kutoa rambi rambi katika guestbook.
 &lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Kwa taarifa zaidi wasiliana na:
 &lt;/p&gt;&lt;p&gt;&lt;b&gt;
New York, USA:
Michael (Kwacha) Chiume (son), Tel. 1-646-662-6999, email kwachac@aol.com
Nathan Chiume (son), Tel. 1-646-552-6347, email nchiume@hotmail.com
 &lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Lilongwe, Malawi:
Ephraim Kadokera Chiume (cousin), Tel 011-265-8824-797, email chiume@malawi.net
 &lt;/P&gt;
&lt;p&gt;
Dar es Salaam, Tanzania:
Tasokwa Chiume (son) Tel. 011-255-784-156730, email planckscale@hotmail.com
William Mpambika Chiume (son), Tel. 011-255-787-118815, email mpambika@gmail.com
Eunice Mongi-Chiume (daughter-in-law) Tel. 011-255-756-140153, email echiume@gmail.com
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Tafadhali saidia kufikisha ujumbe kwa ndugu na jamaa wengine. Ahsanteni sana kwa mshikamano na upendo wenu katika wakati huu wa huzuni.
 
Familia ya Chiume.&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-23T10_20_20-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-23T10_20_20-08_00</comments>
      <pubDate>Fri, 23 Nov 2007 18:20:20 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-11-23</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2007-11-23T10_20_20-08_00.mp3" length="200408"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718541.jpg"/>
      <itunes:duration>50</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Most of us knew his name by reading his articles and opinions in Mzalendo, Daily News and Uhuru; He was one of the leading nationalists of his time and indeed a patriot of Africa, a true son of our beloved motherland. Mr. Chiume who was born in Malawi and later exiled to Tanzania was a "leader of Nyasaland African Congress and served as the Minister of Education and the Minister for Foreign Affairs in the 1960s." according to one popular website. Beside writing for Tanzania Newspaper he also authored several books.

During the Malawian Cabinet Crisis in 1964 he was exiled to Tanzania where he stayed until 1994 after Multi-Party were reintroduce in Malawi. Mr. Chiume died suddenly on Wednesday a day short of his 78th birthday.  The following is the official statement from the Chiume's family. 

May God Rest his Soul in Eternal Peace...

Amen . M. M. 




Familia ya Bwana Chiume inasikitika kuwatangazia msiba wa mpendwa baba yao Marehemu Mzee Kanyama CHIUME (78) uliotokea juzi tarehe 21 Novemba 2007 hapa NewYork. Mipango ya kusafirisha mwili wa marehemu kwenda Dar es Salaam, Tanzania na Lilongwe, Malawi inaendelea.
 
Heshima za mwisho hapa NYC zitakuwa kesho siku ya Jumamosi Novemba 24, 2007 na zitafanyika kuanzia saa 8 mchana mpaka saa 11 jioni, ikifuatiwa na misa saa 11 mpaka 12 jioni. Anuani ni: Flynn Memorial Home, 1652 Central Park Avenue, Yonkers, NY 10710.
 
Kama ilivyo kawaida yetu, kwa watakaoweza kutoa mchango kusaidia kufanikisha mazishi ya baba yetu mpendwa, familia imefungua akaunti maalum ambapo mnaweza kutanguliza rambi rambi zenu:
 
Bank of America
Accounts #: 483-011-631-205
Routing #: 021-000-322
 
Kwa watakaoweza kwenda kuhani kilio na kutoa rambirambi, msiba upo kwa Mama mdogo wa familia, Bi Leah Semguruka, anuani ni 33 Tennyson St, Hartsdale, NY 10530 (go to Yahoo! Maps for driving directions). 

Tafadhali tembelea www.kanyamachiume.com kwa historia ya maisha ya marehemu na kutoa rambi rambi katika guestbook.
 
Kwa taarifa zaidi wasiliana na:
 
New York, USA:
Michael (Kwacha) Chiume (son), Tel. 1-646-662-6999, email kwachac@aol.com
Nathan Chiume (son), Tel. 1-646-552-6347, email nchiume@hotmail.com
 
Lilongwe, Malawi:
Ephraim Kadokera Chiume (cousin), Tel 011-265-8824-797, email chiume@malawi.net
 

Dar es Salaam, Tanzania:
Tasokwa Chiume (son) Tel. 011-255-784-156730, email planckscale@hotmail.com
William Mpambika Chiume (son), Tel. 011-255-787-118815, email mpambika@gmail.com
Eunice Mongi-Chiume (daughter-in-law) Tel. 011-255-756-140153, email echiume@gmail.com

Tafadhali saidia kufikisha ujumbe kwa ndugu na jamaa wengine. Ahsanteni sana kwa mshikamano na upendo wenu katika wakati huu wa huzuni.
 
Familia ya Chiume.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Tuipepe Bendera yetu !!</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718542.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;uelekea maadhimisho ya miaka 47 ya Uhuru wa Tanzania Bara na 46 ya Jamhuri nimepata wazo. Ni wakati wa kuiinua bendera yetu juu kama ishara ya umoja wetu na kama ishara ya utaifa wetu. Bendera zimekuwa zikitumika katika historia kuashiria ushindi, kuonesha utambulisho na kutangaza uhuru wa watu. Bendera yetu vivyo hivyo ni ishara ya ushindi wetu, alama ya watu wetu, na zaidi ya yote ishara inayoonekana ya Uhuru wetu! Tunapoinyanyua juu siyo tu tunaona fahari kuwa sisi ni Watanzania bali tunautangazia ulimwengu na maaduzi zetu wote wa ndani na wa nje kuwa na sisi ni huru na tunayo nafasi katika jumuiya ya mataifa ya Ulimwengu!! Uhuru tulionao ni ule wa kuweza kujiamulia mambo yetu wenyewe na kuamua hatima ya maisha yetu wenyewe na siyo uhuru wa &#8220;bendera&#8221; ambapo tumebakia kupepea bendera wakati wengine ndiyo wanatuamulia kila kitu! Ni uhuru wa kujiamulia hatima yetu wenyewe ndio tunataka ulimwengu utambue na kufahamu na ya kuwa wana na mabinti wa taifa letu wako tayari kujitoa mhanga kulinda uhuru huo!! &lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Ni kwa sababu hiyo basi natangaza zoezi la kuinyanyua na kuipepea bendera yetu kwa njia ya mtandao kwa kuposti picha ambapo bendera yetu inaonekana au rangi nne za bendera yetu (bluu, nyeusi, kijani na njano) zinaonekana. Yawezekana kuwa ni picha za mahali, watu wakifurahia, jengo, au kwa makusudi ukachukua bendera yetu na kwenda kupiga nayo picha mahali fulani na kuwaonesha Watanzania hiyo &#8220;Fahari ya Uhuru wetu&#8221;. Picha zote ambazo zitakidhi masharti rahisi yafuatayo zitachapwa kwenye tovuti ya KLH News  hadi siku ya uhuru Disemba 9, 2007 na baadaye zitahamishwa na kuwekwa kwenye photo gallery ya tovuti yetu mpya. 
&lt;/P&gt;
&lt;p&gt;
&lt;b&gt;a. Mwenye kutuma picha hizo awe na haki nazo au ziwe ziko kwenye public domain.
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
b.	Picha za bendera au rangi za bendera ziwe katika mazingira ya maadili mazuri.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
c.	Picha ziambatane na maelezo ya ni nani au wapi picha hiyo ilipigwa au maelezo mengine yoyote. &lt;/p&gt;&lt;p&gt;
d.	Picha itakayovutia watu wengi zaidi itajipatia ujiko wa aina fulani wa kuweza kuoneshwa kwa Watanzania wengi zaidi nyumbani! na kama mambo yatakuwa mazuri tunaweza kutoa zawadi kidogo kwa picha hiyo. &lt;/p&gt;&lt;p&gt;
e.	Picha hizo lazima ziwe na bendera au rangi za bendera (wachezaji n.k).. &lt;/p&gt;&lt;p&gt;
f.	Picha zilizo kwenye public domain iliyo ya kwanza ya aina ile ile ndiyo itakayopostiwa.&lt;p&gt;&lt;/b&gt;


Yeyote mwenye picha waweza kuzituma kupitia: 

Bm1280(at)hotmail.com  au mwanakijiji(at)jamboforums.com


&lt;i&gt;Pichani Tim wa Gunda Tanzania akimuonesha mfanyakazi wa kimisioni jinsi ya kulenga mshale.  Angalia rangi za jezi ya Tim&lt;/i&gt;
</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-21T10_07_08-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-21T10_07_08-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 21 Nov 2007 18:07:08 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-11-21</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718542.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>uelekea maadhimisho ya miaka 47 ya Uhuru wa Tanzania Bara na 46 ya Jamhuri nimepata wazo. Ni wakati wa kuiinua bendera yetu juu kama ishara ya umoja wetu na kama ishara ya utaifa wetu. Bendera zimekuwa zikitumika katika historia kuashiria ushindi, kuonesha utambulisho na kutangaza uhuru wa watu. Bendera yetu vivyo hivyo ni ishara ya ushindi wetu, alama ya watu wetu, na zaidi ya yote ishara inayoonekana ya Uhuru wetu! Tunapoinyanyua juu siyo tu tunaona fahari kuwa sisi ni Watanzania bali tunautangazia ulimwengu na maaduzi zetu wote wa ndani na wa nje kuwa na sisi ni huru na tunayo nafasi katika jumuiya ya mataifa ya Ulimwengu!! Uhuru tulionao ni ule wa kuweza kujiamulia mambo yetu wenyewe na kuamua hatima ya maisha yetu wenyewe na siyo uhuru wa &#8220;bendera&#8221; ambapo tumebakia kupepea bendera wakati wengine ndiyo wanatuamulia kila kitu! Ni uhuru wa kujiamulia hatima yetu wenyewe ndio tunataka ulimwengu utambue na kufahamu na ya kuwa wana na mabinti wa taifa letu wako tayari kujitoa mhanga kulinda uhuru huo!! 

Ni kwa sababu hiyo basi natangaza zoezi la kuinyanyua na kuipepea bendera yetu kwa njia ya mtandao kwa kuposti picha ambapo bendera yetu inaonekana au rangi nne za bendera yetu (bluu, nyeusi, kijani na njano) zinaonekana. Yawezekana kuwa ni picha za mahali, watu wakifurahia, jengo, au kwa makusudi ukachukua bendera yetu na kwenda kupiga nayo picha mahali fulani na kuwaonesha Watanzania hiyo &#8220;Fahari ya Uhuru wetu&#8221;. Picha zote ambazo zitakidhi masharti rahisi yafuatayo zitachapwa kwenye tovuti ya KLH News  hadi siku ya uhuru Disemba 9, 2007 na baadaye zitahamishwa na kuwekwa kwenye photo gallery ya tovuti yetu mpya. 


a. Mwenye kutuma picha hizo awe na haki nazo au ziwe ziko kwenye public domain.

b.	Picha za bendera au rangi za bendera ziwe katika mazingira ya maadili mazuri.
c.	Picha ziambatane na maelezo ya ni nani au wapi picha hiyo ilipigwa au maelezo mengine yoyote. 
d.	Picha itakayovutia watu wengi zaidi itajipatia ujiko wa aina fulani wa kuweza kuoneshwa kwa Watanzania wengi zaidi nyumbani! na kama mambo yatakuwa mazuri tunaweza kutoa zawadi kidogo kwa picha hiyo. 
e.	Picha hizo lazima ziwe na bendera au rangi za bendera (wachezaji n.k).. 
f.	Picha zilizo kwenye public domain iliyo ya kwanza ya aina ile ile ndiyo itakayopostiwa.


Yeyote mwenye picha waweza kuzituma kupitia: 

Bm1280(at)hotmail.com  au mwanakijiji(at)jamboforums.com


Pichani Tim wa Gunda Tanzania akimuonesha mfanyakazi wa kimisioni jinsi ya kulenga mshale.  Angalia rangi za jezi ya Tim
</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Salamu kwa Siku ya Wanafunzi Duniani - Ukumbi wa DDC</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718543.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Leo kama mnavyofahamu kulikuwa na makongamano ya wanafunzi jijini Dar-es-Salaam. Moja lilifanyika Ukumbi wa Ubungo Plaza na kuhutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Mhe. Pius Msekwa na lile jingine lililofanyika Ukumbi wa DDC na kuhutubiwa na wasomi mbalimbali na viongozi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo akiwemo Mhe. Zitto Kabwe. Nilipata nafasi ya kutuma salamu za mshikamano kwa kongamano la DDC baada ya kuombwa kutuma ujumbe huko. Walioko nyumbani waliupata kwa njia ya maandishi, lakini hapa unaweza kuupata kwa kusikia. 

Ujumbe wangu unaitwa: "Wasomi waongoze mapambano ya Kifikra".

M. M. </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-17T07_25_46-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-17T07_25_46-08_00</comments>
      <pubDate>Sat, 17 Nov 2007 15:25:46 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-11-17</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2007-11-17T07_25_46-08_00.mp3" length="23377864"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718543.jpg"/>
      <itunes:duration>1604</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Leo kama mnavyofahamu kulikuwa na makongamano ya wanafunzi jijini Dar-es-Salaam. Moja lilifanyika Ukumbi wa Ubungo Plaza na kuhutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Mhe. Pius Msekwa na lile jingine lililofanyika Ukumbi wa DDC na kuhutubiwa na wasomi mbalimbali na viongozi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo akiwemo Mhe. Zitto Kabwe. Nilipata nafasi ya kutuma salamu za mshikamano kwa kongamano la DDC baada ya kuombwa kutuma ujumbe huko. Walioko nyumbani waliupata kwa njia ya maandishi, lakini hapa unaweza kuupata kwa kusikia. 

Ujumbe wangu unaitwa: "Wasomi waongoze mapambano ya Kifikra".

M. M. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Kuundwa kwa Tume na Kamati - Sababu ya Kushangilia?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718544.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Jana mambo mawili yamefanyika. Serikali hatimaye imeamua kufanya kile ambacho wengi wetu tumekuwa tukikipigia kelele kwa muda mrefu sasa. Rais Kikwete ametimiza ahadi yake aliyoitoa wakati wa kufungua Mkutano Mkuu wa CCM kuwa ataunda tume ya ushauri kuangalia mikataba ya madini na kutoa mapendekezo yake.

&lt;p&gt;Katika tume hiyo Rais Kikwete aliwateua Jaji Mark Bomani kuwa Mwenyekiti wa Tume ya kuangalia mikataba na kutoa ushauri na anaungana na Mhe. Zitto Kabwe, Mhe. John Cheyo,Dr. Harrison Mwakyembe, Ezekiel Maige, Mary Kejo, Peter Machunde, na David Tarimo. &lt;/p&gt;
&lt;p&gt;Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi "Taarifa ya Ikulu iliyosainiwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo ilisema kuwa pamoja na mambo mengine, kamati hiyo pia itakuwa na kazi ya kuchambua mfumo wa kodi unaotumika katika sekta ya madini na kupitia mfumo wa usimamizi wa shughuli za uchimbaji mkubwa unaofanywa na serikali.&lt;/P&gt;&lt;P&gt;

Kamati hiyo iliyopewa kipindi cha miezi mitatu kukamilisha kazi yake pia inajukumu la kukutana na taasisi zinazosimamia madini na wadau wengine na kutakiwa kutoa taarifa yenye mapendekezo.
&lt;/p&gt;&lt;P&gt;
Pia Kamati hiyo itakuwa na jukumu la kupitia mikataba ya madini na nyaraka nyingine zitakazohusu migodi ya mikubwa nchini." &lt;/P&gt;

&lt;P&gt;Wakati huo huo Bunge la Muungano limefanya kile ambacho tumekuwa tukikipigia kelele kwa karibu mwaka sasa, kuwa Mkataba wa Richmond uangaliwe na uchunguzi ufanyike kuona jinsi gani kampuni isiyo na uzoefu wowote katika masuala ya Nishati ipate tenda kubwa namna hii wakati wa hali mbaya ya nishati ya kitaifa. &lt;/P&gt;

&lt;p&gt;Kamati hiyo Teule ya Bunge ni wazi kuwa ina nguvu zaidi ya kutafuta ukweli ukilinganisha na Tume ya Rais. Tume ya Bunge ina nguvu ya kuita mashahidi na ninatumaini watatumia nguvu hiyo. Zaidi ya yote natumaini mikutano yao itafanyika mbele ya kamera au hadharani. Kamati hiyo teule ya Bunge ya kuangalia suala la Richmond ina wajumbe wafuatao&lt;/p&gt;

Dr. Harrison Mwakyembe, Ms Stella Manyanya, Dr Mohammed Mnyaa, Mr Lucas Seleli, na James Mntangi. 

&lt;p&gt;Kwa leo sitaki kusema mengi kinyume lakini ninafungua macho yangu kwa matumaini kuwa labda... labda... hatimaye watawala wetu wamesikia wito wa Taifa lao. Kwa hiyo hapa nitoe pongezi kwa walioteuliwa katika kamati hizo licha ya kuwa ninasita sita kidogo baada ya kuona majina fulani kwani mgongano wa kimaslahi ni dhahiri. Natumaini pamoja na hayo Watanzania hawa watagundua mioyoni mwao jukumu kubwa ambalo Taifa lao limewaitia na wao wawe tayari kuitika na kufanya kile ambacho wameitwa kufanya wakiongozwa na nuru ya ukweli!&lt;/p&gt;

&lt;p&gt; Wakati watu wengine wanafurahia kuundwa kwa hizi kamati na tume, binafsi nasubiri nione majukumu yao na nguvu walizonazo. Hata hivyo I am more impressed na majukumu na nguvu za Kamati ya Bunge kuliko ile ya Rais&lt;/P&gt;  </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-13T21_03_44-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-13T21_03_44-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 14 Nov 2007 05:03:44 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-11-14</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718544.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Jana mambo mawili yamefanyika. Serikali hatimaye imeamua kufanya kile ambacho wengi wetu tumekuwa tukikipigia kelele kwa muda mrefu sasa. Rais Kikwete ametimiza ahadi yake aliyoitoa wakati wa kufungua Mkutano Mkuu wa CCM kuwa ataunda tume ya ushauri kuangalia mikataba ya madini na kutoa mapendekezo yake.

Katika tume hiyo Rais Kikwete aliwateua Jaji Mark Bomani kuwa Mwenyekiti wa Tume ya kuangalia mikataba na kutoa ushauri na anaungana na Mhe. Zitto Kabwe, Mhe. John Cheyo,Dr. Harrison Mwakyembe, Ezekiel Maige, Mary Kejo, Peter Machunde, na David Tarimo. 
Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi "Taarifa ya Ikulu iliyosainiwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo ilisema kuwa pamoja na mambo mengine, kamati hiyo pia itakuwa na kazi ya kuchambua mfumo wa kodi unaotumika katika sekta ya madini na kupitia mfumo wa usimamizi wa shughuli za uchimbaji mkubwa unaofanywa na serikali.

Kamati hiyo iliyopewa kipindi cha miezi mitatu kukamilisha kazi yake pia inajukumu la kukutana na taasisi zinazosimamia madini na wadau wengine na kutakiwa kutoa taarifa yenye mapendekezo.

Pia Kamati hiyo itakuwa na jukumu la kupitia mikataba ya madini na nyaraka nyingine zitakazohusu migodi ya mikubwa nchini." 

Wakati huo huo Bunge la Muungano limefanya kile ambacho tumekuwa tukikipigia kelele kwa karibu mwaka sasa, kuwa Mkataba wa Richmond uangaliwe na uchunguzi ufanyike kuona jinsi gani kampuni isiyo na uzoefu wowote katika masuala ya Nishati ipate tenda kubwa namna hii wakati wa hali mbaya ya nishati ya kitaifa. 

Kamati hiyo Teule ya Bunge ni wazi kuwa ina nguvu zaidi ya kutafuta ukweli ukilinganisha na Tume ya Rais. Tume ya Bunge ina nguvu ya kuita mashahidi na ninatumaini watatumia nguvu hiyo. Zaidi ya yote natumaini mikutano yao itafanyika mbele ya kamera au hadharani. Kamati hiyo teule ya Bunge ya kuangalia suala la Richmond ina wajumbe wafuatao

Dr. Harrison Mwakyembe, Ms Stella Manyanya, Dr Mohammed Mnyaa, Mr Lucas Seleli, na James Mntangi. 

Kwa leo sitaki kusema mengi kinyume lakini ninafungua macho yangu kwa matumaini kuwa labda... labda... hatimaye watawala wetu wamesikia wito wa Taifa lao. Kwa hiyo hapa nitoe pongezi kwa walioteuliwa katika kamati hizo licha ya kuwa ninasita sita kidogo baada ya kuona majina fulani kwani mgongano wa kimaslahi ni dhahiri. Natumaini pamoja na hayo Watanzania hawa watagundua mioyoni mwao jukumu kubwa ambalo Taifa lao limewaitia na wao wawe tayari kuitika na kufanya kile ambacho wameitwa kufanya wakiongozwa na nuru ya ukweli!

 Wakati watu wengine wanafurahia kuundwa kwa hizi kamati na tume, binafsi nasubiri nione majukumu yao na nguvu walizonazo. Hata hivyo I am more impressed na majukumu na nguvu za Kamati ya Bunge kuliko ile ya Rais  </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Tuwakatalie watawala wetu?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718545.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Wakati umeanza kufika ambapo wananchi waanze kuwakatalia watawala wao!! Nisikilize leo nikifafanua kwanini tuanze kuwakatalia na ni vitu gani hivyo vya kukataa! </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-12T22_16_42-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-12T22_16_42-08_00</comments>
      <pubDate>Tue, 13 Nov 2007 06:16:42 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-11-13</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2007-11-12T22_16_42-08_00.mp3" length="24457453"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718545.jpg"/>
      <itunes:duration>1680</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Wakati umeanza kufika ambapo wananchi waanze kuwakatalia watawala wao!! Nisikilize leo nikifafanua kwanini tuanze kuwakatalia na ni vitu gani hivyo vya kukataa! </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Kesi ya Rada: ANATAFUTWA KUISAIDIA POLISI (Picha)</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718546.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Pichani mshtakiwa katika kesi ya Ununuzi wa Rada. Anatafutwa ili asimamishwe kizimbani. </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-09T10_37_26-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-09T10_37_26-08_00</comments>
      <pubDate>Fri, 09 Nov 2007 18:37:26 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-11-09</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718546.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Pichani mshtakiwa katika kesi ya Ununuzi wa Rada. Anatafutwa ili asimamishwe kizimbani. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Hongera Mheshimiwa Spika..... </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718547.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;WATANZANIA hatuna budi kupiga vigelegele, makofi na hoihoi za shangwe! Hatuna budi kucheza mdundiko, lizombe, gita, mganda, na mdumange! Hatuna budi kutunga tenzi, ngonjera na nyimbo za sifa kwani Spika wetu, amevaa vazi lenye michirizi ya dhahabu lililochirizwa Ulaya!

&lt;p&gt;Kuna wakati hatuna budi kuondoa tofauti zetu za kisiasa, na hasa wivu usio na msingi, hasa tunapoona mwenzetu amefanikiwa. Si tu kuziondoa na kuziweka pembeni tofauti hizo, bali hata kuzizika na kuzisahau kabisa hasa inapotokea kiongozi wa Bunge letu amepata bahati ya kuvaa joho limeremetalo lenye picha za mabibo, korosho na mahindi ambapo limenakshiwa kitaalamu na mafundi maalumu huko London, Uingereza.&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
La mgambo limelia, likilia lina jambo, Mhe. Samuel John Sitta MB (Urambo Mashariki-CCM) amepata vazi jipya lililoshonwa Ulaya!&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-07T21_22_33-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-07T21_22_33-08_00</comments>
      <pubDate>Thu, 08 Nov 2007 05:22:33 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-11-08</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2007-11-07T21_22_33-08_00.mp3" length="16185118"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718547.jpg"/>
      <itunes:duration>1111</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>WATANZANIA hatuna budi kupiga vigelegele, makofi na hoihoi za shangwe! Hatuna budi kucheza mdundiko, lizombe, gita, mganda, na mdumange! Hatuna budi kutunga tenzi, ngonjera na nyimbo za sifa kwani Spika wetu, amevaa vazi lenye michirizi ya dhahabu lililochirizwa Ulaya!

Kuna wakati hatuna budi kuondoa tofauti zetu za kisiasa, na hasa wivu usio na msingi, hasa tunapoona mwenzetu amefanikiwa. Si tu kuziondoa na kuziweka pembeni tofauti hizo, bali hata kuzizika na kuzisahau kabisa hasa inapotokea kiongozi wa Bunge letu amepata bahati ya kuvaa joho limeremetalo lenye picha za mabibo, korosho na mahindi ambapo limenakshiwa kitaalamu na mafundi maalumu huko London, Uingereza.

La mgambo limelia, likilia lina jambo, Mhe. Samuel John Sitta MB (Urambo Mashariki-CCM) amepata vazi jipya lililoshonwa Ulaya!</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Radar Scandal: What Our Parliament Didn't want us to hear.. </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718548.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Have you ever wondered why our parliament never took time to have a lengthy and candid discussion on the purchase of the military radar ? The radar that was found tobe  "wrong for the country, overpriced, and had all signs of corruption"? &gt;

&lt;p&gt; As matter of fact, what you didn't hear in our own parliament due to expected political maneuvers by our  Prime Minister was in fact said and discussed at the British House of Commons during the time of the purchase (late 2001) and earlier this year after allegations of corruption was officialy made that led to the beginning of an official investigation.  
&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;The following report is the compilation of the House of Commons hansards of January 30, 2007.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;
&lt;a href="http://h1.ripway.com/mporipori/My%20E-Books/klhspecialreport.pdf"&gt;SPECIAL RADAR SCANDAL REPORTf&lt;/a&gt;&lt;/p&gt;


&lt;p&gt;For those at home, do not miss my articles in "Tanzania Daima" and "Raia Mwema" News Papers this Wednesday.
&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;Our new website is coming out very nice and I really look forward to put it to the public. It will be a state of the art, world class news site in the tradition of CNN and BBC. I still look forward to your continous support to make it happen and raise the standard of citizen journalism. &lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-06T21_19_12-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-06T21_19_12-08_00</comments>
      <pubDate>Wed, 07 Nov 2007 05:19:12 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-11-07</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718548.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Have you ever wondered why our parliament never took time to have a lengthy and candid discussion on the purchase of the military radar ? The radar that was found tobe  "wrong for the country, overpriced, and had all signs of corruption"? &gt;

 As matter of fact, what you didn't hear in our own parliament due to expected political maneuvers by our  Prime Minister was in fact said and discussed at the British House of Commons during the time of the purchase (late 2001) and earlier this year after allegations of corruption was officialy made that led to the beginning of an official investigation.  


The following report is the compilation of the House of Commons hansards of January 30, 2007.


SPECIAL RADAR SCANDAL REPORTf


For those at home, do not miss my articles in "Tanzania Daima" and "Raia Mwema" News Papers this Wednesday.


Our new website is coming out very nice and I really look forward to put it to the public. It will be a state of the art, world class news site in the tradition of CNN and BBC. I still look forward to your continous support to make it happen and raise the standard of citizen journalism. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Nani Kashinda, nani Kadondoka NEC?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718549.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Matokeo ya uchaguzi wa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) yatatangazwa baadaye leo kutoka mjini Dodoma. Kwa vile mkutano huu umegongana na kikao cha Bunge, basi kikao cha Bunge kimepewa mapumziko ya muda kidogo (masaa machache) ili Mkutano wa CCM uendelee bila kugongana na Bunge. 

&lt;p&gt;
Bila ya shaka watu wengi wanasubiri kujua matokeo ya kiongozi gani amepita na kiongozi gani amedondoka. Matokeo yanayosubiriwa kwa hamu ni matokeo ya viti 20 Tanzania bara ambapo viongozi wengi wa serikali na chama wanagombea nafasi hizo. Hapa ndipo kinyang'anyiro chote kitakuwepo na bila ya shaka baadhi ya watu wamashuhuru watadondoka.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;
Swali la msingi tunaposikiliza matokeo haya hatuna budi kujiuliza ni kwanini fulani atakuwa amedondoka na ni kwanini fulanii atashinda. Je, CCM imeweza kusoma alama za nyakati na kuchagua viongozi ambao wanawakilisha joto la Taifa? Je, mkutano huu ndiyo nafasi ya pekee ambayo CCM imejipatia kuweza kujitengeneza kabla ya uchaguzi mkuu wa 2010?&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;
Kwa wale walioko nyumbani msikose makala yangu katika gazeti la "Kulikoni" ambako leo nazungumzia suala la hoja za Mahakama ya Kadhi na kwanini naamini kuwa hoja zinazotolewa hadi hivi sasa bado ni dhaifu na ni nini kifanyike ili Mahakama ya Kadhi ianzishwe Tanzania kwani hakuna sababu ya msingi ambayo inatolewa kuzuia kuanzishwa kwake. Kama Israeli wameruhusu Mahakama za Kadhi katika nchi ya Kiyahudi, nina uhakika Tanzania inaweza kabisa kuwa na mahakama ya Kadhi.&lt;/p&gt;

pichani viongozi wa juu wa CCM kwenye Mkutano Mkuu wa CCM. (picha toka Haki Hakingowi)</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-04T19_13_52-08_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-04T19_13_52-08_00</comments>
      <pubDate>Mon, 05 Nov 2007 03:13:52 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-11-05</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718549.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Matokeo ya uchaguzi wa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) yatatangazwa baadaye leo kutoka mjini Dodoma. Kwa vile mkutano huu umegongana na kikao cha Bunge, basi kikao cha Bunge kimepewa mapumziko ya muda kidogo (masaa machache) ili Mkutano wa CCM uendelee bila kugongana na Bunge. 


Bila ya shaka watu wengi wanasubiri kujua matokeo ya kiongozi gani amepita na kiongozi gani amedondoka. Matokeo yanayosubiriwa kwa hamu ni matokeo ya viti 20 Tanzania bara ambapo viongozi wengi wa serikali na chama wanagombea nafasi hizo. Hapa ndipo kinyang'anyiro chote kitakuwepo na bila ya shaka baadhi ya watu wamashuhuru watadondoka.


Swali la msingi tunaposikiliza matokeo haya hatuna budi kujiuliza ni kwanini fulani atakuwa amedondoka na ni kwanini fulanii atashinda. Je, CCM imeweza kusoma alama za nyakati na kuchagua viongozi ambao wanawakilisha joto la Taifa? Je, mkutano huu ndiyo nafasi ya pekee ambayo CCM imejipatia kuweza kujitengeneza kabla ya uchaguzi mkuu wa 2010?


Kwa wale walioko nyumbani msikose makala yangu katika gazeti la "Kulikoni" ambako leo nazungumzia suala la hoja za Mahakama ya Kadhi na kwanini naamini kuwa hoja zinazotolewa hadi hivi sasa bado ni dhaifu na ni nini kifanyike ili Mahakama ya Kadhi ianzishwe Tanzania kwani hakuna sababu ya msingi ambayo inatolewa kuzuia kuanzishwa kwake. Kama Israeli wameruhusu Mahakama za Kadhi katika nchi ya Kiyahudi, nina uhakika Tanzania inaweza kabisa kuwa na mahakama ya Kadhi.

pichani viongozi wa juu wa CCM kwenye Mkutano Mkuu wa CCM. (picha toka Haki Hakingowi)</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Saidia Jambo Forums - Campaign... </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718550.gif" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Kati ya vyombo ambavyo vimeleta mabadiliko makubwa katika mjadala wa mustakabali wa Taifa letu ni Baraza la Jambo Forums: &lt;b&gt;http://www.jamboforums.com&lt;/b&gt;. Kwa Watanzania wengi nyumbani na nje ya nchi chombo hiki kimekuwa chanzo cha habari, mijadala, maoni, na burudani ambazo zimewapa ukaribu kuliko chombo kingine chochote. Siyo tu hilo, lakini Jambo Forum imekuwa ya kwanza kuleta habari kuhusu:
&lt;p&gt;
- Kifo cha Mhe. Amina Chifupa
- Kufungiwa Zitto
- Kusambaza Mkataba wa Buzwagi na ule wa Richmond
- Msiba wa hivi karibuni wa Mhe. Salome Mbatia
- N.k
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Hata hivyo tatizo kubwa lilipo ni kuwa tunapokuwa na mjadala mzito au habari ambayo inasomwa na kufuatilia na watu wengi kama ilivyotokea tarehe 31 Oktoba, 2007 Katika mjadala unaomhusu Rais Kikwete, JF ilikuwa haina uwezo wa kuhimili vishindo hivyo. Na kwa sababu hiyo ilibidi iwe chini kwa muda wa masaa kadhaa. 
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Ni kwa sababu hiyo basi nataka kuongoza kampeni ya kuichangia JF hasa kwa wale walioko nje ya nchi na ambao wanaweza kuspare angalau kati ya dola 20 na 50 kuweza kuchangia JF, ili tuwe na uhakika wa kuwepo kwake pale tunapoihitaji. 
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Kama unataka kuchangia kwa kutumia credit card au ATM card tafadhali fuata maelekezo haya:
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
&lt;b&gt; 1: Nenda http://www.paypal.com&lt;/p&gt;
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;&lt;b&gt;
2: Click send money&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;&lt;b&gt;3: Pale kwenye to: unaandika webmaster@jamboforums.com then unandika kiasi unachotaka kuchangia, unakwenda continue. Jaza vitu vyote wanavyotaka ujaze. &lt;b&gt;&lt;/p&gt;

&lt;p&gt; Hicho kiasi cha pesa kwenye kitapokelewa katika akaunti ya Jambo Forum&lt;/p&gt;

Wale ambao mlikuwa msaidie KLH News mwezi huu, nawaomba muisaidie Jambo Forums kwa ile michango yenu.

Asante:
 

</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-01T09_39_34-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-11-01T09_39_34-07_00</comments>
      <pubDate>Thu, 01 Nov 2007 16:39:34 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-11-01</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718550.gif"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Kati ya vyombo ambavyo vimeleta mabadiliko makubwa katika mjadala wa mustakabali wa Taifa letu ni Baraza la Jambo Forums: http://www.jamboforums.com. Kwa Watanzania wengi nyumbani na nje ya nchi chombo hiki kimekuwa chanzo cha habari, mijadala, maoni, na burudani ambazo zimewapa ukaribu kuliko chombo kingine chochote. Siyo tu hilo, lakini Jambo Forum imekuwa ya kwanza kuleta habari kuhusu:

- Kifo cha Mhe. Amina Chifupa
- Kufungiwa Zitto
- Kusambaza Mkataba wa Buzwagi na ule wa Richmond
- Msiba wa hivi karibuni wa Mhe. Salome Mbatia
- N.k


Hata hivyo tatizo kubwa lilipo ni kuwa tunapokuwa na mjadala mzito au habari ambayo inasomwa na kufuatilia na watu wengi kama ilivyotokea tarehe 31 Oktoba, 2007 Katika mjadala unaomhusu Rais Kikwete, JF ilikuwa haina uwezo wa kuhimili vishindo hivyo. Na kwa sababu hiyo ilibidi iwe chini kwa muda wa masaa kadhaa. 


Ni kwa sababu hiyo basi nataka kuongoza kampeni ya kuichangia JF hasa kwa wale walioko nje ya nchi na ambao wanaweza kuspare angalau kati ya dola 20 na 50 kuweza kuchangia JF, ili tuwe na uhakika wa kuwepo kwake pale tunapoihitaji. 


Kama unataka kuchangia kwa kutumia credit card au ATM card tafadhali fuata maelekezo haya:


 1: Nenda http://www.paypal.com


2: Click send money
3: Pale kwenye to: unaandika webmaster@jamboforums.com then unandika kiasi unachotaka kuchangia, unakwenda continue. Jaza vitu vyote wanavyotaka ujaze. 

 Hicho kiasi cha pesa kwenye kitapokelewa katika akaunti ya Jambo Forum

Wale ambao mlikuwa msaidie KLH News mwezi huu, nawaomba muisaidie Jambo Forums kwa ile michango yenu.

Asante:
 

</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>~ * ~  The Spoken Word - &amp;quot;I Can't Wait&amp;quot; ~ * ~  </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718552.bmp" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;By. M. M. mwanakijiji&lt;/b&gt;
&lt;b&gt;
&lt;p&gt;
Wondering, and hoping, and praying
That it&#8217;ll all be alright!
That my country will rise and be 
A nation, and it will take its place among the nations
Of the World and it&#8217;ll be a rightful place.
But our rulers keep telling us, just wait!
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
]They tell us to wait,
When we ask about corruption, 
And when we question their intentions
They come back with political intimidation
That if we don&#8217;t stop, there&#8217;ll be a confrontation,
 So they tell us people! just wait!
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
We have been waiting 
For almost fifty years, and counting,
For the promises they keep giving
And the giving they keep promising. 
That, some day as a nation we will make it through
So, we should as they say, just wait!
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
That we should wait, 
As they carry some investigations
Of the so perceived corruption
What I see is a perfect situation
Of that grand illusion! 
How long though, should we just wait?
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Screw waiting! 
Bob Marley before me
Wondered the same, about waiting, 
How long shall they kill our prophets
While we stand this side and look he said,
And we the people of Tanzania 
Should we sit down, and wait!
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
]How long shall we wait
As they squander the money
Abuse the offices, and the honey
Desecrate the State House
Asked for the cause
They look at us, eti just wait!
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
The time has come for them to act
To tackle corruption not with illusion
But with actions that will remove any tension
To create a nation that is filled with a notion 
That waiting is not an option! 
Otherwise, Just Wait!&lt;/p&gt;&lt;/b&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-30T21_06_16-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-30T21_06_16-07_00</comments>
      <pubDate>Wed, 31 Oct 2007 04:06:16 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-10-31</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2007-10-30T21_06_16-07_00.mp3" length="237254"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718552.bmp"/>
      <itunes:duration>103</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>By. M. M. mwanakijiji


Wondering, and hoping, and praying
That it&#8217;ll all be alright!
That my country will rise and be 
A nation, and it will take its place among the nations
Of the World and it&#8217;ll be a rightful place.
But our rulers keep telling us, just wait!


]They tell us to wait,
When we ask about corruption, 
And when we question their intentions
They come back with political intimidation
That if we don&#8217;t stop, there&#8217;ll be a confrontation,
 So they tell us people! just wait!


We have been waiting 
For almost fifty years, and counting,
For the promises they keep giving
And the giving they keep promising. 
That, some day as a nation we will make it through
So, we should as they say, just wait!


That we should wait, 
As they carry some investigations
Of the so perceived corruption
What I see is a perfect situation
Of that grand illusion! 
How long though, should we just wait?


Screw waiting! 
Bob Marley before me
Wondered the same, about waiting, 
How long shall they kill our prophets
While we stand this side and look he said,
And we the people of Tanzania 
Should we sit down, and wait!


]How long shall we wait
As they squander the money
Abuse the offices, and the honey
Desecrate the State House
Asked for the cause
They look at us, eti just wait!


The time has come for them to act
To tackle corruption not with illusion
But with actions that will remove any tension
To create a nation that is filled with a notion 
That waiting is not an option! 
Otherwise, Just Wait!</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>CCM Ilichota Fedha Benki Kuu kufadhili Kampeni! - Wapinzani</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718553.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Jana, ushirika wa wapinzani ulitoa tuhuma nyingine nzito dhidi ya Chama cha Mapinduzi na hususan jinsi chama hicho kilivyoshinda Uchaguzi Mkuu wa 2005. Madai makubwa ya wapinzani ni kuwa CCM ilitumia uundwaji wa makampuni hewa ambapo fedha zilichotwa Benki Kuu na kuingizwa kwenye makampuni hayo, na kutoka makampuni hayo kuelekea kwenye kampeni za CCM.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt; Baada ya mkutano wao na wananchi wa Dar-es-Salaam na vyombo vya habari, nilipata nafasi ya kuzungumza na mmojawapo wa wahusika wakuu wa kufunua suala Ndg. Augustine Mrema ambaye ni mwenyekiti wa chama cha TLP. Kabla ya wadhifa wake huu Bw. Mrema aliwahi kuwa kada wa CCM, Mbunge wa CCM, Waziri na Naibu Waziri Mkuu.&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;Kwanza nilianza kumuuliza mawazo yake kuhusu msiba wa Mhe. Mbatia na jinsi alivyomfahamu&lt;/p&gt; 

Unaweza kupata nakala ya taarifa yao &lt;a href="http://h1.ripway.com/mporipori/CCMILIVYOCHOTABOT.pdf"&gt;&lt;b&gt;KWA KUBONYEZA HAPA&lt;/B&gt;&lt;/a&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-28T21_14_36-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-28T21_14_36-07_00</comments>
      <pubDate>Mon, 29 Oct 2007 04:14:36 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-10-29</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2007-10-28T21_14_36-07_00.mp3" length="9487561"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718553.jpg"/>
      <itunes:duration>2363</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Jana, ushirika wa wapinzani ulitoa tuhuma nyingine nzito dhidi ya Chama cha Mapinduzi na hususan jinsi chama hicho kilivyoshinda Uchaguzi Mkuu wa 2005. Madai makubwa ya wapinzani ni kuwa CCM ilitumia uundwaji wa makampuni hewa ambapo fedha zilichotwa Benki Kuu na kuingizwa kwenye makampuni hayo, na kutoka makampuni hayo kuelekea kwenye kampeni za CCM.

 Baada ya mkutano wao na wananchi wa Dar-es-Salaam na vyombo vya habari, nilipata nafasi ya kuzungumza na mmojawapo wa wahusika wakuu wa kufunua suala Ndg. Augustine Mrema ambaye ni mwenyekiti wa chama cha TLP. Kabla ya wadhifa wake huu Bw. Mrema aliwahi kuwa kada wa CCM, Mbunge wa CCM, Waziri na Naibu Waziri Mkuu.
Kwanza nilianza kumuuliza mawazo yake kuhusu msiba wa Mhe. Mbatia na jinsi alivyomfahamu 

Unaweza kupata nakala ya taarifa yao KWA KUBONYEZA HAPA</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Nawahabarisha maendeleo ya mambo kadhaa... </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718554.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt; &lt;b&gt;Wapendwa Wasikilizaji wa KLH News,&lt;/b&gt;
&lt;p&gt;
Napenda kutumia nafasi hii kuwapa taarifa za mambo mbalimbali ambayo nimekuwa nikiyafanya na ambayo yana maslahi na wadau wengi hapa. Mambo haya ni yale ambayo aidha yamejadiliwa humu au nimewahi kuwapasha habari zake. 
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;&lt;b&gt;
a. Suala la vijana Ukraine:
&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Suala la wanafunzi waliokwama Ukraine limefikia hatima yake, ingawa ni hatima ambayo mimi binafsi na wazazi wengi wa vijana hawakuitarajia. Tarehe 15 Septemba kundi la mwisho la wanafunzi waliokuwa Ukraine liliwasili nyumbani baada ya kuingia mkopo wa tiketi na deni lao "kushughulikiwa" na serikali. Kati ya wanafunzi wote 29 wachache walikwisha acha masomo, wengine walijirudisha wenyewe baada ya serikali kugoma kabisa na kundi hilo la mwisho ambalo hatimaye lilipatiwa tiketi na kuondoka Ukraine. Ni mmoja tu ambaye hakuweza kuondoka kutokana na uzito wa ushiriki wake katika suala hili zima na hisia kuwa kwa vyovyote vile kurudi kwake Tanzania ingekuwa ni kushindwa kwa jitihada zote za kuhakikisha anaendelea na masomo. Huyo mwanafunzi mmoja kwa msaada wa wadau wa hapa JF tumeweza kuhakikisha amehama toka Chuo Kikuu alichokuwapo na kwenda chuo kingine ambapo familia yake wameahidi kujitahidi kumwendeleza na masomo kama tungewapa tafu kwa mwaka huu. 
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Tulifanya hivyo na ninashukuru wale ambao tuliwasiliana chemba na ambao waliitikia wito wangu.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Nashukuru kwa namna pekee serikali kwa ushirikiano walioonesha hasa baada ya kuamua kufanya mazungumzo ya chini kwa chini ambayo yaliwezesha vijana hawa kurudi nyumbani na zaidi ya yote kupewa nafasi nyingine ya kuendelea na masomo. Ingawa bado tuna issue ya wanafunzi wachache ambao tunaendelea kushughulikia ni matumaini yangu kuwa serikali hatimaye itaamua kuwasamehe deni la tiketi ambalo walitakiwa kulipia ndani ya miezi sita. 
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Jana nimepata emal kutoka baadhi ya wanafunzi ambao wamekataliwa mikopo hiyo kwa sababu hawakuwa na division 1 or 2. Hadi hivi sasa sijafahamu bado hilo linakwenda vipi. 
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;&lt;b&gt;
Mke wa Bob (Fatma) &lt;/b&gt;&lt;/P&gt;
&lt;p&gt;
Kwa wale wanaokumbuka mapema mwaka huu nilijitahidi kumuunganisha binti wa Kizambia ambaye alikuwa ameolewa na Mtanzania na waka wanaishi Angola. Mapema mwaka huu kijana huyo Bob alifariki dunia akitanguliwa na mtoto wake wa miaka kama mitano hivi. Alipofariki mkewe alikuwa haijui familia ya marehemu na walikuwa wamepanga kwenda Handeni baadaye mwaka huu. Hivyo kijana huyo alizikwa Angola pasipo taarifa kwa wazazi wake au ndugu yeyote Tanzania. Ndipo jambo hilo likanifikia na kwa kutumia contactz zangu tukaweza kupeleka habari za msiba nyumbani kwa Marehemu na nikaweza kuwaunganisha mke wa marehemu na wazazi kwa njia ya simu na hatimaye kuwezesha mpango wa binti huyo kwenda kuwatembelea huko Handeni katikati ya mwaka huu. Kwa hili namshukuru sana Mbunge wa Handeni Dr. Abdalah Kigoda kwa ushirikiano wote alionipa, na milele moyo wangu umejaa shukrani.
&lt;/P&gt;
&lt;p&gt;&lt;b&gt;
Tovuti ya KLH News &lt;/b&gt;&lt;/P&gt;
&lt;p&gt;
Kama mnakumbuka katika mada ya "KLH Kufungwa" nilielezea ugumu unaonipata katika kufanikisha majukumu mbalimbali niliyojitwika ya kuwaletea maoni na habari na katika kutimiza dhana ya "hoja hujibiwa kwa hoja" na ya kuwa kwenye KLH News hapendwi mtu, hapendelewi mtu na haogopwi mtu. Mwitiko wa wadau hapa umenitia moyo sana, wale ambao walitoa ahadi wachache wameshazitimiza na daima nawashukuru na wengine ambao ahadi zao bado ziko njiani ila kutokana na sababu mbalimbali wameshindwa kufanya hivyo hadi hivi sasa. Kwa wao natanguliza shukrani na pamoja nao navuta subira. Naomba watakaoweza kutimiza ahadi hizo wawasiliane nami kabla ya Novemba 10, 2007 kabla hatujafanya beta testing. 
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Nimeshapata wataalamu wa mambo haya ya kompyuta ambao kuanzia jana (tarehe 8 Oktoba) wameanza rasmi kufanyia kazi tovuti hiyo ambayo itakapokuwa tayari (matarajio ni wiki ya kwanza ya Novemba) itakuwa ni tovuti bora kabisa ya habari na maoni ya mambo mbalimbali kuliko tovuti nyingine yoyote ya Watanzania. Lengo ni kuinua ubora wa tovuti za habari na kuziweka kwenye kiwango cha kimataifa. Matunda ya awali nimeanza kuyaona na ndugu zangu, I am impressed (and I don't get impressed easily). 
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;&lt;b&gt;
Kesi ya Mama Nuru&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Mtoto wa mama Nuru pale jijini Dar alibakwa mapema mwaka huu. Mtuhumiwa licha ya ushahidi wa madaktari na wengine aliendelea kutembea mtaani na kesi haikupewa uzito unaostahili. Nashukuru sana kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni na mmoja waendesha mashtaka waandamizi pale Kisutu ambao walichukua muda kusikiliza na nilivyoweza kuwaunganisha na mama Nuru. Mtuhumiwa hatimaye amefikishwa mahakamani kwa kosa la kubaka mtoto wa chini ya miaka 13. Nawashukuru sana. 
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;&lt;b&gt;
Ninawashukuru &lt;/b&gt;&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Nawashukuru wale wote ambao hadi hivi sasa wamewezesha kunipa taarifa, mawazo, maoni, ukosoaji na kusahihisha kila nilipopotoka. Natumaini tutaendelea hivyo tunavyoelekea mwisho wa mwaka. Muda ni mfupi lakini safari ni ndefu. Peke yangu siwezi na sitoweza licha ya kujitahidi sana, lakini kwa msaada wenu mambo mengi yanakuwa mepesi kufanyika. Mniunge mkono na mimi nawaahidi sitawaangusha katika kila nifanyalo. Siwaahidi kutokosea, nawaahidi kuwa nikikosoea sitajificha au kuficha makosa yangu! Na nawaahidi siwezi kuanguka bila kusimama tena! Kwani kusimama nitasimama! 
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Mwaka huu nataka nifanye kitu tofauti kwa ajili ya kusaidia wenye mahitaji wakati wa Krismasi. Naomba mfungue mioyo yenu kuungana nami kusaidia. Yeyote ambaye yuko tayari kusaidia nitatunza jina na hadhi yako. Nitafurahi kupokea mawazo ya nini tunaweza kufanya. 
&lt;/p&gt;
</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-24T21_43_32-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-24T21_43_32-07_00</comments>
      <pubDate>Thu, 25 Oct 2007 04:43:32 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-10-25</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2007-10-24T21_43_32-07_00.mp3" length="433033"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718554.jpg"/>
      <itunes:duration>199</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary> Wapendwa Wasikilizaji wa KLH News,

Napenda kutumia nafasi hii kuwapa taarifa za mambo mbalimbali ambayo nimekuwa nikiyafanya na ambayo yana maslahi na wadau wengi hapa. Mambo haya ni yale ambayo aidha yamejadiliwa humu au nimewahi kuwapasha habari zake. 


a. Suala la vijana Ukraine:


Suala la wanafunzi waliokwama Ukraine limefikia hatima yake, ingawa ni hatima ambayo mimi binafsi na wazazi wengi wa vijana hawakuitarajia. Tarehe 15 Septemba kundi la mwisho la wanafunzi waliokuwa Ukraine liliwasili nyumbani baada ya kuingia mkopo wa tiketi na deni lao "kushughulikiwa" na serikali. Kati ya wanafunzi wote 29 wachache walikwisha acha masomo, wengine walijirudisha wenyewe baada ya serikali kugoma kabisa na kundi hilo la mwisho ambalo hatimaye lilipatiwa tiketi na kuondoka Ukraine. Ni mmoja tu ambaye hakuweza kuondoka kutokana na uzito wa ushiriki wake katika suala hili zima na hisia kuwa kwa vyovyote vile kurudi kwake Tanzania ingekuwa ni kushindwa kwa jitihada zote za kuhakikisha anaendelea na masomo. Huyo mwanafunzi mmoja kwa msaada wa wadau wa hapa JF tumeweza kuhakikisha amehama toka Chuo Kikuu alichokuwapo na kwenda chuo kingine ambapo familia yake wameahidi kujitahidi kumwendeleza na masomo kama tungewapa tafu kwa mwaka huu. 


Tulifanya hivyo na ninashukuru wale ambao tuliwasiliana chemba na ambao waliitikia wito wangu.


Nashukuru kwa namna pekee serikali kwa ushirikiano walioonesha hasa baada ya kuamua kufanya mazungumzo ya chini kwa chini ambayo yaliwezesha vijana hawa kurudi nyumbani na zaidi ya yote kupewa nafasi nyingine ya kuendelea na masomo. Ingawa bado tuna issue ya wanafunzi wachache ambao tunaendelea kushughulikia ni matumaini yangu kuwa serikali hatimaye itaamua kuwasamehe deni la tiketi ambalo walitakiwa kulipia ndani ya miezi sita. 


Jana nimepata emal kutoka baadhi ya wanafunzi ambao wamekataliwa mikopo hiyo kwa sababu hawakuwa na division 1 or 2. Hadi hivi sasa sijafahamu bado hilo linakwenda vipi. 


Mke wa Bob (Fatma) 

Kwa wale wanaokumbuka mapema mwaka huu nilijitahidi kumuunganisha binti wa Kizambia ambaye alikuwa ameolewa na Mtanzania na waka wanaishi Angola. Mapema mwaka huu kijana huyo Bob alifariki dunia akitanguliwa na mtoto wake wa miaka kama mitano hivi. Alipofariki mkewe alikuwa haijui familia ya marehemu na walikuwa wamepanga kwenda Handeni baadaye mwaka huu. Hivyo kijana huyo alizikwa Angola pasipo taarifa kwa wazazi wake au ndugu yeyote Tanzania. Ndipo jambo hilo likanifikia na kwa kutumia contactz zangu tukaweza kupeleka habari za msiba nyumbani kwa Marehemu na nikaweza kuwaunganisha mke wa marehemu na wazazi kwa njia ya simu na hatimaye kuwezesha mpango wa binti huyo kwenda kuwatembelea huko Handeni katikati ya mwaka huu. Kwa hili namshukuru sana Mbunge wa Handeni Dr. Abdalah Kigoda kwa ushirikiano wote alionipa, na milele moyo wangu umejaa shukrani.


Tovuti ya KLH News 

Kama mnakumbuka katika mada ya "KLH Kufungwa" nilielezea ugumu unaonipata katika kufanikisha majukumu mbalimbali niliyojitwika ya kuwaletea maoni na habari na katika kutimiza dhana ya "hoja hujibiwa kwa hoja" na ya kuwa kwenye KLH News hapendwi mtu, hapendelewi mtu na haogopwi mtu. Mwitiko wa wadau hapa umenitia moyo sana, wale ambao walitoa ahadi wachache wameshazitimiza na daima nawashukuru na wengine ambao ahadi zao bado ziko njiani ila kutokana na sababu mbalimbali wameshindwa kufanya hivyo hadi hivi sasa. Kwa wao natanguliza shukrani na pamoja nao navuta subira. Naomba watakaoweza kutimiza ahadi hizo wawasiliane nami kabla ya Novemba 10, 2007 kabla hatujafanya beta testing. 


Nimeshapata wataalamu wa mambo haya ya kompyuta ambao kuanzia jana (tarehe 8 Oktoba) wameanza rasmi kufanyia kazi tovuti hiyo ambayo itakapokuwa tayari (matarajio ni wiki ya kwanza ya Novemba) itakuwa ni tovuti bora kabisa ya habari na maoni ya mambo mbalimbali kuliko tovuti nyingine yoyote ya Watanzania. Lengo ni kuinua ubora wa tovuti za habari na kuziweka kwenye kiwango cha kimataifa. Matunda ya awali nimean</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Breaking News! Salome Mbatia Afariki...</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718555.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Waziri Salome Mbatia amefariki katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Kibena Factory (kati ya Makambako na Njombe)saa 11 kasorobo jioni ya leo. Pamoja naye wamefariki watu wengine wawili. Waziri alikuwa katika gari dogo aina ya Nissan ambalo liligongana na Lori la Fuso lilikuwa limeshehena mbao. Lori hilo liliangukia gari hilo dogo na kuwaua watu hao papo hapo.  </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-24T09_46_21-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-24T09_46_21-07_00</comments>
      <pubDate>Wed, 24 Oct 2007 16:46:21 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-10-24</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718555.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Waziri Salome Mbatia amefariki katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Kibena Factory (kati ya Makambako na Njombe)saa 11 kasorobo jioni ya leo. Pamoja naye wamefariki watu wengine wawili. Waziri alikuwa katika gari dogo aina ya Nissan ambalo liligongana na Lori la Fuso lilikuwa limeshehena mbao. Lori hilo liliangukia gari hilo dogo na kuwaua watu hao papo hapo.  </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Maadili ya Viongozi yalipotelea Wapi? </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718556.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Matatizo mengi tunayoyaona leo hii katika utendaji kazi wa serikali na watumishi wake kiini chake kikubwa ni ukosefu wa maadili. Maadili ninayoyazungumzia ni kanuni zilizokubalika na watu wa kazi au fani fulani ili kuhakikisha kuwa kazi hiyo inafanyika kwa ukweli, maslahi ya nchi yanalindwa na hakuna mgongano wa maslahi usio wa lazima.

&lt;p&gt; Fani kama madaktari, Polisi, na wanasheria wanazo kanuni zao za maadili (Code of Ethics) ambazo zinawazuia kufanya vitu fulani fulani. Hata hivyo katika upande wa siasa licha kuwa na sheria ya maadili ya viongozi ya mwaka 1995, sheria ile unaudhaifu mmoja mkubwa nao ni kutotamka waziwazi ni kitu gani ambacho kiongozi haruhusiwi kufanya wakati akiwa madarakani&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Ili kurudisha imani ya wananchi kwa viongozi wao haitoshi kutaka viongozi wawe na maadili bali wakati umefika kwa Bunge kutungunga sheria inayokwenda na wakati kuhusu maadili ya viongozi. Vinginevyo tutakuwa na matatizo yale yale miezi michache ijayo na hata miaka ijayo.&lt;/p&gt;

&lt;P&gt;&lt;b&gt;NI LAZIMA turudie kanuni za maadili kwa viongozi wetu wote wa kauchaguliwa&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;

Pichani Rais Kikwete, Je atatuongoza kurudia maadili ya viongozi? </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-23T22_12_36-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-23T22_12_36-07_00</comments>
      <pubDate>Wed, 24 Oct 2007 05:12:36 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-10-24</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2007-10-23T22_12_36-07_00.mp3" length="16015360"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718556.jpg"/>
      <itunes:duration>878</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Matatizo mengi tunayoyaona leo hii katika utendaji kazi wa serikali na watumishi wake kiini chake kikubwa ni ukosefu wa maadili. Maadili ninayoyazungumzia ni kanuni zilizokubalika na watu wa kazi au fani fulani ili kuhakikisha kuwa kazi hiyo inafanyika kwa ukweli, maslahi ya nchi yanalindwa na hakuna mgongano wa maslahi usio wa lazima.

 Fani kama madaktari, Polisi, na wanasheria wanazo kanuni zao za maadili (Code of Ethics) ambazo zinawazuia kufanya vitu fulani fulani. Hata hivyo katika upande wa siasa licha kuwa na sheria ya maadili ya viongozi ya mwaka 1995, sheria ile unaudhaifu mmoja mkubwa nao ni kutotamka waziwazi ni kitu gani ambacho kiongozi haruhusiwi kufanya wakati akiwa madarakani

Ili kurudisha imani ya wananchi kwa viongozi wao haitoshi kutaka viongozi wawe na maadili bali wakati umefika kwa Bunge kutungunga sheria inayokwenda na wakati kuhusu maadili ya viongozi. Vinginevyo tutakuwa na matatizo yale yale miezi michache ijayo na hata miaka ijayo.

NI LAZIMA turudie kanuni za maadili kwa viongozi wetu wote wa kauchaguliwa

Pichani Rais Kikwete, Je atatuongoza kurudia maadili ya viongozi? </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Gazeti Jipya la &amp;quot;Raia Mwema&amp;quot; kuanzishwa Wiki Ijayo! </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718557.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;
Gazeti jipya kabisa la Kiswahili linatarajiwa kuingia katika vibanda, maofisi, na mitaa ya Tanzania kuanzia tarehe 31 Oktoba mwaka huu. Jarida hilo la "Raia Mwema" litakuwa na habari mbalimbali zikiwemo za uchunguzi, utafiti, siasa, biashara, maoni n.k Jarida hilo liitwalo "Raia Mwema" limeanzishwa kutokana michango ya hali, mali, na vipaji ambavyo vimekusanywa chini ya Mhariri wake Mtendaji John Bwire
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Kuanzishwa kwa jarida hilo ni alama ya kuvunjika rasmi kwa ndoa ya gazeti lililosifika sana nchini miaka hiyo la "Rai".
Waandishi waanzilishi wa gazeti la Rai - ukiondoa Dr. Shoo na Salva - na waandishi wengine ndani na nje ya Tanzania wamefikia uamuzi wa kuanzisha gazeti hilo wakizingatia haja ya kupanua uhuru wa maoni, habari na mawazo na kuchangia kwa namna ya pekee kuhamasisha kizazi kipya cha "Raia Wema". Gazeti hilo litakuwa linatolewa kila wiki. Angalia mfano wake hapa: http://www.akili.biz/raiamwema/
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Gazeti hilo litajumuisha waandishi mbalimbali wakiwemo:
&lt;/P&gt;
&lt;list&gt;
&lt;b&gt;Jenerali Ulimwengu&lt;/b&gt;
&lt;b&gt;Issa Shivji&lt;/b&gt;
&lt;b&gt;Padre Karugendo&lt;/b&gt;
&lt;b&gt;Prof. Haroub Othman&lt;/b&gt;
&lt;b&gt;Maggid Mjenga&lt;/b&gt;
&lt;b&gt;Joseph Mihangwa&lt;/b&gt;
&lt;/list&gt;
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
na &lt;b&gt;wenu mtiifu&lt;/b&gt;, na wengine wengi ambao mtapata bahati ya kusoma kazi zao kwenye gazeti hilo ambalo litapatikana pia kwenye mtandao wakati huo.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Napenda kutoa pongezi kwa ushirikiano wote wa wale ambao wamewezesha gazeti hili kupata mtaji, kibali, na nyenzo za kutendea kazi.. Natarajia kuwa toleo la kwanza litaiweka fani ya uandishi katika ngazi nyingine kabisa nchini.
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Tafadhali copy na watumie wabongo walioko kwenye orodha yako ya anuani.
&lt;/P&gt;
Ndugu yenu,

M. M.
_____</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-22T21_44_36-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-22T21_44_36-07_00</comments>
      <pubDate>Tue, 23 Oct 2007 04:44:36 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-10-23</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718557.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>
Gazeti jipya kabisa la Kiswahili linatarajiwa kuingia katika vibanda, maofisi, na mitaa ya Tanzania kuanzia tarehe 31 Oktoba mwaka huu. Jarida hilo la "Raia Mwema" litakuwa na habari mbalimbali zikiwemo za uchunguzi, utafiti, siasa, biashara, maoni n.k Jarida hilo liitwalo "Raia Mwema" limeanzishwa kutokana michango ya hali, mali, na vipaji ambavyo vimekusanywa chini ya Mhariri wake Mtendaji John Bwire


Kuanzishwa kwa jarida hilo ni alama ya kuvunjika rasmi kwa ndoa ya gazeti lililosifika sana nchini miaka hiyo la "Rai".
Waandishi waanzilishi wa gazeti la Rai - ukiondoa Dr. Shoo na Salva - na waandishi wengine ndani na nje ya Tanzania wamefikia uamuzi wa kuanzisha gazeti hilo wakizingatia haja ya kupanua uhuru wa maoni, habari na mawazo na kuchangia kwa namna ya pekee kuhamasisha kizazi kipya cha "Raia Wema". Gazeti hilo litakuwa linatolewa kila wiki. Angalia mfano wake hapa: http://www.akili.biz/raiamwema/


Gazeti hilo litajumuisha waandishi mbalimbali wakiwemo:


Jenerali Ulimwengu
Issa Shivji
Padre Karugendo
Prof. Haroub Othman
Maggid Mjenga
Joseph Mihangwa


na wenu mtiifu, na wengine wengi ambao mtapata bahati ya kusoma kazi zao kwenye gazeti hilo ambalo litapatikana pia kwenye mtandao wakati huo.


Napenda kutoa pongezi kwa ushirikiano wote wa wale ambao wamewezesha gazeti hili kupata mtaji, kibali, na nyenzo za kutendea kazi.. Natarajia kuwa toleo la kwanza litaiweka fani ya uandishi katika ngazi nyingine kabisa nchini.

Tafadhali copy na watumie wabongo walioko kwenye orodha yako ya anuani.

Ndugu yenu,

M. M.
_____</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Farewell Lucky Dube!! Rest in Peace... </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718558.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;object width="425" height="350"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/5qPTiwdPflE"&gt;&lt;/param&gt;&lt;param name="wmode" value="transparent"&gt;&lt;/param&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/v/5qPTiwdPflE" type="application/x-shockwave-flash" wmode="transparent" width="425" height="350"&gt;&lt;/embed&gt;&lt;/object&gt;

&lt;p&gt; Last night one of Africa's greatest voices was silenced forever. Lucky Dube was shot last night in a car-hijacking attempt  while he was dropping his son for school&lt;/P&gt;

&lt;p&gt; For me he was one of the most inspirational song writers Africa has ever produced&lt;/p&gt;

This is one of his best songs.. I really liked this one! simple, philosophical but yet very entertaining.

&lt;p&gt;&lt;b&gt;May God Rest his Soul in Eternal Peace!&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-18T20_35_16-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-18T20_35_16-07_00</comments>
      <pubDate>Fri, 19 Oct 2007 03:35:16 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-10-19</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718558.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>

 Last night one of Africa's greatest voices was silenced forever. Lucky Dube was shot last night in a car-hijacking attempt  while he was dropping his son for school

 For me he was one of the most inspirational song writers Africa has ever produced

This is one of his best songs.. I really liked this one! simple, philosophical but yet very entertaining.

May God Rest his Soul in Eternal Peace!</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Rais Mkapa Azungumzie Tuhuma dhidi yake! </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718559.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Siku chache zilizopita Rais Mstaafu Ndg. Benjamin Mkapa alipokea tuzo ya Uongozi Duniani kutoka Taasisi ya mhifadhi wa sokwe-mtu Dr. Jane Goodall katika maadhimishisho ya miaka 30 the taasisi hiyo. Rais Mkapa aliipokea tuzo hiyo "kwa niaba ya Watanzania" kwa maneno yake mwenyewe&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Sasa, sipendi tena sitaki Rais Mkapa aendelee kuzungumza kwa niaba ya Watanzania huko nje ya nchi na kupokea tuzo kwa niaba ya Watanzania wakati ameamua kuwadharau na kuwaona hawana mpango na kukaa kimya. &lt;/P&gt;

&lt;P&gt;Kitendo cha yeye kuendelea kukaa kimya dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazomkabili ni kitendo cha dharau, kiburi, na kisicho cha kiungwana dhidi ya watu waliompatia nafasi hiyo aliyonayo leo!!&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Wakati umefika Rais Mkapa azungumzie tuhuma zote zinazomkabili zinazohusiana na utendaji kazi wake akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;&lt;b&gt;
a. Kutumia vibaya ofisi yake kwa kufanya biashara akiwa Ikulu
b. Kutumia madaraka yake vibaya kujipatia mali kwa kutumia cheo chake na kujiingizia biashara kutoka fedha za serikali
c. Kujichumia mali za haraka haraka kwa kutumia cheo chake kama Rais
&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Na aseme sasa, au anyamaze milele!&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-16T22_16_22-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-16T22_16_22-07_00</comments>
      <pubDate>Wed, 17 Oct 2007 05:16:22 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-10-17</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718559.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Siku chache zilizopita Rais Mstaafu Ndg. Benjamin Mkapa alipokea tuzo ya Uongozi Duniani kutoka Taasisi ya mhifadhi wa sokwe-mtu Dr. Jane Goodall katika maadhimishisho ya miaka 30 the taasisi hiyo. Rais Mkapa aliipokea tuzo hiyo "kwa niaba ya Watanzania" kwa maneno yake mwenyewe

Sasa, sipendi tena sitaki Rais Mkapa aendelee kuzungumza kwa niaba ya Watanzania huko nje ya nchi na kupokea tuzo kwa niaba ya Watanzania wakati ameamua kuwadharau na kuwaona hawana mpango na kukaa kimya. 

Kitendo cha yeye kuendelea kukaa kimya dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazomkabili ni kitendo cha dharau, kiburi, na kisicho cha kiungwana dhidi ya watu waliompatia nafasi hiyo aliyonayo leo!!

Wakati umefika Rais Mkapa azungumzie tuhuma zote zinazomkabili zinazohusiana na utendaji kazi wake akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

a. Kutumia vibaya ofisi yake kwa kufanya biashara akiwa Ikulu
b. Kutumia madaraka yake vibaya kujipatia mali kwa kutumia cheo chake na kujiingizia biashara kutoka fedha za serikali
c. Kujichumia mali za haraka haraka kwa kutumia cheo chake kama Rais


Na aseme sasa, au anyamaze milele!</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Tamko hili la Baraza la Maaskofu Katoliki Linatosha?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718560.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;1. Maadili ni ya lazima katika kujenga jamii.&lt;/b&gt;
&lt;p&gt;
Hatuwezi kuishi katika jamii ya watu bila dira ya kimaadili. Watu wote, hata wale wasiomwamini Mungu wanahitaji dira ya kimaadili ili msimamo wa kimaadili kuongoza jamii yao. Bila hivyo, jamii inakengeuka na kuwa uwanja wa mashindano ambamo wenye kumudu na wenye nguvu wanakuwa na fursa ya kuishi vizuri na wanaobaki wanasakamwa na maisha duni. Jamii ya namna hii inapoteza hulka na wasifu wa kuwa jamii ya wanadamu.&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Kwetu sisi tunaomwamini Mungu, tunatambua na kukiri kuwa Mungu aliumba ulimwengu katika mchakato endelevu ambamo kwa kutaka kwake, aliwapa wanadamu nafasi na wajibu wa pekee.&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Mungu alimuumba mwanadamu katika sura yake, akamjalia akili, utashi na moyo ili kumwezesha kushiriki katika mchakato huu wa uumbaji na kuifanya dunia iwe mahala pa kiutu, ambamo kila mmoja ana nafasi yake, haki na wajibu wake. Kwa hiyo, hadhi ya utu wa kila mwanadamu na ubora wa jamii nzima ndio msingi mkuu wa mambo ya kijamii na ndio msingi wa kutengeneza sera za kijamii. Kila mwanadamu amekirimiwa sifa ya asili na uwezo wa kutambua nini maana ya kuwa mtu. Sheria ya asili inaongoza dhamiri ya kila mtu na ya jamii.&lt;/P&gt;

&lt;p&gt;Uwezo huu ni lazima ujengwe kwa bidii na kufanyiwa tathmini endelevu &#8211; kama mtu binafsi na kama jamii. Sehemu moja ya uwepo wetu kibinadamu na kuwa na uwezo wa kuchagua na kufanya maamuzi ni kwamba tunaweza kuchagua mema ama maovu. Hata hivyo kuna jeraha katika tabia ya mwanadamu ambalo ni uwezo wa kufanya maovu.&lt;/P&gt;
&lt;p&gt;
Upande mmoja kuna hali au uwezo wa kutenda maovu kama mtu binafsi, lakini pia kuna dhambi ya jamii, maovu tunayofanya kama jamii, au kama kikundi ndani ya jamii. Kwa maovu hayo watu binafsi au makundi fulani katika jamii wanakuwa ndio wahanga.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Ndio maana lazima tujifunze kuwa na mwenendo mwema na kukubaliana kushughulikia maisha ya pamoja yanayofuata haki na wajibu ambazo msingi wake ni hadhi ya utu wa kila mmoja. Hizi ndizo tunu au thamani za jumla na mtu hawezi kuondolewa haki na wajibu hizo.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Jamii inaweza kuwa ya kiutu ikiwa tu inaheshimu hadhi ya kibinadamu ya kila mmoja, kujali faida ya jamii nzima, Kumwezesha kila mmoja kuchukua nafasi yake na kujenga kwa mshikamano ubora wa maisha ya wote.
&lt;/P&gt;

Ili jamii iwe ya kiutu, lazima iishi kwa kuzingatia &#8211; Ukweli &#8211; Uhuru &#8211; Haki &#8211; Upendo.

&lt;P&gt;&lt;b&gt;
2. Sera za kijamii lazima zionyeshe dira ya kimaadili.&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Shughuli zote za kiuchumi na maendeleo ya vitu lazima viwe katika kumhudumia mwanadamu na jamii. Uzalishaji kiuchumi, utajiri, bidhaa za vitu, ugawaji wa faida, kugawana uchangiaji na kubeba majukumu lazima vilenge kumnufaisha mwanadamu na watu wote katika jamii &#8211; iwe hapa nchini ama katika upeo wa kimataifa.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Katika msingi huu tunaona kwamba nguvukazi (watu) ni muhimu kuliko mtaji, (vitu), inamaanisha kwamba kujitafutia faida ni halali lakini isiwe kwa gharama ya wengine au kuwanyima wengine haki zao. Ni kwamba kufanya biashara ama kuendesha Taasisi ya Fedha haifai iwe ni shughuli ya kiuchumi tu, ila inapaswa ifungamanishe tunu za kijamii zinazowekwa katika sera zao ambazo zinaheshimu hadhi ya utu wa watu. Mfano; kulipa mshahara unaotosheleza mahitaji muhimu, kurekebisha riba, kuweka bei za bidhaa au mazao zilizo za haki.
&lt;/P&gt;
&lt;p&gt;
Tunaweza kukubali kuwa mfumo wa soko huria una mazuri mengi na unaweza kuwa chombo kizuri katika kutenda haki. Lakini uhuru huo unapaswa kudhibitiwa ili uwe wa kuhakikishia uwiano, hadhi ya utu wa wenye kipato cha chini, maskini na wasio na uwezo.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Serikali, kwa hiyo ina wajibu wa kuingilia kati ili kuyakabili mambo ambayo yanaonyesha matumizi mabaya ya uwezo wa kiuchumi na kuleta uonevu kwa walaji na soko kama tunavyoona sasa katika sekta ya fedha, ya nishati na ya madini na vile vile katika biashara ya fedha kimataifa.
&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;&lt;b&gt;3. Utekelezaji wa masuala mbalimbali katika Tanzania leo&lt;/b&gt;&lt;/P&gt;
&lt;p&gt;
Kuna mambo mengi tunayotakiwa kuyatafakari kwa mtazamo huu wa kimaadili.
&lt;/p&gt;
&lt;b&gt;a) Tumepoteza uwiano kati ya mtaji na nguvukazi.&lt;/b&gt;
&lt;p&gt;
Katika zama zetu hizi, mtaji, fedha, faida na ukuaji wa uchumi vimekuwa ndio kipaumbele dhidi ya mambo ya kijamii na mahitaji ya kijamii ya watanzania wengi. Hali ilivyo sasa ni lazima tuache maneno na kuchukua hatua. Suala kama la mshahara toshelezi, huduma ya afya katika mahospitali na ubora wa vifaa na mazingira ya elimu, na karo katika shule za binafsi, gharama ya usafiri, kuchangia elimu ya juu, huduma ya maji safi &#8211; haya yote yanahitaji kuangaliwa zaidi.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Yatubidi sasa tuache kusema kwamba hakuna fedha &#8211; hili ni suala la utashi wa kisiasa na kutambua vipaumbele kimaadili. Watu sasa wanajisikia vibaya na hivyo hasira inajengeka. Hapa ni lazima tuchukue wajibu wetu.
&lt;/P&gt;
&lt;b&gt;b) Utamaduni wa bahasha&lt;/b&gt;
&lt;p&gt;
Hapa hatuhitaji kuzama katika maelezo ya kina, kwani kwa hakika, sote tunaelewa kinachozungumziwa hapa. Malipo ambayo hayako katika mfumo wa kawaida na wa kisheria wa nguvukazi na gharama. Malipo ya namna hii yamekuwa ni mfumo sanjari wa kujipatia kipato. Tatizo hapa ni kwamba mfumo huu ni kwa wale tu ambao wanaweza kuingia katika mfumo wenyewe.
&lt;/P&gt;
&lt;p&gt;
Malipo ya bahasha yanafanyika kimya kimya, bila uwazi na hayapo katika udhibiti, hayatozwi kodi na wala hayana msingi wa kisheria. Haya ni mambo ambayo ni kinyume na maadili, ni matendo maovu. Tunaelewa kuwa kuna malipo halali kama bonasi, motisha kwa ajili ya kuboresha utendaji, malipo ya ziada kwa ajili ya utendaji au utumishi bora, zawadi kwa bidii na ubora wa kazi. Haya ni malipo halali, hayapingani kinyume na maadili.
&lt;/P&gt;
&lt;p&gt;
Kumpatia malipo &#8220;bahasha&#8221; mtu kwa kuhudhuria mkutano ambao ni sehemu ya kazi yake au kwa mtu unayempelekea ombi lako au mradi wako haya sio sawa, ni makosa. Huu ni mwelekeo unazidi kujijenga katika nyanja nyingi. Hakuna haja ya kuendelea.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Hatari ya kuendeleza &#8220;utamaduni wa bahasha&#8221; ni kuwapatia wachache fursa ya kipato na kujenga tabaka la matajiri na kuwaacha walio wengi wakiwa na vipato duni na maisha duni.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Katika utamaduni wa bahasha hatari kubwa zaidi ni kwamba inabomoa maadili ya jamii juu ya kazi na uwajibikaji. Halikadhalika fikra ya kujali, kuthamini na kupenda kufanya kazi vinadhoofishwa. Katika msingi wa kimaadili kinachozingatiwa ni ubora wa kazi, thamani au tunu ya mradi na majukumu mtu anayoyabeba. Inamaanisha thamani ya mchango wa mtu anaoutoa kwa njia ya kazi yake. Katika &#8220;utamaduni wa bahasha,&#8221; haya yote hayazingatiwi.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
&#8220;Utamaduni wa bahasha&#8221; unawajengea watu fikra kwamba haijalishi nini unachofanya, lakini cha msingi ni lazima kuwa mjanja na kutumia mitandao. Na madhara yake ni kushuka kwa maadili, na watu kutojali na kuthamini kazi ya mwanadamu na kutamani furaha ya kufanya kazi ambayo mtu huipata katika maana ya kuwa na hadhi ya utu wa mwanadamu.
&lt;/P&gt;
&lt;p&gt;
Stahili na sifa njema, uwajibikaji, wajibu wa kuhudumia wengine ni tunu ambazo zinafifia na kupotea na badala yake uchoyo na ulafi, tama iliyokithiri ya kupata mali, ufujaji ndizo tabia zinazoshamiri miongoni mwa watu.
&lt;/p&gt;

&lt;b&gt;c) Takrima&lt;/b&gt;
&lt;p&gt;
Kwa miaka kadhaa viongozi wa dini wamekuwa wakisema kwamba takrima ni malipo yasiyo halali hasa inapotumika wakati wa uchaguzi. Lakini wagombea, halikadhalika wananchi kwa jumla wamekuwa wakiendelea kufurahia takrima. Ikiwa kweli tunataka kujenga utamaduni wa demokrasia ya kweli na kuiwezesha nchi yetu kunufaika na siasa ya vyama vingi, sasa ndio wakati wa kulifanyia kazi tatizo la takrima kwa makini.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Ukweli ni kwamba kinachotokea wakati wa uchaguzi hakihusiani kabisa na takrima, bali ni biashara kabisa. Wagombea wanawaendea wapiga kura kuwalaghai wawape kura zao, na wapiga kura wanafurahia kupokea fedha au zawadi ndogo ndogo. Ni biashara ya kubadilishana kura &#8211; fedha/zawadi za vitu vidogo vidogo.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Lakini lazima kuelewa kuwa uchaguzi katika jamii ya kidemokrasia ni jambo lenye maana kubwa linalochukuliwa na kufanyika kwa makini. Ni jambo linalohusiana na namna taifa litakavyoongozwa, na watu wenye mawazo gani na watajali na kuweka vipaumbele gani na sera zipi &#8211; haya yakiwa yamefungamanishwa na aina ya watu wanaoshika uongozi.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Wakati umefika sasa wa kuangalia suala la vyanzo vya fedha za uchaguzi za vyama vya siasa. Vyama vinapata fedha kiasi gani na kutoka wapi? Fedha hizo zinatumikaje? Je, taasisi za umma na za huduma zinahusika vipi? Ni wakati sasa wa kudai uwazi katika mambo haya, haifai yabaki kuwa katika siri kwa kuwa yanahusu maisha ya jamii yetu.
&lt;/p&gt;
&lt;b&gt;d) Rushwa&lt;/b&gt;
&lt;p&gt;
Hili ni suala la kimaadili kwanza. Kudhani kwamba Polisi, Mahakama au TAKUKURU ndio vyombo pekee vya uhakika katika kupambana na rushwa &#8211; ni kujibu kwa njia rahisi mno. Ukweli ni kwamba rushwa imeshamiri kwa sababu watu wengi wanapenda rushwa na wanafanya vitendo vya rushwa.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Lazima tuanzie hapa na kuanza kampeni ya kujenga upya maadili. Viongozi wa kidini lazima waongoze jitihada hizi. Lakini pamoja na viongozi wa dini kuna mabadiliko pia yanayohitajika katika ngazi itakayohusisha asasi na miundo. Suala zima la upatikanaji wa taarifa na sheria ya usiri katika utumishi wa umma, maandalizi na maamuzi ya mikataba mikubwa &#8211; hufanyika katika usiri mkubwa wakishirikishwa watu wachache tu wanaokubalika ni changamoto inayodai kukabiliwa. Kuna pia desturi ambayo imejengeka ambayo ni hatari. Desturi hii ni kuunganisha mambo ya kibiashara na uongozi wa kisiasa. Vile vile kuna kukosekana udhibiti na uchunguzi na pia kunakosekana uwiano katika mgawanyo wa madaraka kati ya mikono mitatu ya Serikali &#8211; Dola, Mahakama na Bunge.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Haya sio masuala ya kisiasa au kisheria tu. Haya kwanza kabisa ni masuala ya kimaadili. Lazima tuanzie katika dira tunayoiwekea jamii yetu na kwa vipi jamii yetu inavyoweza kujipanga. Dira hiyo inajengwa katika msingi wa kimaadili wa taifa letu na sheria ya asili kama ulivyoelezwa hapo.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Katiba ni matokeo tu ya dira hiyo, na imeandikwa katika namna ya mkataba wa kijamii. Serikali inayokuwa madarakani sio mtawala wa mkataba huu wa kijamii, bali serikali inakuwa mtumishi wa Katiba na mkataba wa kijamii.
&lt;/p&gt;


&lt;b&gt;HITIMISHO:&lt;/b&gt;
&lt;p&gt;
- Kusimama katika ukweli, kuruhusu ukweli ujulikane na uzungumzwe, kutasaidia kupunguza tabia ya kusema uongo, majungu na kuongeza sifa nzuri katika jamii.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
- Kuwa na kiburi cha kutotambua na kukubali makosa ni jambo linalovunja mshikamano wa kijamii na kujenga hali ya kutoaminiana.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
- Kuishi katika hali ya kukataa ukweli wetu, kutotaka kuona na kutambua ukweli wa tabia yetu kibinafsi na kijamii, kunapunguza au kudhoofisha nguvu ya kimaadili ya jamii na kuizuia marekebisho yanayohitajika katika kushughulikia makosa na madhaifu yetu. Tusiogope kuwaelimisha watu kufanya ukosoaji wenye kuleta mawazo yenye kujenga, na pia kuwatia moyo kushiriki katika maamuzi.
&lt;/P&gt;
&lt;p&gt;
- &#8220;Hasira takatifu&#8221; ni tunu au fadhila ya kimungu. Mara nyingi tunaona katika vifungu mbalimbali ndani ya Biblia jinsi Mungu akiongea kwa hasira na katika hali ya kukasirishwa na kukerwa anapowaona maskini, wasio na uwezo wakiwa ndio wahanga. Na pia hasira ya Mungu inawaka juu ya watu wanaowatumia wengine vibaya.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Tunahitaji moto huo katika mioyo yetu, tusimame upande wa maskini na kuwatetea na vivyo hivyo kwa wale wasio na fursa, tuweze kukataa rushwa na kuachana na mambo yanayowasababishia watu mateso hata kifo. Tuombe kuwa na hasira hii kila tunapoona mambo mbalimbali yanayodhihirisha kuwa watu hawajaliani.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Tuchukue changamoto hii kama wito na tuitikie kwa kuwajibika na kazi hii. Mungu abariki jitihada zetu.
&lt;/p&gt;


&lt;p&gt;&lt;b&gt;
+Paul Ruzoka
Askofu Mkuu wa Tabora
Mwenyekiti wa Tume Haki na Amani
Baraza la Maaskofu&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-15T22_42_47-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-15T22_42_47-07_00</comments>
      <pubDate>Tue, 16 Oct 2007 05:42:47 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-10-16</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718560.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>1. Maadili ni ya lazima katika kujenga jamii.

Hatuwezi kuishi katika jamii ya watu bila dira ya kimaadili. Watu wote, hata wale wasiomwamini Mungu wanahitaji dira ya kimaadili ili msimamo wa kimaadili kuongoza jamii yao. Bila hivyo, jamii inakengeuka na kuwa uwanja wa mashindano ambamo wenye kumudu na wenye nguvu wanakuwa na fursa ya kuishi vizuri na wanaobaki wanasakamwa na maisha duni. Jamii ya namna hii inapoteza hulka na wasifu wa kuwa jamii ya wanadamu.

Kwetu sisi tunaomwamini Mungu, tunatambua na kukiri kuwa Mungu aliumba ulimwengu katika mchakato endelevu ambamo kwa kutaka kwake, aliwapa wanadamu nafasi na wajibu wa pekee.

Mungu alimuumba mwanadamu katika sura yake, akamjalia akili, utashi na moyo ili kumwezesha kushiriki katika mchakato huu wa uumbaji na kuifanya dunia iwe mahala pa kiutu, ambamo kila mmoja ana nafasi yake, haki na wajibu wake. Kwa hiyo, hadhi ya utu wa kila mwanadamu na ubora wa jamii nzima ndio msingi mkuu wa mambo ya kijamii na ndio msingi wa kutengeneza sera za kijamii. Kila mwanadamu amekirimiwa sifa ya asili na uwezo wa kutambua nini maana ya kuwa mtu. Sheria ya asili inaongoza dhamiri ya kila mtu na ya jamii.

Uwezo huu ni lazima ujengwe kwa bidii na kufanyiwa tathmini endelevu &#8211; kama mtu binafsi na kama jamii. Sehemu moja ya uwepo wetu kibinadamu na kuwa na uwezo wa kuchagua na kufanya maamuzi ni kwamba tunaweza kuchagua mema ama maovu. Hata hivyo kuna jeraha katika tabia ya mwanadamu ambalo ni uwezo wa kufanya maovu.

Upande mmoja kuna hali au uwezo wa kutenda maovu kama mtu binafsi, lakini pia kuna dhambi ya jamii, maovu tunayofanya kama jamii, au kama kikundi ndani ya jamii. Kwa maovu hayo watu binafsi au makundi fulani katika jamii wanakuwa ndio wahanga.


Ndio maana lazima tujifunze kuwa na mwenendo mwema na kukubaliana kushughulikia maisha ya pamoja yanayofuata haki na wajibu ambazo msingi wake ni hadhi ya utu wa kila mmoja. Hizi ndizo tunu au thamani za jumla na mtu hawezi kuondolewa haki na wajibu hizo.


Jamii inaweza kuwa ya kiutu ikiwa tu inaheshimu hadhi ya kibinadamu ya kila mmoja, kujali faida ya jamii nzima, Kumwezesha kila mmoja kuchukua nafasi yake na kujenga kwa mshikamano ubora wa maisha ya wote.


Ili jamii iwe ya kiutu, lazima iishi kwa kuzingatia &#8211; Ukweli &#8211; Uhuru &#8211; Haki &#8211; Upendo.


2. Sera za kijamii lazima zionyeshe dira ya kimaadili.

Shughuli zote za kiuchumi na maendeleo ya vitu lazima viwe katika kumhudumia mwanadamu na jamii. Uzalishaji kiuchumi, utajiri, bidhaa za vitu, ugawaji wa faida, kugawana uchangiaji na kubeba majukumu lazima vilenge kumnufaisha mwanadamu na watu wote katika jamii &#8211; iwe hapa nchini ama katika upeo wa kimataifa.


Katika msingi huu tunaona kwamba nguvukazi (watu) ni muhimu kuliko mtaji, (vitu), inamaanisha kwamba kujitafutia faida ni halali lakini isiwe kwa gharama ya wengine au kuwanyima wengine haki zao. Ni kwamba kufanya biashara ama kuendesha Taasisi ya Fedha haifai iwe ni shughuli ya kiuchumi tu, ila inapaswa ifungamanishe tunu za kijamii zinazowekwa katika sera zao ambazo zinaheshimu hadhi ya utu wa watu. Mfano; kulipa mshahara unaotosheleza mahitaji muhimu, kurekebisha riba, kuweka bei za bidhaa au mazao zilizo za haki.


Tunaweza kukubali kuwa mfumo wa soko huria una mazuri mengi na unaweza kuwa chombo kizuri katika kutenda haki. Lakini uhuru huo unapaswa kudhibitiwa ili uwe wa kuhakikishia uwiano, hadhi ya utu wa wenye kipato cha chini, maskini na wasio na uwezo.


Serikali, kwa hiyo ina wajibu wa kuingilia kati ili kuyakabili mambo ambayo yanaonyesha matumizi mabaya ya uwezo wa kiuchumi na kuleta uonevu kwa walaji na soko kama tunavyoona sasa katika sekta ya fedha, ya nishati na ya madini na vile vile katika biashara ya fedha kimataifa.


3. Utekelezaji wa masuala mbalimbali katika Tanzania leo

Kuna mambo mengi tunayotakiwa kuyatafakari kwa mtazamo huu wa kimaadili.

a) Tumepoteza uwiano kati ya mtaji na nguvukazi.

Katika zama zetu hizi, mtaji, fedha, faida na ukuaji wa uchumi vimekuwa n</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>~!Tanzania Yetu~~</title>
      <description>&lt;object width="425" height="350"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/lg8fuc1_-d8"&gt;&lt;/param&gt;&lt;param name="wmode" value="transparent"&gt;&lt;/param&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/v/lg8fuc1_-d8" type="application/x-shockwave-flash" wmode="transparent" width="425" height="350"&gt;&lt;/embed&gt;&lt;/object&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-15T10_13_41-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-15T10_13_41-07_00</comments>
      <pubDate>Mon, 15 Oct 2007 17:13:41 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-10-15</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary></itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>KLH Exclusive: Mahojiano na Dr. Salim Ahmed Salim</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718561.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 14 Oktoba 2007 ni miaka  nane kamili, tangu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere atutoke na kutuacha wakiwa. Kati ya viongozi na watanzania wachache waliopata kumfahamu Mwalimu kwa karibu na kuwa wasaidizi wake wa karibu ni Dr. Salim A. Salim ambaye aliwahi kushika nafasi mbalimbali za uongozi katika serikali ya Zanzibar na baadaye katika serikali ya Muungano.

&lt;p&gt;
Baadhi ya nafasi ambazo aliwahi kushika ni pamoja na Ubalozi, Uwaziri (akiwa Waziri Mkuu, Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje, na Waziri wa Ulinzi)  na katika medani za kimataifa aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Nchi huru za Afrika (Siku hizi Umoja wa Afrika ) na Rais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;
Nilipata nafasi ya kuzungumza na Dr. Salim katika siku hii ya Kumbukumbu ya Mwalimu na hasa nilitaka kujua mawazo yake kuhusu Mwalimu na hususan mtazamo wake wa matukio yanayoendelea nchini na sehemu mbalimbali katika Afrika kwa kutumia lenzi ya fikra na msimamo wa Mwalimu&lt;/p&gt;

&lt;p&gt; Baadhi ya maswali niliyomuuuliza ni pamoja na kutaka kujua kama ni kweli ameamua kustaafu siasa kama ilivyoripotiwa au endapo Taifa lake litamuita tena kutumika atakuwa tayari kutumika?&lt;/p&gt;

&lt;p&gt;&lt;b&gt;Kwa wale walioko nyumbani, mahojiano haya natarajia yatachapishwa kwenye magazeti ya nyumbani baadaye wiki hii kwani kwa maoni yangu ni mahojiano muhimu sana na ni muhimu kuweza kujua Dr. Salim anafikiri nini kuhusu hali ya kisiasa nchini&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-14T21_03_37-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-14T21_03_37-07_00</comments>
      <pubDate>Mon, 15 Oct 2007 04:03:37 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-10-15</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2007-10-14T21_03_37-07_00.mp3" length="9685646"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718561.jpg"/>
      <itunes:duration>2411</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Tarehe 14 Oktoba 2007 ni miaka  nane kamili, tangu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere atutoke na kutuacha wakiwa. Kati ya viongozi na watanzania wachache waliopata kumfahamu Mwalimu kwa karibu na kuwa wasaidizi wake wa karibu ni Dr. Salim A. Salim ambaye aliwahi kushika nafasi mbalimbali za uongozi katika serikali ya Zanzibar na baadaye katika serikali ya Muungano.


Baadhi ya nafasi ambazo aliwahi kushika ni pamoja na Ubalozi, Uwaziri (akiwa Waziri Mkuu, Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje, na Waziri wa Ulinzi)  na katika medani za kimataifa aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Nchi huru za Afrika (Siku hizi Umoja wa Afrika ) na Rais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.


Nilipata nafasi ya kuzungumza na Dr. Salim katika siku hii ya Kumbukumbu ya Mwalimu na hasa nilitaka kujua mawazo yake kuhusu Mwalimu na hususan mtazamo wake wa matukio yanayoendelea nchini na sehemu mbalimbali katika Afrika kwa kutumia lenzi ya fikra na msimamo wa Mwalimu

 Baadhi ya maswali niliyomuuuliza ni pamoja na kutaka kujua kama ni kweli ameamua kustaafu siasa kama ilivyoripotiwa au endapo Taifa lake litamuita tena kutumika atakuwa tayari kutumika?

Kwa wale walioko nyumbani, mahojiano haya natarajia yatachapishwa kwenye magazeti ya nyumbani baadaye wiki hii kwani kwa maoni yangu ni mahojiano muhimu sana na ni muhimu kuweza kujua Dr. Salim anafikiri nini kuhusu hali ya kisiasa nchini</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>&amp;quot;Mwanakijiji Live Jumapili&amp;quot; - Kumbukumbuku ya M-JKN</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718562.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Natarajia kuwa na matangazo ya moja kwa moja siku ya Jumapili katika kukumbuka miaka nane tangu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere atutoke. Matangazo hayo yatarushwa kupitia http://www.bongoradio.com (siyo hapa podomatic) kuanzia kama majira ya saa saba hivi EST (-5GMT)  za mchana. Natarajia kuwa na ugeni rasmi katika matangazo hayo ya moja kwa moja na mgeni mashuhuru kutoka Jijini Dar-es-Salaam. Natumaini hautakosa matangazo hayo. </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-13T21_17_01-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-13T21_17_01-07_00</comments>
      <pubDate>Sun, 14 Oct 2007 04:17:01 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-10-14</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718562.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Natarajia kuwa na matangazo ya moja kwa moja siku ya Jumapili katika kukumbuka miaka nane tangu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere atutoke. Matangazo hayo yatarushwa kupitia http://www.bongoradio.com (siyo hapa podomatic) kuanzia kama majira ya saa saba hivi EST (-5GMT)  za mchana. Natarajia kuwa na ugeni rasmi katika matangazo hayo ya moja kwa moja na mgeni mashuhuru kutoka Jijini Dar-es-Salaam. Natumaini hautakosa matangazo hayo. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Eid Mubarak kwenu Nyote!!! </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718563.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Napenda kutumia nafasi hii kuwatakia ndugu zetu Waislamu wa Tanzania wanapoungana na Waislamu wengine pote duniani kuadhimisha siku kuu hii ya Eid el Fitr wanapomalizia mfungo Mtukufu wa Ramadhani. Siku ya Jumapili tunatarajia kuwa na matangazo "live" kupitia Bongoradio.com tunapoadhimisha miaka nane tangu Baba wa Taifa atutoke. Hivyo usikose matangazo hayo kuanzia kama saa nane mchana EST sawa na saa tatu za Usiku EAT. 
&lt;p&gt;Kwa wale Wakristu na watu wa imani nyingine nawakaribisha kwenye ukurasa wa maoni kutoa salamu za Idi na kutakiana heri ya Eid kwa ndugu zetu.&lt;/P&gt;
&lt;p&gt;
Kwenu nyote nawapatia mkono wa Eid. NItawawekea Nyimbo nyingine za Qasida na Nasheed. Nawatakia siku kuu njema kwenu nyote!!! &lt;/P&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-11T21_32_54-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-11T21_32_54-07_00</comments>
      <pubDate>Fri, 12 Oct 2007 04:32:54 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-10-12</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2007-10-11T21_32_54-07_00.mp3" length="17694327"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718563.jpg"/>
      <itunes:duration>1214</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Napenda kutumia nafasi hii kuwatakia ndugu zetu Waislamu wa Tanzania wanapoungana na Waislamu wengine pote duniani kuadhimisha siku kuu hii ya Eid el Fitr wanapomalizia mfungo Mtukufu wa Ramadhani. Siku ya Jumapili tunatarajia kuwa na matangazo "live" kupitia Bongoradio.com tunapoadhimisha miaka nane tangu Baba wa Taifa atutoke. Hivyo usikose matangazo hayo kuanzia kama saa nane mchana EST sawa na saa tatu za Usiku EAT. 
Kwa wale Wakristu na watu wa imani nyingine nawakaribisha kwenye ukurasa wa maoni kutoa salamu za Idi na kutakiana heri ya Eid kwa ndugu zetu.

Kwenu nyote nawapatia mkono wa Eid. NItawawekea Nyimbo nyingine za Qasida na Nasheed. Nawatakia siku kuu njema kwenu nyote!!! </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Nyerere: &amp;quot; Ikulu ni Mzigo, kwanini wanakukimbilia?&amp;quot;</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718564.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Hii ni sehemu ya pili ya Hotuba ya Mwalimu Mei Mosi 1995. Hapa ndipo alipokuwa mwiba wa serikali ya CCM hasa baada ya kudai kuwa wameacha "Mambo ya Msingi" . Ni katika sehemu hii lile swali muhimu la "kuna biashara gani Ikulu" liliulizwa. NImefanya editing zaidi kidogo ya kupunguza sauti za watu uwanjani ili mwalimu asikike vizuri na ningekuwa na muda zaidi kidogo ningefanya bora zaidi, mniwie radhi kwa mwangwi kidogo.</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-10T22_20_11-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-10T22_20_11-07_00</comments>
      <pubDate>Thu, 11 Oct 2007 05:20:11 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-10-11</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718564.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Hii ni sehemu ya pili ya Hotuba ya Mwalimu Mei Mosi 1995. Hapa ndipo alipokuwa mwiba wa serikali ya CCM hasa baada ya kudai kuwa wameacha "Mambo ya Msingi" . Ni katika sehemu hii lile swali muhimu la "kuna biashara gani Ikulu" liliulizwa. NImefanya editing zaidi kidogo ya kupunguza sauti za watu uwanjani ili mwalimu asikike vizuri na ningekuwa na muda zaidi kidogo ningefanya bora zaidi, mniwie radhi kwa mwangwi kidogo.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Nyerere Mei Mosi '95: &amp;quot;Watanzania Mjomba wenu ni nani?&amp;quot;</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718565.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Ifuatayo ni sehemu ya kwanza ya hotuba aliyoitoa Baba wa Taifa kwenye sherehe za Mei Mosi 1995. Tunapokumbuka miaka nane tangu Mwalimu Nyerere afariki hatuna budi kupitia japo kwa hatua hazina ya hekima yake. &lt;/p&gt;
&lt;p&gt;Wakati anatoa hotuba hii mwaka 1994 kulikuwa na mgomo wa wafanyakazi, na mwaka 1995  ulikuwa ni mwaka wa uchaguzi na huo ukiwa ni uchaguzi wa kwanza baada ya kurejesha tena mfumo wa vyama vingi. Hivyo, Mwalimu alipokuwa anatoa hotuba hii watu wengi walikuwa wanaonesha nia ya kutaka kwenda Ikulu na alitumia nafasi hiyo pia kuliasa taifa.&lt;/P&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-09T23_23_18-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-09T23_23_18-07_00</comments>
      <pubDate>Wed, 10 Oct 2007 06:23:18 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-10-10</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718565.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Ifuatayo ni sehemu ya kwanza ya hotuba aliyoitoa Baba wa Taifa kwenye sherehe za Mei Mosi 1995. Tunapokumbuka miaka nane tangu Mwalimu Nyerere afariki hatuna budi kupitia japo kwa hatua hazina ya hekima yake. 
Wakati anatoa hotuba hii mwaka 1994 kulikuwa na mgomo wa wafanyakazi, na mwaka 1995  ulikuwa ni mwaka wa uchaguzi na huo ukiwa ni uchaguzi wa kwanza baada ya kurejesha tena mfumo wa vyama vingi. Hivyo, Mwalimu alipokuwa anatoa hotuba hii watu wengi walikuwa wanaonesha nia ya kutaka kwenda Ikulu na alitumia nafasi hiyo pia kuliasa taifa.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Mhe. Moh'd Seif Khatib: &amp;quot;Viongozi hawazomewi, ni uongo!&amp;quot;</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718566.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Siku ya Jumamosi kwenye matangazo yetu ya moja kwa moja (live) nilipata nafasi ya kuzungumza na Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo wa Serikali ya Tanzania Mhe. Mohammed Seif Khatib (MB). 

&lt;p&gt; Makubwa tuliyozungumza ni suala zima la tuhuma zilizotolewa na ushirika wa wapinzani tarehe 15 Septemba pale Jijini Dar. Pamoja na hayo tulizungumzia kuhusu suala la Buzwagi na jinsi mwitikio wa wananchi ulivyokuwa na hasa ziara ambazo zimefanywa wiki iliyopita na Mawaziri na Manaibu wao kwenye mikoa mbalimbali.&lt;/b&gt;

&lt;p&gt;Je, hoja za wapinzani zina msingi? Je serikali ina msimamo gani kuhusu kuvuja kwa mkataba wa Buzwagi na kama ina mpango wa kuwachukulia hatua za kisheria wale watakaokutwa nao? &lt;/b&gt;

Hayo na maswali mengine mengi yanajibiwa na Mhe. Khatib. Lakini majibu yake yanajibu maswali niliyomuuliza? Sikiliza uamue... (picha toka kwenye faili)</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-07T20_39_25-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-07T20_39_25-07_00</comments>
      <pubDate>Mon, 08 Oct 2007 03:39:25 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-10-08</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2007-10-07T20_39_25-07_00.mp3" length="54865007"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718566.jpg"/>
      <itunes:duration>1882</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Siku ya Jumamosi kwenye matangazo yetu ya moja kwa moja (live) nilipata nafasi ya kuzungumza na Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo wa Serikali ya Tanzania Mhe. Mohammed Seif Khatib (MB). 

 Makubwa tuliyozungumza ni suala zima la tuhuma zilizotolewa na ushirika wa wapinzani tarehe 15 Septemba pale Jijini Dar. Pamoja na hayo tulizungumzia kuhusu suala la Buzwagi na jinsi mwitikio wa wananchi ulivyokuwa na hasa ziara ambazo zimefanywa wiki iliyopita na Mawaziri na Manaibu wao kwenye mikoa mbalimbali.

Je, hoja za wapinzani zina msingi? Je serikali ina msimamo gani kuhusu kuvuja kwa mkataba wa Buzwagi na kama ina mpango wa kuwachukulia hatua za kisheria wale watakaokutwa nao? 

Hayo na maswali mengine mengi yanajibiwa na Mhe. Khatib. Lakini majibu yake yanajibu maswali niliyomuuliza? Sikiliza uamue... (picha toka kwenye faili)</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Huu ni Mkataba wa Buzwagi!?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718567.gif" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Hatimaye ule unaodaiwa kuwa ni mkataba wa Buzwagi umepatikana kwenye mtandao. Tafadhali bonyeza hapa  

&lt;b&gt;http://www.bongoradio.com/buzwagi_agreement.pdf&lt;/b&gt;

&lt;p&gt;
&lt;b&gt; Hakikisha unaenda hadi chini kwenye link ya kijani inayosema "Free Download" kisha ingiza ile security code (itakayoexpire in10 minutes) halafu mambo waa!&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Mkataba huo ambao ndio ulisababisha kufungikiwa kuhudhuria vikao viwili vya Bunge kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe. Zitto Kabwe unadaiwa kuwa ndio mkataba ulioboroshwa zaidi na wenye kulinda maslahi ya taifa kuliko mengine yote.  Kama hilo ni kweli au leo inakuwa vigumu kuona kwani hadi hivi sasa mikataba mingine ya Mara, Geita, Bulyanhulu hatujaiona. 
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
Kama huu wa Buzwagi ndio umeboreshwa na vipengele vilivyomo ndivyo vilivyo bora zaidi basi ipo haja ya Rais Kikwete kusimamisha mara moja mikataba yote ambayo imeingiwa hadi sasa ili kuipa serikali muda wa kupitia na kubadilisha na ikibidi kufuta mikataba yote ambayo haifikii kiwango cha mkataba wa Buzwagi. NI kweli kuwa kwa kufanya hivyo serikali itaingia gharama kubwa na wawekezaji wanaweza kutishiwa lakini kuna wakati Taifa lazima liwe tayari kulipa gharama ya makosa yake yenyewe!
&lt;/P&gt;
Ni lazima wakati huo wa kusimamisha mikabata (moratorium) serikali haina budi kufanya mambo yafuatayo:
&lt;p&gt;
&lt;list&gt;
 - Kuhakikisha sheria ya Madini ya 1998 inafanyiwa marekebisho makubwa yakiwemo ya kulipa Bunge uwezo wa kusimamia (oversight) na kutengua mkataba wowote ambao hauna maslahi kwa Taifa au wenye kuhatarisha usalama wa taifa.
- Kuhakikisha kuwa Wataalam wote wa kisheria ambao wameingiiza serikali katika mikataba mibovu pamoja na watendaji wa kisiasa ambao wanauamuzi wa mwisho wanawekewa mipaka ya kile wanachoweza kufanya at their own discretion kama alivyofanya Waziri Karamagi kule London kwa kufuta kipengele kizima cha mkataba bila kuwahusisha wataalam.
- Kuhakikisha kuwa makampuni yote ya madini yanatoa taarifa za mapato na faida kwa mwaka mara wanapoanza uzalishaji wa kibiashara (commercial production) na katika kufanya hivyo kodi na makato mengine yaingizwe ambayo yanaendana na uzalishaji, faida, na ukubwa wa migodi hiyo.
- Kuanzisha mfuko wa maendeleo ya miundo mbinu, makazi na nguvu kazi ambapo makampuni yote ya uchimbaji madini nchini Tanzania hasa ya kiwango cha juu na ya kimataifa yanachangia katika mfuko huo ambao utasimamiwa na chombo maalumu ili kuhakikisha kuwa mfuko huo unatumika kuboresha miundo mbinu, makazi ya watu na nguvu kazi. Mfuko huo uchangiwe kwa kufuata asilimia ya mauzo au asilimia ya faida baada ya kodi (au kabla ya kodi) au kiwango cha asilimia kisichobadilika bila kujali mauzo au faida. Mfuko huo ni wa kuendeleza mambo hayo matatu siyo kwenye maeneo ya migodi tu bali kwanza mikoa ya pembezoni, na ile ambayo iko nyuma katika maeneo hayo.
&lt;/list&gt;
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
Kuna baadhi ya watu ambao hawapendi mkataba huu uonekane kwa watu wengi kwa kisingizio cha uvunjaji wa sheria ya usalama wa taifa ya 1970 au sheria yenyewe ya madini ya 1998 au vipengele vya mkataba huo. Kwa bahati nzuri Katiba yetu (na mabadiliko yake ya 2005) inasema hivi kuhusu upatikanaji wa habari na haki za wananchi kupata habari hizo.
&lt;/p&gt;

&lt;b&gt;18.-(1) Bila ya kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko huru
kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta,
kupokea na kutoa habari na dhana zozote &lt;u&gt;kupitia chombo
chochote bila ya kujali mipaka ya nchi, na pia ana uhuru wa
mawasiliano yake kutoingiliwa kati.&lt;/u&gt;
(2) Kila raia anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu
matukio mbalimbali nchini na duniani kote ambayo ni muhimu
kwa maisha na shughuli za wananchi, na pia juu ya masuala
muhimu kwa jamii.&lt;/b&gt;
&lt;/p&gt;
&lt;P&gt;
Hivyo sheria zozote zinazopingana na kifungu hicho cha Katiba ni sheria haramu na ambazo mtu mwenye dhamira safi hawezi kuzitii.&lt;/P&gt;

M. M. 


</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-03T10_10_18-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-03T10_10_18-07_00</comments>
      <pubDate>Wed, 03 Oct 2007 17:10:18 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-10-03</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718567.gif"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Hatimaye ule unaodaiwa kuwa ni mkataba wa Buzwagi umepatikana kwenye mtandao. Tafadhali bonyeza hapa  

http://www.bongoradio.com/buzwagi_agreement.pdf


 Hakikisha unaenda hadi chini kwenye link ya kijani inayosema "Free Download" kisha ingiza ile security code (itakayoexpire in10 minutes) halafu mambo waa!

Mkataba huo ambao ndio ulisababisha kufungikiwa kuhudhuria vikao viwili vya Bunge kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe. Zitto Kabwe unadaiwa kuwa ndio mkataba ulioboroshwa zaidi na wenye kulinda maslahi ya taifa kuliko mengine yote.  Kama hilo ni kweli au leo inakuwa vigumu kuona kwani hadi hivi sasa mikataba mingine ya Mara, Geita, Bulyanhulu hatujaiona. 


Kama huu wa Buzwagi ndio umeboreshwa na vipengele vilivyomo ndivyo vilivyo bora zaidi basi ipo haja ya Rais Kikwete kusimamisha mara moja mikataba yote ambayo imeingiwa hadi sasa ili kuipa serikali muda wa kupitia na kubadilisha na ikibidi kufuta mikataba yote ambayo haifikii kiwango cha mkataba wa Buzwagi. NI kweli kuwa kwa kufanya hivyo serikali itaingia gharama kubwa na wawekezaji wanaweza kutishiwa lakini kuna wakati Taifa lazima liwe tayari kulipa gharama ya makosa yake yenyewe!

Ni lazima wakati huo wa kusimamisha mikabata (moratorium) serikali haina budi kufanya mambo yafuatayo:


 - Kuhakikisha sheria ya Madini ya 1998 inafanyiwa marekebisho makubwa yakiwemo ya kulipa Bunge uwezo wa kusimamia (oversight) na kutengua mkataba wowote ambao hauna maslahi kwa Taifa au wenye kuhatarisha usalama wa taifa.
- Kuhakikisha kuwa Wataalam wote wa kisheria ambao wameingiiza serikali katika mikataba mibovu pamoja na watendaji wa kisiasa ambao wanauamuzi wa mwisho wanawekewa mipaka ya kile wanachoweza kufanya at their own discretion kama alivyofanya Waziri Karamagi kule London kwa kufuta kipengele kizima cha mkataba bila kuwahusisha wataalam.
- Kuhakikisha kuwa makampuni yote ya madini yanatoa taarifa za mapato na faida kwa mwaka mara wanapoanza uzalishaji wa kibiashara (commercial production) na katika kufanya hivyo kodi na makato mengine yaingizwe ambayo yanaendana na uzalishaji, faida, na ukubwa wa migodi hiyo.
- Kuanzisha mfuko wa maendeleo ya miundo mbinu, makazi na nguvu kazi ambapo makampuni yote ya uchimbaji madini nchini Tanzania hasa ya kiwango cha juu na ya kimataifa yanachangia katika mfuko huo ambao utasimamiwa na chombo maalumu ili kuhakikisha kuwa mfuko huo unatumika kuboresha miundo mbinu, makazi ya watu na nguvu kazi. Mfuko huo uchangiwe kwa kufuata asilimia ya mauzo au asilimia ya faida baada ya kodi (au kabla ya kodi) au kiwango cha asilimia kisichobadilika bila kujali mauzo au faida. Mfuko huo ni wa kuendeleza mambo hayo matatu siyo kwenye maeneo ya migodi tu bali kwanza mikoa ya pembezoni, na ile ambayo iko nyuma katika maeneo hayo.


Kuna baadhi ya watu ambao hawapendi mkataba huu uonekane kwa watu wengi kwa kisingizio cha uvunjaji wa sheria ya usalama wa taifa ya 1970 au sheria yenyewe ya madini ya 1998 au vipengele vya mkataba huo. Kwa bahati nzuri Katiba yetu (na mabadiliko yake ya 2005) inasema hivi kuhusu upatikanaji wa habari na haki za wananchi kupata habari hizo.


18.-(1) Bila ya kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko huru
kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta,
kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo
chochote bila ya kujali mipaka ya nchi, na pia ana uhuru wa
mawasiliano yake kutoingiliwa kati.
(2) Kila raia anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu
matukio mbalimbali nchini na duniani kote ambayo ni muhimu
kwa maisha na shughuli za wananchi, na pia juu ya masuala
muhimu kwa jamii.


Hivyo sheria zozote zinazopingana na kifungu hicho cha Katiba ni sheria haramu na ambazo mtu mwenye dhamira safi hawezi kuzitii.

M. M. 


</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>&amp;quot;Majibu ya serikali hayatoshelezi&amp;quot; - Mahojiano na Tundu Lissu</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718568.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Siku ya Jumamosi nilipata nafasi ya kuzungumza kwa kirefu na mwanaharakati wa mazingira na mwanasheria wa Chadema ambaye pia ni Wakili katika Mahakama Kuu ya Tanzania Bw. Tundu Lissu. Katika mazungumzo yetu ambayo yalirushwa moja kwa moja (live) kupitia Bongoradio.com tulizungumzia madai ya wapinzani na mkataba wa Buzwagi ambao Bw. Lissu ndiye aliuchambua hadharani kwenye kipindi cha "Jenerali on Mondays". Mahojiano haya ni karibu saa nzima. </description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-01T22_29_26-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-10-01T22_29_26-07_00</comments>
      <pubDate>Tue, 02 Oct 2007 05:29:26 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-10-02</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718568.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Siku ya Jumamosi nilipata nafasi ya kuzungumza kwa kirefu na mwanaharakati wa mazingira na mwanasheria wa Chadema ambaye pia ni Wakili katika Mahakama Kuu ya Tanzania Bw. Tundu Lissu. Katika mazungumzo yetu ambayo yalirushwa moja kwa moja (live) kupitia Bongoradio.com tulizungumzia madai ya wapinzani na mkataba wa Buzwagi ambao Bw. Lissu ndiye aliuchambua hadharani kwenye kipindi cha "Jenerali on Mondays". Mahojiano haya ni karibu saa nzima. </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>CCM ikubali tatizo kwanza...!! </title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718569.bmp" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;Tangia sakala la "orodha ya ufisadi" lianze, serikali ya CCM imekuwa ikitoa majibu ya kukanganyana na mengine hayaingii akili hata kidogo. Majibu mengine yamejaa kiburi na dharau na mengine inabidi mtu ajiulize "walikuwa wanafikiria nini". 
&lt;p&gt;
Kwa  maoni yangu kabla ya viongozi wa serikali na wa CCM kuanza kutoa majibu kuhusu tuhuma kwa viongozi 11, la kwanza ambalo wangelifanya ni kukubali tatizo kwanza, hiki kiburi wanachokionesha kuwa wao hawawezi kukosea na wengine wanadai kuwa wamekuwa waadilifu kwa miaka zaidi ya 30 ni kutufanya sisi Watanzania "hamnazo". &lt;/P&gt;

&lt;P&gt;Nimeona nijitolee kuwaonesha njia CCM ili jambo hili liishe kwa amani.&lt;/P&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-09-28T23_03_37-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-09-28T23_03_37-07_00</comments>
      <pubDate>Sat, 29 Sep 2007 06:03:37 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-17</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-09-29</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2007-09-28T23_03_37-07_00.mp3" length="39407946"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718569.bmp"/>
      <itunes:duration>1349</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Tangia sakala la "orodha ya ufisadi" lianze, serikali ya CCM imekuwa ikitoa majibu ya kukanganyana na mengine hayaingii akili hata kidogo. Majibu mengine yamejaa kiburi na dharau na mengine inabidi mtu ajiulize "walikuwa wanafikiria nini". 

Kwa  maoni yangu kabla ya viongozi wa serikali na wa CCM kuanza kutoa majibu kuhusu tuhuma kwa viongozi 11, la kwanza ambalo wangelifanya ni kukubali tatizo kwanza, hiki kiburi wanachokionesha kuwa wao hawawezi kukosea na wengine wanadai kuwa wamekuwa waadilifu kwa miaka zaidi ya 30 ni kutufanya sisi Watanzania "hamnazo". 

Nimeona nijitolee kuwaonesha njia CCM ili jambo hili liishe kwa amani.</itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Nini kimemsibu Jaji Warioba?</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718570.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Kama ripoti iliyoandikwa na gazeti la Habari Leo ina ukweli basi kuna kitu kinachoendelea na ambacho bila ya shaka kimemsibu Jaji Warioba kuja na mawazo ya aina hii. Hebu soma na uamue mwenyewe au ni mimi ndiyo nimechanganyikiwa.
&lt;/p&gt;

[b]Mgaya Kingoba
HabariLeo; Friday,September 28, 2007 @00:02[/b]
WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema amekerwa na tabia ya wanasiasa kupakana matope na kuonya kuwa kisingizio cha utawala bora kisitumiwe kutaka kuangusha dola zilizopo madarakani.
&lt;p&gt;
&#8220;Tukosoe lakini si kupata maslahi kisiasa&#8230; naona ndiyo tabia ya sasa kupakana matope kupata maslahi kisiasa. Tusiache kupambana na rushwa, lakini tusipakane matope kwa maslahi ya siasa,&#8221; Jaji Warioba aliwaambia waandishi wa habari ofisini kwake Oysterbay, Dar es Salaam jana.
&lt;/p&gt;
Sambamba na hilo, mwanasiasa huyo maarufu nchini alisema ameshitushwa na madai ya ufisadi yaliyoelekezwa kwa baadhi ya viongozi wa serikali, akiwamo Rais Jakaya Kikwete na Rais Mstaafu Benjamin Mkapa.

&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
&#8220;Mengine yanashitusha. Umoja wa nchi hii unaweza kufika mahali pabaya. Yaani Rais anaitwa fisadi kwa sababu hizi na zile tu. Huyu ni mwanadamu kama wengine, lakini ndiyo symbol (alama) ya Taifa, ukishamwita fisadi na unakwenda unazungumzia hivyo hakuna uongozi wa Taifa.
&lt;/p&gt;
&lt;p&gt;
&#8220;Hata Mkapa aliyemtangulia anaitwa fisadi, hivi hivi tu, habari hizi zinaleta picha gani? Kwamba alijitajirisha yeye na ndugu zake katika miaka yake 10.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
&#8220;Mkapa kama binadamu alikuwa na weakness zake, lakini kwa nchi hii huwezi kufuta historia yake,&#8221; alisema Jaji Warioba katika mkutano ambao alizungumza kwa makini na kwa busara, huku akitumia mifano mbalimbali kujenga hoja zake mbele ya waandishi waliokuwa kimya wakimsikiliza.
&lt;/P&gt;
Alisema ameshangazwa na siasa iliyojitokeza katika miaka ya karibuni ya kupakana matope, ndani ya serikali na katika vyama vya siasa, akionya kuwa hiyo itaipeleka nchi pabaya.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
Lakini zaidi, akawataka viongozi wa serikali, wapinzani na waandishi wa habari, kujiuliza kama kweli habari hizo na mambo yanayoandikwa, ndivyo vipaumbele vya wananchi.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
&#8220;Rushwa imekuwa silaha ya kisiasa, watu wanatumia good governance (utawala bora) kutaka kuangusha utawala uliopo madarakani.
&lt;/P&gt;
&#8220;Siku hizi wakubwa wakizungumzia utawala bora, ujue wanazungumzia regime change (mabadiliko ya uongozi). Nia yao ni kutaka kuondoa utawala ule. Angalia Irak. Sababu ya Marekani ilikuwa kumuondoa Saddam. Simtetei Saddam, lakini nia yao ilikuwa kumuondoa. Leo hii mauaji ni ya kutisha kuliko wakati mwingine wowote.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
&#8220;Jana nimemwona Mugabe anazungumza UN. Wakubwa Zimbabwe wanazungumzia good governance, suluhisho ni Mugabe ang&#8217;oke, ardhi si issue, issue ni Mugabe.
&lt;/P&gt;
&#8220;Good governance inatumiwa kama silaha ya kisiasa, kubadili utawala. Watu wanaamini ukiondoa utawala, rushwa itakoma, Siamini,&#8221; alisema Jaji huyo aliyewahi kuwa pia Waziri wa Sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
Alisema rushwa nchini imekuwa ikiongezeka kiasi kuwa hata wananchi wa kawaida, sasa wanashiriki kwa kiasi kikubwa, lakini hiyo siyo sababu ya kuondoa utawala.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
&#8220;Unataka regime change au kuendeleza utawala. Kwa hiyo, mnawaambia wananchi hawa ndiyo wala rushwa, wakiondoka mambo safi, mimi inanipa taabu.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
&#8220;Watu wameacha kushughulikia matatizo ya wananchi, mambo ya msingi ya wananchi. Kwa mfano, mwaka jana, tumepata tatizo la chakula na umeme, lakini badala ya kuzungumzia jinsi ya kulikabili mwaka huu, watu wako busy kuzungumzia mambo ya uongozi.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
&#8220;Wanazungumzia nani fisadi, kutueleza mambo yao ya uongozi. Vipaumbele vyetu vinaanza kupotoshwa. Maendeleo hayawezi kuletwa na viongozi na serikali. Yataletwa na wananchi, serikali inatunga sera tu na kuzisimamia. Yanayokuja sasa ni lawama tu,&#8221; alisema na kuongeza:
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
&#8220;Vyombo vya habari mtusaidie, utawala bora ni kitu muhimu, lakini watu wanahitaji msaada. Nimesikiliza Bunge hadi ikafika hoja ya Zitto, watu wanajadili masuala ya uongozi tu. Hoja inazungumzwa mazungumzo hayalengi hoja yenyewe. Hii concentration ya kulaumiana sijui inawasaidiaje wananchi.&#8221;
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
Alisema ameiona orodha inayodaiwa kuwa ya mafisadi wanaoitafuna nchi, lakini akasema haina jipya kwa sababu imeshawahi kuandikwa, lakini akasema ina maswali mengi.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
&#8220;Hii si ilitoka katika miezi miwili mitatu iliyopita. Ilikuwa na wafanyabiashara wakubwa, ikaja nyingine kabla ya hii. Hii ndiyo current (ya sasa) ikipita, sijui itakuja nyingine.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
&#8220;Wengine wameisambaza, wanaizungumza wananchi hawana details (maelezo ya kina). Siyo kitu kipya, imefanywa issue (hoja). Msingi unawezekana upo, lakini ndivyo mambo yanavyopaswa kufanywa? Unatudanganya, unachotusaidia hakionekani. Ukitazama mahakamani hatashinda, lakini politically, amepata umaarufu,&#8221; alisema Jaji Warioba.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
Akizungumzia kuhusishwa kwa Rais Kikwete katika orodha hiyo, Jaji Warioba alisema: &#8220;Kwa kweli tu Rais alikuwa Waziri hapo kabla, anahusishwa kwa kusaini mikataba wakati huo&#8221;.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
Kuhusu Rais mstaafu Mkapa, huku akishika tama, Jaji Warioba alisema: &#8220;Huyu alikuta mfumko wa bei ukiwa zaidi ya asilimia 30, ameondoka uko chini ya asilimia tano.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
&#8220;Amekuta katika huduma ya afya tunategemea vipakiti vya dawa ya misaada kutoka nje, ameondoka hali ya sekta ya afya imeimarika kwa kiwango kikubwa. Amezikuta shule na vyuo katika hali mbaya, leo kuna mabadiliko makubwa katika elimu. Katika miundombinu, amejenga madaraja na barabara.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
&#8220;Mawasiliano yamekuwa mazuri. Hata vyombo vyenu vya habari vimeongezeka na mawasiliano ya simu leo unaweza kuzungumza hata ukiwa kijijini. Tumeshausahau uongozi wake.&#8221;
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
Alisema alifikiri kipaumbele cha viongozi wa serikali na wa upinzani na vyombo vya habari, ingekuwa ni kuhimiza suala kama kilimo ambao huu ndiyo msimu wake, badala ya kukazania kulumbana kuhusu uongozi.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
&#8220;Jana (juzi) nimemwona Mhita anazungumzia suala la mvua, nilidhani hii ndiyo message (ujumbe) ungesambazwa, lakini wangapi wanamsikiliza. Tukiwaandama viongozi hatupati maendeleo. Jana Karamagi, leo Mgonja, kesho sijui nani anakwenda mahakamani. Tukiendelea hivi sijui&#8230;,&#8221; alisema.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
&#8220;Tunavyo-behave sisi inaweza kuwa burudani kwa wananchi, lakini isilete maendeleo. Tuache tabia ya kupakana matope, haitatusukuma mbele. Tusiache kupambana na rushwa, lakini tusifanye hivyo kwa maslahi ya siasa,&#8221; alisema.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
Alisema maisha ya wanaharakati na viongozi wanaopiga kelele juu ya wananchi ni bora kuliko ya wananchi, na kuonya kuwa kumeanza kujengwa tabaka miongoni mwa wanajamii.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
&#8220;Tubadilike, tuwe na vipaumbele vitakavyosaidia wengi, badala ya maslahi ya wakubwa ambayo hali zao ni nzuri,&#8221; alisema Jaji Warioba na kueleza kuwa mkutano wake huo na waandishi wa habari haukuwa na shikinizo la mtu ye yote.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
&#8220;Kawaida yangu najulikana kwa misimamo yangu. Sijatumwa na serikali wala chama. Nazungumza ninachoamini,&#8221; alisema Jaji Warioba katika mazungumzo ambayo kwa kiasi kikubwa yalijikita katika kuzungumzia madai yaliyotolewa na wapinzani hivi karibuni kuhusu viongozi yaliyodai wanaitafuna nchi.
&lt;/P&gt;&lt;p&gt;
Note Yangu: Hivi tusipouliza na kufuatilia matendo na maneno ya viongozi wetu tufuatilie nini  sasa? &lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-09-27T22_05_59-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-09-27T22_05_59-07_00</comments>
      <pubDate>Fri, 28 Sep 2007 05:05:59 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-06-18</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-09-28</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <enclosure type="audio/mpeg" url="http://mwanakijiji.podOmatic.com/enclosure/2007-09-27T22_05_59-07_00.mp3" length="5686632"/>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718570.jpg"/>
      <itunes:duration>346</itunes:duration>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Kama ripoti iliyoandikwa na gazeti la Habari Leo ina ukweli basi kuna kitu kinachoendelea na ambacho bila ya shaka kimemsibu Jaji Warioba kuja na mawazo ya aina hii. Hebu soma na uamue mwenyewe au ni mimi ndiyo nimechanganyikiwa.


[b]Mgaya Kingoba
HabariLeo; Friday,September 28, 2007 @00:02[/b]
WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema amekerwa na tabia ya wanasiasa kupakana matope na kuonya kuwa kisingizio cha utawala bora kisitumiwe kutaka kuangusha dola zilizopo madarakani.

&#8220;Tukosoe lakini si kupata maslahi kisiasa&#8230; naona ndiyo tabia ya sasa kupakana matope kupata maslahi kisiasa. Tusiache kupambana na rushwa, lakini tusipakane matope kwa maslahi ya siasa,&#8221; Jaji Warioba aliwaambia waandishi wa habari ofisini kwake Oysterbay, Dar es Salaam jana.

Sambamba na hilo, mwanasiasa huyo maarufu nchini alisema ameshitushwa na madai ya ufisadi yaliyoelekezwa kwa baadhi ya viongozi wa serikali, akiwamo Rais Jakaya Kikwete na Rais Mstaafu Benjamin Mkapa.



&#8220;Mengine yanashitusha. Umoja wa nchi hii unaweza kufika mahali pabaya. Yaani Rais anaitwa fisadi kwa sababu hizi na zile tu. Huyu ni mwanadamu kama wengine, lakini ndiyo symbol (alama) ya Taifa, ukishamwita fisadi na unakwenda unazungumzia hivyo hakuna uongozi wa Taifa.


&#8220;Hata Mkapa aliyemtangulia anaitwa fisadi, hivi hivi tu, habari hizi zinaleta picha gani? Kwamba alijitajirisha yeye na ndugu zake katika miaka yake 10.

&#8220;Mkapa kama binadamu alikuwa na weakness zake, lakini kwa nchi hii huwezi kufuta historia yake,&#8221; alisema Jaji Warioba katika mkutano ambao alizungumza kwa makini na kwa busara, huku akitumia mifano mbalimbali kujenga hoja zake mbele ya waandishi waliokuwa kimya wakimsikiliza.

Alisema ameshangazwa na siasa iliyojitokeza katika miaka ya karibuni ya kupakana matope, ndani ya serikali na katika vyama vya siasa, akionya kuwa hiyo itaipeleka nchi pabaya.

Lakini zaidi, akawataka viongozi wa serikali, wapinzani na waandishi wa habari, kujiuliza kama kweli habari hizo na mambo yanayoandikwa, ndivyo vipaumbele vya wananchi.

&#8220;Rushwa imekuwa silaha ya kisiasa, watu wanatumia good governance (utawala bora) kutaka kuangusha utawala uliopo madarakani.

&#8220;Siku hizi wakubwa wakizungumzia utawala bora, ujue wanazungumzia regime change (mabadiliko ya uongozi). Nia yao ni kutaka kuondoa utawala ule. Angalia Irak. Sababu ya Marekani ilikuwa kumuondoa Saddam. Simtetei Saddam, lakini nia yao ilikuwa kumuondoa. Leo hii mauaji ni ya kutisha kuliko wakati mwingine wowote.

&#8220;Jana nimemwona Mugabe anazungumza UN. Wakubwa Zimbabwe wanazungumzia good governance, suluhisho ni Mugabe ang&#8217;oke, ardhi si issue, issue ni Mugabe.

&#8220;Good governance inatumiwa kama silaha ya kisiasa, kubadili utawala. Watu wanaamini ukiondoa utawala, rushwa itakoma, Siamini,&#8221; alisema Jaji huyo aliyewahi kuwa pia Waziri wa Sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Alisema rushwa nchini imekuwa ikiongezeka kiasi kuwa hata wananchi wa kawaida, sasa wanashiriki kwa kiasi kikubwa, lakini hiyo siyo sababu ya kuondoa utawala.

&#8220;Unataka regime change au kuendeleza utawala. Kwa hiyo, mnawaambia wananchi hawa ndiyo wala rushwa, wakiondoka mambo safi, mimi inanipa taabu.

&#8220;Watu wameacha kushughulikia matatizo ya wananchi, mambo ya msingi ya wananchi. Kwa mfano, mwaka jana, tumepata tatizo la chakula na umeme, lakini badala ya kuzungumzia jinsi ya kulikabili mwaka huu, watu wako busy kuzungumzia mambo ya uongozi.

&#8220;Wanazungumzia nani fisadi, kutueleza mambo yao ya uongozi. Vipaumbele vyetu vinaanza kupotoshwa. Maendeleo hayawezi kuletwa na viongozi na serikali. Yataletwa na wananchi, serikali inatunga sera tu na kuzisimamia. Yanayokuja sasa ni lawama tu,&#8221; alisema na kuongeza:

&#8220;Vyombo vya habari mtusaidie, utawala bora ni kitu muhimu, lakini watu wanahitaji msaada. Nimesikiliza Bunge hadi ikafika hoja ya Zitto, watu wanajadili masuala ya uongozi tu. Hoja inazungumzwa mazungumzo hayalengi hoja yenyewe. Hii concentration ya kulaumiana sijui inawasaidiaje wananchi.&#8221;

Alisema ameiona </itunes:summary>
    </item>
    <item>
      <title>Kwanini tunawapinga? - Wameshindwa kuongoza.</title>
      <description>&lt;img src="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718571.jpg" alt="itunes pic" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;Jipatie nakala ya &lt;a href="http://h1.ripway.com/Mwanakijiji/Maoni/corruptionintanzania[1].pdf"&gt;RIPOTI YA DR. SLAA&lt;/a&gt;
Taifa letu liko katika kipindi cha mpito. Kipindi cha kutoka mawazo ya chama kimoja kuelekea mawazo ya vyama vingi na kutoka ukiritimba wa hoja za chama kimoja kwenda kwenye uwingi wa hoja za vyama na vyanzo vingi. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Kiini cha kipindi hiki cha mpito ni mabadiliko makubwa ya kiteknolojia hususan kuenea na kusambaa kwa mtandao wa kiintaneti na upatikanaji wa simu za mkononi. Mabadiliko haya yamechangia kwa kiasi kikubwa maendeleo ya kisiasa ambayo hivi karibuni yamekuwa yakiwasha moto wa kizalendo ndani ya mioyo ya Watanzania. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Katika hili CCM wamechelewa na wako nyuma. Tatizo lao kubwa ambalo limewafikisha walipo sasa ni kujiamini kuwa "ushindi wao wa kishindo" wa 2005 umewapa leseni ya kusema na kufanya lolote kwani wao ndio "Chama kinachopendwa" ni "safi", na "wana ridhaa ya wananchi". 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Walipomfungia Zitto kushiriki vikao vya bunge kwa kosa la "kusema Uongo", walijihukumu wenyewe na sasa wanalipa gharama ya hukumu hiyo. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Kwa miongo minne na miaka sita sasa CCM na viongozi wake hawajawahi kupata changamoto kama wanayoipata sasa, na bila ya shaka "wakulu" wa chama hicho wanajiuliza "tumekosea wapi?" na bila ya shaka wanajiuliza "kwanini tunapingwa namna hii?
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Hatua ya kwanza kutatua matatizo yoyote yale ni kukubali kwanza kuwa kuna tatizo. CCM hadi hivi sasa hawajakubali kuwa wanakabiliwa na tatizo au matatizo licha ya ushahidi wote uliopo. Matukio ya rushwa, kashfa  za mikataba, ukiritimba wa chama n.k ni miongoni tu mwa matatizo tunayoweza kuyataja hadharani na kwa haraka. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Kwanini wananchi wanawapinga? Kwanini watu hawaogopi tena na wanaanza kuwahoji? Kwanini hadi vijijini wanakijiji wenzangu wameanza kuuliza "maswali ya ziada" ambayo huko nyuma majibu yake yalikuwa "yanafikirika?". 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Ndugu zangu, tunawapinga kwa sababu moja kubwa. &lt;b&gt;TUNATOFAUTIANA NAO.&lt;/b&gt;  Msingi wa kulumbana na serikali na kufunua na kuchambua matendo yao ni tofauti iliyopo kati yetu na wao. Tofauti hiyo ni tofauti ya msingi (fundamental difference). Ni tofauti ambayo inalingana na tofauti ya rangi nyeusi na nyeupe, usiku na mchana, mvua na jua, na Mashariki na Magharibi. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Tofauti hiyo kubwa inatokana na tofauti katika mambo yafuatayo:
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
&lt;b&gt;&lt;i&gt;a. Tofauti ya kimtazamo.&lt;/i&gt;&lt;/b&gt;
Wakati CCM bado wanaiangalia Tanzania kwa mtazamo wa "wao ni watawala wasiopingika" sisi wengine tumeanza kuiangalia TAnzania kwa mtazamo wa "CCM ni watawala wanaopingika". Katika hili wao wanapozungumza au wanapotenda sisi tunaangalia na kupima wanachozungumza na wanachotenda. Wanapotoa maelezo ya "kihuni" sisi tunawaambia kama maelezo yao ni "ya kihuni" hilo linawashtua!
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
&lt;b&gt;&lt;i&gt;b. Tofauti ya Maoni. &lt;/i&gt;&lt;/b&gt;
Wakati wao huko nyuma walijiambia kuwa maoni yao ndiyo maoni pekee ya kusikilizwa Tanzania, siku hizi wanashtuka kuwa maoni yao yana thamani kiduchu na yanachambuliwa kama maoni mengine yoyote yale. Huko nyuma walipoitisha waandishi wa habari au kutoa "taarifa kwa waandishi wa habari" basi mjadadala uliisha. Sasa hivi, mjadala hauishi kwa vile "Rais kasema" au "Waziri Mkuu kasema". Wasipotoa majibu ya kueleweka au majibu yenye utata, watarajie kuwa watu watauliza maswali ya ziada. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Ule ukiritimba wa mawazo ambao CCM ilikuwa nayo kwa muda mrefu kiasi cha kuamini kuwa wao pekee ndio wenye mawazo bora katika kuongoza taifa letu leo unathibitishwa kuwa haukuwa na msingi wowote ule. Kashfa zinazowaandamana viongozi wake na watendaji wake ni ushahidi wazi kuwa kipindi cha utawala wa mawazo ya CCM kimekwisha na kipindi kipya cha mwamko wa kimawazo kimefika. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
&lt;b&gt;&lt;i&gt;c. Tofauti ya Mwelekeo.&lt;/i&gt;&lt;/b&gt;
CCM inataka kuongoza kama ilivyoongoza huko nyuma na kwenda ilikotaka kwenda miaka 20 iliyopita. Inasikitisha kuwa kwa chama kilichowahi kuwa cha "mapinduzi" leo hii kinashindwa kubadilika kwa haraka na kwenda na wakati mpya wa machipuko mapya ya kisiasa yanayoendelea Tanzania. Kiini cha machipuko hayo ni mchango mkubwa wa waandishi na wajenga hoja mbalimbali ambao siku za hifi karibuni wamefungua kwa namna ya pekee mawazo ya Watanzania kuangalia ni wapi tunataka kwenda na ni wapi tunapaswa kwenda. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
&lt;i&gt;Uzembe, kulindana, kufichana na kubebana &lt;/i&gt;kulikokuwa kunafanywa na CCM kwa muda mrefu sasa kumeanza kuwatokea puani. Leo hii walipodhania kuwa &lt;b&gt;"Orodha ya Ufisadi"&lt;/b&gt; ya Muungano wa Upinzani ilikuwa ni propaganda za kuchafuana majina, na ambayo inapaswa "kupuuzwa" sasa wanajuta kwanini hawakuitilia maanani, na waliotajwa mmoja mmoja wanaanza kujaribu kujitetea na kati yao wengine hawajui kama ni waadilifu wamebakia kuwa na "imani" kuwa wao ni waadilifu. Kuchanganyikiwa huku ni jambo jipya, na ni mwanga katika chumba chenye giza! CCM wamechanganyikiwa. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Hata hivyo, huu si mwisho wa CCM na anayedhania kuwa CCM imefika mwisho ni bora aamke. CCM bado ina uwezo na nia ya kufanya mapambano haya ya kifikra na kisiasa. Hata hivyo gharama kubwa itabidi wailipe kuweza kurudisha imani kwa wananchi. Sehemu kubwa ya gharama hiyo inahusu uwazi, ukweli, na kujisafisha. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Haitoshi kukanusha tuhuma au kuzipuuzia. CCM ijiangalie toka ndani na kuona ni wapi kuna udhaifu na ni wapi ambapo kunavuja kiasi cha kuhitaji kutengenezwa mara moja. Kwa kadiri ambavyo viongozi wa CCM bado wako kwenye hatua ya kukana  ndivyo hivyo fikra za mabadiliko zinavyozidi kukita katika mioyo ya watu. 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Kwenye hili CCM wameshindwa kuongoza na sasa wanajikuta wanafuata. Ni kiburi chao na ubabe wao ndio unaowaumbua sasa, na ni shimo hili ambalo wao wenyewe wamelichimba wakitumaini wapinzani watatumbukia. Bahati mbaya ni wao wameanza kutumbukia na walipotegemea  kuwa wapinzani wataanza kuwafukia, wanajikuta ni wao wenyewe ndio wanaanza kufukiana! huku wapinzani wakikaa pembeni wakicheka kuwa "CCM wamelikoroga wenyewe na sasa wanalinywa". 
&lt;/p&gt;&lt;p&gt;
Kwa kadiri siku zinavyoendelea ndivyo hivyo vuguvugu la mabadiliko ya kisiasa linavyozidi kupamba moto. CCM wako kwenye kona ya ulingo wa kisiasa huku wapinzani wakiendelea kurusha makombora ya ngumi. Kama wapinzani wanadhania kuwa CCM imeanguka chini na iko tayari kwa knockout.. wasijidanganye. CCM itajikusanya na kujiandaa kujibu mapambano kwa nguvu na kwa haraka. Wakosoaji tujiandae for the final showdown! I'm ready... are you?&lt;/p&gt;</description>
      <guid isPermaLink="true">http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-09-26T22_22_51-07_00</guid>
      <comments>http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2007-09-26T22_22_51-07_00</comments>
      <pubDate>Thu, 27 Sep 2007 05:22:51 GMT</pubDate>
      <dcterms:modified>2008-05-12</dcterms:modified>
      <dcterms:created>2007-09-27</dcterms:created>
      <link>http://mwanakijiji.podOmatic.com</link>
      <dc:creator>Mzee Mwanakijiji</dc:creator>
      <itunes:keywords></itunes:keywords>
      <itunes:image href="http://mwanakijiji.podOmatic.com/mymedia/thumb/13384/0x0_718571.jpg"/>
      <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
      <itunes:summary>Jipatie nakala ya RIPOTI YA DR. SLAA
Taifa letu liko katika kipindi cha mpito. Kipindi cha kutoka mawazo ya chama kimoja kuelekea mawazo ya vyama vingi na kutoka ukiritimba wa hoja za chama kimoja kwenda kwenye uwingi wa hoja za vyama na vyanzo vingi. 

Kiini cha kipindi hiki cha mpito ni mabadiliko makubwa ya kiteknolojia hususan kuenea na kusambaa kwa mtandao wa kiintaneti na upatikanaji wa simu za mkononi. Mabadiliko haya yamechangia kwa kiasi kikubwa maendeleo ya kisiasa ambayo hivi karibuni yamekuwa yakiwasha moto wa kizalendo ndani ya mioyo ya Watanzania. 

Katika hili CCM wamechelewa na wako nyuma. Tatizo lao kubwa ambalo limewafikisha walipo sasa ni kujiamini kuwa "ushindi wao wa kishindo" wa 2005 umewapa leseni ya kusema na kufanya lolote kwani wao ndio "Chama kinachopendwa" ni "safi", na "wana ridhaa ya wananchi". 

Walipomfungia Zitto kushiriki vikao vya bunge kwa kosa la "kusema Uongo", walijihukumu wenyewe na sasa wanalipa gharama ya hukumu hiyo. 

Kwa miongo minne na miaka sita sasa CCM na viongozi wake hawajawahi kupata changamoto kama wanayoipata sasa, na bila ya shaka "wakulu" wa chama hicho wanajiuliza "tumekosea wapi?" na bila ya shaka wanajiuliza "kwanini tunapingwa namna hii?

Hatua ya kwanza kutatua matatizo yoyote yale ni kukubali kwanza kuwa kuna tatizo. CCM hadi hivi sasa hawajakubali kuwa wanakabiliwa na tatizo au matatizo licha ya ushahidi wote uliopo. Matukio ya rushwa, kashfa  za mikataba, ukiritimba wa chama n.k ni miongoni tu mwa matatizo tunayoweza kuyataja hadharani na kwa haraka. 

Kwanini wananchi wanawapinga? Kwanini watu hawaogopi tena na wanaanza kuwahoji? Kwanini hadi vijijini wanakijiji wenzangu wameanza kuuliza "maswali ya ziada" ambayo huko nyuma majibu yake yalikuwa "yanafikirika?". 

Ndugu zangu, tunawapinga kwa sababu moja kubwa. TUNATOFAUTIANA NAO.  Msingi wa kulumbana na serikali na kufunua na kuchambua matendo yao ni tofauti iliyopo kati yetu na wao. Tofauti hiyo ni tofauti ya msingi (fundamental difference). Ni tofauti ambayo inalingana na tofauti ya rangi nyeusi na nyeupe, usiku na mchana, mvua na jua, na Mashariki na Magharibi. 

Tofauti hiyo kubwa inatokana na tofauti katika mambo yafuatayo:

a. Tofauti ya kimtazamo.
Wakati CCM bado wanaiangalia Tanzania kwa mtazamo wa "wao ni watawala wasiopingika" sisi wengine tumeanza kuiangalia TAnzania kwa mtazamo wa "CCM ni watawala wanaopingika". Katika hili wao wanapozungumza au wanapotenda sisi tunaangalia na kupima wanachozungumza na wanachotenda. Wanapotoa maelezo ya "kihuni" sisi tunawaambia kama maelezo yao ni "ya kihuni" hilo linawashtua!

b. Tofauti ya Maoni. 
Wakati wao huko nyuma walijiambia kuwa maoni yao ndiyo maoni pekee ya kusikilizwa Tanzania, siku hizi wanashtuka kuwa maoni yao yana thamani kiduchu na yanachambuliwa kama maoni mengine yoyote yale. Huko nyuma walipoitisha waandishi wa habari au kutoa "taarifa kwa waandishi wa habari" basi mjadadala uliisha. Sasa hivi, mjadala hauishi kwa vile "Rais kasema" au "Waziri Mkuu kasema". Wasipotoa majibu ya kueleweka au majibu yenye utata, watarajie kuwa watu watauliza maswali ya ziada. 

Ule ukiritimba wa mawazo ambao CCM ilikuwa nayo kwa muda mrefu kiasi cha kuamini kuwa wao pekee ndio wenye mawazo bora katika kuongoza taifa letu leo unathibitishwa kuwa haukuwa na msingi wowote ule. Kashfa zinazowaandamana viongozi wake na watendaji wake ni ushahidi